Watu wengi hawajui.vicheche huwa wana utamu wa ajabu sana.wana ujuz wa hali ya juu kabisa.chonde chonde usijaribu kumuonja kicheche.unaweza kuzama penzin.chonde chonde usithubutu,hata kwa bahat mbaya.😂😂😂
Mwili si ni yake, hata akifanya ngono hadi na mbwa, makosa yake tu ni kufanya mapenzi hayo akiwa kazini na kuchukua picha, bure hata akilala na maskari wote mwili ni wake
@@judychepkirui5313 hahaha , huu msemo unamaanisha binadamu akisimama mwenyewe kama yeye hawez kuwa mkamilifu , ila yule atakaechagua kusimama na Mungu , Mungu mwenyewe atamfanya mkamilifu na kuacha njia mbaya na kuwa mtakatifu !!!! kwahy kiukweli hayupo binadamu ambaye hakukosea hata kidogo ila yupo ambaye baada yakukosea nakutubu na kusimama na bwana akawa yeye mkamilifu kwasabb hy kwahy machaguo anayo mwenyewe binadamu mwenyewe kumchagua Mungu au muovu
we dont want see ur face Bro, the story loses its taste and theme flavour, some of us loved the voice behind ur stories, this makes us skip further videos of similar type, most of ur fans comments the same, seems like u dont care.