Тёмный

MELI KUBWA YASHUSHA MAKASHA 459 BANDARI YA MTWARA KWA AJILI YA KUSAFIRISHA KOROSHO MSIMU HUU. 

Faida Online TV
Подписаться 7 тыс.
Просмотров 1,1 тыс.
50% 1

Bandari ya Mtwara imevunja rekodi kwa kutia nanga Meli kubwa yenye urefu wa Mita 240 iliyobeba Makasha yasiyo na kitu 459 kwa ajili ya maandalizi ya Msimu wa zao la Korosho kwa mwaka 2024/2025 ambapo Bandari hiyo ndiyo itakayotumika katika kusafirisha Korosho kwa msimu huu kama alivyoagiza Mhe. Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Mkuu wa Mkoa wa Lindi Bi. Zainab Telack, akimwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Kanali Patrick Kenan Sawala ametoa wito kwa wanunuzi kuja Mtwara kununua zao hilo huku akisema wao kama Serikali wamejipanga vyema kuhakikisha usafirishaji wa zao hilo unaenda vizuri.
SUBSCRIBE RU-vid CHANNEL YA FAIDA ONLINE TV ILI KUPATA HABARI ZETU.

Опубликовано:

 

4 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 2   
@eliasaNgahehwa-l2f
@eliasaNgahehwa-l2f 12 дней назад
Mrekebishe na mchimbe chanel hiyo ya kuungilia hiyo bandari msije mkaitia hasara serikali
@tanzanite9944
@tanzanite9944 13 дней назад
Korosho zibanguliwe ndio zisafiroshwe na sio kuwa Peleka waVietnam na Wahindi mali ghafla na pia kutoa kazi Kwa watu wao
Далее
Women’s Free Kicks + Men’s 😳🚀
00:20
Просмотров 3,6 млн
Very Dark Man Vs Bobrisky & EFCC; Aran-Orin Airport
12:32