Leo disemba 28 2021, Mpenja Tv inakuletea makala na mahojiano na Straika wa Simba Queens na timu ya Taifa ya Wanwake Twiga Stars Opah Clement.
.
Opah amezungumza na mtangazaji wa Mpenja Tv Alwatan Abdulaziz kuhusu maisha yake ya Soka pamoja na vingi usivyovifahamu kuhusu yeye.
.
Fungua video hii kupata uhondo wote wa mahojiano haya.
.
#opahclement #simbaqueens #mpenjatv
27 дек 2021