Mwanamke mmoja mfanyabiashara na mkazi wa Kata ya Cheyo, Manispaa ya Tabora aliyekuwa akifahamika kwa jina la Magreth Ahadi Mvyombo ameuawa kikatili kwa kukatwa mapanga shingoni na kichwani na mtu asiyejulikana ambaye anadaiwa kumvizia nje ya geti lake alipokuwa akirejea nyumbani kutoka kwenye shughuli zake majira ya saa 2:00 Usiku.
✍@official_jennifersumi
#azamnewsupdates
29 авг 2024