Nyie semeni ila ndoa haina mwalimu haina kungwi wala haina mjuzi tumuombe mungu atusaidie tu unaweza ukafanya yoote hayo na mtu moyoni mwake ana mengi nina miaka 12 kwenye ndoa hapo hakuna jipya hata moja mlilo liongea hamishieni madarasa kwa wanaume mana kila siku mnatwambia hayo hayo
Sawasawa mwanamme anahitaji darsa ili kujua wajib wake kwa mkewe na mamlaka yke somo kwa wanawake ni mengi saana ila kwa wanaume hatuyaoni na wao wanahitaji somo khasaa ili tubalance ❤
Nawambia wanawake wenzangu. Fanya chochote cha halali kwa mumeo. Lakini usiwe mtumwa. Kama wewe hujafahamu neno haki sawa endelea kuwa slave kwa mumeo. Mapenzi hayana formula huna kazi bibi kakojoe ukalale. Mapenzi hayo upande mmoja tu. Hata mwanamke anataka kusingwa na mumewe. Hamna mada kalaleni. Fanya yote na akitoka anakwenda kwaalaya.
Mwanamme ndio mas-uliya toa pesa mkeo ajishughulikie pesa za mkeo ni zake hata km hazitumii hazimkhusu mume toa pesa mpe mkeo. Hivo vya kwenye mbanjo kuna siku vitamaliza hata miaka 2 badae mume atoe usimtetee mume atoe pesa usimkumbizie mkewe wajib ni mume km hawezi basi hajawa tayari huyo kua na mke.
Kwaiyo km hujapewa ndo utakaa mchafu hujitunzi kwa sababu hujapewa? Hutii hina kwa sababu hujapewa? Kuna vitu hutafanya kwa sababu hujapewa? Kuna faida gani ya kuwa na pesa yko ili utumie kwa ajili ya nn? Toka nje ya box usikariri maisha aina yako ya watu ndio wanaoshindwa hata kuwaambia waume zao pole na kazi kwa kudhani ndo wajibu wao kuchoka kwa kutafuta risk
Kiase muwachwe.kama hata mke ukifanya kazi unapata mshahara halafu pesa yako ni yako hutowi tukaendeleza maisha.kula kuvaa na kujenga na biashara.wewe mke pesa yako inakwenda kumuhongo mwanamme wako wa zamani. Hutujakuoweni mututumilie
@@hajiabdalla5772 kwani nani kaachwa kwa hayo? Unajiskia nn unasema sijasema mtu atoe pesa yke amsaidie mume majukumu nimesema wajipendezeshe wao usikute ww ndo huyo humtunzi mkeo unataka sifa tu hapa. Ifike mahala kila mmoja akue mipaka yke
@@AttiyaHassan_somomtoto narejea kusema mume ndio mshughulikiaji pesa ya mke ibaki kua ya mke hatujafahamiana sio km siwezi kujitunzia pesa zangu namaanisha bado nnapesa mume wajib wake yy atoe pesa asione mm nnapesa tena ndio ajikalishe eti mm nafanya kazi hapana km ww unafanya hivo kwa pesa zako endelea mm mume wangu anajua wajib wake kila mwezi ananikatia changu najiremba kwa pesa zake mwenyewe... Tena nilikua nafanya kazi hakuwahi hata siku 1 kuniuliza mshahara wako kiasi gani au nunua hichi vitu vyote ananunua mwenyewe na mwisho wa mwezi ananipa changu na watoto hata nikenda dukani nikwafanyia shopping watoto mwenyewe tuu vitu nimevipenda nikirudi anasema kwann hujanambia km unataka kufanya shpng ya watoto ah nimeamua tuu basi nitakulipa tena hapo nitamwambia nimekusameh nimetaka tuu mwenyewe huyo anajua wajib wake 👌.
Hao wanao kosoa waongo kimewagusa mana hawatekelezi majukum yao dada endelea upo sw ila t ukihisi kuna sehem umekosea kweli kibinadam rekebisha tuende mbele awo wengine usiwashuulikie
Na ndio mana hao wanafundisha wanandoa mahusiano yao mtihani kabisa jiulize kama hayo yanamtuliza mume mbona wao wanaachika hawakai na ndoa mapenzi ni utayari vitendo vi naakuja wenyewe ila hayo yote mnapiga porojo tu
Anoachika sio mzembe wala anaebaki sio uhodari Umeambia yasin dua na mbio uwe nazo Unaweza usifanye yote na ukabaki na ukafanya ukaachika n vice versa We usifanye waachie wanofanya waone matunda yao
Kwaiyo alokuwa hafundishi yy hana mitihani au? Kwanza ujue hakuna ndoa isokuwa na changamoto ! Kwaiyo madhal kuna changamoto tuishi na huzuni muda wote? Tutafurahi tutakapopata nafas ya kufanya hivo na ndio lengo, haijaandikwa sehem kuwa ndoa ni tamu , ndoa ni maisha na maisha ni tamu na chungu ukijua ivo hupati tabu
Hakika mioyo imeubwa kupenda anaemfanyia uzuri lakini siri kubwa ni olewa na mume anakupenda, ila kama akupendi ata umpakulie kwenye sahani ya dhahabu ataiona plastic tu😂
Ukonawazungmuzia wanaume wazama zipi?MTU mwwnyewe ma awara kilakona Kila mkoa kilasiku anaoa nakuacha anamsema mkewe kwawatu vibaya Bado asingwe wakati ijuma aijuwi
@@AttiyaHassan_somomtoto habibty hatukushindwa na ndoa tumeumizwa na ndoa baada jitihada zote akajisabikisha singo sugua mguu mlishe mpepepe maliwazo maneno mazuri majina mazuri yote tukamaliza at the end unalizwa kama mtoto mdogo Allah akuhifadhie ndoa yako yasikukute Allah akubarikie kazi mie nasema Alhamdulillah
Usemayo hayo ya mwanzo ndio msingi waaisha. Lakini hakuna kitu chochote kinachosimamisha ndoa au kinachobomoa ndoa. Ndoa haina sababu yoyote ni mapenzi yenu tulivyokubaliana. Unamsinga anatoka anarudi asubuhi. Hakuna formomula katika ndoa msitudanganye sio kweli. Ndoa ha i na formula. Formula ya ndoa ni kumsoma mwenzio weaknesses zake na mu win sio kumsinga huo utumwa yeye akufanyie ya halali uyapendayo na umfanyie ya halili ayaoendayo. Nyie mnafundisha utumwa sio ndoa bora. Mapenzi ni Borth sides.
Utumwa ni kuzifungia akili zako zisione ukweli na kuukubali cjui km ulipata uyo somo akakufundisha ata kujihudumia ungemjibu nafanya hivo tangu kwetu . Wakati mwengine mabadiliko ya vitu na mambo hunogesha ndoa ishi ww kwa mazoea waachie wanaotaka kujifunza wajifunze
Thank you girl! Mapenzi ni kwa wote. Hakuna cha kusinga wala kusingwa....mambo ya kizamani sana. Wote siku hizi twafanya Kazi. Kama ni kusinga, Basi tusingane.....kwani Nani hataki kupata Raha.....😅😅😅
Ukiondoa negativity kwenye ndoa utaenjoy sana do not take things negative kila mara change urself enjoy kuwa mke na kila utachofanya kifanye kwa moyo na usitegemee appreciations utajikera
Mm naunga mkono kwa wote walochangia maana siwezi kurudia ukitaka usitake au ukatae wanume waitwe wanaume utafanya yte unayosema hayo na hubadiliki utatiwa vyete lkn akiamua kaamua,usikute unafunza lkn ww yote hayo unafanya baadhi,makingwi ndio haooo
Dada hayo kwa leo hayako tena hayo yalikua kwa mabibi zetu ama kwa Zanzibar hako ama kwa jamaa zetu wa Kitanga yes but in our 2 Island muhimu mapembe tu