Тёмный

SAKATA LA MSICHANA KUBAKWA AKIREKODIWA, AYO TV YAFIKA MTAANI KWAKE, WATU WAFUNGUKA MAZITO 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 306 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

8 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 503   
@AbdallahAsha
@AbdallahAsha Месяц назад
Yani Tanzania inanisikitisha sana nchi yangu sasa mnamkosaje uyo mwanamke uyo afande na angalikua uyo dada anajua mme wa uyo mwanajeshi akimpata uyo baba mkewe kapatikana jamani uyo dada atendewe aki
@mohamedchrispin7148
@mohamedchrispin7148 Месяц назад
Me nataka nione makali ya serikali yani ikipita week hao jamaa awajakamatwa me ntakuwa wa kwanza kuilaani serikali
@TeophilBuilding
@TeophilBuilding Месяц назад
Umechelew san
@nassercurtis9579
@nassercurtis9579 Месяц назад
Ndio mjue serikali inamambo mazito utovu wa nidhamu tabia mbaya za malezi maadili mabovu na kutomjua Mungu yoote hayo hutaka serikali itulee mpaka tabia na malezi bora waliyoshindwa wazazi hulaumiwa serikali halafu watu wakinyongwa au kufungwa maisha ili kushikisha wengine adabu halafu inatokea mijitu kupindisha haki ikijifanya ni watetezi wa haki za kibinadamu mbaya zaidi mibeberu sasa imekaa kimya as if haijui kinachoendelea baada ya serikali kuonyesha makali wanakuja kukutetea wahalifu, tukiona wenzetu nchi za kiarabu kumuangalia mara mbili tu mwanamke usiemjua hujamaliza hata nusu saa unakamatwa na kesi yake unalipa fidia ambayo pesa yake hujawahi hata kuota kuwa nayo unafungwa mpaka unaona nyekundu hutoki jela na ukitoka mzee unarudishwa kwenu ama unyongwe tunaona ni wanyama, mambo mengine yanahitaji maamuzi magumu na siyo siasa, wakati magufuli akifungia NGO's alikuwa anaonekana doctor ilikuwa ni hatua nzuri ya kupambana na wapuuzi kama hawa ambao mwishowake wanakuja kukutetewa na hizo ngo's sasa watu wanailaumu serikali tutapata maendeleo lini sisi waafrika kila kukicha ni drama tu.
@nassercurtis9579
@nassercurtis9579 Месяц назад
Kama ningekuwa raisi hao kesi yao ni kunyongwa hadharani mpaka kufa maana muathirika mpaka sasa ni sawa na marehemu anaeishi, na mwanaume alie lala nae pamoja na mke wake wakamatwe na kufungwa maisha maana mshiriki kosa na mfanya kosa wote ni wakosaji. Ifike wakati mambo kama haya ya uzinzi na zinaa yatolewe hukumu kulingana na imani ya mtu maana hukumu za watu kama hawa zipo ndani ya Bibilia na Quran tukufu.
@nassercurtis9579
@nassercurtis9579 Месяц назад
Ifike wakati masaala ya kijamii ziachiwe taasisi za dini ili kupunguza mzigo wa majukumu ya serikali.
@lifeonearth94
@lifeonearth94 Месяц назад
Ndo mana hujawa Rais na huna vigezo vya kuwa Rais​@@nassercurtis9579
@verdianabanabi2205
@verdianabanabi2205 Месяц назад
Aliyekuwa anachoma picha ya Samia alikamatwa dakika hiyo hiyo na kupotezwa. Na wahusika wa kubaka hawajakamatwa. Ngoja tuangalie panapovuja.
@leokamil6284
@leokamil6284 Месяц назад
Ndio Tanzania ilivyokuwa kwa sasa na wananchi hatuna umoja
@superwomanmwenyeheri.1367
@superwomanmwenyeheri.1367 Месяц назад
Samahani kdg, Alipotezwa? Mbona Kama aliachiwa huru?
@Patricianicholaus24
@Patricianicholaus24 Месяц назад
Aliukumia miaka.miwili jela​@@superwomanmwenyeheri.1367
@yasminoluoch169
@yasminoluoch169 Месяц назад
Ndo ujue wa tz mnabebwa ufala kama ni kenya sai wangekuwa ndani
@MariamAlly-hk7io
@MariamAlly-hk7io Месяц назад
Malezi yetu yanafanya tufikie hapo Machangudoa ni we ngi mitaani Mtoto msg ana beba Baba wa wenzie Halafu hakuulika I alipo
@ZawadMussa-sd1od
@ZawadMussa-sd1od Месяц назад
Kumjua sio kazi bhan wakamate vijana wale afu na uyo aliewatuma Binti atapatikana tu
@heriethsixbert475
@heriethsixbert475 Месяц назад
C wanajizima data Tu
@user-jl9hy3vl6w
@user-jl9hy3vl6w Месяц назад
Hiyo sio KUFANYA mapenz TOA NENO KUFANYA mapenz 😢
@NANCYWARD488
@NANCYWARD488 Месяц назад
Yes your right. MilardAyo ni Chombo Bora chenye Ukweli kabisa. God bless you 🙏
@AminaOmary-sm4wl
@AminaOmary-sm4wl Месяц назад
Jaman wanawake tuandamane kwa hili ni uzalilishaji kwa ss wanawake nimeumia sana kama me ndo nayapata maumiv na ikiwezekana tuandamane huu ni ujinga😊
@paulntalima6998
@paulntalima6998 Месяц назад
Sio tu wanawake hii haikubaliki ktk jamii yetu yote imagine huyu mtoto ataishi vipi wamemsababishia mental disorder
@ziggertv3185
@ziggertv3185 Месяц назад
Ujue shida ni sheria zetu kua legevu kiasi kwamba watu wanafanya uhalifu ila hawachukuliwi hatua kali zitazofanya wengine waogope
@Official83640
@Official83640 Месяц назад
Na lile tukio la yule kaka kuingizwa chupa na mbunge tena mwanamke mbona hamkuandamana mwanamke mwenzenu alichokifanya km sio udhalilishaji mbona mmekaa kimya
@hamidkololeki5009
@hamidkololeki5009 Месяц назад
Kikubwa muache umalay
@KilagulaOscar
@KilagulaOscar Месяц назад
Umalaya tu kwani kama sio umalaya yange mkuta hayo
@niwaelally1579
@niwaelally1579 Месяц назад
Binafsi nimeumia sanaaa na tukio hili. Utu wetu upo wapi watanzania? Je hao vijana hawana madada, hawana wadogo zao? Wanajisikiaje watakapoambiwa dada au.mdogo wao kafanyiwa waliyoyafanya kwa mdogo wa mtu? Mtoto wa mtu
@Dafetty
@Dafetty Месяц назад
Wamemzalilisha sana uyu mdada😭😭😭😭
@user-ny8oe8xg7z
@user-ny8oe8xg7z 28 дней назад
Mamb
@wabikeog_373
@wabikeog_373 Месяц назад
Serikali Ina mkono mrefu ,.ndio tuuone sasa😢
@AminaAminaa-ox7ft
@AminaAminaa-ox7ft Месяц назад
Innalilah waina ilah rajuun
@Burner_Acc
@Burner_Acc Месяц назад
Kuhoji watu kuhusu tukio lile ni kuendelea kumdhalilisha yule msichana. Nyie hojini serikali imefikia wapi na hawa mbwa inabidi wanyongwe.
@ukweli255
@ukweli255 Месяц назад
Huyu Binti ajitokeze tu maana UTAJIRI unamsubiri..ajitokeze asimamie hii Kesi ,Jamii itasimama nae halaf ikimpendeza ahame hata Nchi za Jirani akutulie hawa wapuzi watafungwa na kulipa Fidia
@user-to2co7qm2k
@user-to2co7qm2k Месяц назад
Kupatikana kwa afande mume. Wake atowe ushirikiyano WA mke wake yupo wapi mama gwajima plz ushiriysno wako tunakuamini Sana rais wetu mama samiya plz
@user-xx8jx6tb7d
@user-xx8jx6tb7d Месяц назад
Duu imeniuma kwakwel jaman haa umfanyie mtoto wa mwenzako hvyo kwel lakin na ww ni mwanamke hujui kesho yako jaman haaa, Mungu wang
@PrinceHendry-hp8vv
@PrinceHendry-hp8vv Месяц назад
Angekua kafanyiwa mtoto wa kiongoz au tajiri jambo hili isingekua story ni utekelezaji chap
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl Месяц назад
Wangewakamata hao mapolisi watasema huyo dem walimtoa wapi na huyo polic wakike ndiyeatasema. Huyodem kamtoa wapi pengine wamemuua aukumteka. Maana kwakitendokile laazima hatakuaameenda hospitali. Hawezikukaatu sikuzote.
@leokamil6284
@leokamil6284 Месяц назад
Mwanajeshi mmoja kajulikana mbona wasimkamate huyo nchi ya hovyo hovyo hiyo ati Askari toka Dodoma inaudhi kabisa
@Official83640
@Official83640 Месяц назад
Kwani huyo Msichana yy hayaoni yanayoendelea au kafa hajatoa siri kwao Subhannallah pengine tukio la siku nyingi ya Rabbi eeh Mungu saidia apatikane huyo bint maana ametuliza mno 😢
@stanleyamlima2085
@stanleyamlima2085 Месяц назад
Fact !
@user-vn5mv6gn2b
@user-vn5mv6gn2b Месяц назад
Sura ya inaonekana vizuri sana aliyefanya kitendo hiki. ila mnaangaika na kumtafuta msichana.. endeleen kuficha ficha maovu..
@ritchiemuta1092
@ritchiemuta1092 Месяц назад
Hii ni tv ya machawa hawezi kufanya yaliyokweli bila uchawa na usaliti wa haki za jamii
@EvodiaDominic
@EvodiaDominic Месяц назад
Hamna lolote Ayo tv mpo kupoza makali ya watuhumiwa kukamatwa! Badala ya kusaka wabakaji na alowatuma " nyie Mnahangaika kumsaka binti au ndugu wa binti ili iweje?!!!
@MinskBelarus-il2tl
@MinskBelarus-il2tl Месяц назад
Hiyo ni kazi ya POLISI na siyo kazi ya Muandishi wa Habari. Kazi yao nikukuhabarisha
@mirnababy5012
@mirnababy5012 Месяц назад
Watawafumgaje aliye fanywa tukio hawamjui
@user-ye5qv4de9v
@user-ye5qv4de9v Месяц назад
Kwa maelezo ya mwandishi huyu sion dalil ya haki kutendeka😢
@mugishamajeba9628
@mugishamajeba9628 Месяц назад
Kwani si mutafute sm yakwanza iliyo tuma iyo tarifa kwani kunashida gani apo😊
@user-ox6ow1zq9u
@user-ox6ow1zq9u 15 дней назад
Wale wa Kaka n'a yulemama ni walaaniwa mtupu akuna chochote. Kwani ww mama mzima una Pata je ujasiri waku itai zo kk zote zi mbake dada mumoja? Mungu Awa samehe sana yani 😭😭😭😭😭😭😭 dada pole sana Ila usi rudie tena kipenza
@marongotatarakea7458
@marongotatarakea7458 Месяц назад
Haina haja ya kukamatwa Bali wapigwe risasi wafe
@marongotatarakea7458
@marongotatarakea7458 Месяц назад
Na huyo afande aliowatuma jeshi limuue hadharani
@KibweOnlineTv
@KibweOnlineTv Месяц назад
Ile video sikuweza kuitazama full maana nilitaka kumwaga machozi 😢😢
@tamimbinaltan1325
@tamimbinaltan1325 Месяц назад
Ama ulijikuta ukimwaga 🤣🤣
@KibweOnlineTv
@KibweOnlineTv Месяц назад
@@tamimbinaltan1325 daah, mkomwe wako 😂😂
@tamimbinaltan1325
@tamimbinaltan1325 Месяц назад
@@KibweOnlineTv 🤣🤣
@nancyg8664
@nancyg8664 Месяц назад
​@@KibweOnlineTv😂😂😂😂😂😂
@nancyg8664
@nancyg8664 Месяц назад
​@@tamimbinaltan1325😂😂😂😂
@IkraaMkumba
@IkraaMkumba Месяц назад
Hili silo la kulifumbia macho KABBISA, Yan kama nakuona huyo dada ni jinsi gan anavyojiskia machungu huko aliko jaman, Na huyo afande ilitakiwa adili na huyo mumewe mana kama katembea nae ni walikubaliana,, sasa ona kamdhalilisha mwenzie kwa kulingia cheo chake daaaah!! Inauma sanaaaa😭😭
@ShabanAlex-ng4vo
@ShabanAlex-ng4vo Месяц назад
Angekuaa kapuku mlala nja angexha kamatwa kixa uyo Mama anacheo serikalin ndo asikamatwe afugwee
@noelajuma619
@noelajuma619 Месяц назад
Maneno mengi lakini hamna kitu kitafanyika hili litapita tu shwaaaa 😢 na hamna sikia kitu tena
@abiaslimadyanse1842
@abiaslimadyanse1842 Месяц назад
Ule ni ukatili kabisa Yani Binti wawatu Yani masela watano 😢😢😢 sad moment again,. Serikali wekeni jitihada stahiki 🙏🙏
@shedrackjoshua834
@shedrackjoshua834 Месяц назад
Serikali ina mambo mengi sana asee
@user-qy6ge9tq2q
@user-qy6ge9tq2q Месяц назад
Naomba niione dear😢😢
@shedrackjoshua834
@shedrackjoshua834 Месяц назад
@@user-qy6ge9tq2q Usitamani kuangalia kama una roho ndogo tuma namba nikirushie inbox kwako
@mnisi3694
@mnisi3694 Месяц назад
​@@user-qy6ge9tq2q😢😢😢
@DativaMbowe
@DativaMbowe Месяц назад
Na sisi wanawake tupunguze uroho wa ela ayo niulafi wa kipesa, turidhike nakidogo tupatacho natuache kuingilia mapenz yawatu 😢😢
@janetmutashubilwa3041
@janetmutashubilwa3041 Месяц назад
Kwanini mwanaume akubakwa
@janetmutashubilwa3041
@janetmutashubilwa3041 Месяц назад
Acha ujinga hii sio sababu ya kumfanyia huu ukatili
@lucasngalawa8826
@lucasngalawa8826 Месяц назад
​@@janetmutashubilwa3041acha makasiriko Kwa kifupi punguzeni tamaa za kijinga
@enockmadati7822
@enockmadati7822 Месяц назад
siyo kwa ukatili alofanyiwa huyo binti. fanya huyo ni ndugu yako amefanyiwa hayo ungeongea hayo maneno?
@DativaMbowe
@DativaMbowe Месяц назад
@@enockmadati7822 ninge mwambia ukome
@VailethBarnabas
@VailethBarnabas 24 дня назад
Jamani serikali mi naomba kuona mkono mrefu mlionao ili mniongezee trust just help the girl to get her justice 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@fridaminja7191
@fridaminja7191 Месяц назад
Labda alidanganya kwa usalama wake zaidi
@user-ur3ur2my5e
@user-ur3ur2my5e 19 дней назад
Nchi niyao bwana wafanye watakavyo nakama hamtoamin kesi itafutwa tu . Angekua magu mapema sana sakata lingekua lishaisha zamaaan
@stellamiyombe6117
@stellamiyombe6117 Месяц назад
Naomba mama Samia achikue atua
@IbrahmyminuSemgombe
@IbrahmyminuSemgombe 26 дней назад
Nataman serikali ingeweka Sheria ya mtu yeyote anae fanya ujinga kama huu anyongwe apotezwe inauma sana zaid zaid ni kuizalilisha nchi yetu kudhalau serikali yetu kwa viwango vikubwa jaman fanya kitu 😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@user-nn7vp7yu2g
@user-nn7vp7yu2g Месяц назад
Kipo chakujifunza apo maana atammi nimma pia naumia ila wattowetu wajifunze kuwa na adabu na kuwa watii kwa wazazi wao maana wanajiona waondio warembo kuliko wote kumbe wanakimbilia majukumu yasio Yao wanangu mtulie muda wako ukifika utapata mumewako aliye sahihikwako
@FatimaAli-of4gh
@FatimaAli-of4gh Месяц назад
Tatizo hawa watt wetu wa siku hizi hawaogopi kitu enzi za utoto wetu husubutu hata mwanaume kukugusa na hilo jambo la tendo la ni lawana ndoa tu sasa sijui hawa watt wa sasa hayo matamanio wanayatolea wapi hii zinaa imekuwa ndo biashara kubwa ni hatari hii😢😢
@mastidiawamara1264
@mastidiawamara1264 Месяц назад
Kwani yeye kama hajaambiwa atajuaje kama ni mme wa mtu? Wanaume sikuizi wamekuwa wa ovyo kupindukia wanashindwa kutulia kwenye ndoa zao na wake zao
@JacklinedamianMtweve
@JacklinedamianMtweve Месяц назад
​@@mastidiawamara1264dada mwingine unamfata una mwambia huyo ni mume wangu kaa nae mbali anakujibu kunya utamfanyaje mtu kama huyo
@gracelema2374
@gracelema2374 Месяц назад
Polis kampata nakafanya yake serikali masaa yote hayo hawajampata nani ajuae huenda amefarik hilo la kwanza au alidanganya location yake achukuliwe suggar daddyy huyo anataarifa zakutosha alfu kwann mhangaishwa na muhanga hao majibwa nayo hayaonekani ...?
@sofiakhan9706
@sofiakhan9706 Месяц назад
She is family is at kigoma ,sagala area ,her family member report in you tube and they don't hav watt up and smart fone ,according you tube not from that area
@demicratia4071
@demicratia4071 Месяц назад
Wameshakamatwa
@rehemamejja8342
@rehemamejja8342 Месяц назад
Mungu tuponyee3
@dr.mgungo1429
@dr.mgungo1429 Месяц назад
Polisi wametoka Dodoma 😎
@Mahershalalhashbazi-kf6xi
@Mahershalalhashbazi-kf6xi Месяц назад
Ni rahisi sana kuwapata wanao husika na makosa ya mtandaoni wanawakamata dk zero tu
@leokamil6284
@leokamil6284 Месяц назад
Mmoja wa wahusika kajulikana mpaka namba yake ya simu na kambi ya Jeshi alipo labda ni mtoto wa wakubwa
@Mahershalalhashbazi-kf6xi
@Mahershalalhashbazi-kf6xi Месяц назад
@@leokamil6284 Hii taarifa umeupata wapi?
@khabibahussein7239
@khabibahussein7239 Месяц назад
Mwenyezi Mungu awaumbue kwa hili walofanya hao wapuuzi
@user-vx6bt7sd4q
@user-vx6bt7sd4q Месяц назад
Huyo sijui kama haja fichwa maana Kwa kitendo kile sjui kama anaweza kukimbiya Ina uma sana 😭😭😭😭😭
@agnesclement6305
@agnesclement6305 Месяц назад
Mungu atusaidie sisi navizazi vyetu dah inauma sn ubakaji
@isamony58
@isamony58 Месяц назад
Nifundisho kwa watt wa 2000 awasikii niwatu wakuaribu ndowa zawatu
@user-hd1er7gi6e
@user-hd1er7gi6e Месяц назад
wee kwel huna akili fundisho gan ilo km angekuw mdogo wako ungejiskiaje😢kuna fundisho lkn sio ilo ni uzalilishaji kwan uyo mume hakujuw km ana mke mpk atongoze watoto wadogo
@nasrasway7143
@nasrasway7143 Месяц назад
Yaan wale wakaka wafungwe maisha jamani wamemvua dada wawatu utu
@Steven_Kanumba
@Steven_Kanumba Месяц назад
Unayo?
@AminaOmary-sm4wl
@AminaOmary-sm4wl Месяц назад
@@nasrasway7143 sikufungwa tu wanyongwe kabsa hadharan kama walivyomzalilisha mtoto wa kike kiasi hicho kisa pesa waliolipwa huu ni uharibifu na huy afande wao nae anyone kasoro serekal yetu wanapuuzia ujinga kama huu
@zeyanasaleh9399
@zeyanasaleh9399 Месяц назад
Na wao wafirwe
@lucasngalawa8826
@lucasngalawa8826 Месяц назад
​@@zeyanasaleh9399acheni kudanga ovyo
@queenlinda255
@queenlinda255 Месяц назад
Pole binti yangu pole sana wasichana wengine watoto wangu jifunzeni kitu acheni kutembea na waume wa watu na kujinadi kumekuwa na tabia mbaya sana sikuizi dunia imeharibika watu wamekuwa wanyama hata vijana wakiume acheni kutembea na wake za watu jamani
@ntulloboy2916
@ntulloboy2916 Месяц назад
Point mbali na maumivu aliyo yapata mdogo wetu lakini naombeni liwe nifundisho kwa dada zetu wadogo zetu na mama zetu wanao tembea na wanaume za watu pia liwe fundisho kwa wababa kaka na vijana wanao tembea na wake za watu jamani tumludie mungu tumuhofu yeye dunian tunapita duani tuwasafili . Tumludie mungu wetu wa mbinguni
@AliceBagoka-tk9xg
@AliceBagoka-tk9xg Месяц назад
Jamn😢😢😢 mimi nalia sana huku dodoma
@nancyg8664
@nancyg8664 Месяц назад
oooh pole sana njoo mwanza utanyamaza
@CAPTAIN_GALAXY13
@CAPTAIN_GALAXY13 Месяц назад
Kama hujasoma cuba kuna mawili eidha hii issue ilitengenezwa au yule Dada alitishiwa akapewa maelekezo aseme katokea huku yombo kumbe mtoto wa watu anaishi mkoani huko..... Walishasoma game wenzetu unakuta tunahangaika na yombo kumbe sio
@user-ds5tf9xx1d
@user-ds5tf9xx1d Месяц назад
Hii ishu imeumizq sn ki ukweli 😢haki yake itapatikana kwa uwezo wa mungu.......na wahusika watakamatwa
@rashidisaidi8535
@rashidisaidi8535 Месяц назад
Yaan mambo akifanya askari mambo yanaenda vairo sana aisee
@isaacjaphet1314
@isaacjaphet1314 Месяц назад
So kitendo kile kwako ni cha kawaida wale wanyama walichokifanya ni sawa. Acheni kutetea unyama... mwanao angefanyiwa unyama ule ungeandika haya?
@EmmanuelMajele-ny2hk
@EmmanuelMajele-ny2hk Месяц назад
Yeyote akifanya unataka askali akifanya watu wasiseme watu waseme mtu yeyote akifanya Shelia lpo kwa wote Shelia ni kama msumeno
@mamachris6811
@mamachris6811 Месяц назад
Kwa sababu hawana akili,wao ndio walizi wa sheria,wanajua hili ni kosa kisheria na bado wanafanya
@hawangalima
@hawangalima Месяц назад
Kwasababu wao ni walinda amani na sio wavuruga amani hivyo inashangaza kuona anaefaa kulinda amani anaivuruga
@Stillrunlikeaball
@Stillrunlikeaball Месяц назад
Nnjoo Nikufire wewe na Mama ako huko Matakoni kwenu kupunguze kuwasha alau Upate akili kidogo😋😋
@user-ib2ew9ec3d
@user-ib2ew9ec3d Месяц назад
Hapo tutaangalia samia ata wapa adhabu gani nauyo askari atamuachisha kazi nakumfunga au ndoatasema kazi iendelee😢😢😢
@ShsfiiSaid
@ShsfiiSaid 23 дня назад
😢😢😢😢 mungu hamsaidie uyo dada jamn sitak hat kusikia
@user-fl8jf5zn9j
@user-fl8jf5zn9j Месяц назад
Mi Nazan ni kweli picha zisisambazwe ila kwa wliokuwanazo wazitumie kuwatafta pia Hao watu tusaidiane jaman tueapate iwe fundisho
@renatuswilson1577
@renatuswilson1577 Месяц назад
Yaani. Ngoja tuone kinachotokea. Ila inaskitisha sana sana. Huu niunyama
@fatimahants1526
@fatimahants1526 Месяц назад
Kuna baadhi ya watu akili zao finyu sana, unahukumwa mwenzio kwa ajili ya mume wako utawahukumu wangapi kwenye hii nduniya ...nk
@mnisi3694
@mnisi3694 Месяц назад
Alafu ukute yaan hata mwanaume hampendi
@Kabwela776
@Kabwela776 Месяц назад
Ndio watanzania wana roho mbaya kama wanyama
@faidhamohamed7203
@faidhamohamed7203 Месяц назад
huyo msichana simjui ila hao wakaka waliofanya ivyo nawajua hao wanajiita 45 wanakaa hapo hapo yombo ila huko nyuma kidogo panaitwa makaburi ya site ndo maskani yao jaman niko mbali tu ila hao watu wanafahamika ni wahuni na iyo ndo kazi yao
@renatuswilson1577
@renatuswilson1577 Месяц назад
Au wamemuuwa?? Jamani. Isiwe nikupoteza ushahidi
@AliphonceMartina
@AliphonceMartina Месяц назад
Mmmhh sizan kama yupo hai huyu binti kwa selikali yetu hii huenda wameshapoteza ushahidi kwani yeye mbona kama yupo hulu kwanin hatokei kusaidia selikali imtendee haki na sisi binadamu tunatamani tusikie neno kuhusu maisha yake na hao watendaji wa kitendo kile
@user-uj5wg9mm2t
@user-uj5wg9mm2t Месяц назад
Ndo muachage kutembea na wanaume za watu na kudhan sifa mume wa mtu na mke wa mtu ni sumu
@NuwayiraTogeza
@NuwayiraTogeza 25 дней назад
Jmn xhelia ifate mkondo wake Ili swara xo la kukaa.kmy mam xamia tuataka hao watu walofany tukio wapatkane linaxkitisha san😭😭😭
@MariamKileo-mu8rv
@MariamKileo-mu8rv Месяц назад
Yaan hii nchi bhana yule aliyechoma picha ya rais alikamatwa cku moja tu sasa kwann huyu askari asikamatwe haraka na hao waliombaka wakamatwe ety mnasema tusaidiwe hao wanaopiga matukio kwa viongoz mbona mnakamata wenyewe na mnakamata chap jamani ila tanzania bhana hospital usipokua na hela huhudumiw raia asipokua na hela hafatiliwi kah ila jamani
@MarryMassawe-wr2zi
@MarryMassawe-wr2zi Месяц назад
Kwanini wasioatikane nahuyo bos alikuwa anatembea nae kama ni polici anajulikana
@ZainabuAbedi-cy1kq
@ZainabuAbedi-cy1kq Месяц назад
Lazima wasifahamu kwasababu alieyafanya Hay ni askari lkn mkumbuke malipo ni hapa hapa duniani😢😢
@littlelunie.7653
@littlelunie.7653 Месяц назад
Mungekua mnafany hvo na matukio ya maana yanayoikumba jamii kama lile la watoto kutekwa ingekua vzur sana
@shadidajumaa2902
@shadidajumaa2902 25 дней назад
WAllah Allah atawalipia hapahapa dunian
@LamekiMichael-pz7rv
@LamekiMichael-pz7rv 25 дней назад
Kwa hili kama ingekua utawala wa hayati Dt Magufuli nahisi tukio lingeenda na wengi
@renathakalamage4931
@renathakalamage4931 Месяц назад
Afande anajulikana. vzur achen kutuchora
@josephmtikile-yf3pq
@josephmtikile-yf3pq Месяц назад
Hao watyu ni wauaji wakikamatwa ni i kiberiti na petroli
@SaidyIbrahim-f4h
@SaidyIbrahim-f4h Месяц назад
Hili swala halina nguvu sna Kwa hii nchi yetu imeisha hyo eti mpaka upelelezi ukamilike kwani selekari si inamkono mrefu inashindwa vp kuwakamata mpaka sisi wananchi mnataka kutuuzia kesi km mmeshindwa bac mungu atawapa adhabu Kali sna
@SophySekuzi
@SophySekuzi 20 дней назад
Mmh tumuombe Mungu wapendwa😢😢😢
@RichCruzz
@RichCruzz Месяц назад
Kwel sisi kama watanzania kitendo kwel kinatuuma hasa ikiwezekan wauliwe
@awezayekyando2203
@awezayekyando2203 Месяц назад
Kwani huyo binti mpaka sasa hajajulikana alipo kiukweli serikali ichukue hatua inaumiza sana hiki kitendo tena kufanywa na askari ,,hata kama amemfanyia alirekodi ili iweje,,,kiukweli Tanzania tunakoelekea siko
@linnusaloyce6559
@linnusaloyce6559 Месяц назад
Kupatikana kwa hao watuhumiwa lazima huyo binti apatikane na atoe ushirikiano kwa kumtaja mhusika anae toka nae kimapenzi ili mkewe apatikane kirusi kikubwa ni afande hao wengine ni chawa tu maji ya moto yanawatosha
@HusnaOmarry
@HusnaOmarry Месяц назад
Huyo afande anajulikana na yupo uraiani anaendelea na mambbo yake ila serikali yetu hii mungu tusimamiee
@StephanieGerald-qj8vt
@StephanieGerald-qj8vt Месяц назад
Chozi limenitoka kwavideo ile mm kama mama tena mwanamke tena nina bint tena ninawadogo wa kike nimeumia😢😢😢
@winfridadaud
@winfridadaud 19 дней назад
Serial ichukue hatua jmn😢😮
@AkhamuMustafa
@AkhamuMustafa Месяц назад
Jamani na nyie wandishi wa habari mnatakiwa mambo ya umbea muwe mnayaacha, mtoto kazalilishwa, bado na nyie mnataka kuendelea kumzalilisha, kutafuta huyo mtoto na wazazi wake, je kwa mfano awe ndo mtoto wenu mngejisikiaje? Yamepita yamepita mnawatafuta wazazi wake wa nini punguzeni umbea
@oam14l
@oam14l Месяц назад
Huyo mtoto yuko hai. Inashindikana vipi kujua anakaa wapi? Si achukuliwe aonyeshe anakokaa na pia huyo Afande kama ni kweli anatembea na mme wake? Na kuna ugumu gani kuwakamata hao wahalifu na picha zao wakiwa wamekamatwa zionyeshwe.
@tufikekapeta8863
@tufikekapeta8863 Месяц назад
Vipi huyo msichana yupo kweli minahisi kauliwa kupoteza ushahidi Angekuepo basi tungemsikia mwenyewe akilalamika Ila selekari haijawahi shindwa ikiwa mcoma picha mcholaji tu alikamatwa ndani ya masaa 24 Na mpaka sasa haelweki yuko wapi kwanini hizi mbwa tena za huko selekarini kabisa wasikamatwe wakamatwe wao ndo watasema huyo binti wamempeleka wapi??
@JohnMoses26
@JohnMoses26 Месяц назад
Duuuuuuh ili kuwapata hao vijana nafikir akipatikana huyo anaedaiwa kuwa ni afandee moja kwa Moja vijana hao watapatikanaa
@mariamarco5223
@mariamarco5223 29 дней назад
Tumuombe mungu San hiz no nyakati za mwisho jmn
@LatifaMusa-dy3id
@LatifaMusa-dy3id Месяц назад
Kwani huyo Dada mwenyewe hapatikani au yeye anawajua walie mbaka
@user-gb1hn5ml8y
@user-gb1hn5ml8y Месяц назад
😂😂 hao vijana wa kikamatwa na dhamini chakula maabusu mpaka wanatoka kazi nzuri kwao wame mmwaga mavi😂😂😂 iyo safi sana ndo dawa yenu mbwa nyi mtakao kuja kucoment
@Stillrunlikeaball
@Stillrunlikeaball Месяц назад
Ukiwa wapi ume pakatwa Nakupakwa Mafuta Matakoni kwako wewe😋😋
@Awatee
@Awatee Месяц назад
Mche Mola wako utu wako uko wapi nakukumbusha unapo mcheka mtu kwa mtihan ulio mkuta huwezi ondoka duniani nawe bila ya kudhalilika
@user-gb1hn5ml8y
@user-gb1hn5ml8y Месяц назад
@@Awatee we umeshauli God bless you but au acha tu niishie hapo tu!
@dorcaskidoti249
@dorcaskidoti249 Месяц назад
😢😢 Yule kaka alivyochoma picha ya raisi mda huohuo alikamatwa huyu dada alivhofanyiwa eti waharifu hawajakamatwa na wakati sura zao zinaonekana aiseeeeee tunataka haki
@josephminja7953
@josephminja7953 Месяц назад
Hakika inasikitisha haswa ukiwa namtoto wakike😢
@abuyseif4945
@abuyseif4945 Месяц назад
mbna kaz ni simple c wakamatwe wale afande tu af uyo boss wake alokuw akitok nae anajua anapompata
@MohdMohd-x6c
@MohdMohd-x6c Месяц назад
Hapa kama haijachukuliwa hatuwa basi sisis hatuko haki
@newforcejv9721
@newforcejv9721 Месяц назад
Naitaji kusikia wamekamatwa na wamekipata kilichowapata
@prophetgknyotasaba195
@prophetgknyotasaba195 Месяц назад
Ivi Mme sikia Kuna NABII NYOTA SABA Anapatikana Tabata KIMANGA
@user-eu4pk3eh5d
@user-eu4pk3eh5d Месяц назад
Ndio kazi zao wanajeshi kujichukulia sheria mkononi
@FridaMmari
@FridaMmari Месяц назад
Huyu binti atapatikana tuuu lazma kuna ndugu yake anasimu,inawezekana walimlazimisha Aseme sehemu ya uwongo Anapoishiiii, MUNGU yupo
@SharafaHamid
@SharafaHamid Месяц назад
Acheni kutumia matatizo ya mtu kujitengenezea pesa,sijaona ulazima wakwenda mtaani kwake kumuulizie kwani hiyo hali ni mbaya kwake kisaikolojia kama mngekuwa manataka habati mngeenda kwenye kambi za jeshi kuhoji kama wale vijana wanafahamika kwenye jeshi lao
@RhodaDaniel-z7e
@RhodaDaniel-z7e Месяц назад
Huyo afende awataje alio watuma kwenda kufanya hicho kitendo
@GozibathCravery
@GozibathCravery Месяц назад
Wewe unaye pendekeza mahandamano nenda ukahandamane uko kwenu kenya
@kennethbenjamin275
@kennethbenjamin275 Месяц назад
Hii nchi inapokwenda kimaadili mhh Hili jambo wakiliachia tegeemeni maaumivu zaidi
@FatumaKibaranga
@FatumaKibaranga Месяц назад
Nahuyo mschana kama yupo hai sindio angeenda kituo chapolc kulipot ili aweze kusaidiwa jamani dh!tumedharirishwa sana sisi wanawake😢
@GozibathCravery
@GozibathCravery Месяц назад
Polisi wanakatishwa Nia wanapo kamata majambazi na kutumia kazi zao za kipolisi ili wabaini na majambazi wengine utasikia maneno eti polisi wanatesa watu je jambazi ni mtu?,ayati makofuli alisema lisasi lilitengenezwa kwa ajili ya jambazi majambazi walio shindikana ua,
Далее
Нарвался на сотрудника ФСБ⚡️
01:00
Dropping In from the Clouds 🌁
00:17
Просмотров 1 млн
Out Of Focus Live | 02 September 2024
40:06
Просмотров 67 тыс.