Yani Tanzania inanisikitisha sana nchi yangu sasa mnamkosaje uyo mwanamke uyo afande na angalikua uyo dada anajua mme wa uyo mwanajeshi akimpata uyo baba mkewe kapatikana jamani uyo dada atendewe aki
Ndio mjue serikali inamambo mazito utovu wa nidhamu tabia mbaya za malezi maadili mabovu na kutomjua Mungu yoote hayo hutaka serikali itulee mpaka tabia na malezi bora waliyoshindwa wazazi hulaumiwa serikali halafu watu wakinyongwa au kufungwa maisha ili kushikisha wengine adabu halafu inatokea mijitu kupindisha haki ikijifanya ni watetezi wa haki za kibinadamu mbaya zaidi mibeberu sasa imekaa kimya as if haijui kinachoendelea baada ya serikali kuonyesha makali wanakuja kukutetea wahalifu, tukiona wenzetu nchi za kiarabu kumuangalia mara mbili tu mwanamke usiemjua hujamaliza hata nusu saa unakamatwa na kesi yake unalipa fidia ambayo pesa yake hujawahi hata kuota kuwa nayo unafungwa mpaka unaona nyekundu hutoki jela na ukitoka mzee unarudishwa kwenu ama unyongwe tunaona ni wanyama, mambo mengine yanahitaji maamuzi magumu na siyo siasa, wakati magufuli akifungia NGO's alikuwa anaonekana doctor ilikuwa ni hatua nzuri ya kupambana na wapuuzi kama hawa ambao mwishowake wanakuja kukutetewa na hizo ngo's sasa watu wanailaumu serikali tutapata maendeleo lini sisi waafrika kila kukicha ni drama tu.
Kama ningekuwa raisi hao kesi yao ni kunyongwa hadharani mpaka kufa maana muathirika mpaka sasa ni sawa na marehemu anaeishi, na mwanaume alie lala nae pamoja na mke wake wakamatwe na kufungwa maisha maana mshiriki kosa na mfanya kosa wote ni wakosaji. Ifike wakati mambo kama haya ya uzinzi na zinaa yatolewe hukumu kulingana na imani ya mtu maana hukumu za watu kama hawa zipo ndani ya Bibilia na Quran tukufu.
Na lile tukio la yule kaka kuingizwa chupa na mbunge tena mwanamke mbona hamkuandamana mwanamke mwenzenu alichokifanya km sio udhalilishaji mbona mmekaa kimya
Binafsi nimeumia sanaaa na tukio hili. Utu wetu upo wapi watanzania? Je hao vijana hawana madada, hawana wadogo zao? Wanajisikiaje watakapoambiwa dada au.mdogo wao kafanyiwa waliyoyafanya kwa mdogo wa mtu? Mtoto wa mtu
Huyu Binti ajitokeze tu maana UTAJIRI unamsubiri..ajitokeze asimamie hii Kesi ,Jamii itasimama nae halaf ikimpendeza ahame hata Nchi za Jirani akutulie hawa wapuzi watafungwa na kulipa Fidia
Kwani huyo Msichana yy hayaoni yanayoendelea au kafa hajatoa siri kwao Subhannallah pengine tukio la siku nyingi ya Rabbi eeh Mungu saidia apatikane huyo bint maana ametuliza mno 😢
Hamna lolote Ayo tv mpo kupoza makali ya watuhumiwa kukamatwa! Badala ya kusaka wabakaji na alowatuma " nyie Mnahangaika kumsaka binti au ndugu wa binti ili iweje?!!!
Wale wa Kaka n'a yulemama ni walaaniwa mtupu akuna chochote. Kwani ww mama mzima una Pata je ujasiri waku itai zo kk zote zi mbake dada mumoja? Mungu Awa samehe sana yani 😭😭😭😭😭😭😭 dada pole sana Ila usi rudie tena kipenza
Hili silo la kulifumbia macho KABBISA, Yan kama nakuona huyo dada ni jinsi gan anavyojiskia machungu huko aliko jaman, Na huyo afande ilitakiwa adili na huyo mumewe mana kama katembea nae ni walikubaliana,, sasa ona kamdhalilisha mwenzie kwa kulingia cheo chake daaaah!! Inauma sanaaaa😭😭
Jamani serikali mi naomba kuona mkono mrefu mlionao ili mniongezee trust just help the girl to get her justice 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Nataman serikali ingeweka Sheria ya mtu yeyote anae fanya ujinga kama huu anyongwe apotezwe inauma sana zaid zaid ni kuizalilisha nchi yetu kudhalau serikali yetu kwa viwango vikubwa jaman fanya kitu 😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Kipo chakujifunza apo maana atammi nimma pia naumia ila wattowetu wajifunze kuwa na adabu na kuwa watii kwa wazazi wao maana wanajiona waondio warembo kuliko wote kumbe wanakimbilia majukumu yasio Yao wanangu mtulie muda wako ukifika utapata mumewako aliye sahihikwako
Tatizo hawa watt wetu wa siku hizi hawaogopi kitu enzi za utoto wetu husubutu hata mwanaume kukugusa na hilo jambo la tendo la ni lawana ndoa tu sasa sijui hawa watt wa sasa hayo matamanio wanayatolea wapi hii zinaa imekuwa ndo biashara kubwa ni hatari hii😢😢
Polis kampata nakafanya yake serikali masaa yote hayo hawajampata nani ajuae huenda amefarik hilo la kwanza au alidanganya location yake achukuliwe suggar daddyy huyo anataarifa zakutosha alfu kwann mhangaishwa na muhanga hao majibwa nayo hayaonekani ...?
She is family is at kigoma ,sagala area ,her family member report in you tube and they don't hav watt up and smart fone ,according you tube not from that area
wee kwel huna akili fundisho gan ilo km angekuw mdogo wako ungejiskiaje😢kuna fundisho lkn sio ilo ni uzalilishaji kwan uyo mume hakujuw km ana mke mpk atongoze watoto wadogo
@@nasrasway7143 sikufungwa tu wanyongwe kabsa hadharan kama walivyomzalilisha mtoto wa kike kiasi hicho kisa pesa waliolipwa huu ni uharibifu na huy afande wao nae anyone kasoro serekal yetu wanapuuzia ujinga kama huu
Pole binti yangu pole sana wasichana wengine watoto wangu jifunzeni kitu acheni kutembea na waume wa watu na kujinadi kumekuwa na tabia mbaya sana sikuizi dunia imeharibika watu wamekuwa wanyama hata vijana wakiume acheni kutembea na wake za watu jamani
Point mbali na maumivu aliyo yapata mdogo wetu lakini naombeni liwe nifundisho kwa dada zetu wadogo zetu na mama zetu wanao tembea na wanaume za watu pia liwe fundisho kwa wababa kaka na vijana wanao tembea na wake za watu jamani tumludie mungu tumuhofu yeye dunian tunapita duani tuwasafili . Tumludie mungu wetu wa mbinguni
Kama hujasoma cuba kuna mawili eidha hii issue ilitengenezwa au yule Dada alitishiwa akapewa maelekezo aseme katokea huku yombo kumbe mtoto wa watu anaishi mkoani huko..... Walishasoma game wenzetu unakuta tunahangaika na yombo kumbe sio
huyo msichana simjui ila hao wakaka waliofanya ivyo nawajua hao wanajiita 45 wanakaa hapo hapo yombo ila huko nyuma kidogo panaitwa makaburi ya site ndo maskani yao jaman niko mbali tu ila hao watu wanafahamika ni wahuni na iyo ndo kazi yao
Mmmhh sizan kama yupo hai huyu binti kwa selikali yetu hii huenda wameshapoteza ushahidi kwani yeye mbona kama yupo hulu kwanin hatokei kusaidia selikali imtendee haki na sisi binadamu tunatamani tusikie neno kuhusu maisha yake na hao watendaji wa kitendo kile
Yaan hii nchi bhana yule aliyechoma picha ya rais alikamatwa cku moja tu sasa kwann huyu askari asikamatwe haraka na hao waliombaka wakamatwe ety mnasema tusaidiwe hao wanaopiga matukio kwa viongoz mbona mnakamata wenyewe na mnakamata chap jamani ila tanzania bhana hospital usipokua na hela huhudumiw raia asipokua na hela hafatiliwi kah ila jamani
Hili swala halina nguvu sna Kwa hii nchi yetu imeisha hyo eti mpaka upelelezi ukamilike kwani selekari si inamkono mrefu inashindwa vp kuwakamata mpaka sisi wananchi mnataka kutuuzia kesi km mmeshindwa bac mungu atawapa adhabu Kali sna
Kwani huyo binti mpaka sasa hajajulikana alipo kiukweli serikali ichukue hatua inaumiza sana hiki kitendo tena kufanywa na askari ,,hata kama amemfanyia alirekodi ili iweje,,,kiukweli Tanzania tunakoelekea siko
Kupatikana kwa hao watuhumiwa lazima huyo binti apatikane na atoe ushirikiano kwa kumtaja mhusika anae toka nae kimapenzi ili mkewe apatikane kirusi kikubwa ni afande hao wengine ni chawa tu maji ya moto yanawatosha
Jamani na nyie wandishi wa habari mnatakiwa mambo ya umbea muwe mnayaacha, mtoto kazalilishwa, bado na nyie mnataka kuendelea kumzalilisha, kutafuta huyo mtoto na wazazi wake, je kwa mfano awe ndo mtoto wenu mngejisikiaje? Yamepita yamepita mnawatafuta wazazi wake wa nini punguzeni umbea
Huyo mtoto yuko hai. Inashindikana vipi kujua anakaa wapi? Si achukuliwe aonyeshe anakokaa na pia huyo Afande kama ni kweli anatembea na mme wake? Na kuna ugumu gani kuwakamata hao wahalifu na picha zao wakiwa wamekamatwa zionyeshwe.
Vipi huyo msichana yupo kweli minahisi kauliwa kupoteza ushahidi Angekuepo basi tungemsikia mwenyewe akilalamika Ila selekari haijawahi shindwa ikiwa mcoma picha mcholaji tu alikamatwa ndani ya masaa 24 Na mpaka sasa haelweki yuko wapi kwanini hizi mbwa tena za huko selekarini kabisa wasikamatwe wakamatwe wao ndo watasema huyo binti wamempeleka wapi??
😂😂 hao vijana wa kikamatwa na dhamini chakula maabusu mpaka wanatoka kazi nzuri kwao wame mmwaga mavi😂😂😂 iyo safi sana ndo dawa yenu mbwa nyi mtakao kuja kucoment
😢😢 Yule kaka alivyochoma picha ya raisi mda huohuo alikamatwa huyu dada alivhofanyiwa eti waharifu hawajakamatwa na wakati sura zao zinaonekana aiseeeeee tunataka haki
Acheni kutumia matatizo ya mtu kujitengenezea pesa,sijaona ulazima wakwenda mtaani kwake kumuulizie kwani hiyo hali ni mbaya kwake kisaikolojia kama mngekuwa manataka habati mngeenda kwenye kambi za jeshi kuhoji kama wale vijana wanafahamika kwenye jeshi lao
Polisi wanakatishwa Nia wanapo kamata majambazi na kutumia kazi zao za kipolisi ili wabaini na majambazi wengine utasikia maneno eti polisi wanatesa watu je jambazi ni mtu?,ayati makofuli alisema lisasi lilitengenezwa kwa ajili ya jambazi majambazi walio shindikana ua,