Mh makonda ni kweli hakuna mkuu wa mkoa Kama wewe kila aina ya changamoto unaweza kutumia Busara zako kwa kuzitatua , Mungu akulinde Sana, lkn kwa Nini wakuu wa mikoa mwingine awafanyi kazi Kama hizo,kwa ajili ya WANANCHI, wao wamekuwa Kama comedy tu inasikitisha sana
Huyu mtu haelewi, mambo ya kitaalam mtipoteze muda kumwelekeza, huyu anaamini ni yeye tu ndiye anayejua! Unaadjust vipi bila kufuata taratibu za kisheria?
Kwa miaka yote hyo walishindwaje kufuata hizo taratibu za kisheria ili kufanya Adjustment.? Yani mtu unanunuaje eneo lako mwenyewe? 😂😂😂😂. Ni full confusion kaka
Hahahaha mtaalam unafel kujieleza, panda beacon hapo barabaarani asikubabaishe, kila taaluma ina utalam wake. Sio kazi rahisi kubadilishaa approved survey, approved Tp, hati n.k. mtaalam ungeeleza taratibu zote.