Pole. Wizi wa kura hauuoni. Tutaona km Mhe Raisi atampisha Gwajima!! Ama la afe km ulivyotabiri. Yangu macho 😮!! Usije tuu ukaona haitokei, ukabadili tena ooh MUNGU ameghairi. Acha hivyox2 tuone kiuhalisia tuamini.
Toka na projo zako ulitwambia gwajima atapewa kijiti na mbowe pale uliposema gwajima atatoka ccm acha kududanganya wee umeanza uchawa mimi nilikua nakuzikiliza sana stafungua crip zako katafute kazi nyingine broo nimekweka kwa nabii wa ongo acha kutumia nguvu nyingi tumekushusha tamani acha mbowe afanye siasa kaungane na msigwa mkapige projo kwendaaa huukooo
Ufalme wa Samia Suluhu Hassan! Ni ufalme batili tangu enzi ya hayati JK Nyerere. Mkuu wa dunia ktk taifa la Tanganyika,ndo anayesimika wafalme au umalikia ktk taifa letu hili la Tanganyika. Na Leo ndiyo unaosimamia ufalme unatakiwa uje ktk mikono ya Gwajima . Na huyu Nabii ni siyo na Nabii wa Ufalme wa Mungu. Bali ni Kwa ufalme wa duniani Chini ya mkuu wa dunia.
Wewe hujui ukristo, kwa sababu wewe mwenyewe siyo mkristo. Mkristo ni mwanafunzi wa Yesu ( Matendo 11:26). Mwanafunzi wa Yesu hujifunza na kujifunza yale aliyoyafundisha Yeye (Mathayo 24:20). Yesu alisema usichanganye mambo ya dunia na ya Mungu (Mathayo 22:21); wewe unasema ya kwako. Unatakiwa kutubu kwa kujikweza na kudai unazungumza na Mungu. Acha mafundisho ya uongo. Mfalme Herode alipomkata kichwa Yohana Mbatizaji (Mathayo 14:10, 11); Yesu alipopelekewa taarifa ( Mathayo 22:12), hakujihusisha, badala yake aliondoka huko akaenda kuendelea na kazi yake ya ukuhani (Mathayo 22:13). Wewe na wenzako mnaojiita Kristo (Mpakwa Mafuta wa Mungu), ni waongo mnaotumia jina la Kristo (Mathayo 24:4, 5).
Usimtumie Nguvu nyingi Ccm NDIO watawala na familya zao hakuna mwingine yoyote ktk Tanzania Hii, kwa Sababu zaidi ya 70% pasent ya watanzania wamesha katatamaa ya kujitoa madarakani CCM ,kwahiyo wamesha Chaka hawasumbuki tena.
Kwahilo la mamma kutokugombea 2025 Hilo haliwezekani MZEE kikwete amesha sema hakuna mwanasiasa kama mamma Samia ktk Tz Hii kwahiyo Sahau Hilo la gwajima Rsisi ni mamma Samia mitano5 tena.
LAKINI NAKUMBUKA, KAMA VILE ULIKUWA UNASEMA WATU WAONGEE, NA WAPIGE KELELE, UKASEMA AKINA MWAKASEGE HAWAPIGI KELELE!, LAKINI MAMBO YA MWILINI HUBADILISHWA KIROHO, WALA HAKUNA ANAYEWEZA KUPINGA
Ni kweli sauli alitawala vibaya akaondolewa... tuuombee utawala pale wanapokosea wafanye toba na kugeuka njia mbaya binadam anatawala ila si mkamilifu hivyo watawala wajitathimin watubu mambo yaende
Nnk wengi wanetabili ivyo lakini hawjafanikiwa unapomba mboe amalizike mungu humpanguvu upya.na kama demokrasia ilikuwa c mpango wa mungu basi usinge anzishwa.we siasa naimani wapi mawapi? We kaa kwa kutulua
Huyu jamaa nilijua tu atafika mwisho na uongo wake na sasa kafika mwisho kitabu chake mwenyewe kilishapita mwisho sijui hizo ndoto ni za mchana au asubugi
Nimegundua Kuna mambo hujayaelewa kuhusu CHADEMA LENGO LA CHADEMA NI JAMII YA KIMATAIFA WAIPUNGUZIE MISAADA NA IMESHAFANIKIWA TAYARI , NA MUDA SI MREFU MISAADA ITAPUNGUZWA ambayo ni mafanikio ya chadema.
Tofauti ni nini? Nikisoma kwenye biblia " I am the light of men" na nikisoma kwenye simu " I am the light of men " tofauti ni nini? Unamwambia asome kitabu kana kwamba nguvu iko kwenye kitabu. Nguvu iko kwenye maandiko. Wewe umeangalia hii clip kwenye kitabu?