Chagamba mie mwana yanga kindakindaki nipo songwe vwawa napenda sana kazi yako Mungu akupatie nguvu na uvumilivu kwa kazi yako msalimie #milaji#popasaidmzee na mpatie salamu 19/10/
Miraji miraji mirajiiiiiiiiii, nimekuita mara.3 kumbuka maneno yako timu ikiwa misri uliisifu mpaka nikasema ndugu hii timu unayoisifu hivi umeiona wapi maana mechi zote hazikuoneshwa??? Leo unamwona mutale atawachomesha tena??😂😂😂😂😂😂mnatia huruma sana
Ni vile tu Usimba na Uyanga umetujaa ila matokeo ni ya kawaida sana kwenye mchezo na hususan timu iliyopo vibaya ikikutana na timu kubwa lazima ifanye kama alivyofanya coast..... wiki iliyopita barca kafa chuma 4 dhidi ya osasuna , ila leo osasuna huyohuyo kadroo 1-1 na getafe
Mpira wa ulaya na wa bongo ni tofauti bro! Usilinganishe hizo ligi! Kwa wenzetu hata clubs tunaziona ndogo ,wamewekeza! Na USIFIKIRI Barca kupoteza ,mambo shwari!
Kwa kwel hii simba sijui shida nin??tunarogwa sana na hawa daima mbele nyuma pididi wanaturoga sanaaa😢😢😢😢😢viongozi wetu kuweni makin kwenye kuwalinda wachezaji wetu,,,,,pili mutale na ngoma hawatufai mutale anscheza km kala pilipil kichaa😢😢😢😢 fanyeni maamuz mapema
Tena Simba wamshukulu lefa Simba walikuwa wanakufa goli tatu cost wamezulumiwa wangekuwa Simba wafanyiweivile Kama cost wangelalamika Sana hataivo cost kafunga magoli mazuri Sana kuliko magoli aliofunga Simba yakubahatisha tu
Tatizo lako miraji uieshimu yanga kwa kuiamini simba yako mbovu...na bado simba lako bovu litaendelea kukuumbua tu...uliuzungumzia mchezo wa coast union kwanza dharau sana ...eti tutamuonyesha Lawi maamuzi aliyofanya atajutia
Ukicheza mpira tangu mdogo raha sana siku zote mm nasema tangu mechi ya kwanza ya ligi nasema ss simba hatuna winga ambae kabaki na wawili anawasokota anaondoka na pia hatuna na 10 ambae atapenyeza pasi ambazo kina mukwala na ateba wakakutana nazo yy na kipa2 i
Hawa makolo hawajitambui Sasa tunapga kwenye mshono tarehe 19 ila wavurugane zaid maana wanamaneno sana oooh yeyote aje huku mechi 2 zote wanabebwa Azam magori offside Dodoma penati ya kubebwa madunduka nyie
Shida yako miraj unaongea kuisifia yanga ongea Mambo ya timu yak sio kutwa kufananisha na yanga kuwa bana tena nibora tumeona makosa mapema na tumejilekebisha mpira matokea matatu bana usituchanye Tim imecheze
Miraji ule ndo uwezo asilia ya timu yenu. Tusome ukweli kihalali mlishinda mechi zenu 2 za mwanzo tena baada ya figisufigisu za TFF kuwanyima vibali wachezaji wa kigeni wa timu hizo. Mechi dhidi ya Azam sifa zimuendee Elly Sasii, Mechi dhidi ya Dodoma sifa ziende Kwa Mdoe wala sio timu yenu ya simba