Тёмный
No video :(

MISTARI YA MWANA FA MBELE YA RAIS SAMIA, ATOA HOTUBA KONKI KAMA ANARAP ''MIMI SIKUWA NA UPANDE'' 

Uhondo TV
Подписаться 596 тыс.
Просмотров 159 тыс.
50% 1

#UhondoTV #Uhondo

Опубликовано:

 

26 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 56   
@shalomchaula4420
@shalomchaula4420 Год назад
Hongera Sana mheshimiwaa Mwana FA kikubwa serikali iweke misingi imara kwenye michezo watu wanaitaji kuburudishwa Kwa vipaji halisi na hasa kuona wazawa ( watoto) wakipewa nafasi hizo na kupewa nafasi ya kutimiza ndoto zao lakini pia kuwa na maisha Bora ili na wao waweze kuweka nguvu katika vizazi vyao na jamii Kwa ujumla.,hongera pia mh rais mama Samia suluhu Hassan Kwa kunyanyua sekta ya michezo.
@alisalum6733
@alisalum6733 Год назад
Namuona Great Politician wa leo na Kesho. Mzee Uko Sawa. Ni wakati Sahihi kwako na kwa taifa hili. All the best bro @FA
@user-te8tf7cx3i
@user-te8tf7cx3i Год назад
Asante sn my brother uko vzr sn
@RashidMuhunzi-pr5xj
@RashidMuhunzi-pr5xj Месяц назад
The hiphop legendarian
@mohamednyange5779
@mohamednyange5779 Год назад
Hotuba nzuri sana hotuba ya kisomi hongera sana MWANAFALSAFANI
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 Год назад
Mheshimiwa, hiyo ni hotuba sio mistari ya bongo Flava,,,,,,,
@gadyetheboss8738
@gadyetheboss8738 Год назад
Of course anahitaj kujirekebisha lugha za kiun sio maala pake umenena point sana
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 Год назад
@@gadyetheboss8738 🤝🤝🤝🤝
@atenionesmo_A10
@atenionesmo_A10 20 дней назад
​@@gadyetheboss8738kama zipi zilizotumika😅😅😅
@jackkimwely5275
@jackkimwely5275 Месяц назад
Tunakupenda sana Mwana FA
@AbdallaHassan-zn4ku
@AbdallaHassan-zn4ku Год назад
Hongera Mh.Hamisi Mwijuma
@nakali79
@nakali79 Год назад
Hizo ni kodi za watanzania sio pesa za Samia, wasifuni watanzania walipao kodi,
@dicksonmagesa7602
@dicksonmagesa7602 Год назад
Uwe hivyo hivyo nakutabilia mbali Sana kijana
@ramadhankoo
@ramadhankoo Год назад
P zd
@georgemlulu1553
@georgemlulu1553 Год назад
Big up mwana f.a
@SamwelLameck-rv3fd
@SamwelLameck-rv3fd 22 дня назад
@leonlennon
@leonlennon Год назад
Namkumbani sana mwana fa anajiamini san kiukweli
@albertlokoya7937
@albertlokoya7937 Год назад
Sipati Picha kama Young Africans ingekuja na Kombe hili la CAF Confederation...Ingekuwabig celebration. Lakini well done for the effort to play in the final of CAF Confederation. SIMBA should wake up
@hassanfigo6175
@hassanfigo6175 Год назад
Huyu jamaa anaishi maisha ya ndoto yake, kuna nyimbo aliimba na prof J kama sijakosea yaitwa Ni Jukumu Letu.
@EmmanuelNyinyigwa
@EmmanuelNyinyigwa Год назад
Uyo dada anae zulula zulula humo sjui kama atakuja tena aitwe ikulu mana anahis Yuko kwenye kitchen pat
@husseinkazigo6189
@husseinkazigo6189 Год назад
😂
@judithgeorge1756
@judithgeorge1756 Год назад
Hahaha 😅😅😅
@ChristinaChembe
@ChristinaChembe Год назад
Young Afriacan hooray
@peterkissiry6432
@peterkissiry6432 Год назад
ndugu yangu uko poah sana kwa kusoma muutasali
@jeremialyati6092
@jeremialyati6092 Год назад
Mbona Simba hawajatajwa na walikuwepo🤣🤣
@abdillahomar4541
@abdillahomar4541 Год назад
Intakiwa atofautishe kati ya mistari na hutuba au risa mana anakimbiza paaa
@franciskalinga6560
@franciskalinga6560 2 месяца назад
Hawa wanao tukana wasani wenzio kama Mr pimbi mwijaku
@qaccimside5707
@qaccimside5707 Год назад
The golden spear
@ndizoshukuru6142
@ndizoshukuru6142 7 месяцев назад
❤❤❤❤❤❤❤
@hellonoloo3850
@hellonoloo3850 Год назад
Bongo safi
@hellonoloo3850
@hellonoloo3850 Год назад
M.n.f nakumbali
@hellonoloo3850
@hellonoloo3850 Год назад
KENYA wote tunawapenda
@hellonoloo3850
@hellonoloo3850 Год назад
S
@hellonoloo3850
@hellonoloo3850 Год назад
MAMA PRESS INDEED
@user-uu3xt6mu2q
@user-uu3xt6mu2q Год назад
Simba jedi mayans 😮 7:23 7:24 2024
@NicholusMkunya-kj6mh
@NicholusMkunya-kj6mh Год назад
Movie
@edmundsospeter5667
@edmundsospeter5667 Год назад
Asante 👍
@abdillahomar4541
@abdillahomar4541 Год назад
Faida yake nikwamba unaokoa muda km uitakiwa utume masaa 2 basi unatumia nusu saa tu 😂
@peterkissiry6432
@peterkissiry6432 Год назад
Dogo uko viema sana mmh
@victorzimba3316
@victorzimba3316 Год назад
Mama kumbe likuwa unasaidia yanga Mars mwamposa kumbe ulitaka tusahau haya acha tu iyo mama achatu
@abdillahabdillah7850
@abdillahabdillah7850 Год назад
Chezeeni kodi zetu tu
@sylvestercameo6263
@sylvestercameo6263 Год назад
Kodi zenu! Acha donge, acha nyodo! Unalalamikia Kodi yako? Hivi unajua mabililioni mangapi ya fedha za kigeni Yanga imeingiza nchini kupitia mashindano haya? Waulize wenye taaluma ya uchumi!
@okorecharles3992
@okorecharles3992 Год назад
​@@sylvestercameo6263 Ebu tuambie muhasibu wa taifa.😂😂😂
@agnesjohn9382
@agnesjohn9382 Год назад
​@@okorecharles3992 😂😂
@kidatokassim7616
@kidatokassim7616 Год назад
Kodi Yako shingapi nikurudishie mm bila serikali kuhusika😂
@abdillahabdillah7850
@abdillahabdillah7850 Год назад
@@kidatokassim7616 ungejirudishia yakwako kwanza kama we sio mwezi mchanga
@JUMABEGAZONZO
@JUMABEGAZONZO 19 дней назад
FALSAFA
@selemankishema5780
@selemankishema5780 Год назад
Tumeona clip zako ukiwa na jike dume moja ukitukejeli baada ya kutolewa nenda huna mpango achana yanga tafuta ugali wako.
@swimmermoddy3263
@swimmermoddy3263 Год назад
Iko wapi clip hiyo
@saidkanji9882
@saidkanji9882 Год назад
Wewe dada siutulie
@philemon-mz2fv
@philemon-mz2fv Год назад
😂
Далее
Oh No! My Doll Fell In The Dirt🤧💩
00:17
Просмотров 3,7 млн
СМАЗАЛ ДВЕРЬ
00:31
Просмотров 188 тыс.
MWANA FA : HUYU MSICHANA/ ANAWEZA AKAKUTOA ROHO
11:10
Просмотров 233 тыс.
Oh No! My Doll Fell In The Dirt🤧💩
00:17
Просмотров 3,7 млн