Тёмный

Bila kujali MAKONDA amlipua tena MKURUGENZI MWANAMKE "Niwahujumu uchumi kama wengine, WAKAMATWE" 

Habari Digital
Подписаться 1,2 млн
Просмотров 50 тыс.
50% 1

..................
Kwa taarifa zaidi subscribe channel yetu na endelea kutufuatilia kupitia mitandao ya kijamii
Instagram, Twitter na Facebook

Опубликовано:

 

3 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 142   
@RogerBosco-f5e
@RogerBosco-f5e 4 месяца назад
Mungu atakuwezesha Makonda kuwa Rais wa tanzania,
@jojomario916
@jojomario916 3 месяца назад
Mungu akubaliki
@SamwelSilvester-sp5ow
@SamwelSilvester-sp5ow 4 месяца назад
Eee mwenyezi mungu mlinde makonda na akawe rais wetu amen
@shamidubadru9505
@shamidubadru9505 4 месяца назад
Makonda safi sana mungu akupewepesi katka kazi zako
@Abdul-p6r7p
@Abdul-p6r7p 4 месяца назад
Makonda anafaa kabisa kuwa kiongoz wa nchi baada ya mama
@DicksonKimoso-ds4xw
@DicksonKimoso-ds4xw 4 месяца назад
Makonda ni rais ajayo ni mtu makini sana kama hayati magufuli baba tenda haki panatendeka wafanye kazi kama KURUTI WA JESHI
@JumaMakalebela
@JumaMakalebela 4 месяца назад
Baba makonda Tanya kazi hao ndio wanaochafua sela
@AlphonceJumanne-y1y
@AlphonceJumanne-y1y 4 месяца назад
Mkuu wa mkoa bora zaidi kuwahi kutokea 🎉🎉🎉
@SidatiSaidi
@SidatiSaidi 4 месяца назад
Sio mkuu wa mkoa bora ni kiongozi bora hapa naelewa kwann magufuri alisema atakama elimu yke ni ndogo huyu ni wangu anastaili kuwa Raisi
@MeshackSamweli-t7j
@MeshackSamweli-t7j 4 месяца назад
hii nafasi huyu haiufaii ahamishwe
@publicityzone9583
@publicityzone9583 4 месяца назад
Ahamishwe wewe kama nani?​@@MeshackSamweli-t7j
@CalninhoMhagama
@CalninhoMhagama 3 месяца назад
Umesahau agrei mwandl mzee wa injinia somaioooo na yule aliklud nchi itanyooka
@trillionthamani
@trillionthamani 4 месяца назад
Hii style ni nzuri,spana spana
@Nduwimanadenise
@Nduwimanadenise 4 месяца назад
Hhhu mimi ni murundi Ila nampenda Makonda❤❤🇧🇮❤
@CosterNdahara
@CosterNdahara 4 месяца назад
Makonda upo sahihi Sana kaka
@olesaitotilaizlaiz1766
@olesaitotilaizlaiz1766 4 месяца назад
😂😂😂😂😂😂😂 mwaka huu mta ona moto,,,,,,
@emiliamlolere5748
@emiliamlolere5748 3 месяца назад
Huyu mkurugenzi mbona ananichosha. I doubt her. Inasikitisha sana Mkurugenzi anaongea hivo, ivi Ana utimamu wa taaluma yake kweli?? Shame on her
@JumaMakalebela
@JumaMakalebela 4 месяца назад
Makonda watumbue hao wezi tu
@kwasmokweka9598
@kwasmokweka9598 4 месяца назад
Makonda apewe nafasi ya waziri mkuu!,anapenda haki na kumwogopa MUNGU.
@BazzmatMathias
@BazzmatMathias 4 месяца назад
Mm namuomba Mungu sana ujekuwa rais wa Tanzania
@saidsai846
@saidsai846 4 месяца назад
Ndugu mkuu wa mkoa wa Arusha viongozi wengi mnao wateja ni viongozi waizi kwani wengi hawana ueredi wa majukumu mnayo wapa hawajui hata Sheria na kanuni za nchi yetu
@kaaakwakutuliaa5179
@kaaakwakutuliaa5179 4 месяца назад
ukiona camera za kimataifa zimeanza kumsogelea makonda ujuee kuna mataifa yana mzoom
@KkhamisKha
@KkhamisKha 4 месяца назад
Wanyooshe hao wahujum uchumi
@magrethdaniel8441
@magrethdaniel8441 4 месяца назад
Yani wenye vieo ndyo wanaongoza kwa wizi ila vibaka wanachomwa moto wezi wako maofisini wanakula kiyoyoz dah nchi yetu jamani
@angelfortunatus117
@angelfortunatus117 4 месяца назад
Mungu akupe maisha marefu Makondaa
@Ndu-wa.uroony2
@Ndu-wa.uroony2 4 месяца назад
Mkurugenzi huyu ni kilaza sana
@AminaRamadhan-mg9lj
@AminaRamadhan-mg9lj 4 месяца назад
Yaaaan hakunaa kituu apoo wakiambiwaa ukwelii taar watuu wanaandaman unyanyasaj wa jinsiaa duuuuh
@publicityzone9583
@publicityzone9583 4 месяца назад
Uwezo wa kuchambua mambo mdogo
@richardnganya2311
@richardnganya2311 4 месяца назад
Hovyoo kabisa. Apishe hiyo nafasi haimtoshi! Sijui aliipataje ?
@SidatiSaidi
@SidatiSaidi 4 месяца назад
Ewe mwenyewezi mungu mtukufu mlinde makonda kwa maslahi ya wanachi maskini wa taifa ili mungu baridi nuru kwake siku 1 awe raisi na kutetea maskini na wote wanaokosa haki
@jokhajj
@jokhajj 4 месяца назад
Amin
@aishakhamis2996
@aishakhamis2996 4 месяца назад
Ameen
@JovinusJuvenary-pp3rn
@JovinusJuvenary-pp3rn 3 месяца назад
Aiseee makonda aumeletwa na mungu haswa
@williampaul-i3f
@williampaul-i3f 4 месяца назад
maisha marefu baba kegan
@OmanOman-dd5qk
@OmanOman-dd5qk 4 месяца назад
Mungu akupe dalaja lajuuu mkuu pamoja mama samia
@aizzyashery5564
@aizzyashery5564 4 месяца назад
Mkuu wa kwanza wa mkoa hatari kuliko wote ndo huyu
@brunidamadege3747
@brunidamadege3747 4 месяца назад
Waaaapii layzaaa!!!. Kule kwetu ulituonea sasa jeee?
@LothmejioliMollel
@LothmejioliMollel 4 месяца назад
Uko vuzuri Kamanda tunakuombeya mungu uwe rasi wa inchi yetu makonda
@user13375
@user13375 4 месяца назад
Mkurugenzi hana uwezo,hakuna kitu hapo😮😮
@festokemibala5832
@festokemibala5832 4 месяца назад
Watz bhana sijui nani alituloga, Mkurugenzi anateuliwa na nani ambaye hakuangalia uwezo hadi akawa hapo? CAG yote keshayaanika adharani hivyo hiki kinachoendelea ni kiki tu, waanze na hiyo ripoti!
@FestoMbwilo-xf9px
@FestoMbwilo-xf9px 4 месяца назад
Watakuchukia ila piga kazi
@AibaSaidy-jz3xs
@AibaSaidy-jz3xs 4 месяца назад
Makonda ndo mkuu wa mkoa wa wakuu wote tz
@ARONI21YG
@ARONI21YG 4 месяца назад
ccm oyee
@GerardSanga-jq6ep
@GerardSanga-jq6ep 4 месяца назад
Makonda upo vizuri
@mwajumaomary1918
@mwajumaomary1918 3 месяца назад
Hao wakurugenzi wetu ndo wateule
@SaimonJames-b3q
@SaimonJames-b3q 3 месяца назад
Hongera sana mheshimiwa bora uletwe simiyu kuna madudu
@NengaiiLelya-ty5nn
@NengaiiLelya-ty5nn 3 месяца назад
Jamani makonda awe rais hata kama ni miaka mingapi ijayoo
@yohanaisayasimoni
@yohanaisayasimoni 4 месяца назад
Ipo siku utakuwa raisi
@SusanaSimoni
@SusanaSimoni 4 месяца назад
Paulo makonda Rc wewe ndo Rais wa nchi yetu baada ya huyu mama kumaliza muda wa ke ,2030 ccm wasituchanganyie habari 2030 makondaa
@SimbaNaali-fw3zz
@SimbaNaali-fw3zz 4 месяца назад
Makonda kamanda nitafute nikupe mbinu za songea mbane waliosoma cuba wanaelewa maan wahuni hawakupendi nadhan umenielewa
@KOSTMAGIK
@KOSTMAGIK 2 месяца назад
Tanzania, mpeni uraisi huyu bwana anafaa kumreplace John pombe
@justerissaya9165
@justerissaya9165 4 месяца назад
Aibu jmn eti mtumishi anaatua za kushghulikiwa😭😭😭😭😭😂😂 duh tutakoma
@ANGELINANDALONdalo
@ANGELINANDALONdalo 4 месяца назад
Makonda baba nyosha yaani wabakaji wanatuhalibia watoto wetu
@AdongoObwaa
@AdongoObwaa 2 месяца назад
Piga kazi makonda
@latifasuleiman7527
@latifasuleiman7527 4 месяца назад
Making ❤❤
@nyoracnn7256
@nyoracnn7256 3 месяца назад
Huku kwetu mpaka sasa maduka yamefungwa serengeti
@Nyanimzee
@Nyanimzee 3 месяца назад
Nakubali njombeya nikupe ng'ombe
@aderanderwa7623
@aderanderwa7623 4 месяца назад
Ni kweli
@AdongoObwaa
@AdongoObwaa 2 месяца назад
Wanyoshe
@ANNAKISIGA-pc5qs
@ANNAKISIGA-pc5qs 3 месяца назад
Utawwla.awa mama ni wakujichotea tu wananchi tunapata shida kila siku pandiahiwa mabando na sukar
@aidankatunzi1196
@aidankatunzi1196 4 месяца назад
Wewe Ni Bora Sana mkuuu tunakukubali Sana Ona ss era zinavyoliwa mtu anachukulia poa Yani Hawa mkuuu waziludishe
@abdulazizabdillahkijaro3070
@abdulazizabdillahkijaro3070 3 месяца назад
Huyu mkurugenzi pia mwizi
@abdallahkihanza482
@abdallahkihanza482 4 месяца назад
Huyo mkurugenzi hafai, uwezo wake mdogo ndio maana tunataka nafasi za wakurugenzi zifanyiwe usaili, unaonyesha kabisa uwezo wake mdogo, hata kujibu maswali ya kitoto anashindwa kujibu
@evancetarimo1310
@evancetarimo1310 4 месяца назад
Asee huyu jamaa mungu amuache hapo
@AbdalaAbdii-l5t
@AbdalaAbdii-l5t 2 месяца назад
Mungu akulinde
@komuhsengo9796
@komuhsengo9796 4 месяца назад
Sheria zinasemaje Kwa utaratibu huu, tunatatua au tunafanya tofauti na utaratibu WA sheria😮
@maswamills3161
@maswamills3161 4 месяца назад
Mwizi anapewa mda wakurudisha alichokiiba kweli!!!! Inauma!!!! Hata huyo mkurugenzi ni mwizi mkubwa.
@IsakaHosea-g9g
@IsakaHosea-g9g 3 месяца назад
Ni kutumbua tu hana kazi yoyote inayo fanyika hapo.
@mussamadenge5045
@mussamadenge5045 2 месяца назад
Huyu ndo kiongozi
@ChristianKiponda-d7e
@ChristianKiponda-d7e 4 месяца назад
Mkuu wa Mkoa, Mh Makonda huu wizi wa Taasisi za Serikali ni mtandao wa wizi hakuna usalama kuhusu Pesa.
@VailettyShigerla-fw2sg
@VailettyShigerla-fw2sg 3 месяца назад
Makoda oyooooooo
@ANNAKILLO-o7d
@ANNAKILLO-o7d 4 месяца назад
Yaani hii inchi wanaofaidi wanajijua Sisi walala nishida. Ila dah, nakumbuka kale kawimbo kanakosema Acha waisome namba, ndio namba zenyewe tunazisoma
@DafiMohamed-dz8xk
@DafiMohamed-dz8xk 4 месяца назад
Wezi wote washikwe na wafungwe huyo mama ndio wote wamoja tu wafungwe jela kama wameshikwa cha kusubiri nini? Nchi imeoza Makonda wafungwe tu
@Worldunite
@Worldunite 4 месяца назад
Yaani Makonda umempatia kweli huyu dada
@PauloAlfayo-qi1gn
@PauloAlfayo-qi1gn 3 месяца назад
Kumbe ccm ni chama nzuri ,ila wapigaji
@yohanaisayasimoni
@yohanaisayasimoni 4 месяца назад
Dawa ya wizi ni kuondilewa kwenye uongozi
@kareem1182
@kareem1182 3 месяца назад
Makonda makonda makonda Nimekuita mara 3
@AlfredAlfred-yd2mg
@AlfredAlfred-yd2mg 3 месяца назад
Huyo mkurugenzi hafai hata kusimamia kuku
@yohanaisayasimoni
@yohanaisayasimoni 4 месяца назад
Makonda baba naomba sana utembee kila mkoa bas afu hao viongozi wasiondolewe kaxin kabisa
@MkapaMmoja
@MkapaMmoja 4 месяца назад
Mkurugenzi akiwa mwanamke so mwinzi sy hila hii nchi awu wapekua wakiseng makond we wa adhibu2 mpa wanyook
@ENOCKKIPANGA
@ENOCKKIPANGA 3 месяца назад
Yani huyu makonda akachukue. Form
@loycenicolao7488
@loycenicolao7488 3 месяца назад
Mapapa yapo huko juu zaidi
@stevenkatani3047
@stevenkatani3047 3 месяца назад
Uyu ni rais tuzid kumuombea2
@ankoanko-zz7it
@ankoanko-zz7it 4 месяца назад
Wakamatwe maramoja
@samsonelikana903
@samsonelikana903 4 месяца назад
🔥🔥🔥
@AlvinMakenzi
@AlvinMakenzi 3 месяца назад
Duhuuu
@Abasi-ej9qw
@Abasi-ej9qw 4 месяца назад
Safi
@AbdilahiMriri
@AbdilahiMriri 4 месяца назад
Hapo kweli kasheshe lakini kulingana na walivyojieleza si vibaya kutoa muda hata ikiwa kuna wasiwasi wanaweza kuingia makubaliano fulani. Kwakuwa ukihamaki zaidi pesa itaweza kupotea kabisa Mhe RC Makonda jamani.
@richardnganya2311
@richardnganya2311 4 месяца назад
Hao ndio wakurugenzi wetu...!! Hata taratibu za utumishi hawazijui. Hovyo kabisa.
@loycenicolao7488
@loycenicolao7488 3 месяца назад
Anayewachagua nani kwani?
@kainimlowe9646
@kainimlowe9646 4 месяца назад
Mkurugenzi ni mbugila utine
@lilyabel2320
@lilyabel2320 4 месяца назад
Mkurugenzi ni mbugila kweli kweli
@hamudshabani7801
@hamudshabani7801 4 месяца назад
Nchi hii haiendi kwa sababu tumeweka wasomi wapuuzi na wajinga na wasiojali maslahi ya watu na usitawi wa nchi
@leonardmwayeya13
@leonardmwayeya13 4 месяца назад
Makonda tunakuomba uje mbarari Kuna maduduhuku sio kawaida
@ramadhanimohamed4190
@ramadhanimohamed4190 4 месяца назад
Uyu mama pia ni mwizi
@sudymohamedy9717
@sudymohamedy9717 4 месяца назад
Kamata mkurugenzi weka ndani
@musamkembela1395
@musamkembela1395 4 месяца назад
Ifike mahali makonda awe rais
@bernardmdendemi7347
@bernardmdendemi7347 4 месяца назад
Mama hafai kuwa mgurugenzi
@DiwaniMwafongo
@DiwaniMwafongo 4 месяца назад
Wakurugenzi wa mchongo, aliyemteua ni wa mchongo, riasi na wabunge walipatikana kwa mchongo? Na bunge je?? Nchi ya michongo
@yohanaisayasimoni
@yohanaisayasimoni 4 месяца назад
Au wameshirikiana nini mbona anapindapinda huyo mkurugenzi
@allenmmari6327
@allenmmari6327 4 месяца назад
Unapotaka kumuadhibu mtumishi wa uma, huwezi kutumia njia za kihuni kumuadhibu km kibaka wa mtaani, kuna taratibu zake, ukienda ndivyo sivyo ndiyo yale mtumishi anaiba pesa na bado anawashinda mahakamani na mwisho mnamlipa fidia!
@richardmathayo5537
@richardmathayo5537 4 месяца назад
kivipi kwenye wizi hakuna sheria inayomlinda mtumishi wa umma
@user13375
@user13375 4 месяца назад
Wez mnateteana😮😮😮
@openmusicglobalrecordlabel
@openmusicglobalrecordlabel 4 месяца назад
Mwili awezi kulindwa hata awe Rais atalindwa ikiwa nchi kama ni mbovu ukitaka kunielewa tazama Marekani mwili awezi kukaa maana wanaogopa kupoteza nguvu walionayo.
@RobartShello-qj4vr
@RobartShello-qj4vr 4 месяца назад
Jidanganye, wakamatwe ikibidi wafungwe, maana niwezi makonda Yuko sahihi
@ismailmasoud6001
@ismailmasoud6001 4 месяца назад
Sasa ndio inatakiwa wachukuliwe hatua kama vibaka .......halafu uelewe tayari kishakundulika ni mwizi, anapewaje muda ..?
@revocatusvedastus8893
@revocatusvedastus8893 4 месяца назад
Sheria lazima zitumike siyo vingnevyo
@IsaacpauloNgwavi
@IsaacpauloNgwavi 4 месяца назад
kwahiyo mbunge anaogopa mwanamke kubananishwa kwani wanawake sio mafisadi?
@ShinjeMackenzie
@ShinjeMackenzie 4 месяца назад
Huyu ni mkurugwa wala hana sifa ya ukurugezi
@yohanaisayasimoni
@yohanaisayasimoni 4 месяца назад
Hao ni watalamu wa wizi sukuma ndani watakusumbua
@Rasuli-lf1hv
@Rasuli-lf1hv 4 месяца назад
Saf san
@amoswankara3863
@amoswankara3863 4 месяца назад
mkurugenz hajui kujieleza
@daslamonline4665
@daslamonline4665 4 месяца назад
Ajieleze nini sasa na ukweli upo mezani
@publicityzone9583
@publicityzone9583 4 месяца назад
Uwezo wake mdogo
@sudymohamedy9717
@sudymohamedy9717 4 месяца назад
Makonda I love so much
@AgnesKungwi
@AgnesKungwi 4 месяца назад
Nakuona raisi wa mwaka 2035
@leoncebenjamin8107
@leoncebenjamin8107 4 месяца назад
Ndo uwashauri wakuu wako wakubari katiba mpya!!Ili Sheria hiz ziondolewe
@allysaidy1840
@allysaidy1840 3 месяца назад
Qmmqe monduli kazi wanayo😊😊😊
@Yusra-rj7re
@Yusra-rj7re 4 месяца назад
Mtanyooka
@NicholausAlois
@NicholausAlois 4 месяца назад
Jamanikuna maswali siyo
Далее
Лиса🦊 УЖЕ НА ВСЕХ ПЛОЩАДКАХ!
00:24