Тёмный

MITI 10 BORA AMBAYO NI TIBA KWA KUKU 

AGALUS  TV
Подписаться 91 тыс.
Просмотров 12 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

27 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 57   
@elibarikishukya-lf3sk
@elibarikishukya-lf3sk 3 месяца назад
Bando Langu halijaenda Bure ,God bless you
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 месяца назад
Amen 🙏🏿 Same too
@BaluuAlbahsany
@BaluuAlbahsany 20 дней назад
Shukran somo zuri
@AGALUSTV
@AGALUSTV 20 дней назад
Tupo pamoja sana ndugu endelea kutufuatilia video zingine zaidi ktkt channel hii ujifunze mengi
@johnkomba1639
@johnkomba1639 3 месяца назад
Asante
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 месяца назад
Tupo pamoja ndugu
@OmymjedaMjedaomy
@OmymjedaMjedaomy 9 месяцев назад
Ahsante kwa. Soma LA leo
@AGALUSTV
@AGALUSTV 9 месяцев назад
Tupo pamoja ndugu
@wonderpersonhb3551
@wonderpersonhb3551 4 месяца назад
Ndugu mm nakufuatilia sana kimya kimya Natumia mwarobain matokeo wanaacha kutaga Nn tatz
@AGALUSTV
@AGALUSTV 4 месяца назад
Yaan ukitumia tu mwalobaini wanaacha kutaga? Na mwalobaini Unatumia kwa ajiri Ya kutibu nini?
@EshaMnambye
@EshaMnambye 4 месяца назад
Asante Kwa elimu
@AGALUSTV
@AGALUSTV 4 месяца назад
Barikiwa pia
@robertoyoussouf7679
@robertoyoussouf7679 3 месяца назад
Asante kwakutujuza mtalaam wetu na mwalimu, sasa matumizi umesema nikiwa siku tano ama nne, sasa sali langu ni gili : ukiwapa dawa hizi, utawapa tena baada y'a mwezi ama miezi mi ngapi ili uhakukishe kuku wako wa naenda vizuri, tiba nikila baada y'a mda gani
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 месяца назад
Angalau kila mwez
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 месяца назад
Kama kuku haumwi angalau Kila mwezi mara 1
@jonisiamangewa-xn6uf
@jonisiamangewa-xn6uf 3 месяца назад
Asante kwa kutuelezea mtaalamu wetu mm ninatatizo moia ni vifaranga vyangu wanajisaidia kinyesi Cha kaki halafu ,wameanza kushuka mabega Nini shida nisaidieni
@devothaamatemu1316
@devothaamatemu1316 5 месяцев назад
Hongera Kwa ufugaji na elimu nzuri, kuku wangu wana changamoto ya kuvaa Makoti, pia wanapata choo Cha brown nimewapa dawa ya dukani ila jee naweza kuwapa mmea kama saumu, majan ya papai na mpera???
@AGALUSTV
@AGALUSTV 5 месяцев назад
Ni coccidiosis iyo ndugu.Mbali na dawa zingatia usafi. Iyo mimea hakuna unaweza kuku saidia
@BekaBoy-h4g
@BekaBoy-h4g 3 месяца назад
Nina kuku wang ambao hawakui tang watotolewe n mamayo je Kuna miti gan ambay yawez ungez ukuaj wao tafadhal naomba kujuzwa
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 месяца назад
Miti hapana ila boresha lishe na Hali ya joto
@GongaMbegu
@GongaMbegu 4 месяца назад
Habari ni mfugaji mgen na napenda sana ufugaji nitakusumbua sana ngoja nikufatilie
@AGALUSTV
@AGALUSTV 4 месяца назад
Karibu Sana ndugu
@HenryRobert-wr3gl
@HenryRobert-wr3gl 5 месяцев назад
Matumizi ya mwarobaini kwa kuku yako
@AGALUSTV
@AGALUSTV 5 месяцев назад
Ngoja video yake inakuja
@Abel-engineer
@Abel-engineer 21 день назад
Dawa hizi ukizichanganya zinaweza kuwa sumu?
@AGALUSTV
@AGALUSTV 21 день назад
Ndio
@Lawrencemlay
@Lawrencemlay 4 месяца назад
Asante kwa somo zuri. Naweza kuchanganya majani hayo kwenye maji yao ya kunywa?
@AGALUSTV
@AGALUSTV 4 месяца назад
Yaani majani yote ayo 10?
@FidelisErnest-de7fx
@FidelisErnest-de7fx 5 месяцев назад
Ni mimea gani aumajani yanayohusika Sana kwenyekutibu minyoo?
@AGALUSTV
@AGALUSTV 5 месяцев назад
Majani ya mpapai
@Abel-engineer
@Abel-engineer 28 дней назад
Dawa hizi unachanganya zote kwenye maji kwa pamoja ......…....... Na nikwa muda gani?🕙
@AGALUSTV
@AGALUSTV 28 дней назад
Hatuchanganti zote . Ni wewe kuangalia ni ipi unayoweza tumia
@Abel-engineer
@Abel-engineer 21 день назад
Ukizichanganya dawa zinaweza kuwa sumu?
@AGALUSTV
@AGALUSTV 21 день назад
@Abel-engineer ndio
@NazaelElias-hu7ow
@NazaelElias-hu7ow 4 месяца назад
Je naweza kutumia dawa zote kwa mara moja
@AGALUSTV
@AGALUSTV 4 месяца назад
Hapana
@lovenessmwaitege5324
@lovenessmwaitege5324 4 месяца назад
Naomba kujua mapalachichi je???
@AGALUSTV
@AGALUSTV 4 месяца назад
Ngoja tufuatilie zaidi kujua
@RehemaKimwaga
@RehemaKimwaga 4 месяца назад
Molinga ndio mlonge?
@AGALUSTV
@AGALUSTV 4 месяца назад
Ndio
@emilianashirima7229
@emilianashirima7229 9 месяцев назад
Za uzima Samahani vip kuhusu mmea WA mchunga unasaidia nini Kwa kuku?
@AGALUSTV
@AGALUSTV 9 месяцев назад
Ngoja tufuatilie zaidi ndugu tutakujibu
@veronicamwaseba2189
@veronicamwaseba2189 9 месяцев назад
asante kwa masomo mazuri
@AGALUSTV
@AGALUSTV 9 месяцев назад
Barikiwa pia
@mamaelisha1685
@mamaelisha1685 4 месяца назад
Je nikichemsha majanihayo Kuna tatizo​@@AGALUSTV
@annamwinuka5898
@annamwinuka5898 9 месяцев назад
Naomba msaada wa faida ya majani ya magimbi kwa kuku
@AGALUSTV
@AGALUSTV 9 месяцев назад
Mmmh ngoja tufuatilie tuone kama kuna faida
@EliaSindabakila
@EliaSindabakila 4 месяца назад
Magimbi yanasaidia nn kwa kuku
@AGALUSTV
@AGALUSTV 4 месяца назад
Ni Kinga kwa magonjwa maana Yana vitamin pia
@Abel-engineer
@Abel-engineer Месяц назад
Ni kuku wa kizungu tu ?
@AGALUSTV
@AGALUSTV Месяц назад
Wote
@GODSONMLINGA
@GODSONMLINGA 4 месяца назад
Naomba unieleweshe nielewe
@AGALUSTV
@AGALUSTV 4 месяца назад
Kwenye mti Gani apo ukaelewa
@JohnsonKolwa
@JohnsonKolwa 7 месяцев назад
Majani ya muembe matumizi yake yakoje
@AGALUSTV
@AGALUSTV 7 месяцев назад
Yaani una maana unataka kujua nini
@LoyceFundi-qf7iw
@LoyceFundi-qf7iw 5 месяцев назад
Asante
@AGALUSTV
@AGALUSTV 5 месяцев назад
Tupo pamoja ndugu
Далее
FAIDA 8 ZA TANGAWIZI KWA KUKU
8:05
Просмотров 37 тыс.
Wait for it 😂
00:19
Просмотров 4,1 млн
SABABU 4 ZA VIFARANGA KUFA
9:21
Просмотров 32 тыс.
TIBA ASILI YA UTITIRI NA VIROBOTO KWA KUKU
7:35
Просмотров 51 тыс.
Mbinu 8 za Kupata kuku bora wa Kufuga wa kienyeji
14:11
Jinsi  ya kupata kuku  wengi wa kienyeji
10:46
Просмотров 354 тыс.
MAGONJWA YA MACHO KWA KUKU NA TIBA ZAKE
9:56
Просмотров 46 тыс.
FAIDA 7  ZA  VITUNGUU SAUMU  KWA KUKU!!!
9:38
Просмотров 218 тыс.