Asante kwakutujuza mtalaam wetu na mwalimu, sasa matumizi umesema nikiwa siku tano ama nne, sasa sali langu ni gili : ukiwapa dawa hizi, utawapa tena baada y'a mwezi ama miezi mi ngapi ili uhakukishe kuku wako wa naenda vizuri, tiba nikila baada y'a mda gani
Asante kwa kutuelezea mtaalamu wetu mm ninatatizo moia ni vifaranga vyangu wanajisaidia kinyesi Cha kaki halafu ,wameanza kushuka mabega Nini shida nisaidieni
Hongera Kwa ufugaji na elimu nzuri, kuku wangu wana changamoto ya kuvaa Makoti, pia wanapata choo Cha brown nimewapa dawa ya dukani ila jee naweza kuwapa mmea kama saumu, majan ya papai na mpera???