Тёмный

Miujiza ya Mt. Padre Pio, Aliwasiliana na Roho za Marehemu Walio Toharani, Walimshukuru - Pd. Tito 

Jugo Media
Подписаться 172 тыс.
Просмотров 26 тыс.
50% 1

𝐖𝐄𝐙𝐄𝐒𝐇𝐀 𝐔𝐓𝐔𝐌𝐄 𝐖𝐀 𝐉𝐔𝐆𝐎 𝐌𝐄𝐃𝐈𝐀 𝐊𝐔𝐏𝐈𝐓𝐈𝐀 𝐌-𝐏𝐄𝐒𝐀 𝐋𝐈𝐏𝐀 𝐍𝐀𝐌𝐁𝐀 𝟓𝟎𝟓𝟒𝟔𝟑𝟓 𝐉𝐈𝐍𝐀 𝐉𝐔𝐆𝐎 𝐌𝐄𝐃𝐈𝐀 𝐍𝐄𝐓𝐖𝐎𝐑𝐊
Follow this link to join my WhatsApp group: chat.whatsapp....
Tumsifu Yesu Kristo, Napenda Kukushukuru kwa Kuwa Mdau Mpendwa wa Jugo Media. Tunapenda kukutaarifu kuwa Tumeandaa Group Maalum kwa Ajili ya Kupokea Taarifa Mbalimbali za Kanisa, Misa Live, Vipindi vya Kanisa nk kutoka Jugo Media. Kama ungependa Kuungana Nasi Tunaomba Ujiunge kwa Hiari Kupitia Link Hiyo Juu. Mungu Akubariki Daima
KAMA UNGEPENDA KUPATA TAARIFA KUHUSU KANISA KWA NJIA YA WHATSAPP TAFADHARI TUMA UJUMBE KWA WHATSAPP UKISEMA NIUNGE KISHA JINA LAKO KWENDA NAMBA +255757560764 au BONYEZA LINK HII wa.me/+2557575...) (SAVE HII NAMBA KWANZA, ANDIKA JUGO MEDIA) UBARIKIWE SAMA
KAMA UNA HABARI NA UNGEPENDA KUSHIRIKI PAMOJA NASI TAFADHARI WASILISHA KUPITIA WHATSAPP NO +255757560764 AU BONYEZA wa.me/+2557575...)
Tafadhali Subscribe, Like, Comment na Share tone hili la upendo kwa ndugu jamaa na marafiki.
𝐉𝐮𝐦𝐮𝐢𝐤𝐚 𝐧𝐚𝐬𝐢 𝐤𝐚𝐭𝐢𝐤𝐚 𝐦𝐢𝐭𝐚𝐧𝐝𝐚𝐨 𝐦𝐢𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞 𝐲𝐚 𝐊𝐢𝐣𝐚𝐦𝐢𝐢:
Instagram: / jugo_media
Facebook: / jugomedia2019
𝕄𝕒𝕨𝕒𝕤𝕚𝕝𝕚𝕒𝕟𝕠:
JUGO MEDIA,
Sokoine Drive, Posta
P. O. BOX 34014,
Dar es Salaam.
For Bookings and other Enquiries
Phone Number +255757560764/657790405
#jugomedia #kanisakatoliki #familiatakatifu #wawata #uwaka #viwawa #australia #unitedstates #canada #america

Опубликовано:

 

10 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 50   
@alexpangani1944
@alexpangani1944 2 месяца назад
Àsante sana padre kwa mafundisho mazuri.
@jeanmusamba8448
@jeanmusamba8448 6 месяцев назад
Fr,Tito tumecheza nae utotoni kibaha sijamuona zaidi ya 20 years mmm,nimefurahi,this man was so genius darasani.Nafurahi kumwona leo,barikiwa sana Fr.
@rozkiwale912
@rozkiwale912 Год назад
Asante sana Padre nimejifunza mengi mno naomba Mapadre wetu wafanye hivyo Kila kipengele kuwaombea marehemu
@patrickmuchiri7480
@patrickmuchiri7480 Год назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-LZnW9qMXDx0.html
@siuhibasil8049
@siuhibasil8049 Год назад
Amina,kwa mafundisho,mazuri kiroho,barikiwa, fr.
@angiringalyimo365
@angiringalyimo365 Год назад
marehemu hawaombewi! kuombea watu waliokufa huo ni upagani 100% soma Mhubiri 9:5
@angiringalyimo365
@angiringalyimo365 Год назад
marehemu hawaombewi! kuombea watu waliokufa huo ni upagani 100% soma Mhubiri 9:5
@mwamkibemwamkibe5648
@mwamkibemwamkibe5648 Год назад
Mafundisho kama haya yanapaswa kufundishwa kwa nguvu zote ili waamini waelewe imani yao badala ya kutangatanga, hakika Pd Tito yupo very consistent kwa kile anachokifundisha. Barikiwa sana
@angiringalyimo365
@angiringalyimo365 Год назад
unaelewa vzr maana ya imani? unadhani kuwaombea wafu nayo ni imani!??? kuwaombea wafu ni upagani 100% soma Mhubiri 9:5
@benno255
@benno255 Год назад
Yale majibu ambayo malaika alimpa yule tajiri kwenye kile kisa cha razaro inapaswa ikuonyeshe na kukufundisha kwamba ,ukiondoka duniania umeondoka unapoenda hakuna communication yoyote na dunia na hauwez hata kuomba favour yoyote ile.kifupi jarada linafungwa.
@alfonsinamwacha4193
@alfonsinamwacha4193 Год назад
Father Tito...ahsantee kwa mafundisho mazur...MUNGU aendelee kukutumia
@johnkaria7824
@johnkaria7824 Год назад
Rev. Tito Mungu akupe maisha marefu utufundishe kweli yote
@angiringalyimo365
@angiringalyimo365 Год назад
kuwaombea wafu sio kweli yote! huo ni upagani 100% soma Mhubiri 9:5
@aloyceikangala9221
@aloyceikangala9221 Год назад
Be blessed Fr. Tito
@reginamukama7333
@reginamukama7333 Год назад
Tuna mengi ya kujifunza. Ili tusimame Kwa miguu yetu naamu Asante Kwa mafundisho hayo
@angiringalyimo365
@angiringalyimo365 Год назад
fundisho la kuwaombea wafu kamwe haliko ktk Biblia bali ni miongoni mwa mafundisho ya kipagani yaliyojaa upotoshaji 100% soma Mhubiri 9:5
@mungholomakalanga8958
@mungholomakalanga8958 Год назад
Asante sana Baba kwa mafundisho mazuri. Mungu mwema akutunze 🙏🙏
@marierobert42
@marierobert42 Год назад
Congratulations father
@stephanomwile9920
@stephanomwile9920 Год назад
Mungu na atukuzwe milele
@michaelvincentmhagama337
@michaelvincentmhagama337 Год назад
Ee Mungu, tunakushukuru kwa zawadi ya Imani.
@angiringalyimo365
@angiringalyimo365 Год назад
kuwaombea wafu sio imani bali ni upagani 100%! soma Mhubiri 9:5. Soma Waebrania 11:1 ili ujue maana ya imani
@Derick-zf9dd
@Derick-zf9dd Год назад
Amina
@domitilaakonaay7190
@domitilaakonaay7190 Год назад
Tumsifu yesu kristu za binafsi nimebarikiwa sana na mafundisho ya mt p Pio nashauri yatolewe kila ck siyo mpaka ck ya birthday yake kama sasa nimejifunza mengi kipindi hiki Asante
@rosemarysulle9288
@rosemarysulle9288 Год назад
Amen
@alexpangani1944
@alexpangani1944 2 месяца назад
See Mt.Pio utuombee​@@rosemarysulle9288
@alexpangani1944
@alexpangani1944 2 месяца назад
Ee Mt Pio utuombee sisi wakosefu
@emmanuelkuyunga5144
@emmanuelkuyunga5144 Год назад
Barikiwa sanaa Pd. Tito....
@getrudemassawe3400
@getrudemassawe3400 Год назад
Mungu akubariki sana Baba.
@newbornhaule
@newbornhaule 6 месяцев назад
Hili nalo nifundisho hatari sana kwa kanisa
@mariamoraa9404
@mariamoraa9404 Год назад
Kweli kanisa katoliki imefuata njia ya yesu kristu
@alexpangani1944
@alexpangani1944 2 месяца назад
Hata Tomaso alikuwa mfuasi wa Yesu ila alidhihirisha mashaka yake Yesu alipowatokea,mpaka alipogusa!
@felisternyakali9114
@felisternyakali9114 5 месяцев назад
Unachokiamini ww mm sikiamini ndio kila mmoja ana imani yake
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 Год назад
Mpiga picha rudi kajifunze huwezi mpiga picha mtu upande mwanzo mwisho
@patrickmuchiri7480
@patrickmuchiri7480 Год назад
😄 true.ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-LZnW9qMXDx0.html
@titorwegoshora6709
@titorwegoshora6709 Год назад
Kamera ilikuwa stationery. Mpigapicha pia alikuwa amekeri benchini akisikiliza
@sylivesterlucas-je5on
@sylivesterlucas-je5on Год назад
Ufunuo 21;7-8, UKISHINDA DHAMBI UKIWA HAI UTAENDA MBINGUNI SIKU YA YESU AKIHA MARA YA PILI , UKIFUA DHAMBINI HAKUNA MAOMBI YATAKAYOKUSAIDIA UENDE MBINGUNI ACHA KUPOTOSHA WATU
@paschalsafari9747
@paschalsafari9747 2 месяца назад
Wewe baki kwenye uprotestant wako....usilinganishe kanisa katoliki na makanisa yenu ya watu binafsi.
@gaudenceluka3229
@gaudenceluka3229 Год назад
Tutapataje haya mafundisho
@josephmusagasa5566
@josephmusagasa5566 Год назад
Hakuna popote katika Biblia au katika mafundisho ya Yesu kuna ibada au misa ya marehemu, Biblia inatuambia kwamba "Mungu siyo Mungu wa wafu" pia baada ya kufa ni hukumu. Tatu,amjuaye mtu mtakatifu ni Mungu peke yake. Pia, Biblia inatuambia kwamba; kila mtu atauchukua mzigo wake mwenyewe na kwamba; palipo nafsi ya mtu ndipo matendo yake yatakapokuwa. Sielewi kabisa kuhusu toharani kwani haimo popote katika Biblia,na hakuna popote penye mafundisho ya kuombea wafu. Naomba ufafanuzi kwa vifungu
@angiringalyimo365
@angiringalyimo365 Год назад
wakristo walio wengi hawasomi Maandiko Matakatifu, hivyo watadanganywa sana!!
@paschalsafari9747
@paschalsafari9747 2 месяца назад
Toka kwanza kwenye huo uprotestant ..uje kanisani uanze mafundisho.
@stanslausbernard5950
@stanslausbernard5950 Год назад
Marehemu waliotoharani maana yake Ni walio katika kuzimu ya Moto. Ipo tofauti Kati ya kuzimu ya Moto na jehanam. Jehanam itafunuliwa siku ya hukumu yaani siku ya mwisho. Roho za Wafu wasio watakatifu hukaa kuzimu ya Moto au toharani kusubiri hukumu siku ya meisho, na Roho za Wafu watakatifu hupumzika paradiso Hadi siku ya mwisho.
@titorwegoshora6709
@titorwegoshora6709 Год назад
Ndugu umevuruga sana uelewa kati ya toharani na Jehanamu. Tazama upya Katekisimu
@angiringalyimo365
@angiringalyimo365 Год назад
imeandikwa wapi na kwenye Biblia gani ambayo inasema roho za marehemu ziko kuzimu? Biblia inasema wafu hawajui neno lolote, Mhubiri 9:5. hivyo fundisho la kuwaombea wafu ni upagani 100%
@ismailtarimo3974
@ismailtarimo3974 Год назад
Peleka uongo wako mmezoea kuwadanganya wajinga.wewe unaijua elimu akhera? Yangu lini mtu kafa alafu arudi duniani kuomba aombewe? Ama kweli wajinga ndo waliwao, utakuta jitu Lina PHD linadanganywa na wa darasa la Saba
@musabashiruhassani
@musabashiruhassani Год назад
Hhhh
@lukakanawematz1525
@lukakanawematz1525 Год назад
Bila ujazo Wa roho mt hakuna karamu yoyote. Udhihirisho Wa utukufu Wa mungu ni mapepo kukukimbia kwanza. yesu alisema msifura pepo wanavyowatii Bali kwakuwa majina yameandikwa mbinguni
@titorwegoshora6709
@titorwegoshora6709 Год назад
Kati ya watu wanaosumbuliwa na mashetani ni wale wanaodhihirisha mapendo makubwa kwa Mungu.
@bobp6720
@bobp6720 Год назад
Mafundisho fake ya uongo
Далее
DUNIA IMEISHA PAPA AWABATIZA WAARABU
36:04
Просмотров 35 тыс.