Тёмный
No video :(

Tafakari Nzito Juu ya Maisha ya Padre Pio, Pd. Patris Aelezea kwa Uchungu Kusudi la Mungu Kwetu 

Jugo Media
Подписаться 171 тыс.
Просмотров 34 тыс.
50% 1

𝐖𝐄𝐙𝐄𝐒𝐇𝐀 𝐔𝐓𝐔𝐌𝐄 𝐖𝐀 𝐉𝐔𝐆𝐎 𝐌𝐄𝐃𝐈𝐀 𝐊𝐔𝐏𝐈𝐓𝐈𝐀 𝐌-𝐏𝐄𝐒𝐀 𝐋𝐈𝐏𝐀 𝐍𝐀𝐌𝐁𝐀 𝟓𝟎𝟓𝟒𝟔𝟑𝟓 𝐉𝐈𝐍𝐀 𝐉𝐔𝐆𝐎 𝐌𝐄𝐃𝐈𝐀 𝐍𝐄𝐓𝐖𝐎𝐑𝐊
Follow this link to join my WhatsApp group: chat.whatsapp....
Tumsifu Yesu Kristo, Napenda Kukushukuru kwa Kuwa Mdau Mpendwa wa Jugo Media. Tunapenda kukutaarifu kuwa Tumeandaa Group Maalum kwa Ajili ya Kupokea Taarifa Mbalimbali za Kanisa, Misa Live, Vipindi vya Kanisa nk kutoka Jugo Media. Kama ungependa Kuungana Nasi Tunaomba Ujiunge kwa Hiari Kupitia Link Hiyo Juu. Mungu Akubariki Daima
KAMA UNGEPENDA KUPATA TAARIFA KUHUSU KANISA KWA NJIA YA WHATSAPP TAFADHARI TUMA UJUMBE KWA WHATSAPP UKISEMA NIUNGE KISHA JINA LAKO KWENDA NAMBA +255757560764 au BONYEZA LINK HII wa.me/+2557575...) (SAVE HII NAMBA KWANZA, ANDIKA JUGO MEDIA) UBARIKIWE SAMA
KAMA UNA HABARI NA UNGEPENDA KUSHIRIKI PAMOJA NASI TAFADHARI WASILISHA KUPITIA WHATSAPP NO +255757560764 AU BONYEZA wa.me/+2557575...)
Tafadhali Subscribe, Like, Comment na Share tone hili la upendo kwa ndugu jamaa na marafiki.
𝐉𝐮𝐦𝐮𝐢𝐤𝐚 𝐧𝐚𝐬𝐢 𝐤𝐚𝐭𝐢𝐤𝐚 𝐦𝐢𝐭𝐚𝐧𝐝𝐚𝐨 𝐦𝐢𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞 𝐲𝐚 𝐊𝐢𝐣𝐚𝐦𝐢𝐢:
Instagram: / jugo_media
Facebook: / jugomedia2019
𝕄𝕒𝕨𝕒𝕤𝕚𝕝𝕚𝕒𝕟𝕠:
JUGO MEDIA,
Sokoine Drive, Posta
P. O. BOX 34014,
Dar es Salaam.
For Bookings and other Enquiries
Phone Number +255757560764/657790405
#jugomedia #kanisakatoliki #familiatakatifu #wawata #uwaka #viwawa #australia #unitedstates #canada #america

Опубликовано:

 

19 сен 2022

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 79   
@agnesedward5694
@agnesedward5694 Год назад
MUNGU MWENYEZI MUUMBA Mbingu na Nchi Akubariki Akulinde kwa DAMU ya Thamani ya Agano Jipya. Ni Jambo ambalo nilikuwa ninalitafuta sana kwa Mapadri wa Kanisa Katoliki kwa ajili ya Kuwavusha Waumini Wake.
@GraceMganga
@GraceMganga 3 месяца назад
Asante sana baba kwa kutufundisha kuhu madhara ya madhabahu, ubarikiwe sana mungu akupe afya ya roho na mwiri.
@egidymaliga6209
@egidymaliga6209 2 месяца назад
Baba Patrise hongera kwa wito na mafundisho yako.Nimejiona kama nimezaliwa upya.
@fellytemba9064
@fellytemba9064 Год назад
Umenipa maarifa mengi ya kujitambua kupitia mahubiri yako Fr.Patris.Mungu akubariki sana.Mt.Padre Pio utuombee.
@gloriachristian1470
@gloriachristian1470 Год назад
Mungu akutunze baba padre ,,how a young man can deliver a strong msg like this,be blessed baba padre
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 Год назад
God has shown the uniqueness in him. Be blessed always Father Patris🙏🙏🙏
@frankluswaga
@frankluswaga Год назад
Asante sana baba padre kwa homilia nzuri,binafsi nmebarikiwa sana.
@patrickntalasha3956
@patrickntalasha3956 Год назад
Mungu azidi kukuinua Fr. Natamani uje parokiani kwetu mbweni mpiji DSM
@honorinaverani1057
@honorinaverani1057 Год назад
oooh my God. I am proud Catholic Mungu akubariki sana Baba padre.
@emmaachiengradonji6336
@emmaachiengradonji6336 Год назад
Amen Amen thank you Padre for the enlightment. Wow ! St. Padre Pio pray for us
@user-fo3fh8ll8x
@user-fo3fh8ll8x 11 месяцев назад
Amina baba Mungu akutunze
@florencejohn6427
@florencejohn6427 Год назад
Asante sana Fr Uiso kwa chakula cha roho. Unanikumbusha mbali sana tulivyokuwa tunasoma falsafa pale Morogoro
@annanjau6716
@annanjau6716 Год назад
Asante Fr kwa content ambayo iko very unique Mungu aendelee kukubariki
@zakayoelias9532
@zakayoelias9532 6 месяцев назад
Asante Sana padre
@josephissob2076
@josephissob2076 Год назад
Ahsante sana sana sana Baba Padre
@juliusmichael6191
@juliusmichael6191 Год назад
Amina....Fr. Patris ubarikiwe kwa mafundisho na ujembe mzuri
@lucianotodeschini
@lucianotodeschini 6 месяцев назад
Nilikuwa huko wiki iliyopita,kwa padre pio,kweli kuna maajabu sana.
@idachristopher8592
@idachristopher8592 Год назад
Asante kwa tafakari Baba Padre, Mungu akutunze.. Mt.Padre Pio,utuombee 🙏
@assumptamassoi4134
@assumptamassoi4134 Год назад
I couldn’t blink my eye!! Powerful ! God bless you abundantly! I pray that I visit Tegeta Nyuki parish🙏🙏🛐
@poncegk5263
@poncegk5263 4 месяца назад
Barikiwa sana
@jeanm.2973
@jeanm.2973 Год назад
Praise be to Jesus.May the Holy Spirit guide us to know what we were called for. Thank you Fr. Patris for your encouraging homily. From Kenya
@beatricekavenuke8587
@beatricekavenuke8587 Год назад
Barikiwa Sana Baba Padri
@maximillianmubashi7328
@maximillianmubashi7328 Год назад
Ahsante sana Padre patris
@aloycemchuo7687
@aloycemchuo7687 Год назад
Baba ubarikiwe
@juliusmichael6191
@juliusmichael6191 Год назад
Padre Pio Utuombee 🤲🏻🙏
@yesunimwema4497
@yesunimwema4497 Год назад
Asante sana baba padre( PATRIS )kwakuturisha neno la mungu nimebarikiwa sana 🙏
@yolandaliyoya1839
@yolandaliyoya1839 Год назад
Amina Fr🙏🙏🙏 MUNGU AKUBARIKI SANA KWA MAHUBIRI MAZURI.FR PIO NI MFANO WA KUIGWA .
@lucymwasu2615
@lucymwasu2615 Год назад
Asante Sana Padre kwa mafundisho mazuri,Mungu azidi kukubariki
@revocatusfabian7399
@revocatusfabian7399 Год назад
Mungu akubariki sana Pd. Paris kwa mafundisho bora sana. Pd. Pio Utuombee
@raymondlaurent9403
@raymondlaurent9403 Год назад
Waaaoh Mafundisho mazuri.. natamani kupata mwendelezo wake..
@sarafinafranci8481
@sarafinafranci8481 Год назад
Amina sana father Mungu akubaliki mpaka uchangae.
@assumptamassoi4134
@assumptamassoi4134 Год назад
Nakushukuru sana Padre Ndemasi! Mungu akubariki kwa neno hili na Mungu anisaidie kufahamu kusudio langu maishani🙏🛐
@isaackisahali8743
@isaackisahali8743 Год назад
Asante sana baba Patrice,nimebarikiwa sana na tafakari yako,hususani kuhusu kujua kusudio la Mungu kwa kila mmoja wetu
@albertjames6845
@albertjames6845 Год назад
Padre Uiso nimesoma naye shule ya Sekondari Umbwe, alinitangulia vidato vitatu. Nafurahi kumwona akiwa na haiba ileile. Mungu ni mwema. 🙏🏼
@rosetemba9858
@rosetemba9858 Год назад
Mungu ni mwema sana, I was longing to hear from catholic for so long. Una maarifa na karama kuu. Mungu akulinde ili uendelee kuponya roho za waamini kwa kuwapa maarifa ambayo waamini ndio wanayatafuta huko nje
@magrethcolestine2880
@magrethcolestine2880 Год назад
God is good, God bless you
@sospetermpuya8217
@sospetermpuya8217 Год назад
You show committiments good
@upendoeliudi5196
@upendoeliudi5196 Год назад
🙏🔥🔥🔥🔥Mungu akutunze father, nimebarikiwa sana sana sana namafundisho haya
@faustanyambuli2813
@faustanyambuli2813 Год назад
Ni jambo jema kwa kila mtu kutambua kusudi la Mungu kwake,asante baba kutukumbusha
@polycarpedward-oo3iy
@polycarpedward-oo3iy Год назад
Thank father
@elizabethshayo733
@elizabethshayo733 Год назад
Asante sana baba tumejifunza kwakweli. Mungu akutunze
@judithsalvatory2892
@judithsalvatory2892 2 месяца назад
Amina
@mumyhendry2919
@mumyhendry2919 Год назад
Oooooh My God 🙏🙏🙏Mungu akutunze daima Padre wangu,nmetamani usimalize kuhubur
@mcparoko6186
@mcparoko6186 Год назад
My father God bless you to sms
@paskalinakilave4795
@paskalinakilave4795 5 месяцев назад
Kwa kweli Parokia ya Baruti tumepata neema kuwa paroko Baba Ndemasi
@joycemrosso1896
@joycemrosso1896 Год назад
Barikiwa sana Pd. Patris nimejifunza kitu.
@geraldtadeo4819
@geraldtadeo4819 Год назад
Honger sana
@agnesmanonga3084
@agnesmanonga3084 Год назад
Baba barikiwa sana
@olivaellahenordm1742
@olivaellahenordm1742 Год назад
Amina baba,you are so blessed kwakweli homily inaponya mioyo
@maniratungageorge6797
@maniratungageorge6797 Год назад
Asant sana mutumishi wa Yezu, mafunzo yako imenisaidia sana Mungu akupariki muzazi wetu wakanisa yetu%%.
@edwinelias8554
@edwinelias8554 Год назад
Tumemupata muzuri padre muzazi mukanisa yetu kutoka Kinshaza Congo 😝
@petromalimi6667
@petromalimi6667 Год назад
mungu mwema sanaa asante kwa mahubiri mazuri mt pio utuombee
@yolandaliyoya1839
@yolandaliyoya1839 Год назад
Ndiyo Fr KWAJINA LA YESU NA DAMU YA YESU TUNAWEZA.MUNGU ÑI MWAMINIFU.
@tegemeajustice2602
@tegemeajustice2602 Год назад
Yesu apewe sifa!
@fellytemba9064
@fellytemba9064 Год назад
Hakika ndani mwako Mungu ameweka zawadi nzuri sana.Kipaji cha kuhubiri ni kikubwa na hata nguvu ya uponyaji ni kubwa sana.Mungu azidi kukubariki uendelee kuinjilisha.Nimejifunza mengi sana.
@lucylucyan5947
@lucylucyan5947 Год назад
Amina baba mungu adumishe utume alioweka ndani mwako
@theresiamateru6426
@theresiamateru6426 Год назад
Sisi wakatoliki huwa hatutafakari Biblia Bali tunapenda sana kitafakari watakatifu mtu unaweza kuta anajua Mt flani na mara nyingi yuko naye,mara nyingi ukimfuatilia unakuta huyu mtu ana maumivu ya ndani maana hamjui Mungu anajua watakatifu hata mstari mmoja kwenye Biblia hajui lakini watakatifu usiseme
@venancemsigala1701
@venancemsigala1701 Год назад
@@theresiamateru6426 watu wa namna hiyo ni wale wasioyaelewa mafundisho ya kanisa. Kanisa alihimizi kukariri tu watakatifu, bali kujua mema waliyotenda na kuiga, watakatifu kwetu ni mifano (role models)ya mema ya Mungu waliyofanya wakati wao ili nasi tuige kutenda hayo kwa wakati huu na huwezi kuwajua watakatifu pasipo kwenda sambamba na neno la Mungu kutoka kwenye biblia. Unaona hata pd Patris hapo anamtumia mt Padre Pio kama mfano wa kuigwa katika kutafuta kusudi la Mungu katika kuubwa kwetu na anaelezea maisha ya pd Pio akitumia mistari ya biblia pia. Kwahiyo ni muhimu kuwajua watakatifu kupitia mafundisho ya biblia.
@racheljohn7185
@racheljohn7185 Год назад
Wawoo! Asante kwa mahubiri manzuri,, God Bless you
@ibrahimkatonkola1144
@ibrahimkatonkola1144 Год назад
Proudly rc🙏🙏
@winjoymakena2864
@winjoymakena2864 Год назад
May the lord continue to empower u so that u may continue blessing us. I'm really blessed by this message. Watching from Kenya
@kelvinobrey9583
@kelvinobrey9583 Год назад
MAY GOD BLESS YOU DEAR
@michaelmagembe5069
@michaelmagembe5069 Год назад
Amina baba
@helencyprian8745
@helencyprian8745 Год назад
God bless u Fr
@ekahensa
@ekahensa Год назад
Ameniumba Kwa jinsi ya ajabu
@upendoj
@upendoj Год назад
Let us rediscover ourselves. you are Blesses and you bless us even more.
@igulampoki6312
@igulampoki6312 Год назад
Mungu nisaidie nijue ulichoweka ndani yangu barikiwa pd Patrick
@mariselaraulent3687
@mariselaraulent3687 Год назад
Amina 🙏🙏 Mungu nisaidia niweze kusali kama Mt pio
@dativambaga6206
@dativambaga6206 Год назад
Ubarikiwe sana Father❤🙏
@roselambert6700
@roselambert6700 Год назад
Amen Fr
@frankzulu5901
@frankzulu5901 Год назад
Amina Baba asante kwa chakula cha Roho...binafsi naomba namba yako baba kwa maombezi zaidi
@vickymanga4257
@vickymanga4257 Год назад
Nakuona fr
@melkizedeckminja9322
@melkizedeckminja9322 Год назад
Nimepata kitu
@josephinemaina1536
@josephinemaina1536 Год назад
Naomba contacts padre
@user-fj5dy9hh5v
@user-fj5dy9hh5v Месяц назад
Mapadre km wewe ndani ya kanisa katoliki ni wachache sana unapatikana wapi father
@petertarimo5819
@petertarimo5819 Год назад
Padri patrice yupo parokia gani
@sarafinafranci8481
@sarafinafranci8481 Год назад
Kunduchi.
@rosemarysulle9288
@rosemarysulle9288 Год назад
Amina
Далее
REV. DR. ELIONA KIMARO: MAISHA NA NADHIRI
1:47:04
Просмотров 63 тыс.
Askofu Mkuu Nkwande alivyomnasa Frater feki Mwanza.
8:53