Hili ni fundisho kubwa sana, wapo wanawake wengi wa aina hii katika familia zilizo nyingi. Huwezi kutatua tatizo la njaa katika familia yako, au kupata maendeleo yoyote kama upo na mwanamke kama huyu. Ukosefu wa shukurani, wanawake kutothamini jitihada za waume zao, ndiyo visababishi vikubwa vya matatizo katika familia nyingi.
Jamani muna madili hamtumii matusi japonica mnafanya comedy lakini mnaweka mamdili ya kuongea na hishima na ni vizuri kila mtu kujua mipakaa yake na madili sio watu wenginewe wakifanya komedy wanatumia lugha MBAYA na matusi mpakaa mtu unaona haya kusikiliza matusi makubwa ya ilahi mungu atusiri tusi ya hifadhi
We, acha kabisa; huo mfumo wako dume achana nao kabisa, sio wanaume tu wanaonynua chakula, ndugu wa mume ndiyo wabaya zaidi, bila kujali nani kanunua wao wanachota bila kuomba, acha hizo kabisaaa🤚🏼