Masoud katika watu mahili Duniani walioko kwenye Utashi wangu your Amoung hasa dunia ya Music sikuweziii we ni mtu hatari...pia uajua.kuEnterprate vizuri mauala ya Kijamii .ok
pomoja na KumCongraltulate Bw Msoud Masoud siwezi kumwacha Bibie Salma Jabiri ni Super mbunifu, mahili mwenye uwezo wa kuongea na mtu wa kada yoyote kwa kujiamini. Nina mwaIdentify ni mmoja wa wadau wa maendeleo wa kiukweli nchini. Sifa nyingi kwa ile programme ya BSS. ok
masoud hongers your potential And compitence Man... Mimi since 1980 naanza Madisco mimi ni Mcool and the gang na wengie huko USA..n nimetamba kwa miaka mingi watu hawaniwezi...lakini kwa mara ya kwanza miaka ya 1997 nskusikia Rdio one..nilichochaka...Nakuheshimu sana na miziki ya anga za juu sikuwezi..
Masoud nikiwa nasoma Bagamoyo Tech tulikuwa watorokaji wazuri kwenda Dar tukiwaEnjoy the DJ akina Pantalakis Johb Bure, Kalikali wengine kwa haraka nawasahau kuna aliyekuwa Msasani beach iliku hataariiii This days sioni Music
FAZA Masoud Masoud kauli Yako imetimia....mwaka huu wa 2023 tayari muziki wa bongofleva umepotea...Sasa ni tune za ki nijeria na Amapiano.....!...Kwisha....na hii ilitokana hata Ile bongofleva haukua muziki wa Tanzania...!..🤣🤣🤣
Okay nakubali. One of the best interviews ever. Masoud katisha sana. No compromise na ni professional wa ukweli. Hawa wazee wamebaki wachache sana. Labda akina Millard ndo watafika huko inshallah. Interview kama hizi ndo zinafanya Mkasi iwe outstanding. Huwezi kuzipata pengine. Keep up the great work Salama n team.
Mr Masoud try ti extract or transform your knowledge or experiance to this generation......muziki unaendelea kufa masoud try your level best kizazi cha leo hakijui muziki labda nyimbo inauma sana...Masoud wewe una Access ya kuEducate Tanzania Community kua muziki ni nini.. wajiulize mpaka leo Album ya Thriller haijavunjwa record...kwa nini..mpaka leo namlilia M Jacksan mmh
Salama are you obsessed with Somalis? Every other sentence is Somali. Plus do not perpetuate negative stereotypes such as every Somali is a terrorist. Education is every important please keep your controversial comments to yourself. It is sad to whatever is happening but calling people out is not going to solve any problem rather promoting hate.