Uyo BEKA aache kuwatia wanaume aibu, kwa sababu hajakamilika. Imekuaje kukaa kihawara na mtoto mrembo kama huyo ashindwe kumuowa halafu eti anatia masharti yakijinga!
Nashangaa sana nyie mnao mwambia happy amwache beka mnajua wametoka nae wapi angalien basi hivi isinge kuwa beka leo mngetoa commenti hapa au Angeonekana kwenye vyombo vya habari kama hivi lini mkae mtulie
@@victorbeno 😂 ndiyo akili zenu wanaume halafu mnajua mmetukomesha kumbe mnajikomesha wenyewe fainal uzeeni unakosa hata mtoto wakumtuma maji sababu ujana wako uliishia kuwapa mimba nakuwa kimbia unajikuta watoto wote tumewapeleka kwa Mzee Nyange 😂kuwa makini kwa kauli yako tengua kauli yako maana radi itakayo kuja kukufumuwa bado inapiga Push 😄
Jaman hatakama watu hamna ndoa mkishazaa jaman kuachana ni kuzito ,maana Kwanza mzigo unamuelemea mama alafu mama nae Hadi akupotezee aamue kuolewa huwa nikamchakato na uaminifu unakua haupo Tena mam anaona Kama vile yatatokea yalee
@@mahembajulius7036 Hyo cyo mume binti keshamzalia lkn mume hana dalili ya kuoa unaendelea tu kuacha fursa kisa unasubir ruhusa kwa mtu asiye na msimamo nawe
wanaume mubadirike haudumiye mwanamuke wako ikifika kikazi wivu unapada ju tena kalipwa kwanini asitumike yeye tena sikuhizi pesa ngumu unapo mutibuwa hahumudumiye dani.
Sikweli bro ww kama uliwahi kukutana na mwenye tabia hyo pole ,mm ninaye anamcha Mungu ananipenda nampenda na tunaheshimu ndoa yetu sana,acha kupotosha watu,ngoja nikushauri usitegemee siku moja itatokea upate mtu aliye tulia kama ww mwenye haujatulia "note" tunaposema wakufanana naye siyo sura ni tabiaaaa ukiwa mhuuni utapewa Malaya pia coz ndivyo mwanaume ulivyo.
Ww utakua mgen kwa hao mie nawajua vzr na ww unaibiwa ipo ck utaamini hao watu wapo mkoa wa arusha wilaya ya karatu na wote wapo hivyo hvyo wanajificha kupitia kumjua mungu lkn amna chochote
Manzi Ally, kila mtu Anna tabia yake, usichukue tabia ya mmoja ukajumuisha wote, utakuwa hauko sawa, ni sawa dem kakuacha kakuumiza kwelikweli, alafu useme wanawake wote Malaya, ukisema wanawake unajumuisha na mamako . So sio wote wenye tabia mbaya na sio wote wenye tabia nzuri, kila mtu ana madhaifu yake,
Kwani kunaulazima gani mambo yenu myatangaze kwenye mitandaoni haya mambo yautandawanz yanachosha hao ndio wazanzi wenu duuuuuuuuh ulimwengu wautandawanz
@@hassammohammed5046 ni sawa na mumew tu si kashazaa nae tayar na walkuwa wanaish wote sema tu ilpotokea migogoro ndo wakatengana au wew ultaka mpka wafnge ndoa ndo ujue kuwa saiv ni mumew?
Usimwanike mwenzio Kwan wewe huna mapungufu toa kibanzi kwenye jicho lako ndo utaona boliti kwenye jicho la beka umri unasonga acha ushamba, ye pia akiulizwa atajieleza na utaonekana we unamapungufu, Kama ulitaka ndoa usingevua chupi