Acha propaganda na uongo Millard umeshindwa kuonyesha watoto wanavyokufa na njaa watu wanachomwa,wanabakwa unaonyesha pochi???ujinga mtupu,unataka kuwa BBC au CNN
KAIBA KODI YA NANI?! UNAFIKIRI KULE NI TANZANIA? KULE NI MWENDO WA MTUTU MWANZO MWISHO, HATA HIZO PESA WANA VYANZO VYAO VYENGINE KABISA VYA KUZIPATA IKIWA PAMOJA NA KUFANYA BIASHARA ZA SIRI KTK NCHI MBALIMBALI, HAKUNA DHAHABU WALA MAFUTA YANAYOCHIMBWA KULE!! MTOTO ANAZALIWA MPAKA ANAZEEKA NI BUNDUKI TU!!
Miaka hiyo walitutengenezea video za bin Laden akiwa kwenye mahandaki na tukashtukia ni za kutengeneza. Karne hii milarayo unatuwekea upuuzi huu, embu fanya uchambuzi kabla ya kutulisha ujinga usiomezeka.
MILLARD AYO SASA NDIYO UTUMBO GANI HUU UNAOTULETEA? KWA HIYO HATA UKIPATA VIDEO YA NETANYAHU KAJAMBA UTATUWEKEA HAPA AU SIYO?! UKIENDELEA KUTULETEA TAARIFA ZA KIDUWANZI KAMA HIZI TUTA UNSUBSCRIBE CHANNEL YAKO!!
Kuna watu hawajui km Israel wamechukua ardhi ya Palestine km wanaona Israel wanpigana kwajili ya mungu kinachopiganiwa ni ardhi waisrail wamechukua ardhi ya wapalestina ndiomaana wapalestina wanataka kujikomboa
@@allythabiti8150 hiyo ardhi walichukulia kiholela wenzetu wanatunza history usidhani ni kama kwetu ukifa imeisha hiyo kwao ni tofauti kasome vizuri vitabu na history yao Israel walirudi kwao ndo wanashangaa kuna mtu kachukua ardhi yao nao wanasema ni kwetu so unataka aende wapi na wakati wamepaona kwao