Ndiyo faida ya Kuoa Mwanamke ambae anaelewa unacho kifanya na ambae yupo tayari kuvaa viatu vyako. #Nimempenda sana Mr ROMA. Hongera Mama wanawake wengine wajifunze kwako.
Vivaaa vivaaa Roma daaaah ndug yetu Roma umeamua kuhama Tanzania nakuamua kwend kuanza maish mapya Zimbabwe kila rahel Roma naamin utaish kwaaman uko maana uku awapend useme ukwel vivaaa vivaaa
muami mamy mashallah umetokelezea kinyama mkwe wangu ibra akukosea kuchagua toto nimezaa hasaaaaa na napenda kumpongeza muami ana akili ya kufikiria kuwa huyu mume hii ni kazi yake kwa hiyo anamuelewa jinsi alivyo mume wake sio kugombana na kuweka mitandaon wote waelewe leo roma kanipiga leo akulala ndani hayuko hivyo mjifunze wake wa wasanii muige mfano wa mrs roma big up mamy so mwaaaaaaaaaaaa
Zimbabwe ni nchi ambyo kiuchumi imeanguka kisiasa inaendeshwa ...............NA hali za kimaisha wanawanchi wake maisha yapo duni so Roma kusema yupo zimbabwe ana bashiri Tz inaelekea ivo
Moseslaurent Laurent nimegundua watanzania tuna akili mbovu sana baada ya kuangalia mtu uwezo wake tunaenda kuangalia mapungufu hivi kuna mtu aliekamilika, hivi si hata mamako ana mapungufu kibao