Mm huwa nakuja kuangalia ty anavyoongea kwa upole na mm najifunza kupitia kwak ili nikipata na mm family yng kam mme na watoto ntakuwa nimejfnz kumheshim mme wng
Sasa kutomgozwa ni kawaida kwa mwanamke sabbu hata roma alitongoza ndio maana wapo wote.kutongozwa ni kawaida kwa mwanamke ni kama salamu tu kawaida sana uwezi kutafuta kiki kawaida sana