Тёмный

MMAKONDE FEKI ALIYETREND NA ZUWENA WA DIAMOND AITWA STUDIO WASAFI / TAZAMA 

Wasafi Media
Подписаться 4,8 млн
Просмотров 79 тыс.
50% 1

MMAKONDE FEKI ALIYETREND NA ZUWENA WA DIAMOND AITWA STUDIO WASAFI / TAZAMA
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 138   
@abubakaryduma5374
@abubakaryduma5374 Год назад
Huyu jamaa hii talent ni mwizi aiseee, Mimi nilijua Mmakonde kweli noma sana
@ramaninaujenzitz9395
@ramaninaujenzitz9395 Год назад
Zuwena kaibuka na Baraka za wengi
@agnesjohn9382
@agnesjohn9382 Год назад
😂😂😂kumbe jamaa siyo mmakonde duu inawezekana amekulia huko kwenye kuongea kama wamakonde uko vizuri
@captenndunga6745
@captenndunga6745 Год назад
Bonge la kipaji alafu nawakubali sana watu wenye uwezo wa kuigiza sauti za makabila... Heshima mwanangu sikupingi buda.
@idrisamnunguye96
@idrisamnunguye96 Год назад
Mmakonde Huyu
@yolbul1616
@yolbul1616 Год назад
Usinitenge ni wimbo wa professor jay🔥🔥
@azimioalbertongellaalberto4404
Jamaa kipaji anacho sanaaaaa🔥🔥
@abubakarymnyeto2
@abubakarymnyeto2 Год назад
Kwenye kipemba ndio umeniuwa kaka Nakubali sana
@abdulzanzibar7154
@abdulzanzibar7154 Год назад
Jamaa yupo Powa sana
@abdallahamad4682
@abdallahamad4682 Год назад
This was really really man.. I liked this man wallah.
@MussaBakari-fz1fj
@MussaBakari-fz1fj Год назад
Jamaaa uko vizuri
@aishaamwalimu2887
@aishaamwalimu2887 Год назад
Kumbe anakipaji, Mungu akusaidie.
@panchovalentino3576
@panchovalentino3576 Год назад
Jamaa nouma Saaaana
@AMMY_TONYofficial
@AMMY_TONYofficial Год назад
Yes good talents
@chusseboywcb2808
@chusseboywcb2808 Год назад
Nakubali sanaaa
@salim02tv24
@salim02tv24 Год назад
Nilijua uyu mwamba atakwenda mjin aliuaaa sanaaaaaaa kwa zuwenaaa
@swalehesaad1143
@swalehesaad1143 Год назад
Jamaa anajua Sana sana
@Yessjamal
@Yessjamal Год назад
i will be shoked kama hata ajiriwa uyu this guy have it all
@ewaldmushairizi6094
@ewaldmushairizi6094 Год назад
Sawa. Riziki ya mbwa ipo miguuni mwake
@slimmuhabesh2400
@slimmuhabesh2400 Год назад
Jamaa kumbe kipaji sana
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Год назад
Kupata jina bongo rahisi sana
@bintqassimidarous1636
@bintqassimidarous1636 Год назад
Anafaa kua muigizaji aloo kwanza mcheshi halafu anajua pia kuigiza
@officialmaasai4602
@officialmaasai4602 Год назад
Dah mwamba Kesha toboa et. Zuwena kaupiga mwingi
@azizamohamed7692
@azizamohamed7692 Год назад
Nyie mkakonde kashakuwa star
@amedeuskimario8895
@amedeuskimario8895 Год назад
Kwenye kisukuma umeua Sana man
@miangijunior4358
@miangijunior4358 Год назад
Jamaa ni 🔥
@msauzbusiness558
@msauzbusiness558 Год назад
😂😂😂 cma jamaa alimkandia xn zuwena Leo kawa star duh hii nchi marhabaa
@koyesandatuya5422
@koyesandatuya5422 Год назад
😂😂😂😂😂😂
@luisojr3480
@luisojr3480 Год назад
Hii nchi bhna unaweza ukawa star ghafla tu😂
@maidamhanje5993
@maidamhanje5993 Год назад
Alimuomba msamaha cku Ile Ile mbona 😅
@kadogoojuma2659
@kadogoojuma2659 Год назад
Yaani usipokuwa staa ni we😂😂😂
@Paplick9
@Paplick9 Год назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😄
@Mpakauseme
@Mpakauseme Год назад
Afanye maigizo icho ni kipaji jombi, huyo alishi kusini, noma sana
@williamgeorge-hd2tn
@williamgeorge-hd2tn Год назад
Jamaaa anajua
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Год назад
🤣😂😂😂🤣🤣🤣Kapendeza sana leo🤣🤣🤣🤣kashakuwa stra
@MohamedAhmed-ns5mi
@MohamedAhmed-ns5mi Год назад
Huyuu jama ninoma man
@mohamedwwnurumasagcom8171
@mohamedwwnurumasagcom8171 Год назад
Jamaa noma
@allanamily851
@allanamily851 Год назад
Itifakiii izingatiwee jamaa anatalent kubwa sanaa
@OfficialA83640
@OfficialA83640 Год назад
Nyimbo ya Qchif hiyo jaman mmeshindwa kuijua. Huyu jamaa mwaka hauishi mtamkuta kwenye tamthilia ya jua kali km mie muongo np pale nimekaa
@MtuSafi
@MtuSafi Год назад
No...Ngoma prfsor jay ft q chief..ila kuhusu jua Kali Namm namuona kabisa.
@sanyajuutv2679
@sanyajuutv2679 Год назад
Kipaji hiko
@vinayagamsefu4596
@vinayagamsefu4596 Год назад
Bora hajalia leo 😅
@happylynguya3464
@happylynguya3464 Год назад
Kumbe ndo yule ambaye alimsema vibaya Zuwena alafu akaanza kumuomba msamaha mpka akalia
@nasra3523
@nasra3523 Год назад
Aaaah kweli miyayusho 😂😂😂
@tutindagakawanji
@tutindagakawanji Год назад
Noma sana
@khadejarajab8007
@khadejarajab8007 Год назад
Kapata eti jina zuwena bongo kwanini uhame😂😂😂😂😂😂
@lifeinmiddleeast8179
@lifeinmiddleeast8179 Год назад
Mashallah anakipaji
@janetdaniely7945
@janetdaniely7945 Год назад
Bro pande za mwananyamal sokoni uyoo nakubari San Abasi
@modycombo7421
@modycombo7421 Год назад
Heeeee mchaga doh mbona afanani
@chibunews5642
@chibunews5642 Год назад
Jamaa sio wakawaida kipaji hicho
@esterdoriye8377
@esterdoriye8377 Год назад
Anafurahisha 😄 🤣
@aziziabeid6052
@aziziabeid6052 Год назад
Anajua kijana
@upendolema3323
@upendolema3323 Год назад
🔥🔥🔥🔥🔥🔥❤️
@hamisijumanne4137
@hamisijumanne4137 Год назад
Mwamba katisha sana
@luqmankatundu4004
@luqmankatundu4004 Год назад
Ijkl vh😅😮
@erickmahona5357
@erickmahona5357 Год назад
Katisha
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 Год назад
Huyu jmaa daah
@saudahassan6667
@saudahassan6667 Год назад
😁😁😁😁😁😁😁😁😁wallah umenikoshaaaaa
@nordinebaraca4635
@nordinebaraca4635 Год назад
Feki sio uyu!
@zulfasaeed7445
@zulfasaeed7445 Год назад
Yy huyu
@halemahalema7489
@halemahalema7489 Год назад
wa mrijo chini mpo
@johnycavishe5207
@johnycavishe5207 Год назад
Jamaa Ni kweree
@sabihasalim942
@sabihasalim942 Год назад
Kipemba amepatia kabisa😂😂🇬🇧
@lemmywanjeh4366
@lemmywanjeh4366 Год назад
Watanzania
@Pozy49tz1
@Pozy49tz1 Год назад
Mwambaa
@DAVID-wp4vc
@DAVID-wp4vc Год назад
Yaani apa mo town ndo ameonekana fala cz jamaa mjanja
@issai.ibungu
@issai.ibungu Год назад
3:00 😂😂😂😂😂
@nancyg8664
@nancyg8664 Год назад
🤣🤣
@abelimembe6990
@abelimembe6990 Год назад
💪💪💪💪
@abiboseleman1649
@abiboseleman1649 Год назад
Jamaa mkali sana bado hajajipata huyu bonge moja ya star huyu
@jumamngodo2615
@jumamngodo2615 Год назад
Amenifany nikacherk interview yak tena😂
@Burange666
@Burange666 Год назад
Mtangazaji vipi tena hapo Studio kuna Winter ??? maana huko ulaya wanavaa hizo nguo kwenye baridi na wewe upo hapa bongo joto kali sana msiige kuvaa ovyo hizo nguo nyingine zinavaliwa kwenye nchi za baridi siyo kama bongo??
@obenitejailos7007
@obenitejailos7007 Год назад
AIR CONDITION
@nancyg8664
@nancyg8664 Год назад
@@obenitejailos7007 yes itakua AC kali
@kondoatown8765
@kondoatown8765 Год назад
Kirangi kazingua hamna kitu kwny kirangi ila kimakonde , na kipemba yupo Sawa mbyaaaaa
@ahmedsdk6736
@ahmedsdk6736 Год назад
Jamaa Akikaza Ametoboa...
@nancymalemba8139
@nancymalemba8139 Год назад
Huyu jamaa bwana ashatoka kimchezo mchezo tuu muenueni
@alfredbomani9098
@alfredbomani9098 Год назад
Senjelee
@maestro9618
@maestro9618 Год назад
Fala kwelii huyu🤣🤣🤣🤣
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Год назад
Jamaa tuna omba ende kwa lamata akawe mjomba ake idi 🤣🤣🤣akawe 🤣shemj Yake semeni 🤣🤣
@abdibilali4186
@abdibilali4186 Год назад
ushampangia seen kabisa
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Год назад
@@abdibilali4186 🤣🤣🤣🤣🤣😂
@fatmabhai2812
@fatmabhai2812 Год назад
Kioemba ssawa lkini sio wamekwenda vizuli... Ni wamekwenda vizuri. Wazanzibari hatukosei kwenye L NA R.. hua tuko sw kwenye kiswahili.
@tamimakhalfanikhani8403
@tamimakhalfanikhani8403 Год назад
Na sio wamekwenda ni wankwenda
@tamimakhalfanikhani8403
@tamimakhalfanikhani8403 Год назад
Wankwenda vzr
@malikissa8251
@malikissa8251 Год назад
Duh jamaa kavaa bonge la jacket 😢
@hunchoderatihno2780
@hunchoderatihno2780 Год назад
Sema mwana ka trend knoma
@erickabel6201
@erickabel6201 Год назад
Jamaaa faaala uyu😂😂😂😂😂
@othmansolla6306
@othmansolla6306 Год назад
Hahahahahahaha haha pumbavuuu mm mrangi kanifurahisha katuwezea sana
@rashidimrangi1953
@rashidimrangi1953 Год назад
Mlangi wa hai
@Juke995
@Juke995 Год назад
Ila zuwena ana nyota jamani 😂😂😂
@ramaninaujenzitz9395
@ramaninaujenzitz9395 Год назад
Yan umesisimua na opinion yako ni kweli umejua kuona mbali Nyota ya Zuwena si masihara
@princehancesam9892
@princehancesam9892 Год назад
Kwann asiwe mtangazaji🤣🤣🤣
@mughairy6314
@mughairy6314 Год назад
Kıpemba apo mzee umebugi wapemba hawana lafudhi izo ila umejitahidi tu
@salumumpulula355
@salumumpulula355 Год назад
Duuhh,jamaa langu mimi nimekukubali kinoma..
@rafikisamueli4909
@rafikisamueli4909 Год назад
Afadha mlikiona kipaji Toka cku ya zuena nlishamuelewa
@maestro9618
@maestro9618 Год назад
Mamaeeee huyuu
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Год назад
Kumbe Mchaga 😂🤣🤣🤣🤣🤣
@prettynayally2177
@prettynayally2177 Год назад
Mtani umenimaliz
@goldenboytiger799
@goldenboytiger799 Год назад
😂😂😂😂😂kaligraph Jones kuja uone hii
@rozina2161
@rozina2161 Год назад
🤣🤣🤣🤣🤣 Yuwachekeshaaa
@rihammusa4963
@rihammusa4963 Год назад
😁😁😁
@annamduma2504
@annamduma2504 Год назад
😂😂😂😂
@mohamedmwandugu6627
@mohamedmwandugu6627 Год назад
Kumbe jamaa anakipaji
@nassornamosa4235
@nassornamosa4235 Год назад
Dh kipemb hakipat huy ila kisukum anakijuwa san
@issahusna-xk3nv
@issahusna-xk3nv Год назад
Zuwena🤣🤣🤣
@cheffo8121
@cheffo8121 Год назад
tumwaree😂😂😂😂😂😂
@starlightstudios0
@starlightstudios0 Год назад
Hahahahahahaah miyayushooo
@vero57
@vero57 Год назад
Unafanya mchezo na ugali 😃😃😃
@nancyg8664
@nancyg8664 Год назад
Famchezo nini🤣
@A2Z_tv1
@A2Z_tv1 Год назад
Kipemba hajaweza kuongea
@tatotato506
@tatotato506 Год назад
Kaweza acha loombaya
@mwanatz5980
@mwanatz5980 Год назад
😂😂🤣
@rojazydos1609
@rojazydos1609 Год назад
huyu mwamba kwer miyeyusho
@mantaofficial1603
@mantaofficial1603 Год назад
@lsbproduction njoo uone mchambuz wa kiswahili
@alphadreammedia
@alphadreammedia Год назад
😂😂😂😂😂🙄
@fistonboy9870
@fistonboy9870 Год назад
Kkk
@nancyg8664
@nancyg8664 Год назад
Icho kichina🤣🤣🤣🤣
@zawiyatasha5098
@zawiyatasha5098 Год назад
Yani abasi🤣🤣🤣🤣
@salamanauthar5261
@salamanauthar5261 Год назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@shedrackdamian2870
@shedrackdamian2870 Год назад
Hahahahahaha
Далее
MASAI APAGAWA NA YANGA | NG'OMBE WANGU NAWAPA YANGA
14:25
Yatapita Behind The Scene Part 2
43:58
Просмотров 300 тыс.