Mambo Kama haya yalifanyika Sana Zanzibar miaka ya mwanzoni mwa siasa ya vyama vingi vilipoanza hapa tz na pale wa Zanzibari walipokua wanalalamika Basi wenzetu wa upande wa pili walibeza Sanaa na kusema wazanzibari kazi yao siasa tu Sasa jee mnaona uhalisia wa kuwa wapinzani? Lakini mbilili unapohitaji mabadiliko (ukombozi wa kweli) hayo hukutokezea Mara kwa Mara ila tumuombe Allah atuhifadhi na awahifadhi watanzania kwa ujumla
Mambo haya hayakubaliki ktk jamii yenye ustaarabu na kuheshimiana! Rais anayemjua Mungu kwamba yupo Mungu! hawezi kuruhusu vitendo vya aina hii vinavyohusishwa na vyombo vya dola..HAWEZI KURUHUSU! vyombo vya dola haviwezi kuwa na magenge ya kufanya uhalifu kwa kulindwa na sheria!
@@huyu1993 wewe ni mjinga hujui lolote..marais wanaoshitakiwa ICC huwa wao ndio wameua? Halafu shika adabu yako si kila mtu unaweza mtisha..shenzi typ!
Wewe ni nani unaetowa amrita kwa jeshi la police, unachotakiwa kufanya ni kutowa ripoti kwa kituo cha karibu...watching wenye kazi zao wafanye... Fikiria mbona kina watu wengi hawajachukiliwa na vyombo vya usalama... Acheni tabia ya kujihukumu kwa vitendo vyenu wenyewe... wasiwad wa nini tena ? Stahamilini ndio utajuwa maana ya silikali....