@@SaidKondo-i2tobviously akili yako sio nzuri , hakuna alilazimishwa kuandamana na mwenye akili anabak home anatulia, wewe sio Mungu ad ujue kilichompeleka kanisani anaejua ni Mungu na atakae hukumu ni Mungu we binadamu kaa kwa password na uache kutukana mitandaoni ni unathibitisha tu kua huna busara ,kwan huez andika kawaida ad utukane , angekua kaka ako ungemtukana humu hayo matusi, nonsense
Yakikukuta wew ktk familia yako ndoutajua 1+1=11 au =2 ndoutajua ushwari wake,kichaa wa mwenzako anachekesha sanaaa ila akiwa wako anaumaa ndugu yangu ko kabla hujaandika ujumbe akili yako inatakiwa ifikiri sana zaid ya sanaa
Si waingie tu kanisani kumkamata ? Huyu kama angekuwa muislamu msikitini basi wangeingia kumkamata. Khabari za kilwa munqkumbuka alivyoeleza Mh.mbunge ?
piya. asome bible.vizuri understandar huko kanisani aje namajibu mazuri katika watu wake.na.Mungu wake piya.asiforget pray raisi Tanzania nijambo zuri.kwake.kama leard wake piya na chama chadema piya marafiki zake ccm piya ili Mungu.ajibu.maombe.yake ibada chema mtu wa Baba.
Siku wakifanikiwa kuitoa ccm kisasi ni lazima hta kwa watoto au wajukuu nafikiri itakuwa fundisho kwa viongozi katili na wanaona kama wana hati miliki ya nchi hii
Wanajiweka tuu wenyewe nchi naona ishakuwa yao ccm pekee ila kila kitu kina mwisho na huyu ni dikteta mwingine sasa ameanza na sisi raia wema kwa vitisho na mitutu ataishia kwao tuu ngoja tupo apa mtaona...mbona yalishawatokeaga puani 😂