Hivi hii nchi inakoelekea siyo kuzuri mbona maaskari wanauwa watu mara matuma watu wabake na kulawiti mayatima wanazidi kuongezeka watumishi wanaosaidia yatim mnawafukuza kwa kweli wanadamu tumekuwa wanyama kabisa
Alafu nasisi tunabaki wajane tunaumia sana jamani familia bila baba ni ngumu sana Bora atwaliwe kwa mapenzi ya mungu lakini kuzulumu uhai wa mtu jamani tunaumia sana 💔💔💔😭😭😭
Una mwita wewe kama nani? Acha upuuuzi hata mama yako uwezi mwita bila Adabu Wala Heshima namna iyo. Tiini Sheria bila shuruti kuepuka fedhea ya kukamatwa kwa nguvu na Mtu unajijua mgonjwa imetoka Hospitali kinywa dawa. Sasa Mh. Rais una muingizaje hapo?????
IFIKE SEHEMU HAWA POLISI TUWAFANYIE KITU ILI WAELEWE NA HILI NI TATIZO KUBWA MTU AKIFELI FORM 4 NDIO WANAMPA OPTION YA KUWA POLISI AMA MWALIMU mnategemea nini kama sio maamuzi yakisenge senge kwenye ufanyaji wao wa kazi
Unaongea nin wewe sio kila mwalimu kafel kama unazungumzia kitu zungumzia eneo huska uskariri maisha et walimu ni wale waliofeli Yaan kama huwez comment si ukae kimya bas wewe uliyefaulu tukupe hizo KAZi wew mwenye akili
Nngepiga picha zakutosha wakati wa purukushani na hata wakati maiti imepigwa pingu ...ila yote kwa yote poleni sana na Mungu ndo hakimu wa kweri. Poleni sana
Apo siyo picha,,wangetakiwa wapigwe marungu ya kichwa wafie apo,,kwanza saiv askar wakionekana wakishambulia raia bila sababu za msingi ni bora wananchi wawashambulie tuu
Na bado hao wananchi hawajasema .. Tatizo la TZ shida hadi ijumuishe wote ... Mbwa wananchi endeleeni kusema bora amani Amani ya mkundu Tuingieni road kabla hatujaisha
Sheria gani inampa askari mamlaka yakumpiga mtuhumiwa......??? Tena ni mfanya biashara wa vyuma chakavu na kauziwa na Huenda jakujua kua Mali ni ya wizi... Hii sio sawa.... Tukutane 2025...🙌🙌
Hiiii itakuwa. Vita kubwa sana ya raiya na polisi kuna mwaka ilitokea kama hivi wananchi mnashindwa kuwashuhurikua.hawaa wanauwa.watu kama ni mhalifu. Siushamfunga pingu kwa nini tena unachukuwa sheria mkononi ikiwa wewe ni chombo cha usalama Halafu mnasema MBOWE ni mbaya matukio kama haya mtuu anaacha ..damilia.mtaitunz ndioa nyinyi 😢😢😢😢
Kwa kweli nchi hatuna tena. Zaidi ya ishara mbali mbali za bendera na vitu vichache. Ni aibu hata kuongea habari kama hizi leo hii. Bora tuanze upya tena. Uhuru ni nini... Na tuna vision gani mbele yetu kwa ajili ya ardhi hii na watu waishio juu yake kuanzia sasa kwenda mbele
Familia poleni sana, polisi mjitafakari sana kwa mauaji ya raia. Pingu imewaumbua, lasivyo wangekana hawajui!!!!. Hovyo sana!! Mikono ya polisi imejaa dam u. Na Mungu atawalipa dam u mnazomwaga. Dam hii itakula vizazi vyenu.
Samia aone kwamba hii nchi sasa inamshinda jeshi la polisi lazima livunjwe liundwe upya, lazima tume huru iundwe kuchunguza shutuma zote hizo dhidi ya police.
Kwa masikitiko makubwa, baadhi ya wahusika waliopewa jukumu la kulinda na kutetea raia ndio wanaofanya vitendo vya ukatili. Hii inazua shaka kubwa juu ya uaminifu wa vyombo vya usalama na inatishia amani ya wananchi. Ripoti za watu kutekwa, kujeruhiwa, au hata kuuawa na polisi zimekuwa zikiongezeka, na zinaacha athari kubwa kwa jamii nzima. 🥺🥺
Aliyetunga sheria ya kulinda vyombo vya dola visihojiwe vinapotekeleza kazi zake zisihojiwe alishatangulia... Ni kumuomba Mola tu, ni vema askari akawatambua hao raia waliomshambulia ili wawajibishwe, na maelezo ya raia dhidi ya tuhuma zinazomhusu askari yapewe uzito.
@@asinahussein2176kwa nn sasa matukio kila siku wauwaji hawapatikani kila siku ni watu wasio julikana jeshi la polisi linafanya kazi gani kama sio wao ndio watendaji 😢
Kwaiyo kama pingu inatengezwa tu walipofika hospitali hao waliotengeneza walileta funguo mbona unapenda kutetea kitu ambacho unaona Akina ukweli au na wewe ndio askari usiekua na utu Wala kuzingatia mafunzo maana wanayoyafanya maaskari sasaiv ni unyama kwasababu Sheria za kukamata mtuhumiwa zinajulikana na kama ATii sheria kimafunzo wanajua ni sehemu gan watamtuliza na sio ivyo wanavyofanya uko ni kutengeneza chuki na raia mwisho watawapa nafasi wanaotamani Amani yetu @@asinahussein2176
Samia kweli mauaji hataisha kwa maskarì wako kweli mama yangu umewapa uhuru kama huu Mungu asimame na wasio na haki wapa tanzania kweli Mungu tutetee tutaenda wapi sasa ambao hatuna haki.
Aiseee mi mpaka sasa kichwa kimesha choka mauaji mauaji kila nikifika kwa millard ayo 😢 na chanzo lazima police wausishwe ivi hatuna kiongozi wakutoa kauli ikafatwa kiukweli nina hasira ila itajulikana tu bado kidogo
Me kwa maelekezo ya huyu Dada inaonekana TU Kuna kundi la wahuni ndo linaendesha huu uhalifu hivi maasikali watampiga TU mtu hivi bila tatzo na kumuuwa😢hii hapana aisee
maaskari wanakupiga Tena vzr tu wangap sahiv Ni vilema wamepigwa na maaskari unajua mambo yakifika hvi siyo kila kitu unatetea ndugu ungekuwa upande wa hiyo familia ungejua machungu wanayopitia maana kumbuka uhai hujirudii na bado familia inamtegemea
mtu amefungwa na pingu ataweza kukimbia ? Je akitaka kukimbia ndo utumie nguvu kiasi hicho ? acha kutetea uovu fikiria ni kakako amefanyiwa hivyo, fikiria mke wake na watoto fikiria ni mwanao au babako angefanyiwa hivyo ? Utawambia wananchi wasichukue sheria mkononi kama wewe unafanya hivyo ? kama ni kweli wamefanya hivyo hii laana itawasumbua sana na mbaya dhambi ya mauaji inarithi mpaka kwa watoto vilio vya familia vitawamaliza.
Utaenda na watu kwa sababu ya uniform au utambulisho? Taratibu ziko wazi, wangernda kwa balozi wajitambulishe wao ni askar na wametoka kituo gani na wanamuhitaji nani, pia walitakiwa waonyeshe vitambulisho vyao na warrant ya kumkamata mtuhumiwa au (RB) isingefikia mtu kukataa kwenda kituoni. Na kumpiga mtu kiac hicho ni kwamba walishammudu, had kumuweka kat na kuanza kumpiga ni waz waliamua kumpiga na c kuwa aliwakatalia. Huo ni utetezi tu. Hoja kubwa ni kwamba, kama waliweza kumfunganisha kichwa kat kat ya magoti yake mwenyewe, walishindwa vipi kumpeleka kituoni baada ya hapo??
Hii inauma sanaaaa😢😢😢. Najiuliza hivi kuna sababu ya kuwa na Askari polisi Tanzania? Pole mama. Pole familia. Inaumiza sana sana jinsi ambavyo jeshi la polisi linakosa na ueledi.m na utu. Too bad.
Samia anawakingia kifua kwahiyo hata wakiuwa ni atu inaonekana kifo ni kifo tuu kama cha kuku. Mungu amlaani huyu Raisi na amnyang'anye Madaraka aliyo nayo 🛐🙏