Mrembo Hamisa Mobetto amezungumza kuhusu Mwigizaji Elizabeth Michael "Lulu" aliyehukumiwa wiki iliyopita kwenda jela miaka miwili pamoja na uhusiano wao.
God bless you hamisamobetto you are good woman.God protect lulu pia 2yrs is like kesho,I usually stay 3yrs bila my family nazikiisha ua sijui.Be strong lulu
Nakupenda sana Hamisa kwa tabia yako ya uvumilivu, vilevile ex wake bwana Majizzo naye kakuvumilia, woote mmeanzisha mahusiano mapya, hongereni kwa kuvumiliana, tabia za kusemana vibaya sijaziona, nyie ni mfano
Daudi Maguha .huu ni upuuzi sana haena jipya Hawa watu kuna mambo ya msingi.hawatu wanaalibu maadili katika jamii ukifuatilia kwa undani utagundua lakini watu wengi hawafahamu
Unasababu yakuongea hvyo coz we siumetembea na mondi haliyakuwa unajua yupo na zari? nampaka mtoto ukazaanae so huwezi kuumia nawewe kwa hilo utakuwa mjinga kwakweli
Mwenye Enzi Mungu kakuumba kama ulivyo sasa unakwenda kujikongowa itakuwaje?unataka uwe kama mzungu utakuwa zeru zeru aaaah.natural ndio utamu, akiwa na mtoto atamzoea hivyo makorokoro yakitoka mtoto anamkimbia, chungu cheupe