Kicheche ni comedy mzuri sema hata yeye hana uongozi unaojitambua huwezi kuingia interview halafu ukawakashifu wenzako na kuwaponda kuwazihaki wewe umezaliwa umewakuta comedian wenzako mbongo akipita kidogo tu anatuna kama chura
Duh kicheche kicheche kicheche nimekuita mala tatu, na hii ni kwa xababu ya intavew yako, unakoxea kujipa ukubwa pa bila kupewa so cool down my brother do work, aneway unafanya vizuri ila kufanyakwako vizur kisikufanye ukaota mapembe hii ni tz
Kinacho kuja kuwaponza hawa wasaniii wetu yaan wanapo kuja kupata majina, apo apo wanaanza kujielekeza kwenye majigambo badala ya ku focus kwenye kazi mwisho wa siku ndio wanakuja kupotea kwenye game. Maana vipaji kila siku vipo vina zaliwa kwaiyo ukilijua hilo lazima ukae kwa kutulia🤔🤔🙌🙌
Katk hii interview nime vutiwa sn na kipaji cha huy dada mtangazaj ana kuja vzr mjini ,,,,, kwa haraka haraka unaweza ukajua Zamarad Mketema ....namuona mbali hyu Bint
Muache uchizi mwana hata kicheche hakamilike sababu haja tutosheya mwisho wafamiliya yakicheche tunaka mwisho lasivyo hatutazi 13:14 fwata tena muvi zake
Uyo Jamaa hajielewi uwezi ukawa chini ya mtu haliyakuwa una nafasi ya kutengeneza ngome Yako Sasa swali linakuja unashoot chini production ya mtu ivi inaweza kusema kwa kila content moja atakulipa million jibu linikuja sio kwel na ukiangalia uyo dogo ana account yake ya you tube asa unawezaje kumfaidisha mwenzio wakati Ww unacho kitu kama icho alicho kuwa nacho uyo anae muita meneger kimsingi wasanii wanatakiwa wawe na akili nzuri sio akili za kushikwa kama kuku dogo KICHECHE unatakiwa ujitambue acha ujinga lasivo utatumika sana tu
Mimi unafiki sinaga...... kicheche kwenye swala la pesa usijitangaze tena kama ulivyo sema milioni moja hiyo umearibu kua na Siri kwenye kazi zako. kwa kweli hapo umearibu. elfu moja ukitoa Mia inakuaje chunga Sana ofa zako usirudie tena siku nyingine... Mimi nakukubali Sana zaidi ya Sana pumbavu zake
Unasema mingi ndugu yangu na utaratibu wa sana hauombwi mutu ajitape sana uku kongo mbona haukufanya jambo la maana sana? Ulifanya playback uku, yani comedy Yako sio nzuri
Acheni kuonyesha nyumba za watu wasanii mnawapaza kwa kuwapiga picha kwenye nyumba za watu wakifa hata pesa za kuwapeleka kwao hakuna tumeona grip ya kisauti kawekwa kwenye gorofa nyumba aliyofia kibaha haina kuchwa wala miguu