Тёмный

MPAKA HOME: FEROOZ AKIRI KUVUTA BANGI 

Global TV  Online
Подписаться 5 млн
Просмотров 204 тыс.
50% 1

Subscribe / uwazi1
MBONGO Fleva wa kitambo, Ferooz Mrisho 'Ferooz' amekiri kujihusisha na uvutaji wa madawa ya kulevya aina ya bangi, huku akiipinga vikali umivi wa kujihusisha na ubwiaji wa unga.
Katika mahojiano maaluj na Kipindi cha Mpaka Home nyumbani kwake Sinza jijini Dar baada bya kuvamiwa usiku mnene, Ferooz alisema: "Nilikonda kwan sababu ya mawazo ya kufulia na kushuka kimuziki, watun wakasema navuta madawa ya kulevya, ukweli ni kwamba....," unajua Ferooz alifunguka yapi mazito? twen'zetu...
FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishe..., Subscribe / uwazi1 Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishe... FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli. .

Опубликовано:

 

4 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 291   
@sbizzowakunyumba4532
@sbizzowakunyumba4532 3 года назад
Dahhh nimeumia sana kusikia huna mtoto huna mke wala Mpenzi jamani dahhh kama nawe umeumia gonga like
@sarafinasarafina3144
@sarafinasarafina3144 4 года назад
Ferrouz We love you so much come back to the GAME ss umetusahau we love your music tunakukubali
@nikitadiamorelivingstone2831
@nikitadiamorelivingstone2831 6 лет назад
nakupenda sana ferooz hasa nyimbo zako za zamani, wewe. ulikuwa ni msanii bora sana na nyimbo zako zilikuwa na maana, sio hawa wauza sura na watafuta kiki wa siku hizi nyimbo siku moja imeisha chuja, huwezi amini nikisikiliza nyimbo yako ya starehe.yaani naiona mpya sichoki kuisikiliza, jipange rudi kwenye game Mungu atakusaidia, maishani kukosea ni jambo la kawaida na hasa ukitambua makosa yako bado muda unao wa kujipanga upya.
@shariffaabdalla2170
@shariffaabdalla2170 2 года назад
Nakumbuka tokea 2010 nahisi kuzisikia nyimbo zake kama ileee ya ukwimwi Yupo ivo ivooo hajabadilikaa Mashallah Hajazeka bado yuko fresh
@atukuzwemungudaimaariseand6156
Madawa atumii anavyoonekana.wanamzushia kumuharibia maisha lakini ujachelewa nikutie moyo songa mbele usiogope mungu atakuinua tena kazana jipe moyo usikate tamaa mungu anaweza
@Amishjuma
@Amishjuma 6 лет назад
Ferooz big up bro you can still make it life is full of ups and down dnt give up chaĺlenges modify life ... ferooz binadamu nilazima mitihani na Mola hawezi kukupa mtihani ambao huwezani kwani yy nimkarimu...
@sakinandoile9439
@sakinandoile9439 6 лет назад
Amishjuma exactly
@roselineojwang6176
@roselineojwang6176 6 лет назад
Farooze ujachelewa, people learn through mistakes, just focus like never before your voice is amazing. You will make it this time . Be blessed
@georgedinda7400
@georgedinda7400 2 года назад
Huku kenya huyu bwana tunamkubali kwa kweli aisee, kazi yake yaoneka kwa hakika.
@nurloy510
@nurloy510 6 лет назад
I love you uuuu ferouz nitafute nita kubusti kipenzi
@mosesmwananje7384
@mosesmwananje7384 5 лет назад
Nitoe mimi hata mimi naimba haha
@meshackbenjamin667
@meshackbenjamin667 5 лет назад
🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔
@kasimqessy9327
@kasimqessy9327 5 лет назад
NURU MWANGE mm nawezaaa
@atukuzwemungudaimaariseand6156
Usiogope. Songa mbele maisha yanabadilika kuishi geto nimaisha tu omba mungu pambana bado ujachelewa usiogope kaka kunakupanda na.kushuka jipe moyo wa kusikiliza watu songa mbele
@edwardkasubi1495
@edwardkasubi1495 6 лет назад
Atukuzwe mungu daima arise and shine Yeap kuna kupanda na kushuka
@isaacopolot2027
@isaacopolot2027 3 года назад
Pole sana Ferooz kwa hayo yote ulioyapitia. Lakini ni bora utafute bint moja atakaekusaidia kunyoosha maisha yako. Kinauma sana kutokuwa na watoto wala mke ukiwa na miaka hizo. Namkubali sana Ferooz. Ni msani kubwa sana yeye
@OctavianiRongino
@OctavianiRongino 3 месяца назад
Aojamaa dazi nunda tunawapenda sana wakizunguka nchi nzima watajaza kwenye shoo zao ila wafanye mazoezi ya viungo watapendeza afia zao hasa Daz baba ana mwonekano wabangi ila wakizunguka nchi nzima watatajilika watu Wana nia ya kuwaona
@mutumbamicheal1451
@mutumbamicheal1451 3 года назад
Love u Ferooz, I pray u come back big
@hadija846
@hadija846 6 лет назад
Mwimbaji mzuri sana😘🎉🎊💖💝
@WandeMagembe-qs2fc
@WandeMagembe-qs2fc 4 месяца назад
Kaka ucjly kaza roho mke mwema utapewa n Mungu kaka nakupenda sana ingia ulingoni nakuaminia tuliza akili ipo cku utapata mke mwema wa kukuthamini jinsi ulivyo pia nakuombea mji ulio mwemaaa kwenye usanii nakuaminia kura zangu ziko kwako achia ngoma weweee
@mwanashazinga9538
@mwanashazinga9538 6 лет назад
zidisha elimu my bro feronz na mungu yupamoja nawe
@husnakisungu5095
@husnakisungu5095 4 года назад
Nakupenda nakumbuka Sana nyimbo yako ya wema wangu umeniponza
@mosesjnr8436
@mosesjnr8436 6 лет назад
Huyu Ferooz n stress tu znamsumbua ila jamaa anaongea kiutu uzima sana , Kipindi kizuri sana sema Presenter huyu n miyeyusho tu ...
@paschalfrancis7674
@paschalfrancis7674 6 лет назад
penda sana bro angu mungu awe nawe daima
@mohammedabdallah6390
@mohammedabdallah6390 6 лет назад
Inasikitisha sana daaah maana huyu Ferooz aliutoa sana mziki wa bongo na nyimbo zake zilikuwa na mafunzo sana daah
@joycemashikolo9096
@joycemashikolo9096 6 лет назад
Ferous songa mbele upo vizuri sana
@MufaridjitchirimwamiAugustin
@MufaridjitchirimwamiAugustin 2 месяца назад
Namupenda sana ferooz sana natamani kumuona
@mariamoman7593
@mariamoman7593 6 лет назад
hata ungea yake iko poa hatumii madawa jaman binadam tunajua kuzush ya MTU bila uhakika
@miriamngosha6856
@miriamngosha6856 6 лет назад
Mungu atakusaidia tu mwaya usikate tamaa ni kweli umekonda sana
@hakikaoman5925
@hakikaoman5925 6 лет назад
uskate tamaa mungu yupo muombe mungu atakuitika tena .amiini
@fatumatunu2208
@fatumatunu2208 6 лет назад
Mungu hufukarisha tenahuenuwa omba mungu mm kutoka Kenya nakupenda frz
@levinakiluga3023
@levinakiluga3023 Год назад
Unaakili sana feroz
@duahamud1377
@duahamud1377 6 лет назад
wasanii wa bongo hawapendan na tabia yao wengi ukiwaona pamoja ujue wote wako vzr kiuchum na waweza sema ni marafiki.mabest zake wapo wa zaman na wako vzr tu kiuchum lkn wapo kima😏😏.Tabia mbaya hii tuwe wachamungu na tupendane ukweli wakupendana sio kinafiki.ferooz sio mtu wa kuhangaika kulingana na marafik zake wengi wako sawa tu tupendane jamanii❤️
@sylviemugeni1887
@sylviemugeni1887 2 года назад
kaka mungu alikupa kipaji tufanye nini uludi kama zamani tunapenda nyimbozako zazamani mimi siko mu tanzania lakini nakupenda sana natamani usimame de 🇾🇪🇨🇻🇰🇳
@evaristmandilindi6147
@evaristmandilindi6147 6 лет назад
safi sana ferooz kibabe ka mm
@kingoman7895
@kingoman7895 6 лет назад
Pigana my bro utafika kwa nguvu za ALLAH
@rosemarybenjamin5866
@rosemarybenjamin5866 6 лет назад
Stareh mlizipenda Ila mwishowake mbaya na kweli ferooz wew jaman saivi ungekuta unamke na watoto maskin lkin for now kweli itakuwa ngumu Kwa Hali iyo na usawa wa magu huu sidhan
@AmaniKasekwa-uw8hp
@AmaniKasekwa-uw8hp 4 месяца назад
Pamoja sana
@mushqafei6034
@mushqafei6034 6 лет назад
mbna uko juu unaweza baba
@halimaramadhani1135
@halimaramadhani1135 6 лет назад
songa mbe mungu yupo toa nywele izo kaka yangu pia andaa tamasha mpenzi tujilushe
@charlesrachier5444
@charlesrachier5444 6 лет назад
Kutoka ujerumani mkenya dogo rudia mahewa nakumbuka nilipokua bado naishi kenya ngoma poa
@prayzoodmaraboy796
@prayzoodmaraboy796 6 лет назад
Wewe ndo diamond wazamani
@leonardmtemi9125
@leonardmtemi9125 4 года назад
Ulinatujaaaa sanaaa nyandebheeee hahahaaaa
@johnmuna7428
@johnmuna7428 2 года назад
Nhana ghete o nyanda oyo we na tujaa
@prayzoodmaraboy796
@prayzoodmaraboy796 6 лет назад
Nakukubari feruz
@fatumatunu2208
@fatumatunu2208 6 лет назад
Usikate tamaa tumaini lingaliko mungu anajibu lako mm mkenya twakupenda ferooziii
@habsammussa8176
@habsammussa8176 Год назад
Mtangazaj hana talent kabisaaaa
@aishaasumany561
@aishaasumany561 3 года назад
Mtangazaji amelewa
@zuhuraally171
@zuhuraally171 6 лет назад
Mungu atakusaidia
@mariamsuleiman7159
@mariamsuleiman7159 6 лет назад
penda sana fferozi
@hawatognolasuleiman7832
@hawatognolasuleiman7832 6 лет назад
Mariam Suleiman .vipi dà ni hawa
@bajunihilali95
@bajunihilali95 6 лет назад
Mungu akubariki urudi kwa game
@bkm1048
@bkm1048 6 лет назад
ferooz songa mbele natarajia kazi kubwa kutoka kwako unaweza nakuamini
@hamiduissa6599
@hamiduissa6599 6 лет назад
pambana Broo ndo life hakuna kurudi nyumaa you are gentroman
@frolaglibaty809
@frolaglibaty809 6 лет назад
Felzi nitafte nita kubust
@mussatendeli6909
@mussatendeli6909 6 лет назад
hata siamin kama huyu ndo yule ferooz Wa starehe
@silverrichard2975
@silverrichard2975 6 лет назад
Yeah
@mudrikilitoine9945
@mudrikilitoine9945 6 лет назад
Iko powaaaaaaaaaa sanaaaaaaa
@ramah16
@ramah16 6 лет назад
Ferooz nakutambua sana sauti yako iko sawa
@dullahmfaume3350
@dullahmfaume3350 6 лет назад
Ongea vzr mtangazaji
@سبحانالله-ح7د
@سبحانالله-ح7د 6 лет назад
Pole sanaa.
@nightrobert6669
@nightrobert6669 6 лет назад
Mazwali gani hayo wemtangazani,uliza maswali yenye akili
@othumanmaulid7406
@othumanmaulid7406 6 лет назад
Pole kwa kuzushiwa
@lifestarkoech759
@lifestarkoech759 6 лет назад
Mtafute professor Jay bro akube kazi c lazima uimbe hadi useeni
@robertmaginga6132
@robertmaginga6132 5 лет назад
Mtangazaji kama vile mlevi sijui nikutathimije yani we sio mtangazaji unaboa bro.
@JosephatSivirike
@JosephatSivirike 4 года назад
Huyu bingwa yuko hai ama alitangulia mbele ya haki??? Nauliza kutoka Kenya
@mussayusuphu5436
@mussayusuphu5436 6 лет назад
Love ferooz
@billgatezebedayo2287
@billgatezebedayo2287 6 лет назад
Du powa sana
@mashadaudi8862
@mashadaudi8862 5 лет назад
kaka umetuangusha bado tu nakupenda sana buana ludi utupe ladha kaka maneno ya wat yasikuangushe 😢
@alibell5246
@alibell5246 3 года назад
Feroooz nyimbo zako nzur zinaelimisha jamii nazpenda sana
@sakinandoile9439
@sakinandoile9439 6 лет назад
Brighton badilisha style ya kuzungumza unatia mbwembwe hadi unakera jaribu kufanya km Calvin Shayo... Ferooz kaza buti life lina mengi ww bado mkali na mashabiki zako still tupo na wewe
@levinakiluga3023
@levinakiluga3023 Год назад
😂 nyinyi niwambea sana muwe mnaomba namba za simu ili kuomba appointment khaaaaa! Mtapigwa siku moja
@fatmat6883
@fatmat6883 6 лет назад
Jamani brighton wacha kumuuliza ya undani.
@fatherjaytz
@fatherjaytz 5 лет назад
Unahoji vipi wew mbna hujui
@fahadfahmy
@fahadfahmy 6 лет назад
Naomba Global muwe mnapitia hizi koment tunazoweka,Huyu mtangazaji masalu mwambieni atulizane na Mic,hatulii
@dinahmsulwa1612
@dinahmsulwa1612 4 года назад
hahaha
@newkhamza1339
@newkhamza1339 6 лет назад
tunakupenda ferooz
@starvstargsoldear6388
@starvstargsoldear6388 6 лет назад
ila bro mkweli sana katika maisha yako
@barakasophereth4896
@barakasophereth4896 6 лет назад
Hatumii hiyo siyo sauti YA kutumia Dawa.
@mdunungumbaa635
@mdunungumbaa635 6 лет назад
Nina namba ya ferouz anaetaka anicheki 0762580922 nimpe
@mdunungumbaa635
@mdunungumbaa635 6 лет назад
mtangazaji uko poa,achana na maneno ya watu,watu wanao sema haujui kazi wala sio wana habari,cjui mtu unawezaje kujua ubovu wa gari na spea inayotakiwa wakati hata garage haukujui.watanzania tupunguze ujuaji tuwaachie wenye taaluma zao wafanye kazi,mtu ni mpika maandazi ila anakosoa kama amesomea habari
@cestlaviecestlavie4073
@cestlaviecestlavie4073 4 года назад
@@mdunungumbaa635 , iandike hapa hiyo namba yake, uku ulaya wana mmisi
@kibeginiblue7188
@kibeginiblue7188 3 года назад
Ungekuwa ungefuga vidread
@elizabethcharles4902
@elizabethcharles4902 2 года назад
Mi namtaka jaman
@aishaasumany561
@aishaasumany561 3 года назад
Feruz njoo unioe Mimi basi tuyajenge
@Rahmamatengo6114
@Rahmamatengo6114 6 лет назад
Sauti yako inalipa bana tunakupenda bado rudi ufanye kazi na miss nyimbo zako zaukweli
@fatmat6883
@fatmat6883 6 лет назад
Ya usijidharau ulivyo kaa simple tu dunia ni mapito.
@moseskayan3705
@moseskayan3705 6 лет назад
Safi sana bro mràdi ujitambue .lakini we omba mungu
@sylviemugeni1887
@sylviemugeni1887 2 года назад
Uwimbo hauwezi kushindanidhwa ata sisi majilani tunatamani kumu ona Aki imba tena tuna muomba de utupe namba ya simu yako tu sa idiyane 🇨🇷🇨🇷🇨🇻
@mbarakasaidi8243
@mbarakasaidi8243 2 года назад
mtangazaji miyeyusho
@basagabernad4253
@basagabernad4253 6 лет назад
Huyu Mtangazaji hafai na hajui kufanya interview... Yaani kipindi hakivutii,hajui kuuliza maswali,Anaropoka ropoka tu.... GLOBAL TAFUTENI MTU MWINGINE
@sakinandoile9439
@sakinandoile9439 6 лет назад
Basaga Bernad wamrudishe Calvin Shayo huyu dogo hawezi
@basagabernad4253
@basagabernad4253 6 лет назад
+Sakina Ndoile Na pale Global Nzima Calvin Shayo ndio baba yao. Yule anajua anachokifanya ndiyo maana wanamtumia saana ktk matukio ya live 'Kuripoti habari za Live' Halafu sijuwi kwanini Global hawasikilizi wala kufanyia kazi maoni ya wafuatiliaji wao...ambao ni sisi... Ili kipindi kivutie ni lazima Watangazaji wawe ni wenye kujiongeza na kujua nini kifanyike.
@swagazerotv9320
@swagazerotv9320 6 лет назад
Ddda huyu mtangazaji anaboa
@basagabernad4253
@basagabernad4253 6 лет назад
+swaga Zero tv Saaaaaaaana
@zondomkali2205
@zondomkali2205 6 лет назад
Basaga Bernad.mimi ni mtangazaji nadhani ntawasaidia wana globo.wanitafute 0752454400
@nurumasunga6079
@nurumasunga6079 6 лет назад
Mtangazaji bado sana
@barikiarastus8770
@barikiarastus8770 6 лет назад
Wema wangu umeniponza bonge la nyimbo
@rosemarybenjamin5866
@rosemarybenjamin5866 6 лет назад
Bariki Arastus sasa machungu ya dunia anayaonja
@kennethsamwely1810
@kennethsamwely1810 6 лет назад
nimefurahi sana kumsikia feroon live
@lusekelomwasanga2815
@lusekelomwasanga2815 6 лет назад
mtangazaji mlevi balaaaa aisee maswali hayana ata mukshe mukshe ulevi mbaya chek chekin uyu jamaaa dah hapa global hamna hahaha ebwana eeeh
@makukamakaveli6581
@makukamakaveli6581 3 года назад
Huyu mtangazaji buree kabisa😂😂😂😂
@mariamsuleiman7159
@mariamsuleiman7159 6 лет назад
nakaza roho
@mohamedtabir7713
@mohamedtabir7713 6 лет назад
nampenda sana ferooz
@nicholausmbilinyi3587
@nicholausmbilinyi3587 6 лет назад
Usiombe mambo yawe magumu halafu asili yako ni dsm..huna kijiji cha kukimbilia ukalime.mmmmh!
@calvinpaul9141
@calvinpaul9141 6 лет назад
NICHOLAUS MBILINYI Atar sana unaeza jnyonga
@المهلهلالحراصي
@المهلهلالحراصي 5 лет назад
Kher yangu nimezaliwa kijijn aisee jiji likinishinda tu nafungasha mzigo yangu narudi kijijini
@gracbboykazangagracbboykaz5205
@gracbboykazangagracbboykaz5205 2 года назад
Feruzi
@Lahyzeecrucial
@Lahyzeecrucial 6 лет назад
Mtangazaji uko poa sana big up to you bro✌✌✌
@peterngaramila8218
@peterngaramila8218 5 лет назад
Global TV mtangazaji wenu hajui kuhoji
@samanthaali873
@samanthaali873 6 лет назад
Pole sana bro usijali utachanganya tu
@AmaniKasekwa-uw8hp
@AmaniKasekwa-uw8hp 4 месяца назад
We mwandishi angalia vitu vya kuhoji
@sylviemugeni1887
@sylviemugeni1887 2 года назад
hujachelewa kaka tunaomba namba za Simu
@mawesebaby5560
@mawesebaby5560 6 лет назад
Tumekumis brooo Rudi kwenye game
@jumahalifa1898
@jumahalifa1898 3 года назад
Kipindi kina elim vijana tutumieni ujana vizuri mana siku hazigandi mwamba nimfano mzuri
@nyambopastory7661
@nyambopastory7661 3 года назад
Acheni kumuhalibi bana bangi anayovuta ikowapi sasa mnaandika ili watu waendelee kumjadili vibaya
@mustafakijuso2356
@mustafakijuso2356 6 лет назад
Safi ferooz unaweza
@mbarakfarid331
@mbarakfarid331 6 лет назад
Umekonda Brait......................on nini mbaya wasukuma wanakunyima sima ngumu na unapewa sima ya zanzibar nini
@pennystang6065
@pennystang6065 6 лет назад
Mbarak Farid unono ni ugojwa
@bonnysure1082
@bonnysure1082 6 лет назад
wew Jama unazinguwa ujue mbona Maswali ya madem2 pengine hata ww ujaoaacha hizo😂😂😂
@nafisamohamad3182
@nafisamohamad3182 6 лет назад
Haya kama upo single nataka namba yako nianze kukutongoza sasa maana skuizi ukingojea kutaftwa na mwanaume utaishia kuzeeka home bora umtafute mwenyewe na usipoteze mda kusubiri kutongoza kama mwanamke unajiamini sana unatakiwa ww ndio uwejasiri kwa kutongoza nikikosa namba naja dar kukutafuta ferooz.😁😀😀😀natokea congo.
@bakarimwinyi3301
@bakarimwinyi3301 6 лет назад
Nafisa Mohamad wale madem viumbaumba wapo?😊😊😊
@D-mox
@D-mox 4 года назад
Kma umeipenda nyimbo hiii bonyeza hapa kusikiliza tena 10:21
@sylviemugeni1887
@sylviemugeni1887 2 года назад
tu natamani uludi kaka
@sylviemugeni1887
@sylviemugeni1887 2 года назад
tunaomba ata uludi tena kaka utupe namba ya simu yako tusa idiyane 🇨🇻🇨🇼🇾🇪🇺🇲
@sylviemugeni1887
@sylviemugeni1887 2 года назад
Wimbo wako mpaka lewo watufunza usi katetama utapita
Далее
skibidi toilet multiverse 042 Trailer
01:57
Просмотров 2,8 млн
V16 из БЕНЗОПИЛ - ПЕРВЫЙ ЗАПУСК
13:57