Mpina umezoea udikiteta, dunia imebadilika, sio kila kitu ni sheria hekima nayo itumike. Dunia inatafuta wawekezaji. Haki haipatikani kwa sheria ila kwa Imani kwa Yesu Kristo Wagalatia 3:10 " Wote walio chini ya sheria wako chini ya laana. Mpina sheria ni kama kioo tu kama kwenye dressing table soma Waraka wa Yakobo.
Hata apewe siku nzima, je anayoyasema yanafanyiwa kazi.Mwigulu anafanya mambo mengi kinyume lakini bado wanamlinda inashangaza sana. Sijui kwa uvaaji wa tai ya bendera au ?anachota fedha kufungua miradi yake huyu ,nchi haina huruma na raia wake wanaburuzwa wasiojiweza ila muwekezaji anapewa misamaha kuiba rasilimali zetu raia anaejikongoja kodi za kila aina. Wao wanafungua makampuni na kujilimbikizia