Hapo ndipo mtakapotambua kwamba, wabunge mpo bungeni kupora kodi za Watanzania na siyo kuwatetea. Nafsi zenu ziwasute kwa jinsi mnavyo waumiza Watanzania kwa kuwatetea Watawala kwenye mapungufu yao ya kiutendaji. Wengi wameumizwa kwa chuki hivyo hivyo. Mjifunze kusimamia haki bungeni. NINAMNUKUU G. LEMA. ( MKISHATUMALIZA MTAANZA KUUMIZANA WENYEWE)
C.C.M sasa hivi iko mara mbili A.ccm ya wale waadilifuwachache wanaofanyakazi kwauadilifu nawanaojituma kwa ajili yamanufaa ya Taifala Tanzania hiyondiyo CCM yamwalimuNyerere CCM B ni ile ambayokilawakati nawakowengi ni kuteteanakushabikia auuozowa mawaziri walionyuma ya maafisadi yanayoyumbisha nchi hii hukuwaonawale ndiowanufaika wakubwa huku nchi nawananchi wakiwahoi bini tabani. Wearewatching this daily.
GALATIANS 3:10 For as many as are of the works of the law are under the curse: for it is written, Cursed is every one that continueth not in all things which are written in the book of the law to do them. Haya ni maneno ya Mwanasheria Paul aliyoandika miaka mingi iliyopita lakini kwa bahati mbaya saana Dunia bado ipo chini ya sheria kwa hiyo imelaaniwa tumwombe Mwenyezi Mungu kwa jina la Yesu Christo ili tupate neema ya kuwa juu ya sheria......
Kwa nin usingetulia tuuu ndio tunafahamu kinachoendelea bungeni wanainchi tunaona ila usingekuja huku tena kutoa maelezo naona unaenda kufukuzwa ubunge kabisa pole sana
Wananchi was kesesa na watanzani Kwa Julia. Peni Santa . Naomba watu kama spika na wenzake, waspewa uongozi unaotokano na wananchi. Mtu akiomba kupewa uongozi, muulizeni mpina aliwa osea Nini? Has CCM na watu wake. Kuuhukumu mtu kabla ya kumsikiliz? Ccm mko wapi? Munatuharibia chama. Na mmekuwa mapanya, wanouma na kupuliza Ili mtafune zaidi.
Katika watu waliochanganikiwa ni pamoja na Mpina, nadhani alikuwa anajiamini sana kwamba hangeondolewa uwaziri, sasa kichwa chake hakijakaa sawa toka wakati huo. Mambo ya ndani ya bunge anatuletea sisi tuhoji kwa nani kwamba anachoongea ni kweli? Wakati mwingine kunyamaza ni hekima na aongeaye maneno mengi hujitengenezea mtego wake mwenyewe
Bunge la tulia halina meno ya kuwajibisha selikari bali meno yake yapo kwa kuwasurubu waliopo upande wa wananchi. Kwahiyo bunge ni kibogoyo pia ni dhaifu na hilo hata CAG aliepita alisema na kutolea ufafanunuzi ila mwisho wa cku kila upande wa madalali wa mali za uma walijaza inzi kila kona ya nchi
Mpina msanii amepewa fungu na viwanda vya sukari sukari kila ikifika ramadhani inapanda watu walitaka sukari sasa kama walipewa wauza simu badia kachori sisi tulitaka sukari iwepo ya kutosha🎉nyingi hayo malumbano pambaneni wenyewe ila kwa maoni yangu bashe baada ya kuchukua maamuzi sukari ilishuka bei nandio tulichokitaka sasa mpina kama hapendi tupate sukari na ishuke bei akijitia anatetea wananchi uongo mtupu
Hata hivyo hii inachekesha walionuna, yani inashangaza mijitu inayopatikana na wizi wa matrilion of sh hawaguswi, yaani wanalindana, ila mtumishi anaesema ukweli kuwatetea watu wa hali ya chini anapewa adhabu haraka kuliko upesi.. mpina wamekunoa, ukirudi umenoleka vizur. Dhahabu yetu wewe.
Wewe umeishiwa unataka madaraka na unataka wananchi wakuone huruma.tunakumbuka yte wakat ulivyokua wazir .je unakumbuka kuhusu samaka 😢😢😢mnafiki tu ww na ni mbinafisi