Kikwete is trying hard to rewrite history alikuwa Rais wa ovyo sana watu waliiba mali za umma wanavyotaka na yeye mwenyewe alituibia kupitia safari za nje zisizo na tija tofauti na Baba Magufuli hakuwahi kwenda ulaya na maendeleo tuliyaona
Kufanya mahojiano na mtu kwenye televisheni ukiwa umevaa miwani ya jua kunaweza kuonekana kama ni kutokuwa na weledi ama kuwa kinyume cha maadili katika uandishi wa habari.
Ni mchawi na ameenda Nigeria uchawi huu mkubwa ni wa Samia suluhu Hasan, Samia ni jina la mtoto wa Rafiki yangu mama yake anaitwa Juma,e, na Hasan ya baba yake ni jina la baba mmoja amefia UK na Korona, Suluhu itskuwa ya mtu mwingine hapa Tz. Na amesema anataka nyota yangu hawezii chukuwa mpaka nife ndiyo achukukuwe anataka kuuwa watoto wangu Kila siku.
Sanura siyo mama yake Diamond anamroga Diamond amenitoga Mimi vbaya sana,Mimi Zara Farah, na juwa Sanura vuzuri alitoka korogwe, kamuuwa mama yake Diamond na Baba yake, na ameniuliya wazazi wangu wote , na mpaka Sasa ananiandama na mchawi wa Diamond ni Sanura peke yake, Sanura anaitwa Mwantumu.
Yani pale kazungumza kwa hekma sana mzee anajua hapa kuna wahuni washagawana kiwanja lakn sasa najua ninamamlaka ya kuwajibisha ila ngoja nitumie busara niende kwangu kujenga dahh lini huyu mzee tutaonana kuvuna busara zake😂🔥👍🏾
mnatakiwa muje na interview kuhusu afya kwa ujumla..huyu nasikia kuna vyakula hali na vingine anakula. alafu mazoezi anafanya sana..itasaidia hata watu wazima na vijana kuskia hekma yake. alafu watu wanajumlisha zaidi na kuishi maisha ya utauwa kumuita Mungu sana kila siku
Mh.Rais ukimwangalia nikama hazeeki ila umri inaongezeka ..soon atakuwa na 74yrs kweli kala chumvi nyingi last time nilibahatika kukaa meza kuu Moja pamoja nae pale Mlimani during Udsm marathon 2023 ..hakika Bado Mzee JK ana nguvu zakutosha.🙏