Kuzitamka trillion 15 okay... issues zinaleta matokeo gani Kwa raia wake? Governance is about results not performance alone ..watu wanataka kuona matokeo ...unaweza kujinadi kukusanya matrillion ya kodi kama hazileti matokeo hizo zinabaki kuwa nyimbo tu...kumbuka tulivyoahidiwa gesi ya mtwara na faida lukuki zilizonadiwa...kikowapi? Tunahitaji utayari na udhubutu wa viongozi wetu katika kusimamia utelekelezaji wa haya yote.
Matokeo gani wakati wanaenda kutoa Ajira za kudumu 100,000 na vibarua 500,000. Pia Viwanda vitakuwa 200 in maana Serikali itaingiza Faida ya Tirioni 14. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿
Kwamba wew unataka faida gani kubwa zaidi ya ajira hzo laki 1 kwa watanzania?, hayo mengine ya faida kwa serikali utayaona kupitia huduma za jamii ila faida ya moja kwa moja ni ajira na kipato
China na Urusi ndiyo Marafiki wa Afrika. Uchumi wa Viwanda unakuwa kwa kasi kupitia Uwekezaji kama huu katika Sekta Binafsi na Bandari kupitia DP World Iendelee ili tufikie Malengo ya Tanzania ya Viwanda. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿
Kwenye uwekezaji katika Nchi mbalimbali Duniani China inanafasi kubwa Sana na imewekeza kweli lakini unapoijumuisha Russia katika uwekezaji Nchini Tanzania na sehemu nyingine Duniani huo ni upotoshaji au ni siasa tu,Hakuna miradi ya uwekezaji ya Russia katika Tanzania na Africa kwa ujumla. China ndiye mwenyewe kwenye uwekezaji na ujenzi wa miundombinu ya Kisasa katika Africa basi.
@@modestwenceslaus9 China na Urusi ndiyo waanzilishi wa BRICS na sisi tuko njiani kujiunga na BRICS. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿
@@Hillary_Daudi_MremaChina anamalengo ya mbali Sana katika uwekezaji Dunia nzima na ndiyo maana yeye anafungamana na Mataifa yote katika Biashara hivyo hajajifungia katika BRICS kwasababu Uchumi wake ni mkubwa Sana hivyo pande zote za Dunia yupo tu.
Sioni haja yamanenokibao wakati hata iliopo bdo haisimamiwi huyu mama wa kambo hatufai reli mpaka Leo tunauliza na hatujibiwi Moro dar anakua kama hayawani mastory
Hapo ni pwani boss, n pia kuna mtanzania nae ana konganni yake utakuwa na viwanda 208, n pia kuna kampuni kama 3 zimesha pewa maeneo na wao wanajenga kongani kama hyo