Hongereni kwa kazi nzur sana nishauri jambo Fanyeni mpango kuwa na mobile App kwaajili ya wakata tiketi ili kurahisisha utaratibu wa kupata tiketi Asante.
jamaa anacho ongea Ilikuwa ni vision ya mzee mwinyi ila alipo ingia mkapa Alivuruga sana hii logistic Ya treni akaruhusu malori Ila kama wanairudisha Tena Ni wazo zuri.
@@BlackPanther-xx8dn wapeni mtaona kama shirika la reli litaendelea kuwepo. Suala hili zuri lakini zitungwe sheria za kulinda masilahi ya taifa. Kumbukeni sisi kama wananchi ni wabia, tumewekeza kodi zetu. Ni lazima wabunge wakae na kutafakari kwa kina kabla ya maamuzi hayo. Mungu ibariki Tanganyika.
Duniani kote usafiri wa treni ni bei nafuu na lengo ni kuwasaidia wananchi kwa kuwa imejengwa kwa kodi za wananchi hivyo naul inapaswa kuwa chini,,,Toa kamasi kichwani humo uweke akili.
Mbona kila kitu kinaanza ilala au kinondon hii mi naona ingeanzia steshen hadi mbagala hadi kisemvule maana ndo sehemu inaongoza kwa watu wengi na changamoto ya usafiri kuliko sehemu zote kati ya dar na pwani
Mradi kama huo unakuwa na ulinzi na elimu hutolewa,mkurugenzi hapo kazungumza fiber wire na cable zinakatwa na kuibiwa wakat sgr kwa sasa ipo huko kwa wastaarabu na haijafika bado kwa wenye tabia hizo? Wezi wapo dunian kote kaka!
Muhimu TRC kuwa na askari police wake wenyewe ambao wamehajiriwa na TRC ni police kama police wetu na watakuwa na hadhi kama police wa kawaida kuweza kukamata mtu yeyote hatskaye fanya kosa na kuwakilisha mahakamani Pia kuwa na plain police ushauti naona kutatoa mZigo mkubwa wa mapolice wetu ambao wanafanya kazi kubwa kulinda wananchi na mali zao
Je tiketi zitakuwa za campuni yao au ya TCR kama huku Ulaya campuni binafsi tiketi zinakuwa za Serikali kama TCR hukuti tiketi za campuni binafsi sehemu ya kukata ni moja
Uswahili umetuzidi sana sie. Watu wanahujumu miundombinu ya reli, wewe unasema tutaendelea kumassage kidogo!!! Chukulieni hao wahalifu hatua kali iwe fundisho kwa wengine.
Umeme bado uko monopolized aichieni private sector pia kama Kuna wa tanzania wawekeze.. Na pia tuachane na fikra za kutumia mafuta tena.. Dunia imeshahama tuwe na fikra za kutumia green energy ⚡ pls pls mheshimiwa pls
Hifadhi ya reli ya kutokea Pugu Hadi Tanganyika Packers kiwandani Kawe ilikuwa kwa ajili ya mifugo ulikuwa mpa ngo wa serikali ya Mwalimu JEE mna mpango Gani mbadala kwa ajili ya maendeleo ya usafirishaji abiria katika Jiji?
Ushauri wangu hii tren nimepanda kuna seheem wasimamiz wa hii tren wamekosea wameweka pis mbovu kwel piss kari zote ziko kwenye ndege tunaomba tuletewe piss kar kwenye tren hii ya mwendo kasi😮😮
Yanaongea yanakunywa maji,kumbe hamna kitu.Train yenyewe inaonekana kupitwa na wakati.Siti ya watu watatu nani.apande(Ushamba) Watching wamevqmia kila kona wameleta mabasi ya kisasa.
Hakuna kumtaja maghufuri hata angekosa yeye angetokea kiongozi mungine angejega tu mana sasa kila kitu yeye wengine hawana akili mbona kaviacha havijajengwa mama kamalizia vyote mboni yupo kimiya hacheni hizo
@@selemanisalum7685acha upumbavu miradi mingi maraisi hawajafanya jamaa kaonyesha uthubutu wa mambo mengi sana bwawa la nyerere wameliimba tangu nyerere akiwa hai kaja kujenga yeye alafu unasema asitajwe mbon kama una lana sele
Hao matajiri wamepata wapi hela? Nyinyi ni wezi mnaiba mali za jasho la mwalimu Nyerere na wannanchi waliojitahidi kuleta uhuru na ukombozi. Mtaondoka wote na matajiri wenu. Vibaraka mnaojitia kuongelea siasa za nchi na hamna lolote. Wananchi sasa tuamke na tukomboe maisha yetu mema bila matajiri kututumilia kupata kipato kwa faida zao.
Mbona sioni mwekezaji mwaafrica au uwekezaji ni rangi? Aliyeweka hizo picha ana inferiority complex, japo hajijui. Sera zetu lazima ziseme kwa kutumia bajeti ya nchi tutawawezesha WAAFRIKA au watu weusi kuwa wawekezaji. Na sio kuishia kusema mwekezaji ni mtu mwenye mtaji. Wakimkosa Tanzania watamtafuta Europe.
Kwani baharesa yeye si mzawa, sema hujaona mkristo tu, kwani nyie si wafanya biashara, subirini nafasi za ajira serikalini mpeane wenyewe kwa wenyewe. Waislamu wacheni wajitume kwenye hizo sekta binafsi watapata neema na baraka huko huko mnakolazimisha wawepo. Tena mkiwaona wanaingia kwenye uwekezaji mseme mbona hakuna mtu mweusi.
@@Sheba4651Majibu yako ndiyo yanadhihirisha "inferiority complex" ambayo mwenzetu kaitolea maoni. Haya mawazo ya udini ni ya kijinga, ni ushamba na upumbvu"! Hivi wanaofanya kazi maofisini wanaajiriwa kwa sifa ya Imani yao ya dini au sifa za kitaaluma na ujuzi wa kazi husika? Kwa hiyo wanaobarikiwa katika kazi zao ni wafanyabiashara waislamu tu tena wenye asili ya kiasia? Mawazo ya kipumbavu sana!
Baadhi ya wawekezaji sio wazalendo ni corrupt wanaenda kuliua shirika. Kama watakuwa treni zao hii inanipa picha wanaenda kuchukua sehemu kubwa ya mizigo na treni faida kubwa iko kwenye mizigo Management ya trc kuweni makini sana katika kusamamia kwani wananchi wamewekeza pesa nyingi wanataka matokeo .
Angalia kwa jicho la mbali zaidi! Hawa Hawa viongozi wetu ambao wanachota mabillion serikalini ndiyo haohao wataingia ubia na matajiri waliyotajwa kuendesha biashara ya usafirishaji kupitia SGR, halafu sisi wananchi tuambulie kubebeshwa mzigo wa kulipa madeni ya ujenzi wa mradi huu. Kama serikali imekopa kujenga reli inashindwa nini kuliwezesha TRC kuendesha mradi ukafanya kazi "to the maximum capacity"? Mfano, Bakhressa ndiye msafirishaji mkubwa wa mizigo na ndiye angekuwa mteja mkubwa wa TRC Sasa unapompa njia na kumshundanisha na TRC, TRC tayâri kafubgwa miguu!
Ninahofia pia hao matajiri wataanza kwenda kuingia ubia na waleta mizigo huku kwetu ili ikifika iende moja kwa moja kwao kwa hiyo TRC watakosa na watabaki kuangalia tu mizigo ikija na kupitiliza kwa hao wasafirishaji binafsi
Kuna tatizo kubwa sana kufikiria , kukosa uzalendo Na corrupt minds yaani akili zilizokuwa zimejaa rushwa, kwa Nini muwape njia za reli au wahindi Na magachori na muanze kugombea wateja mwisho wa siku hao wahindi waarabu Na magabachori watachukua wateja wote wa mizigo Na TRC ishindwe kujiendesha kwa kukosa wateja wa mizigo tena kwa mambo ya ovyo ovyo ya Tanzania hata wafanyakazi wasio wazalendo wa TRC wanaweza kuwa wanalipwa pesa Na hao magabacholi na kuwapeleka kwenye treni za magabacholi! Huu ni upuuzi Na upumbavu kabisa kufanya huu uamuzi hivi huko serikalini wanaofanya maamuzi ni vichwa maji au wana masilahi yao sidhani kama Rais yeyote makini angekubali huu upumbavu mrefu !
Kwa hiyo ni mantiki gani kuwaachia hao wahindi na magabacholi kuleta treni zao za mizigo hamuani mtaanza kugombea wateja Na nyie mtakosa wateja, Tanzania 🇹🇿 inakufa kwa watu serikalini kukosa uzalendo na wako corrupt !
@@salimmalaka256 uzalendo kwanza sio nchi hii ya wahindi Na magabacholi ingekuwa enzi za mzalendo Magufuli asingekubali usenge huu mna rais Samia mpumbavu Na sio mzalendo ndio maana kuna mipango kama hii ya kisenge