Тёмный
No video :(

MRISHO MPOTO :ACHA KUTEMBEA PEKU MZIKI WAKO NI WAWAZEE 

Wasafi Media
Подписаться 4,7 млн
Просмотров 90 тыс.
50% 1

𝕎𝔸𝕋ℂℍ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝕋𝕍 📺
𝗔𝗭𝗔𝗠-𝟰𝟭𝟭 | 𝗗𝗦𝗧𝗩 𝟮𝟵𝟲 | 𝗭𝗨𝗞𝗨-𝟬𝟮𝟴
𝗦𝗧𝗔𝗥𝗧𝗜𝗠𝗘𝗦-𝟰𝟰𝟰 & 𝟯𝟯𝟯 | 𝗖𝗢𝗖𝗢𝗡𝗨𝗧 𝗧𝗩-𝟮𝟬 |𝗗𝗼𝗱𝗼𝗺𝗮𝗖𝗮𝗯𝗹𝗲-𝟭𝟭𝟯
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝕃𝕀𝕊𝕋𝔼ℕ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝔽𝕄 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
𝔽𝕆𝕃𝕃𝕆𝕎 𝕌𝕊 𝕆ℕ:
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2020 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Опубликовано:

 

22 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 181   
@dopekillerchiwanda7574
@dopekillerchiwanda7574 3 года назад
Kama Ni mdau wa sanya like apa plz
@judithmmary4124
@judithmmary4124 3 года назад
Sanya juu tupoo
@dullahd336
@dullahd336 3 года назад
Uko juu mdau
@EastCoasTGorilla90
@EastCoasTGorilla90 3 года назад
Salute Sana mpoto!! Wengi hawawez kumuelewa..lakin Kama unajua unajua tuh. Uncle ni spiritual teacher na lazima uwe open-Minded kuweza kumsoma vizur..wengi bado mental enslaved to see the real picture..they not ready for this know-ledge.
@akonchris6692
@akonchris6692 3 года назад
A prophetic thinker
@hamedabashir9
@hamedabashir9 3 года назад
Walosema mo kahama wa Safi tyuwazomee kina mwijaku mm binafsi na kufatilia nikiwa omani
@officialbntrasool5223
@officialbntrasool5223 3 года назад
Mrisho mpoto ameniinspire kwenye utunzi🤗🤗🤗 nmpenda sana
@gerkombo6512
@gerkombo6512 3 года назад
Wabongo wanafiki sana
@lelarubea6405
@lelarubea6405 3 года назад
Sanya unafanya kazi vizuri sana
@martinsimba977
@martinsimba977 3 года назад
Sanya nembo ya mtaa 😁😁😁😁 ulinitisha mwanangu kutoka wcb 4life✊
@temboebeati5293
@temboebeati5293 3 года назад
Mo Unazingua sana Unapenda kutembeleea sehem zinajiludia wakat dar ni kubwa Sana achen upendele
@famitoissa5706
@famitoissa5706 3 года назад
Mor touwn sanya siku 1 utembelee, mji mkuu wa MOZAMBIQUE, hapa Maputo, kwa garama zangu Mr sanya.
@carlitacelestinopedro7127
@carlitacelestinopedro7127 3 года назад
Vamos contribuir para ele yaha
@emmanuelshayo4703
@emmanuelshayo4703 3 года назад
@@carlitacelestinopedro7127 muito obrigado
@carlitacelestinopedro7127
@carlitacelestinopedro7127 3 года назад
Não foi nada irmão 👌
@emmanuelshayo4703
@emmanuelshayo4703 3 года назад
@@carlitacelestinopedro7127 je ne comprends rien mon frère il faut parler français
@carlitacelestinopedro7127
@carlitacelestinopedro7127 3 года назад
@@emmanuelshayo4703 Je ne connais pas très bien le français
@abdallahamad4682
@abdallahamad4682 3 года назад
Ebwana uyo muongeaji wa kwanza ana akili za kufikirika.. chap chap na anajua anacho kizungumza
@mgallason...5686
@mgallason...5686 3 года назад
Wengi wanasema ni utamaduni na kudumisha mila, ukweli ni kwamba ukitembea pekupeku hasa Kwa kuikanyaga ardhi moja Kwa moja unakuwa unaongeza immunity Kwa kiwango cha juu sana, Kifupi unakuwa unaunganisha uumbaji wa mwenyezi #Mungu. Kuna faida kubwa sana kiafya kuikanyaga ardhi japo Hata Kwa Kutembea pekupeku Kwa muda wa nusu saa au zaidi Kwa siku na si tiles au cement.
@richardibrahim5609
@richardibrahim5609 3 года назад
Yes true unastimulate nerves from kisigino. Unashauriwa angarau kwa wiki tembea peku kwa cku moja. Ndo maana wazungu hucheza mpira peku kwny fukwe za bahari. So kukanyaga mchanga is very important than cement floor
@mgallason...5686
@mgallason...5686 3 года назад
@@richardibrahim5609 ndio maana Watoto na vichaa immunity zao Ziko juu sana because Watoto muda mwingi wanakuwa peku na vichaa muda wote wako peku.
@lyrics_forum
@lyrics_forum 3 года назад
Huyo Ana Maisha Mazuri, Hafanyi kazi Ngumu, Sasa mchimba mikaa na Watu wa Mbugani igeni Msikilizie😁
@mathewdeus3036
@mathewdeus3036 3 года назад
Mrisho mpoto 💥💥💥
@comrademifajr8592
@comrademifajr8592 3 года назад
Unazngua sanya ....gonga beat hueki
@waheedahtanzania4912
@waheedahtanzania4912 3 года назад
Hivi ni kweli Mrisho mpoto anatembea peku 😂😂
@fundirangi6453
@fundirangi6453 3 года назад
Nani kagundua sanya kasema Mpoto sogea huku wasije waka kugonga😂😂 akasema MPOTO SOGEA HUKU WASIJE WAKA akaishia hapo😂😂😂😂😂😂
@vituskabula4770
@vituskabula4770 3 года назад
😂😂😂😂😂
@johnteonas3144
@johnteonas3144 3 года назад
Mrisho Mpoto sio Mtu wakuchukiliya poa, mi napenda nyimbo zake sana
@reginaphilimon782
@reginaphilimon782 3 года назад
Yaaani ulijua kutupa muhaho jmni duuuh nimeturahi kukuon ten😀😀
@Balogetv
@Balogetv 3 года назад
MoSanya Unafeli wap Sasaivi mbona Ile Gonga Beat! Hakuna Aah Acha Ivo Bas Gonga Beat Nisehem Yakutufanya Ku Batasam 🤣🤣🤣🙏🙏🔥🔥
@abdullahnassor9504
@abdullahnassor9504 3 года назад
Moo town Sanya fanya utuletee na tin white baba
@gaudinamosnchobe4909
@gaudinamosnchobe4909 3 года назад
Tayari
@abdullahnassor9504
@abdullahnassor9504 3 года назад
Tayari uyo tin white au
@ab3ab313
@ab3ab313 3 года назад
Mrhisho mpoto nakupenda bure mungu akupe maisha marefu
@khamisbakar7637
@khamisbakar7637 3 года назад
Umekosa jibu katika dunia kila mmoja ana maisha style yake
@kilimanjaro9591
@kilimanjaro9591 3 года назад
He’s right ila mazingira ya zamani na leo siyo sawa👎🏿👎🏿😅 Plus unaposema mazingira ya zamani- tunasema ni ile mazingira ya countryside cyo miji wala industrial areas🤣
@thresherjordan6829
@thresherjordan6829 3 года назад
Kwelii kabisa sasa s salama kemikal kila mahalii
@simaiame3468
@simaiame3468 3 года назад
Perfect..hii ndio point.
@anthonykondobole3962
@anthonykondobole3962 3 года назад
Jamaa hana msimamo na point yke.
@mackeyofficial2777
@mackeyofficial2777 3 года назад
Atembei peku muongo uyo...Kioo cha jamii lakn ndio mpotoshaji jamii....
@Paplick9
@Paplick9 3 года назад
WCB for Life
@Puxladen
@Puxladen 3 года назад
Show ya kibabee
@abuu_town_tz7341
@abuu_town_tz7341 3 года назад
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 nembo ya mtaa💪💪💪💪💪💪
@ommietrendz7175
@ommietrendz7175 3 года назад
Editing leo haipo sawa mmekatakata vipande vingi sana, watu hawamalizi kuongea, story fupi za wazeee wa mwishoni hao
@michaelabeli570
@michaelabeli570 3 года назад
Motown sanyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa makn sana mzey nikajuwa ndo umesepaaaaah
@iamprincefelix
@iamprincefelix 3 года назад
Show yetu pendwa 👌🔥
@stanydizzy480
@stanydizzy480 3 года назад
😂😂😂😂😂 Jamaa kam ruka mbal sana hahaha
@boaziefraim5503
@boaziefraim5503 3 года назад
Kuna sababu ya yeye kuvaa hivyo, good
@najugames8270
@najugames8270 3 года назад
Nice sanya
@elijahm.muthini
@elijahm.muthini 3 года назад
Kutembea peku manake "bila viatu" 😬🇰🇪
@davido-scooper9471
@davido-scooper9471 3 года назад
Gonga beet mbn hamn unayumba mo town sanya
@timbukwa9771
@timbukwa9771 3 года назад
Mrisho mpoto sasa hivi amebakiwa asilimia 50 ya sehemu ya Rasta hadi mwakani 45 hivyohivyo hadi 0%.
@raphaelmfundo4139
@raphaelmfundo4139 2 года назад
😘😂😂😂😂
@philiporaiswawcbduniani1258
@philiporaiswawcbduniani1258 3 года назад
NEMBO YA MTAA 💥🔥
@kulwajeremiah1576
@kulwajeremiah1576 3 года назад
u we si. umehamia clouds
@boaziefraim5503
@boaziefraim5503 3 года назад
Jamaa kichwa ,
@jonaspaul132
@jonaspaul132 3 года назад
Kwanin msije mkoani uku kila kitu ni daa tu mnayumba
@mr.chaula4943
@mr.chaula4943 3 года назад
TEAM WCB FOREVER #WCB4life
@ismailbashirwa3077
@ismailbashirwa3077 3 года назад
Love from WE THE LOCALS TV 🇧🇮
@abdallahmsangy9892
@abdallahmsangy9892 3 года назад
Sanya fanya mikoani bac itakua nzuri zaidi dar es salaam kala siku fanya
@shabaniadolph7367
@shabaniadolph7367 3 года назад
Ujue nilijua Sanya katuacha kaenda clouds kiukwel ingeniuma Sana, atutak kukupoteza mjanja
@hamedabashir9
@hamedabashir9 3 года назад
Kabsa
@afterfull-time1348
@afterfull-time1348 3 года назад
Akienda kule hana jipya amuulize Mtiga Abdallah anaendelea huko EFM
@suleimanhassan2348
@suleimanhassan2348 3 года назад
🤣😂😂wabongo mwapenda ushindani wa ki funny
@TALLUBOY
@TALLUBOY 3 года назад
Magonywa mengi Ya milipuko Mzee mrisho Vaa vihata bwana Zaman siyo kama Sasa iv matunda yooote Yanapandiwa daw ikiwemo embe Pala chichi nanasi Na siku ukiwa unaenda sokon Matunda mengi unakuta Yame mwagika mwagika Yale yaliyo oza oza Wew unavyo enda kuchukua matunda Yakula na familia yako inakuaje aukanyagi uwozo wamatunda Ayo Muda unaenda sokon!??
@salehekibusa6518
@salehekibusa6518 3 года назад
Wa bongp bwaaan yaani kaamua kumchan mpoto live bila kupepesa macho
@abuu_town_tz7341
@abuu_town_tz7341 3 года назад
Uyo mtu kwanza kwenye gonga Beat alikuwa anaimba au🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 pamoja na Alie vaa tishert ya njano Ni noma🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@georgembilinyi2824
@georgembilinyi2824 3 года назад
Uy mpoto mwong cku ya mazish ya dkt John pomb magufur....camer zilimnasa akiw amevaa sendo leo yup peku mwong uyu.....
@nestoemanuel1768
@nestoemanuel1768 2 года назад
Tulio chelewa kuangalia kipindi kipindi Chetu tufahamiane hapa 🔥🔥🤞
@yogwesaid7435
@yogwesaid7435 3 года назад
Jamaa ana muhaho kweli we wataka nyimbo za matusi ndipo uelewe pumbavu kijana gani ww
@johntasinga1968
@johntasinga1968 3 года назад
Huyu jamaa wa kwanza kwenye hii interview tumuelewe vizur Mazingira ya sasa sio ya zaman Kwa issue ya mazingira sio sawa Ila for culture issue yuko sawa
@melomusictz1079
@melomusictz1079 3 года назад
nyirenda gonga beat like nying
@siriayubuismail1400
@siriayubuismail1400 2 года назад
Mimi kama Mimi nakupenda sans mrisho na mashairi yako
@firdaussheikh4817
@firdaussheikh4817 3 года назад
Wazee ni hikma🤩🤩🤩🤩
@hamisimfaumenamwewe193
@hamisimfaumenamwewe193 3 года назад
Huu ni wakati wakutubu. Siyo kujitoa fahamu. Hatukutupwa ktk ardhi.
@akonchris6692
@akonchris6692 3 года назад
Mrisho Mpoto yuko sawa.....anaconnect ardhi which is true
@mcdanta6919
@mcdanta6919 3 года назад
Nembo yaa mtaa ukihama wasafi umeisha Yani utoke wasafi uwende kwenye utopolo
@afterfull-time1348
@afterfull-time1348 3 года назад
Aulize Mtiga Abdallah
@pretty_witney8124
@pretty_witney8124 3 года назад
Kiubinafsi namuelewa sana mrisho mpoto
@setinswila9499
@setinswila9499 3 года назад
Hivi ni kweliiii😄😄😄 noumaaa sana wejamaa
@emmanueldaud8371
@emmanueldaud8371 3 года назад
Nakukubal mo sanya una kazii mbovu
@alhabibnachoaly3018
@alhabibnachoaly3018 3 года назад
Oya mchaga wapi hpo naona pisi kali za Kiswahili duh
@unclevirustv9772
@unclevirustv9772 3 года назад
Hyo jamaa wa kwanza mnafiki knoma😆😆😅 yan kamgeuka mtangazaj apo apo
@agnessnamwinga8643
@agnessnamwinga8643 3 года назад
Wasafi forever
@ivonmahenge
@ivonmahenge 3 года назад
Wangapi tuliohisi nembo ya mtaa kahamia Clouds?
@hamedabashir9
@hamedabashir9 3 года назад
Mwenyewe sikuamini
@afterfull-time1348
@afterfull-time1348 3 года назад
Uliskia wapi mtu atoke university na kurudi O level 😂😂
@boniphacekatunzi7865
@boniphacekatunzi7865 3 года назад
Naona mwamba Bashiri
@nabilsaid3521
@nabilsaid3521 3 года назад
Sanya mbona gonga beat hamuiweki cku hz???
@boazambokile2587
@boazambokile2587 3 года назад
Yani enzi za babu zetu na leo ni tofauti leo ongezeko la watu limekuwa kubwa bna mazingira pia yanaongezeka kuwa na daka nyingi kwa nini utembee peku
@mcdanta6919
@mcdanta6919 3 года назад
Kitaa kina elewa
@waytvtz2549
@waytvtz2549 3 года назад
Huwez kuacha kuvaa viatu kwamba unadumisha utamaduni wakati unavaa suruali
@maymbeyu5458
@maymbeyu5458 3 года назад
Aaaaah uyu mkaka jamani😂😂😂ati ngoma zako hazinivutii n sjui mbona hahahahaha
@salamasaid6905
@salamasaid6905 3 года назад
Mrisho yupo sahihi mbona bi kidude ilikwenda kwa malikia akuvaa viatu
@mwinukafundibombanjombe
@mwinukafundibombanjombe 3 года назад
Sio kweli kama ukitembea peku unapata magonjwa ni uongo.. labda kujichoma na miba
@KeKe-vp8nl
@KeKe-vp8nl 3 года назад
❤️❤️❤️
@Chekanamimi_
@Chekanamimi_ 3 года назад
Watu wangejua umuhimu wakutembea Peku hata siku moja tu,kushinda peku basi kuna mambo mengi tungeepuke
@boazambokile2587
@boazambokile2587 3 года назад
🤣 huyo mzee amesema ipo siku atauliza mpka atafika hapo waonane
@romakoko2292
@romakoko2292 3 года назад
Hawa watu wa gonga beat wakiekewa kizungu waimbe ama marafiki zao wafe si watatumaliza sote
@MoBunsen.001
@MoBunsen.001 3 года назад
😂😂😂😂
@rehemamsuya2263
@rehemamsuya2263 3 года назад
Hahaaa ngoma zako hazinivutiii jamaa kakaza asee
@bennagemeestate820
@bennagemeestate820 3 года назад
Aliyeona gia ilipochange hewani tia like
@simba_de_leo5042
@simba_de_leo5042 3 года назад
Nembo ya mtaaa 💥💥💥💥
@katobashiru5066
@katobashiru5066 2 года назад
sanya nakubal
@hamidujuma7263
@hamidujuma7263 3 года назад
Bongo la kipindi yaani mpaka raha
@generallylee1166
@generallylee1166 3 года назад
🔥🔥🔥🔥🙏🙏🙏🙏
@famitoissa5706
@famitoissa5706 3 года назад
Jamaa kawa mkweli ngoma zako hazinívutii
@gatimwita6052
@gatimwita6052 3 года назад
Yaani huyu mpoto namkubali sana
@youngtaiz8359
@youngtaiz8359 3 года назад
🔥
@maumaulid1452
@maumaulid1452 3 года назад
Kutoka rufiji naenjoy sana pindi ili
@michaelmsokwe1921
@michaelmsokwe1921 3 года назад
Gonga beat iko wap Sasa
@riksonforever1169
@riksonforever1169 3 года назад
Gonga beat vp sasa
@josephbangike2974
@josephbangike2974 3 года назад
Sanya mwanangu ulinichanganya sana kukuona na maik ya kliauz
@maishayetufilm
@maishayetufilm 3 года назад
Hivyo vipindi vilirekodiwa jamaa kashahamsha
@nasratanzania1690
@nasratanzania1690 3 года назад
@@maishayetufilm sio kwl bn kipindi kinarekodiwa na kinarusha ww ulishaona wp watu wanafanya kazi wanakaa nayo ndani 😂😂😂😂hapo umetunganya unataka kuniambia na gea habibu kuna kazi ameziweka wkt hichi ndo nikamuinguzia fedha
@mrematvbabakoku8336
@mrematvbabakoku8336 3 года назад
Shimo la nungunungu
@kawuguramadhani2441
@kawuguramadhani2441 2 года назад
👍👍👍💥💥💥💯💯💯💯
@shabanomary3600
@shabanomary3600 3 года назад
Walio kachoka baada yakuona Sanya kashika Maik ya klaus nipe like
@shaadenshaduni7755
@shaadenshaduni7755 3 года назад
Nika nini?
@shaadenshaduni7755
@shaadenshaduni7755 3 года назад
Nika nini?
@is-hakaali8202
@is-hakaali8202 3 года назад
Da hiki kipindi kikianza tu kinaanza nocoment mia sijui wanaambiwa na sanya leo tunatoa clip mkae tayari
@athuman6223
@athuman6223 3 года назад
12:10 😳
@anthonykondobole3962
@anthonykondobole3962 3 года назад
Kwann mskini mnaingia bila viatu?
@nyamarungujr7834
@nyamarungujr7834 3 года назад
Huyo mzee anamuuliza Mpoto za siku kama vile waliwahi kuongea😅
@suzanfelix8065
@suzanfelix8065 3 года назад
😂😂😂😂wabongo ndivyo tulivyo kwa salamu tupo bweee
@badenbensoni7516
@badenbensoni7516 3 года назад
Avae viatu. Heri asivae nguo ya ndani.
@miriamsimwanza6371
@miriamsimwanza6371 3 года назад
Huo mning'inio utakaje asipovaa chp
@nerrywilliam4
@nerrywilliam4 3 года назад
Hapo sasa 😀😀viatu na nguo za ndani lazima tyu
@isdorchuvu6280
@isdorchuvu6280 3 года назад
@@miriamsimwanza6371 usiseme mning'inio ,Sema Mipumbu na Mimbolo itakaaje 🤣🤣🤣🤣
@dostovan5142
@dostovan5142 3 года назад
Nguo ya ndani iyo kwio
@peterphillipo3641
@peterphillipo3641 3 года назад
WCB for life
@truthfaith5115
@truthfaith5115 3 года назад
Anazingua Sana akili Hana sim zenyewe zinaalibu brain system na sim yeye anayo alaf kakazia kwenye kiatu kkkk
@saidmadizi9152
@saidmadizi9152 3 года назад
Inawezeka kua ni masharti alipewa hamuezi jua
Далее
MRISHO MPOTO AMLIZA WAZIRI NAPE
9:02
Просмотров 165 тыс.
NDARO NA MBONEKE UTACHEKA
8:52
Просмотров 208 тыс.