Тёмный

KAZOA KAANGUKA GHAFLA KATIKATI YA INTERVIEW / WATU WAMKIMBIA | HIVI NI KWELI 

Wasafi Media
Подписаться 4,8 млн
Просмотров 132 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 255   
@stellakiyenze5980
@stellakiyenze5980 2 года назад
Hassan Kazoa nilisoma nae pale SHULE ya MSINGI MUUNGANO TEMEKE Namkubali Sana tena Sana ❤️❤️.
@festodismas3218
@festodismas3218 2 года назад
Mwaka gani hiyo stella?
@humphreyenden4627
@humphreyenden4627 2 года назад
Kama unakipendaaaa hichi kipindi gonga like 👍 hapa
@tumainialbati6043
@tumainialbati6043 2 года назад
Jamaa anayumba sana
@Kaka_Msabato
@Kaka_Msabato 2 года назад
@@tumainialbati6043 puaAEsARA5sSa4EseaS3S4SaTsSAAEESEs4ssaAAAAAatAEEsSaASaASRRAAEARSASArSErarSaSsAsASSsEEsRSSsSAsaSAaSSaaEASSSArsssaAsSARr5ArssSA4aASASssEsSaASAdSaAaÀSSSSSsSsSsSAASSASEA4AaSAASAEsAASsSA4sreESaSeseaAASsaSes aaAAaaESAS5aeaRRTRSSSSAsARaASASaSrrSaASDRSSSSASsRaAetee4tSRa4raASas4SaEAsSrar5waREDaSsSERSrASS5ErSrSSr5aa5ASa5ASSAaSsssasASSr5ARAR4SAsS5sASAASARaAr45SSAReaSste5Starr's sass R's aSaTARSdRAeS5esA5S45tesssSteraRAaTAAA4SSAS rater at at SDRs Ross's as sea ease SMRT
@Kaka_Msabato
@Kaka_Msabato 2 года назад
@@tumainialbati6043 SSAS rater at at SDRs Ross's as sea ease Race Yugoslavia SHE SHE SSAS rater at at SDRs Ross's as sea ease Za From SSAS rater at at SDRs Ross's as sea ease ZERO SYSTEM Zero SSAS rater at at SDRs Ross's as sea ease Due Data
@Kaka_Msabato
@Kaka_Msabato 2 года назад
@@tumainialbati6043 SAME by and years By This UA Did BY THIS UA DID
@alimakame3625
@alimakame3625 2 года назад
Namkubalii sanaa
@husseisalimumaula3867
@husseisalimumaula3867 2 года назад
Huyu mwamba namkubali Sana Mimi na familia yangu hasa mtoto wangu tukimuona huyu professor kazoa hata tukiwa na matatizo tunasahau ni kucheka tu.
@mwigakatumpula6852
@mwigakatumpula6852 2 года назад
Bonge la message eti kama hukupata PESA kwenye bongo movie,basi huku kitaani huwezi kupata pesa 🤣😀🙌🙌
@malikzafarani172
@malikzafarani172 2 года назад
Kama unamkubali sanya gonga like tufamiane 🇶🇦
@thatforeign4590
@thatforeign4590 2 года назад
Mo town apewe accolades zake aise he is so creative with hiki kipindi. Wakati kinaanza sikukielewa kabisa but u can tell the hard work n creativity anajitahidi kueka. Big ups
@geophreymlewa3863
@geophreymlewa3863 2 года назад
Kazoa ametishaaaaaaaaaaaaaaaaaaa namkubali sana mwamba
@shedracksteven3183
@shedracksteven3183 2 года назад
iki kipind ni unyama mwingi nembo ya mtaaa like kama zote kwa mo town Sanyaaa🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@hdggu6792
@hdggu6792 2 года назад
Hiki kipindi nikizuli sanaa Lakini mjihadhali nakupingwa Sanya usikaage mbali sana nawatu wako😂😂😂😂
@BILLIONVAN243
@BILLIONVAN243 2 года назад
Nishai wangu 🇨🇩
@archtecturaldesigner5916
@archtecturaldesigner5916 2 года назад
Best show
@amina-we6vo
@amina-we6vo 2 года назад
Aisee nimecheka sana
@salim02tv24
@salim02tv24 2 года назад
Uyu k.. Anakulaaa khaaaaa
@kondoatown8765
@kondoatown8765 2 года назад
Huyu jamaa anakula aisee ! Vipi ? Humo ndani ya Gari mo Hali ya hewa ilikuwa Sawa kweli .
@jofreymanfred6560
@jofreymanfred6560 2 года назад
Kazoa kumbe anapakia kweli aah sio wakumkalibisha home
@mariamnzeyimana5710
@mariamnzeyimana5710 2 года назад
watu wabaya sana!
@azizaramadhan3716
@azizaramadhan3716 2 года назад
Hahahaa daah sema mo town hao jamaa wakuimba huwa unanikosha sana
@Michael_Msanzya
@Michael_Msanzya 2 года назад
Kuna wana wangese sana Huyoo jamaaa kashadadia yani watu viherehere wapo kitaani..
@هدىالعماري-ث9ف
@هدىالعماري-ث9ف Год назад
Mm napenda sana vdeo zko
@mathayomwashambwa1238
@mathayomwashambwa1238 2 года назад
Nakushusha mda sio mrefu hapa... kesi mkononi
@shedracksteven3183
@shedracksteven3183 2 года назад
Uko mwishoni tuna pigwa sana na waimbaji wetu 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌 aiseeeeee
@godwinananias5358
@godwinananias5358 2 года назад
Mo town sanya 😀😀😀😀...............respect brother 🙌🙌
@abdallahamad855
@abdallahamad855 2 года назад
Saf sana muko vizur wasafi
@salim02tv24
@salim02tv24 2 года назад
Mtaaalam kazooaa baba wawatyu
@evpaul6922
@evpaul6922 2 года назад
🤣🤣🤣 hii na ile ya AU BASI IT KILLS ME🙌🙌🙌
@jumanneyassini
@jumanneyassini 2 года назад
Ile au basi😀😀😀 kuna mzee alipaniki kweli
@saidyusuph6602
@saidyusuph6602 2 года назад
Moo sanya umefanana sana na beki wa liverpool vandaic
@thetrailerzone2791
@thetrailerzone2791 2 года назад
kabsa
@samtomkilao6447
@samtomkilao6447 2 года назад
Kwel
@hawashamasi9115
@hawashamasi9115 2 года назад
Sanaaa
@bulletstunnerz4052
@bulletstunnerz4052 2 года назад
show kubwa sana mwanangu sanya but ila editer wenu wa sasa sio yule wakitambo sio
@mapachawayesu
@mapachawayesu 2 года назад
Jamaa Ana Kalama Ya kula😄😄😄😄
@gudimahaz9928
@gudimahaz9928 2 года назад
#nembo ya mtaa 👍creativity nzur xan kk nakubql💪
@shuuhamad3514
@shuuhamad3514 2 года назад
Kazoa umetisha ,bonge la kipindi aisee
@fatumaaybu8648
@fatumaaybu8648 2 года назад
Huyu wamwisho nae alikua anaimba nini🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌
@loyamwasyetela7207
@loyamwasyetela7207 2 года назад
Message
@yunus1719
@yunus1719 2 года назад
Ila watu 🤣🤣🤣watu hawana Imani kama kapoteza pochi kweli
@ndekaormenyaagain783
@ndekaormenyaagain783 2 года назад
We need JoTi
@hamisinyari8782
@hamisinyari8782 2 года назад
Daaah
@aliabdallah8908
@aliabdallah8908 2 года назад
Dah uyu jmaa anapenda sna kula aisee
@humphreyenden4627
@humphreyenden4627 2 года назад
Kabisaaaaaaaa
@ybmtaakwamtaaofficial3415
@ybmtaakwamtaaofficial3415 2 года назад
Nomaaaa
@wilisipanganiwilisi3751
@wilisipanganiwilisi3751 2 года назад
Kazoa hiyo ndo temeke umetisha
@ignaspius
@ignaspius 2 года назад
Dahhhh
@ibrahimchunda5930
@ibrahimchunda5930 2 года назад
Profecha kachoa baba wawatu 😀😀😀😀😀 uyu jamaa anakula kweli
@samiasaidi1348
@samiasaidi1348 2 года назад
Jamani kazowa
@greenermichael2057
@greenermichael2057 Год назад
Sanya we ñoma mwanangu daaah
@amunikanju4342
@amunikanju4342 2 года назад
Good
@maigekelvin75
@maigekelvin75 2 года назад
😅😅et awez kumuogopa mungu kwasababu amjui jmn mo town sanya unajua kutuchekesha
@mathewdeus9978
@mathewdeus9978 2 года назад
Haya maigizo hatakuja kufa mtu punguzeni usiliasi kwenye kazi za watu
@noahpapy2277
@noahpapy2277 2 года назад
Uyu mshenzi kumbe anakula kweli
@khadijahali4837
@khadijahali4837 2 года назад
We unazani ni uongo
@saigeXteam
@saigeXteam 2 года назад
Kama umemkubali Profecha kachoa gonga like 😂👍🏻
@alexmwalongo531
@alexmwalongo531 2 года назад
Kachoa???
@jamvesibaila6399
@jamvesibaila6399 2 года назад
Hii Ni no2 baada ya ile ya ndaro aliua sana
@abdulmohd6880
@abdulmohd6880 2 года назад
Duh kazoa watu hawamjui😂😂
@athumanikigolo8753
@athumanikigolo8753 2 года назад
Aaaaa kazoaaa
@001number
@001number 2 года назад
I was miss you motasanya
@nadothobias2459
@nadothobias2459 Год назад
,😂😂wabongo wanafki sana😂😂et ilibak kdg nimuharibu...akt Hana issue yoyote
@fatemazanzibar877
@fatemazanzibar877 9 месяцев назад
Imeipenda😂😂😂
@009biafra8
@009biafra8 2 года назад
Ingekuwa sahani moja sawa ila kala sahani Tatu Weeh!!
@binaljabirmshihirzanzibar8369
@binaljabirmshihirzanzibar8369 2 года назад
Nomaaaa sana2 jmn
@mhaaboykigoma7211
@mhaaboykigoma7211 2 года назад
Nakubal
@simonnembomadola7512
@simonnembomadola7512 2 года назад
Sio kweli katoa elfu tatu msikilize huyo dada
@salim02tv24
@salim02tv24 2 года назад
15:08 😂😂😂😂😂😂 kazzzooa mseng sana
@mombaiinternational9534
@mombaiinternational9534 2 года назад
KUNA WANA WASENGE SANA WAKUDA SA UYO JAMAA ANAJIKUTA KUSHADADIA NINI
@nassoroally6093
@nassoroally6093 2 года назад
Umeona eeh.. Mwana snitch knoma
@msumirashid5722
@msumirashid5722 Год назад
Oya ktk zote 😂😂😂 kali nyingi ila hii noumaa sanaaaaaa
@azibossladykenny2455
@azibossladykenny2455 2 года назад
Iyi show apo mwisho mbon y moto😂😂😂😂😂uyo kaka mfupi uwiiii😅😅😅
@009biafra8
@009biafra8 2 года назад
Hiki n moja ya kipindi kizuri san TZ
@shaniashani7026
@shaniashani7026 2 года назад
Ila usipende kujitia kifafa siugonjwa wakuomba kabisa wala kujifanyisha
@zuwenaalamin8985
@zuwenaalamin8985 2 года назад
Yaan nimecheka ile mbaya wallah🤣🤣🤣🤣
@esa_traveller
@esa_traveller 2 года назад
Kusah ataua mtu haki Tena 😂 Moh town ulaaniwe 😂😂😂😂😂
@salumuseif3324
@salumuseif3324 2 года назад
Ahahahahahah naomba na ndizi Niger mbili
@johnshemzigwa188
@johnshemzigwa188 2 года назад
Ushauri wangu hiki kipindi muache mara mtakuja kuzibuliwa .
@dainecwilson7827
@dainecwilson7827 2 года назад
Kwer
@zulfikakalumba1977
@zulfikakalumba1977 2 года назад
Hassan Kazoa fundi
@AlexDizonga-ut2lw
@AlexDizonga-ut2lw Год назад
Wakati mwingine Sanya ekeni mabausa kama ilo jamaa lilio tukana apo linaonekana korofi kazoe angeshakula vitasa nime mtamani kishenzi ingekua Mimi ndo kanituka itaviu ingekwisha kwanza kunge tapakaa damu kote adi kwenye camera
@fatemazanzibar877
@fatemazanzibar877 9 месяцев назад
Aya ni maisha yetu kabisa ya uswahilini 😂😂😂
@jaharaoman6478
@jaharaoman6478 2 года назад
Kazoa acha kucheza na watoto wa Temeke watakudunda
@merymohamed7416
@merymohamed7416 2 года назад
Ila Sanya kweny nyimba watu watatutukana kha sijui wanaimba kimasai😅😅😅😅
@twentyacresfarms3464
@twentyacresfarms3464 2 года назад
Trip tatu hatukusameehi 😂😂😂😂😂
@patricktegea1430
@patricktegea1430 2 года назад
Wow cjachelewa👊🔥🔥🔥💯
@Ibramoref
@Ibramoref 2 года назад
mnahitaji camera yenye uwezo mkubwa zaidi kwenye kuzoom
@duniawadunia4824
@duniawadunia4824 2 года назад
kwaiyo leo ujafunga swaum hahaha 😂 🤣 kazoa ya leo kali nusu upigwe?..
@chusseboywcb2808
@chusseboywcb2808 2 года назад
😂😂😂😂😂hichi kipindi hata kama huna mudi yakucheka utacheka tu
@officialbizou6053
@officialbizou6053 2 года назад
Oyaaah uyo mwamba alikuwa anaimba au
@alexmagige5564
@alexmagige5564 2 года назад
🙌🙌🙌🙌🙌
@IreneNyabukika
@IreneNyabukika Год назад
Haitwi kazoa anaotwa kajoa baba wawatu 😂😂😂😂😂😂😂😂 apge tonge chitaki demu tonge mnicheke mpaka mkome 😂😂😂
@dainecwilson7827
@dainecwilson7827 2 года назад
Jman hiki kipindi kizur ila cha kuwa tahadhar mnaweza kupigwa
@BigZhumbe
@BigZhumbe 2 года назад
"Tonge Staki Demu" 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@rajimadope6465
@rajimadope6465 2 года назад
Hiki kipindi atakuja kupigwa msanii siku moja shiken maneno yangu #nkisema nimesema na sifuti😂
@juvenjovente7051
@juvenjovente7051 2 года назад
Kwel kabisa
@009biafra8
@009biafra8 2 года назад
Utajuwa hujala chakula siku nzima eeh??
@issakamangila4143
@issakamangila4143 2 года назад
Lkn mtu unakula chakula chote icho live una tumbo gn jamani na unalipa ela ile ile sio poa wala nn
@sudimgaza7313
@sudimgaza7313 2 года назад
Baba wa watyuu
@edgeranacret5455
@edgeranacret5455 2 года назад
TMK wanaume halisi,temeke gereji iyo
@ayubukassim7995
@ayubukassim7995 2 года назад
Baba wawatu 😂😂😂
@chidymngoni4516
@chidymngoni4516 2 года назад
🔥🔥🔥🔥🔥
@khadijahali4837
@khadijahali4837 2 года назад
Hy mama Muuza ndizi alivoshupalia kwa 400 yk tuu
@abdallahomary1480
@abdallahomary1480 2 года назад
Yaani huyu jamaa😄😄😄
@OmanOman-ik9sp
@OmanOman-ik9sp 2 года назад
Kazoa Eti kwanini usinilipie hapa😂😂😂😂😂
@allymwamkamba5559
@allymwamkamba5559 2 года назад
Watatu leo nijibuni nivimbe basi
@salim02tv24
@salim02tv24 2 года назад
Utapasuka
@tawem6686
@tawem6686 2 года назад
Umuka😀
@khadijahali4837
@khadijahali4837 2 года назад
Vimba
@musaandrew604
@musaandrew604 2 года назад
KWA HIYO ATA ELFU 5 HUNA ??😂😂😂😂
@danielmkama24
@danielmkama24 2 года назад
Wa mwanzo mwanzo mie
@JenJen-zl6dk
@JenJen-zl6dk 2 года назад
😂😂😂😂😂 Apo kwenye kuimba sasa
@ramadhanilubuva1956
@ramadhanilubuva1956 2 года назад
Mtakuja kupigwaa
@JoSeph-gd6pl
@JoSeph-gd6pl 2 года назад
Yani kuna msela kaenda pale kuuwa tu aondoke
@josephkapinga652
@josephkapinga652 2 года назад
hakuna kifafa mtu ananyanyuka mzima mzima kama hivo na ana akili zote
@invanovicinvovevalmenderle1203
@invanovicinvovevalmenderle1203 2 года назад
Mama kashikishwa teni hahah akaanza kuongea
@deograsmbilinyi1214
@deograsmbilinyi1214 2 года назад
Kwa ujinga wenu huu siku atafirwa mtu
Далее
Тренеруем память physics drop 103 - 104
00:51
WAWILI WATIWA MBARONI KWA MAUAJI SINGIDA.
4:47
Просмотров 2,6 тыс.
NDARO NA MBONEKE UTACHEKA
8:52
Просмотров 213 тыс.
TUNAENDA KUOA
9:38
Просмотров 581 тыс.