Тёмный

MSIBA INATISHA😭: KIJANA ALIYEKUWA FREEMASON ATOBOA SIRI YA KIFO CHA MARCO WA ZABRON SINGERS 

TALIKISIO Tv
Подписаться 413 тыс.
Просмотров 155 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

27 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 476   
@MediatrixAnyango-w7b
@MediatrixAnyango-w7b 2 месяца назад
Ningekuwa karibu na wewe ungepata kofi kwa uchungu niliyo nao kwa familia ya marco😢😢shindwe katika jina la yesu . Mungu pumuzisha marco kwa amani ,, vinginevyo ni wewe unajua 😢😢😢
@EalvineWalingozifoundation
@EalvineWalingozifoundation 2 месяца назад
Msikilize Hadi mwisho usikurupuke mpigie wakati kawazungumza vzr sana. Pole!!😏
@EalvineWalingozifoundation
@EalvineWalingozifoundation 2 месяца назад
Mie nawashangaa hiyo familia walikuja wameshaingia kenya ETI MKAMRUDISHA BUGANDO!!!! Jamani wenzetu kenya Wana huduma nzuri na kubwa za Hospital. Wangempigia simu Rais Ruto angetoa maelekezo maana hiyo kwaya huku kenya tunaita ya Rais Ruto. Kenya huduma za tundu za moyo ni vitu vya kawaida. WAGONJWA NA MAWAZIRI WANALETA FAMILIA ZAO KENYA WANA TOKA WEST AFRICA KUJA KUTIBIWA. Mie haningii akilini ETI walimrudisha BUGANDO Toka kenya and then dar wamemuua ndugu Yao kwa uzembe
@lucymnjoroge8242
@lucymnjoroge8242 2 месяца назад
Pole sana kwa kuto msikiza hadi mwisho
@HappynessKadidi-sk5ku
@HappynessKadidi-sk5ku 2 месяца назад
Nenda kwenye point alafu hakunaga maombi kwa walio kufa
@SokinaChapia
@SokinaChapia 2 месяца назад
Bwana akubariki sana brother kwa kumtambia yesu kristo🙏🙏
@heavenishome20
@heavenishome20 Месяц назад
God bless you man ✋. Never look or go back again. Bring other youths who have sold hearts or are bound in darkness out there to the light of Jesus Christ 🙏
@gjlisa
@gjlisa 2 месяца назад
Kiblilia hakuna maombi au maombezi ya mtu fulani yatamwezesha mtu aliyekufa kupokelewa mbinguni. Mtu akiishakufa kazi yake imekwisha. Tuliobaki tunamtukuza Mungu kwa maisha marehemu aliyoishi kwa kumfanyia ibada.
@sarafinamakundi6307
@sarafinamakundi6307 2 месяца назад
Ndio hakuna sala juu ya wafu, mahali pengine anasema msitafakari juu ya walio lala kitu kama hicho
@odilomwemeziernest646
@odilomwemeziernest646 2 месяца назад
Na sijui wanaoombea marehemu sala ya kulazwa pema peponi wanapata wapi hayo maandiko.how comes
@lucymnjoroge8242
@lucymnjoroge8242 2 месяца назад
Ohh God wajulishe ukirundi walio lala wakiwa ndani mwako watafufuka na kukulaki
@JoyceElias-pl8sb
@JoyceElias-pl8sb 2 месяца назад
Baada ya kifo ni hukumu.Tunaomjua Mungu wafu hawaombewi tena.Ikiwa alimwamini Yesu enzi za 9:13 uhai wake haitaji tena maombi yetu.
@PrisPeter-f2g
@PrisPeter-f2g 2 месяца назад
Wengi hamjamwelewa,,si kila kifo kimepangwa na Mungu ,huenda kalogwa na hajafa yupo pahali anatumikishwa ,na akiombewa aweza kurudi ama MUNGU aiokoe roho yake nq kuzim na watesi wake
@SabinaMakanga
@SabinaMakanga 2 месяца назад
Mungu atusaidie ni Mungu tu hajuai ukweli uliyofichika kwenye moyo wa mtu (Mungu ndo aonae vilivyojificha moyoni)
@SANGTINAGODETRUDMAKONYOLA
@SANGTINAGODETRUDMAKONYOLA 2 месяца назад
Nikweli
@MacdonaldOtieno-h8j
@MacdonaldOtieno-h8j 2 месяца назад
Mungu ndiye hutupa natena wakti ukifika hunyakua kilicho chake...mungu ailaze roho yake Marco Joseph zabron singers-yesuvni mahla pema peponi
@SaidJuma-ww6vd
@SaidJuma-ww6vd 2 месяца назад
Mungu nifumdishe kunyamaza ili nisije kumtukana huyu kijana
@BeatriceMunuo-ti7pv
@BeatriceMunuo-ti7pv 2 месяца назад
😂
@boazygodfrey9371
@boazygodfrey9371 Месяц назад
😂😂
@janekaramta9557
@janekaramta9557 Месяц назад
Usimtukane shukuru mungu coz amejitokeza natumejua ukweli
@TunsumeMchewere
@TunsumeMchewere 2 месяца назад
Mungu akulambe tena shindwa kabisa kwa jina la Yesu Kristo
@IbrahimElly-p5c
@IbrahimElly-p5c 2 месяца назад
We shukuru tuu ukzariwa Idiamin akiwa alisha kufa maaan ww angekupika ukiwa hai maan waya moja ilisha katika.
@SilviaDirecto.
@SilviaDirecto. 2 месяца назад
wwvn mjinga sana nawaste bundles zangu kuwatch nafikilia unaongea kitu ya maana kumbe n usheet
@zakayoomary2333
@zakayoomary2333 2 месяца назад
Moyo wako na ukae kimya.....Mungu akupe hekima upate kuijua kwel yake kwa maana bado u gizani, Tafakari neno la Mungu ili usilitaje jina la Bwana Mungu wako tena katika upotofu wa mawazo yako ....Neema ya Bwana iwe pamoja nawe...
@MatildaEvaristo
@MatildaEvaristo 2 месяца назад
Ndg wanauchungu kuondokewa na mpendwa ww unajifurahisha
@atulindakanuma4144
@atulindakanuma4144 2 месяца назад
Mungu akurehemu ,soma neno kwanza upate chakusema kwa watu wa Mungu
@ShabaniBakari-p4r
@ShabaniBakari-p4r 2 месяца назад
Huo ushuhuda wenu mnautowaga watu wakishakufa wakiwa bado hai hayo mautabiri yenu hatuyasikiagi hata kidogo.
@Happiness-p5n
@Happiness-p5n 2 месяца назад
Auna mamlaka katika jina la yesu peleka ndugu zako 😊
@ndavadumayai4250
@ndavadumayai4250 2 месяца назад
Shindwa kwa jina la Yesu
@gloryleonard1563
@gloryleonard1563 2 месяца назад
Shindwa kwa jina la Yesu Kristo , Mungu anakuona.
@ledeajoasu3119
@ledeajoasu3119 2 месяца назад
Shindwa mfululizo kwa jina la yesu christo kaa kimya
@LoipllOnhye.Mama.Claudi
@LoipllOnhye.Mama.Claudi 2 месяца назад
Ningekuwa na uwezo ningekulefit humu RU-vid 😢😢😢😢Shindwa ktk Jina la Yesu kiritho 😢😢😢😢😢😢😢
@BillMesso
@BillMesso 2 месяца назад
😂😂😂
@susansukiri6763
@susansukiri6763 2 месяца назад
Yaani Bora wewe Mimi ningelinyonga
@akutiboysolomon9418
@akutiboysolomon9418 2 месяца назад
Wa Tz huwa wanacoment kichwa cha habari ,HAWASIKILIZI MPAKA MWISHO Hakuna alikosema kuwa Marco alikuwa freemason bali amesisitiza kuwa alikuwa mtumishi wa Bwana kweli kweli DUH,watu ni wavivu kusikiliza MPAKA MWISHO
@Happiness-p5n
@Happiness-p5n 2 месяца назад
Ushindwe katika jina la yesu nenda ukafe nabrusifa wako😊
@ayelaeverlyn6373
@ayelaeverlyn6373 2 месяца назад
Huyu inafaa apigwe na mawe huwa anajitokeza sa zile watu wanalia ashindwe katika jina la yesu Alikuwa wapi kusema kabla watu wafe
@zawadiSangalali
@zawadiSangalali 2 месяца назад
Wewe kaka acha uongo huna unabii wowote wa kujuaa n yupi uko upand wa mungu au wa shetan ila mungu pekee ndio anaejuaa wewe kama unatafta mashabiki tafta kwingine so kwa matukio yakitokeaaa Ndo ujueee kuongeaaa so kama Marco amepumzikaaa upande wa kirstoo yeye Ndo anajuaaaaa na hatuombeag mtu aliyekufaa kwa iman yetu acha kupotosha watu walk mweny maombolezooo makaliiii mda huu
@MamaabdulAbdul-f4j
@MamaabdulAbdul-f4j 2 месяца назад
Mungu akusamehe hujui utendalo sura yako nionyesha unapepo unahitaji maombi
@enesiasungu7872
@enesiasungu7872 Месяц назад
Huyu mtoto akili ilishafyatuka,,,, hamna kitu kichwani,,asiwapuuze,,,Mungu akusimamie kijana wewe maana unapata tabu katika maisha yako,,,
@EveALEX-tx2ix
@EveALEX-tx2ix 2 месяца назад
For Imani Whch Falaa Wew...Acha Kuvunjia Watu Heshima Wew Aujitambuii Ndmna Hata Sis Hatukutambuii Na Uongo Wako ..Umeulizwa Alikua Anasumbuliwa Na Nn Au Unafkii Tu Kufata Yako Aaanh😢😢🥲Ya Watu Tu Hamna Hat Chamaan Unchosema Watu Wengn Mnatfta Kiki Tu Washnz Nyie
@Mteule2022-cs2ys
@Mteule2022-cs2ys 2 месяца назад
acheni kudanganya watu na kuvamia wito wa kichungaji Mungu mkuu wa mbinguni na awakemee kwa jina la Yesu. Mtu akifa amekufa sharti utengeneze na Mungu ukiwa hai
@meshack3664
@meshack3664 Месяц назад
we kijana,,walio kufa hawajui neno lolote,,wanaombewa walio hai,,na hakuna mtu anaweza kunyakua watu walio kufa,,isipo kuwa ni uweza uliye na MUNGU peke yake,
@uniquefactsmediaufm6735
@uniquefactsmediaufm6735 2 месяца назад
Jamani.tusome maandiko habari za wafu Mhubiri 9:5-6 [5]kwa sababu walio hai wanajua ya kwamba watakufa; lakini wafu hawajui neno lo lote, wala hawana ijara tena; maana kumbukumbu lao limesahauliwa. For the living know that they shall die: but the dead know not any thing, neither have they any more a reward; for the memory of them is forgotten. [6]Mapenzi yao na machukio yao, na husuda yao, imepotea yote pamoja; wala hawana sehemu tena katika jambo lo lote lililofanyika chini ya jua. Also their love, and their hatred, and their envy, is now perished; neither have they any more a portion for ever in any thing that is done under the sun.
@esthernzula9202
@esthernzula9202 Месяц назад
Ata sasa hivi uko kwa tusifa shetani mkubwa achana na watumishi wa mungu tukona uchungu kuachwa na mmoja wa zabron
@adellaakupenguvumtumishika9217
@adellaakupenguvumtumishika9217 2 месяца назад
Muogope mungu shidwe katika jina la yesu
@eunitakesio
@eunitakesio 2 месяца назад
Huyu ni watchdog wa Tanzania mjue kila soko haikosi wazimu wake
@sarahalmubarak9798
@sarahalmubarak9798 Месяц назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@NeymantBoy
@NeymantBoy 2 месяца назад
wew achana na hiyo kazi mungu ninae muabudu atakuwajibisha tafta kazi zingine hizo achan nazo mungu atakuwajibisha na mungu akusameh maana hulijui ulitendalo😢😮😮😅😅😊
@IbrahimElly-p5c
@IbrahimElly-p5c 2 месяца назад
Njaaa mbya saaana jaman mbka freemason wanamachaw😂😂 sema nn huyo njaa itamua watumish wa Mungu hawap hvo jman mchngien huyu kijan apate hera za kujikimu aache kuchafua watu.
@ezekielbkuyeko5241
@ezekielbkuyeko5241 2 месяца назад
Daaaah nimejiona jinga la mwisho kweli leo yaani kukaa kusikiliza mwanzo mwisho ili nipate point duh(nonsense), pole sana kijana mwenzangu toka huko bado pana ka giza wajanja wote tuko kwa YESU
@EdWizzy-t3c
@EdWizzy-t3c 14 дней назад
Hivi wew kaka unajielewa unajua wanaomtumikia mung wew tumekuchoka mwanaume ovyoooooo unawatu gan wewe mwenyew tapela
@odemarypeter4935
@odemarypeter4935 2 месяца назад
Imani ya Wokovu katika Yesu (Biblià) hairuhusu kuombea wafu.......bando yangu imeliwa bure..sijapeñda
@NaomiStephano-ek3xp
@NaomiStephano-ek3xp 2 месяца назад
poleni sana jamani inauma sana kazi ya mungu haina makosa marko yuko mbinguni
@Rich-wo
@Rich-wo Месяц назад
😅😅
@PurityMeimutie
@PurityMeimutie 2 месяца назад
Ushindwe Kwa jina la yesu
@SekelaJoel
@SekelaJoel 2 месяца назад
Ushindwe katika jina la yesu uweke sawaa ww nimungu mbona unaongea mamb yasiyo faaa watu wanaumiaa wewe unaongeaa mamb kama hayo weee kaka ushindwe kabisaaaa
@SusieCruz-o6i
@SusieCruz-o6i 2 месяца назад
Unafaa utaje YESU sababu mungu ni wengi wanaabudiwa hii ulimwengu
@HappySuleiman-u7t
@HappySuleiman-u7t 2 месяца назад
Yan ww koma Tena koma Sana mjinga ww kilaanaefalk tu unamudakia ala 😢malco apmzke kwaaman Sana we kijana komasana unajifanya unampendamungu wakat upokwajl yakuuatu watu kilask unatwambia kilimason kilimason haituhusu jal yako Kwan lazma utwambie tapel mkubwa tu
@josephrutta-v5g
@josephrutta-v5g 2 месяца назад
Umekwama ndg Yang toba ya kweli ni ukiwa hai so mtu akishakufa kama hakutengeneza jua hakuna neema ya msamaha tena ktk kifo unahitaji kujifunza neno zaidi kupata ufahamu.
@MeresianaKadushi
@MeresianaKadushi 2 месяца назад
Hivi wewe kaka unajielewa sisi site tu mavumbi na mavumbini tutarudi.😢😢 Usitafute kiki kupitia kifo Cha Marco Joseph wewe muogope Mungu
@AgnessKikaja
@AgnessKikaja 2 месяца назад
Amina mungu atukuzwe amina
@Gachly
@Gachly 2 месяца назад
So sad 😢 and my condolences to Zebron Singers and family of late and pray God to give them all comfort and strength during this time of mourning. God rest his soul in eternal glory and peace 🙏🏼😭!
@Rich-wo
@Rich-wo Месяц назад
Mtumikie Muumba wa kweli ambaye ni Chanzo Cha mema na mazuri pekee
@salomemutai6472
@salomemutai6472 Месяц назад
Wah hapa hakuna ukweli....Weaja Mungu ahukumu
@erizabethchanga636
@erizabethchanga636 2 месяца назад
Hivi wew unatafta nn sikupendii wew hujui tuu unatafta kiki na watuu tuu ungekuwa na imani ungejiunga huko yaani hata huogopi😢😢😢
@leoniaathuman1038
@leoniaathuman1038 2 месяца назад
Mtumishi hakuna ibada ya wafu katka maandiko, Hivyo swala la kumuombea toba marehemu halipo, Kitu muhimu ni sisi tulio hai kujikabidhi kwa Mungu kwa kutubu ili hata tukilala tulale upande wa Mungu Kitu muhimu kwa sasa ni kuomba Mungu awatie nguvu familia kipind hiki kigumu wanachopitia
@elianacastorymgoba4533
@elianacastorymgoba4533 2 месяца назад
Duh!! Nimemaliza MB zangu kusikiliza ujinga huu dadekiii
@clemencyusuf2662
@clemencyusuf2662 2 месяца назад
Daah Jamaa Muongo Huyu Kama ulikuwa Mason Tutaamini vipi au umekuja kutafuta umalufu kwa Kutumia Umason🙏🤤🤤
@jamesherbalclinic7665
@jamesherbalclinic7665 2 месяца назад
Mtumishi utamuombeaje mtu toba wakati Mungu amekuambia kila mmoja ataubeba msalaba wake mwenyewe? Hebu msipotoshe watu jamani. Habari ya toba Ni ya mtu mwenyewe peke yake.
@clemencyusuf2662
@clemencyusuf2662 2 месяца назад
Ndo hapo
@7675kio
@7675kio 2 месяца назад
Habari ya toba ni mtu akiwa hai
@clemencyusuf2662
@clemencyusuf2662 2 месяца назад
Wengineo ni kutafuta tu umaruufu mitandaoni huyu siye
@irenemwangi7992
@irenemwangi7992 2 месяца назад
Pastor Ian Ndlove from zimbabwe prophesied about this death.😢😢😢😢
@Werelockedingang
@Werelockedingang Месяц назад
Leta video😅
@JaneNdungu-r4f
@JaneNdungu-r4f 2 месяца назад
once one dies ,thats the end of u.No prayers can change ur destiny.Tomba ni hapa duniani kwa huu mwili
@Dama254-54
@Dama254-54 2 месяца назад
Sure
@SadockChessa
@SadockChessa 2 месяца назад
Ndugu kumbuka mtu hutengeneza njia mwenyewe elewa hakuna mtu yeyote anaweza kumwoombea mfu atoke katika njia aliyoochagua
@ElizabethNafasi
@ElizabethNafasi Месяц назад
Wewe ujuwe mwongo sana unakumbuka nilikupigia simu naitaji frimasoni ukaniambia unaitaji ela ya soda wewe mwogope mungu😮
@Teaching356
@Teaching356 2 месяца назад
Namwamini Mungu tu siwezi amini haya mapepo hata muongeeje marcus kaishapokelewa na Mungu manyoko zenu
@KosgeiOnesmus
@KosgeiOnesmus 2 месяца назад
My The lord Almighty God comfort the bereaved family, The entire fraternity of Republic of Tanzania 🇹🇿 at this moment of difficulties, My the soul of Marco Joseph R.I.E P, . Which that we love the shall never be forgotten but becomes apart of us, your memories shall remains a fresh in our mind, rest easy bro , fellow brethrens from 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪,
@dorcasikala6398
@dorcasikala6398 2 месяца назад
Soma bibilia yako vizuri! Ukiwa hai tengeneza maisha yako na Mungu, hakuna kutengeneza na baada ya kifo, wala sio ibada ya masishi itakayo badilisha hali Githeri media 😢
@ChristineAraka
@ChristineAraka 2 месяца назад
weeee , mbona mtu akifa maneno n mengi mengn ata n uongo Gd comfort zablon singers🙏🙏
@danielnyabukika5009
@danielnyabukika5009 Месяц назад
Wewe hauna tofauti na gari abnormal inatakiwa usindikizwe kwa njia ya Mafundisho,
@AgnesLuwole
@AgnesLuwole 2 месяца назад
Mungu ni kitu mh babu huyu mungu ni wako siye Mungu wetu si kitu
@DianaAwino-p9g
@DianaAwino-p9g 2 месяца назад
Nngekua karbu ngekpiga kofi ungejua hujui lakni mungu ndiye ajuaye na amlaze roho yake mahali pema peponi😢😢😢😢😢😢😢
@elicanaambweni8666
@elicanaambweni8666 Месяц назад
Mmmmm ninapata wasieasi na Imani Yako
@HalimaPaskal
@HalimaPaskal 2 месяца назад
Kwa jina la yesu ushindwe ewe shetan mungu akusaidie uokoke
@EstherMlai
@EstherMlai Месяц назад
Kwenda zako mjaaa laana ww kwan ww ni mungu hebu muache mwenda zake apumzike kwa amani
@JumaSatarajr
@JumaSatarajr 2 месяца назад
Jamani mumuache marco Apumuzike kwa Amani maana kiramumoja Anaongeya ya kwake hivimunajuwa uchungu wamusiba munajuwa nimaumivugani wariyonayo wanafamiliya
@neemamwocha2113
@neemamwocha2113 2 месяца назад
Pumbavu. Mwachem mteule wa Mungu apumzike kwa amani..mbona hukusema mapema kabla..
@FatumaOmary-ek4ux
@FatumaOmary-ek4ux 2 месяца назад
Jmn mimi ni muislam ilapoleni sana sana nduguzetu ila huyu kija hatamimi huwasipendi kiukweli mutanisamehe km nimewakera ndugu mungu amuweke mahalipema amin
@Teaching356
@Teaching356 2 месяца назад
Yupi humpendi ? Aliye kufa au huyu mwongeaji???
@EmmanuelGelard
@EmmanuelGelard 2 месяца назад
We kijana unatumwa ujue huyo alie kufa ni mmoja wetu wa kiroho Soma Bible ukute umetumwa soma kjv Yuda1: 10
@PricaKaringa
@PricaKaringa 2 месяца назад
Kashakufa hata nikiomba hawezi kuhamishwa pale alipo kwa sababu mungu ndo anahusika kama yupo peponi au kuzimu
@lambertkasomo5520
@lambertkasomo5520 2 месяца назад
Pole sana kama uta wa hasa watu wamuombee mtu ambaye kafa tayari ili Mungu amulaze mahali pema pepoji! Hivi wewe Kama wewe unaweza kunipa andiko katika maandiko matakatifu lisemalo tufanye sala kwa ajili ya wafu? Ao sikuelewi, wenda unamaanisha kitu kingine? Naomba tafadhali unieleweshe vizuri.
@AviraEvarist
@AviraEvarist Месяц назад
Pole sana tulimpenda lakini MUNGu kampenda zaidi yetu
@norahfrank
@norahfrank 2 месяца назад
Huyu kazi ni kuwaumbua watumishi wa Mungu. Mf.Pastor Ezekiel
@ChikuShamsheli
@ChikuShamsheli 2 месяца назад
Acha kudanganya watu wewe aombewe mtu amekwisha kumaliza kazi yake, hiyo ibada ya wafu kweli wewe unawadanganya watu eti waombe apumzike pema peponi Acha kama mtu akuwa hair hakutengeneza Marshall yake basi hakuna maombi maana ukurasa wa Maisha yake umeisha kufungwa wewe Acha, jifunze neno la Mungi vizuri usitumie neno la Mungu kupotosha watu. Mimi natumaini mrumishi kama alikuwa amesimama vizuri ktk huduma aliopewa na Mungu yuko sehemu salama kabisa, ila sisi tuliobaki tutengeneze njia zetu, tuwe tayari wakati unaofaa na wakati unaofaa kwani kufa ktk Kristo Yesu ni saida kuishi ni Kristo
@mamanbella5460
@mamanbella5460 2 месяца назад
Kutukana sio vizuri wewe sikiliza tu anaejua ukweli ni mungu pekeyake kifo cha moto kuuma gafla tumesha shuhudia wengi kifo kinakuwa kinatokana nanini Linda imaniyako maana ndo unaijua wewe mwenyewe mengineyo mwachiyeni mungu.
@DoreenNyange
@DoreenNyange 2 месяца назад
Ushindwe kwa jina la Yesu
@julianomwoyo
@julianomwoyo 2 месяца назад
KAMA MTU HAWEZI ANDAA NJIA ZAKE AKIWA HAI,BASI AKIFA HAKUNA MAOMBI YATAKAYO MTOA JEHANAMU KUELEKEA MBINGUNI...SOMA MUHUBIRI 11:3
@FaridaGerald-z4g
@FaridaGerald-z4g 2 месяца назад
Na ww tumekuchoka watu tusife ety Freemason tumekuchoka jamani
@gjlisa
@gjlisa 2 месяца назад
Ni wale tu waliokufa katika Kristo watafufuliwa kwanza, hiyo ni na Mtumishi Bwana aliyelala.
@WinnieMwaurah-y8k
@WinnieMwaurah-y8k 2 месяца назад
Kijana u mzuri sana,,,ila tafuta mafundisho ya kiungu hamna Toba baada ya kifo,,,,maana bi lia ya sema heri wafu wafao katika bwana wapate kupumzika baada ya taabu zao
@HappySuleiman-u7t
@HappySuleiman-u7t 2 месяца назад
Yan unaniuz Sana naskupendi skupendi skupendi Sana unasingizia watu nikilimason nnahasla hapa Yan bolatu upo mbal ningekuua hata kukuua mujinga wewe fala mkubwa
@ZainabuMagari-e1i
@ZainabuMagari-e1i 2 месяца назад
Shindwa kwa jina la yesu
@WilfredChomo
@WilfredChomo 2 месяца назад
Be staight young man
@asteriashios1852
@asteriashios1852 2 месяца назад
Napitia comment tuu nimemwelewa si amesema tumwombee marehemu mwombaji tuu ni kweli tumeumia bc tumwombee apumnzike Kwa amani aminaa
@odilomwemeziernest646
@odilomwemeziernest646 2 месяца назад
Pema peponi mtu anajiandalia mwenyewe,ila ukitegemea ufe ndo wachungaji wakuombee uingie poponi umechelewa.pole.kama aliishi maisha ya kumcha Mungu yuko mbinguni kwa BABA la sivo hakuna mnachoweza kudanganya
@emmiemmi3861
@emmiemmi3861 2 месяца назад
😂😂 tatizo watu hatusikilizi kwanza komenti sasa
@odilomwemeziernest646
@odilomwemeziernest646 2 месяца назад
@@emmiemmi3861 mimi nimesikiliza vizuri mpaka mwisho na nimemuelewa vizuri sana.ila ndoo ukweli kwamba hakuna maombi yanayoweza kumuingiza mtu peponi baada ya kufa
@marymassawe8655
@marymassawe8655 2 месяца назад
PUMBAFUUU!! Na uwe bubu kwa jina la yesu.
@NajimaA.R
@NajimaA.R Месяц назад
Ww mkaka nimuongo nimekufuatilia stolizako nyong lkn nimegunduaww nimuongo
@jaderkyser9389
@jaderkyser9389 Месяц назад
Mbona vitu vyenyewe Anasoma kwenye karatasi Tahira huyu! SHERIA ITAFATA MKONDO WAKE.. JIFANYE UNAJUA MAISHA YA MAREHEM KULIKO MKE WAKE.... MSHENZI KABISA😢
@preshy254
@preshy254 2 месяца назад
S uende direct to the point wew mseee🫴🫴🫴 watu wanahuzuni wew na mashetwani yako unaleta story za freemason apa😢😢 SHINDWA NA ULEGEE 😡😡😡
@alicegitau2776
@alicegitau2776 Месяц назад
Ni vizuri kuombea walio hai,once we close over,it's done.Lets hope he made his way good with the Lord Jesus.
@AdelaKivelege-o4r
@AdelaKivelege-o4r 2 месяца назад
Sasa hapo umeongea nini? Unazidi kutuumiza tu. Aliyekufa huombewa? Halafu inakuwa nini? Soma Neno la Mungu kijana uelewe ndipo uongee mtandaoni.
@anastaciamusembi1228
@anastaciamusembi1228 2 месяца назад
Wacha kuwaongelelea watu wa Mungu jiombee kwanza uisikie sauti ya Mungu wewe mwenyewe.
@ELIZABETHAkley
@ELIZABETHAkley 2 месяца назад
Tafuta kazi ya kufanya acha kutafuta Kiki kwa watu waliobarikiwa na Mungu pole yako mtumishi wa Mungu gani umechoka hivyo huna hata point
@ElizabethSadick-g2o
@ElizabethSadick-g2o 2 месяца назад
We mbuzi ungekuwa kalibu ningekukaanga mshez wewe!; ushindwe kwa jina la yesu
@ScoviaAnyango-c8c
@ScoviaAnyango-c8c 2 месяца назад
Wewe nimuenda wazimu kweli eeeeeee tena Marco naye wacha watu wa mungu ww
@esterwambura
@esterwambura 2 месяца назад
Sasa umeongea nini cha point hapo mm sijakuelewa umemaanisha nini
@aselaoscar9353
@aselaoscar9353 Месяц назад
Kwan marehemu anaombewa toba? Umechemka ndugu
@AnnaNgobola-pm7fz
@AnnaNgobola-pm7fz 2 месяца назад
Kumbuka neno la muñgu liñasema baada ya kifoni hukumu halafu wewe unasema mungu amlaze mahali pema peponi hatumfundishi mumgu mahali pakuwalaza watu hiyo nikazi yake mweñyewe
@SadockChessa
@SadockChessa 2 месяца назад
Amina Joyce kwa ujmbe wako watu hawataki kuakoka watumainia maombi ya wachungaji
@deborahkagundia5848
@deborahkagundia5848 2 месяца назад
Sasa unataka nini ?
Далее
Harusi ya Japhet & Alice
2:46
Просмотров 68 тыс.
ДУБАЙСКАЯ ШОКОЛАДКА 🍫
00:55
Просмотров 2,5 млн