Ningekuwa karibu na wewe ungepata kofi kwa uchungu niliyo nao kwa familia ya marco😢😢shindwe katika jina la yesu . Mungu pumuzisha marco kwa amani ,, vinginevyo ni wewe unajua 😢😢😢
Mie nawashangaa hiyo familia walikuja wameshaingia kenya ETI MKAMRUDISHA BUGANDO!!!! Jamani wenzetu kenya Wana huduma nzuri na kubwa za Hospital. Wangempigia simu Rais Ruto angetoa maelekezo maana hiyo kwaya huku kenya tunaita ya Rais Ruto. Kenya huduma za tundu za moyo ni vitu vya kawaida. WAGONJWA NA MAWAZIRI WANALETA FAMILIA ZAO KENYA WANA TOKA WEST AFRICA KUJA KUTIBIWA. Mie haningii akilini ETI walimrudisha BUGANDO Toka kenya and then dar wamemuua ndugu Yao kwa uzembe
God bless you man ✋. Never look or go back again. Bring other youths who have sold hearts or are bound in darkness out there to the light of Jesus Christ 🙏
Kiblilia hakuna maombi au maombezi ya mtu fulani yatamwezesha mtu aliyekufa kupokelewa mbinguni. Mtu akiishakufa kazi yake imekwisha. Tuliobaki tunamtukuza Mungu kwa maisha marehemu aliyoishi kwa kumfanyia ibada.
Wengi hamjamwelewa,,si kila kifo kimepangwa na Mungu ,huenda kalogwa na hajafa yupo pahali anatumikishwa ,na akiombewa aweza kurudi ama MUNGU aiokoe roho yake nq kuzim na watesi wake
Moyo wako na ukae kimya.....Mungu akupe hekima upate kuijua kwel yake kwa maana bado u gizani, Tafakari neno la Mungu ili usilitaje jina la Bwana Mungu wako tena katika upotofu wa mawazo yako ....Neema ya Bwana iwe pamoja nawe...
Wa Tz huwa wanacoment kichwa cha habari ,HAWASIKILIZI MPAKA MWISHO Hakuna alikosema kuwa Marco alikuwa freemason bali amesisitiza kuwa alikuwa mtumishi wa Bwana kweli kweli DUH,watu ni wavivu kusikiliza MPAKA MWISHO
Wewe kaka acha uongo huna unabii wowote wa kujuaa n yupi uko upand wa mungu au wa shetan ila mungu pekee ndio anaejuaa wewe kama unatafta mashabiki tafta kwingine so kwa matukio yakitokeaaa Ndo ujueee kuongeaaa so kama Marco amepumzikaaa upande wa kirstoo yeye Ndo anajuaaaaa na hatuombeag mtu aliyekufaa kwa iman yetu acha kupotosha watu walk mweny maombolezooo makaliiii mda huu
For Imani Whch Falaa Wew...Acha Kuvunjia Watu Heshima Wew Aujitambuii Ndmna Hata Sis Hatukutambuii Na Uongo Wako ..Umeulizwa Alikua Anasumbuliwa Na Nn Au Unafkii Tu Kufata Yako Aaanh😢😢🥲Ya Watu Tu Hamna Hat Chamaan Unchosema Watu Wengn Mnatfta Kiki Tu Washnz Nyie
acheni kudanganya watu na kuvamia wito wa kichungaji Mungu mkuu wa mbinguni na awakemee kwa jina la Yesu. Mtu akifa amekufa sharti utengeneze na Mungu ukiwa hai
we kijana,,walio kufa hawajui neno lolote,,wanaombewa walio hai,,na hakuna mtu anaweza kunyakua watu walio kufa,,isipo kuwa ni uweza uliye na MUNGU peke yake,
Jamani.tusome maandiko habari za wafu Mhubiri 9:5-6 [5]kwa sababu walio hai wanajua ya kwamba watakufa; lakini wafu hawajui neno lo lote, wala hawana ijara tena; maana kumbukumbu lao limesahauliwa. For the living know that they shall die: but the dead know not any thing, neither have they any more a reward; for the memory of them is forgotten. [6]Mapenzi yao na machukio yao, na husuda yao, imepotea yote pamoja; wala hawana sehemu tena katika jambo lo lote lililofanyika chini ya jua. Also their love, and their hatred, and their envy, is now perished; neither have they any more a portion for ever in any thing that is done under the sun.
wew achana na hiyo kazi mungu ninae muabudu atakuwajibisha tafta kazi zingine hizo achan nazo mungu atakuwajibisha na mungu akusameh maana hulijui ulitendalo😢😮😮😅😅😊
Daaaah nimejiona jinga la mwisho kweli leo yaani kukaa kusikiliza mwanzo mwisho ili nipate point duh(nonsense), pole sana kijana mwenzangu toka huko bado pana ka giza wajanja wote tuko kwa YESU
Ushindwe katika jina la yesu uweke sawaa ww nimungu mbona unaongea mamb yasiyo faaa watu wanaumiaa wewe unaongeaa mamb kama hayo weee kaka ushindwe kabisaaaa
Yan ww koma Tena koma Sana mjinga ww kilaanaefalk tu unamudakia ala 😢malco apmzke kwaaman Sana we kijana komasana unajifanya unampendamungu wakat upokwajl yakuuatu watu kilask unatwambia kilimason kilimason haituhusu jal yako Kwan lazma utwambie tapel mkubwa tu
Umekwama ndg Yang toba ya kweli ni ukiwa hai so mtu akishakufa kama hakutengeneza jua hakuna neema ya msamaha tena ktk kifo unahitaji kujifunza neno zaidi kupata ufahamu.
So sad 😢 and my condolences to Zebron Singers and family of late and pray God to give them all comfort and strength during this time of mourning. God rest his soul in eternal glory and peace 🙏🏼😭!
Mtumishi hakuna ibada ya wafu katka maandiko, Hivyo swala la kumuombea toba marehemu halipo, Kitu muhimu ni sisi tulio hai kujikabidhi kwa Mungu kwa kutubu ili hata tukilala tulale upande wa Mungu Kitu muhimu kwa sasa ni kuomba Mungu awatie nguvu familia kipind hiki kigumu wanachopitia
Mtumishi utamuombeaje mtu toba wakati Mungu amekuambia kila mmoja ataubeba msalaba wake mwenyewe? Hebu msipotoshe watu jamani. Habari ya toba Ni ya mtu mwenyewe peke yake.
My The lord Almighty God comfort the bereaved family, The entire fraternity of Republic of Tanzania 🇹🇿 at this moment of difficulties, My the soul of Marco Joseph R.I.E P, . Which that we love the shall never be forgotten but becomes apart of us, your memories shall remains a fresh in our mind, rest easy bro , fellow brethrens from 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪,
Soma bibilia yako vizuri! Ukiwa hai tengeneza maisha yako na Mungu, hakuna kutengeneza na baada ya kifo, wala sio ibada ya masishi itakayo badilisha hali Githeri media 😢
Jamani mumuache marco Apumuzike kwa Amani maana kiramumoja Anaongeya ya kwake hivimunajuwa uchungu wamusiba munajuwa nimaumivugani wariyonayo wanafamiliya
Jmn mimi ni muislam ilapoleni sana sana nduguzetu ila huyu kija hatamimi huwasipendi kiukweli mutanisamehe km nimewakera ndugu mungu amuweke mahalipema amin
Pole sana kama uta wa hasa watu wamuombee mtu ambaye kafa tayari ili Mungu amulaze mahali pema pepoji! Hivi wewe Kama wewe unaweza kunipa andiko katika maandiko matakatifu lisemalo tufanye sala kwa ajili ya wafu? Ao sikuelewi, wenda unamaanisha kitu kingine? Naomba tafadhali unieleweshe vizuri.
Acha kudanganya watu wewe aombewe mtu amekwisha kumaliza kazi yake, hiyo ibada ya wafu kweli wewe unawadanganya watu eti waombe apumzike pema peponi Acha kama mtu akuwa hair hakutengeneza Marshall yake basi hakuna maombi maana ukurasa wa Maisha yake umeisha kufungwa wewe Acha, jifunze neno la Mungi vizuri usitumie neno la Mungu kupotosha watu. Mimi natumaini mrumishi kama alikuwa amesimama vizuri ktk huduma aliopewa na Mungu yuko sehemu salama kabisa, ila sisi tuliobaki tutengeneze njia zetu, tuwe tayari wakati unaofaa na wakati unaofaa kwani kufa ktk Kristo Yesu ni saida kuishi ni Kristo
Kutukana sio vizuri wewe sikiliza tu anaejua ukweli ni mungu pekeyake kifo cha moto kuuma gafla tumesha shuhudia wengi kifo kinakuwa kinatokana nanini Linda imaniyako maana ndo unaijua wewe mwenyewe mengineyo mwachiyeni mungu.
Kijana u mzuri sana,,,ila tafuta mafundisho ya kiungu hamna Toba baada ya kifo,,,,maana bi lia ya sema heri wafu wafao katika bwana wapate kupumzika baada ya taabu zao
Yan unaniuz Sana naskupendi skupendi skupendi Sana unasingizia watu nikilimason nnahasla hapa Yan bolatu upo mbal ningekuua hata kukuua mujinga wewe fala mkubwa
Pema peponi mtu anajiandalia mwenyewe,ila ukitegemea ufe ndo wachungaji wakuombee uingie poponi umechelewa.pole.kama aliishi maisha ya kumcha Mungu yuko mbinguni kwa BABA la sivo hakuna mnachoweza kudanganya
@@emmiemmi3861 mimi nimesikiliza vizuri mpaka mwisho na nimemuelewa vizuri sana.ila ndoo ukweli kwamba hakuna maombi yanayoweza kumuingiza mtu peponi baada ya kufa
Mbona vitu vyenyewe Anasoma kwenye karatasi Tahira huyu! SHERIA ITAFATA MKONDO WAKE.. JIFANYE UNAJUA MAISHA YA MAREHEM KULIKO MKE WAKE.... MSHENZI KABISA😢
Kumbuka neno la muñgu liñasema baada ya kifoni hukumu halafu wewe unasema mungu amlaze mahali pema peponi hatumfundishi mumgu mahali pakuwalaza watu hiyo nikazi yake mweñyewe