mwenyezi MUNGU ndiye anaye watibu na kuwaponya wanadamu! Walimwengu jahadharini na elimu zisizomtukuza MUNGU! ALLAH SUB HANAL WATAAL atujaalie Toba jamani
Ndiyo kuna majini ma wazuri, na kunao wabaya. Lakini sio lazima kushirikiana nao ata kama ni wazuri. Wapo na dunia yao, na sisi tuna dunia yetu ijapokuwa sote tunaishi pamoja ulimwenguni. Na Allah S.W.T alituuambia tusihirikiane nao ata kama ni wazuri. Quran ndo tiba na shifaa ya kila kitu. Mwenyezi Mungu atuepushe katika hizi mitihani zote
Msikilizen huku Mzee kwa makini jamani sioni kama anapotosha wallah Imani imetujaa kiasi ya kua wajinga na tunateseka tukisema inshallah kesho ntapata den leo tunalala njaa
Site tuna akili zetu piya tumesom tulicho Soma niuliz hivi hakuna sehem mtume kaongea nao ? Pig uwa jibu nikwamb nimara kibao amezungumza nao Sasa swali hapo mtume hajashirikian nao? Tumludie mungu tusimkandamize mtu ety kisa ww sjui ni answari mhabi sjui ni Nani site tufuate haQi
sura ya 6 mstali wa 128 annam. Na ile Siku atapo wakusanya wote awaambie: Enyi makundi ya majini! Hakika nyinyi mmechukua wafuasi wengi katika wanaadamu. Na marafiki zao katika wanaadamu waseme: Mola Mlezi wetu! Tulinufaishana sisi na wao. Na tumefikia ukomo wetu ulio tuwekea. Basi Mwenyezi Mungu atasema: Moto ndio makaazi yenu, mtadumu humo, ila apendavyo Mwenyezi Mungu. Hakika Mola wako Mlezi ni Mwenye hikima, na Mwenye kujua
Dr. Sulke, katika imani ndani ya uislamu muombwa na moaji nie Mwenyezi Mungu tu pekeyake, hivyo ukitumia majini wakuletee riziki hiyo ni fitina unamfitini Mwenyezi Mungu asijulikane. Tunaita USHIRIKINA HUO.
Majini wote ni wabaya hakuna jini mzuri Kwa wanadamu wote ni waasi mbele za Mungu,kazi Yao ni Moja,kuchinja,kuua,na kuharibu,YESU KRISTO ni BWANA na mwokozi njoo Kwa YESU KRISTO upate okolewa kabla haujachelewa
Assalamu aleikum warahmatullahi wabarakatu mandugu na madada Mtume Saallallahu Aleihi Wasallam alituhimizia tusi waamini wasomaji wa ma nyota hata kama maneno yao ni kweli tafadhalini tuji chunge sana na mitandao na tusome saana dini yetu ya kiskamu kwa ma sheikh walio julikana na wana ma dalili kutoka kwa vitabu vya swahih ,wanadamu wengi sana wana utajiri bila ma jini wala ma pete tusi danganyeni khwasa madada zetu na ma mama zetu wengi huigia kwa hizi mitego Allah atuongoze na atuhifadhi soote
Mnaopishana na huyu Mzee nawaomba tu mjarinu kuangalia movie za kijini za kiafrika. Utaona wanakita katika kuumiza maskini na kuwafanya wagonjwa Hadi kufa..ila za wazungu zinawapa mafanikio na mamlaka ya juu na kuishi vizuri katika Dunia hii... NA UTAMBUE MOVIE NI UHALISIA WA MAISHA YA MWANADAMU HUSIKA KATIKA MAENEO YAKE...
Huyu amejitangaza tu kua yeye ni mshirikina , atajuaaje hayo yote kama atendi, vipindi zake mingi yeye husema yeyote anayetaka kufanikiwa amtafute Kando, mkenya aliempa gari alisema alimsaidia sana kwa kazi yake ndio akamzawadi, hapo amejitamblisha 100%, kwa raha zake , anaedelea kujitangaza tu hapate wateja wale wanamuelewa😅😅
Mganga kama mganga Kwa maneno ya ujanja atakuzunguushaa,lakini hatimae atajitoa kwenye wajibu wa Hilo jukumu na kukuwacha wewe mteja wake ukibakia na matumaini hewa Kwa jini hewa .lakini ' Jini ' wake atakuwa kesha mpelekea mzigo wake kutoka kwako. Yaani kabla hujapewa hiyo Pete lazima upigwe kirungu
Kwani anamaanisha Nini anaposema ,majini wake wanakuondolea vizuizi Isipokuwa iwe Qadari ya mungu . Anapigaje hapo ? au ndio Ile nenda Rudi Kwa aliyepigwa kirungu na hakufanikiwa ?
Sule anaeteswa na jini anasaidia kwasababu anafasaidiwa na majini kuna maradhi ambayo sule na majini hawawezi ila wale wabaochezewa kishirikina sule anaweza kusaidia
Mm naona ameongea point sehemu nyingi ikiwemo katika technology na mambo ya white magic na black magic, Lakini nilishindwa kuelewa katika uvaaji wa hizo Pete za bahati kuhusiana na kinga kwamba inaweza kuzuia, fitna na kukwamishwa kunakotokana na ushirikina, ama majini wabaya isipokuwa chochote kitachoamuriwa na Mwenyezi Mungu...Basi tunarudi pale pale kuwa Mungu ndio nguvu pekee na kimbilio pekee hakuna wa kumzuia ama kumshinda yeye....basi Tumrejee Mungu pekee, tumuombe yeye na kumtumainia yeye...hakuna haja ya pete wala msaada wa majini....Ni hayo tu kwa mtizamo wangu...vinginevyo ameeleza vizuri sana na ufafanuzi mzuri wa mada nyingi. ASANTENI.
Hata mapasta hawaamini mungu aneza wapa ndio maana wanaishi maisha mazuri kwa Sadaka za waumini wao na waumini wakiishi maisha duni wakiamini kua mungu na wao atawapa kwa kumpa pasta hela kwa kigezo Cha Sadaka
Kwahakika ameathirika na dunia na ladha ya maishayake yenyekumalizika kuliko pepo na ridhwaan (ilmulkalam imewapoteza wengi kablayako mche alwah )wacha hawaa
Na ile Siku atapo wakusanya wote awaambie: Enyi makundi ya majini! Hakika nyinyi mmechukua wafuasi wengi katika wanaadamu. Na marafiki zao katika wanaadamu waseme: Mola Mlezi wetu! Tulinufaishana sisi na wao. Na tumefikia ukomo wetu ulio tuwekea. Basi Mwenyezi Mungu atasema: Moto ndio makaazi yenu, mtadumu humo, ila apendavyo Mwenyezi Mungu. Hakika Mola wako Mlezi ni Mwenye hikima, na Mwenye kujua
Huu ni ushirikina wa wazi, Mungu anapokataza ushirikina anajua kuwa jini kampa uwezo tofauti na mwanadam, hivyo unachopaswa ni kumuabudu Mungu ILI tuupinge uwezo wa majini ILI ujue HUYU jini na huyu Mungu
I don't know if your doing because you wana draw people's attention? Kama Mungu mwenyewe kajiweka wazi kuwa yeye nimsada wetu kwenye mda wama tatitizo yetu,sasa wewe, sasa kama unamiya viumbe vilivyo fungiwa na Mungu, uwo siyo ukosefu? Maneno matakatifu yanasema kuwa Tuwombe kwa Mungu kupitia Jina la Yesu kwa wa khristu alafu tutajibiwa, sasa kama unatumikisha viwumbe vingine apo apatakiwi Mungu na wala mnamuamini yeye, Ulisema kwamba kila mtu anajitakia story ili aweze kupokewa na watu ukasema Paul akaona atunge story, nduguyangu hapo ndo umefeli kabisa, kwasababu Imani nikitu ambacho au amini kwasababu umekiwona, lakini unatanguliza imani baadae matokeyo yanafwata, akuna mtu aliyo Mungu navilevile maneno matakatifu yanasema akuna ambae atamuona Mungu na akawa, kwahio Musa alipata nehema mbere za bwana akaona utukufu, nahamini kwenyu kuruan maneno hayo yapo, sasa Paul alisema Yesu ndo alimtokea siyo Mungu, sasa ukiwa unahanza hoja ka na lengo laku ponya watu siyo kukosowa bibila au ukhristu ata wa khristu nawo wasikosowe dini kwasababu Mungu ndo anamufahamisha mtu njia, binadamu ana nguvu hio, yeye kwake niku hubili vingine niva mwenyezi Mungu mwenyewe kutenda
Mnafki sisi atutaki utuchafurie dina yetu taja huyo mwanachuoni aliesema anaesema kua inaswiiiiiiiiiiiii yan huyu mshirikina anachafua dini wallah lakn allah anayaona haya wallah allah anayaona haya ww aribu tu dini kisa thaman ndogo ya dunia
Exactly ni aibu kujiita muhadhiri ilhal unapotosha waislam. Akuna anaepaswa kuabudiwa kwa haki pasipo Allah na Qur'an ndio muongozo Wetu waislam na maisha au Sunnah za mtukufu wa daraja Mtume Wetu Muhammad S.A.W.. ukikosa kufuata ii upo nje au kwenye wanafik
Dokta Sule umefunguka akili pia umeingia undani wa elimu na kuizungumzia haujawa na makosa yoyote endelea hivyo na utaelimisha wengine wengi na wafunguwe akili zao, ndo maana Leo hii unakuta wengi wao wanjidai kuwa Wana elimu ila hawana hata ujuzi wa kutengeneza hata kiberiti. Endelea hivyo hivyo na mengi utagunduwa. Hongera sana kwa elimu hiyo. Nakuunga mkono kwa Hilo.
Huyu haja kufungua akili ndio kakuziba akili haswa maana science hajui hata kidogo.duuuh anamini zile chips za semiconductor ni za kijini siku akija kupa Tesla car za auto driving atasema jini ndio anaendesha na lile gari ni la kijini maana mule muna automation za kufa mtu
Aya ipi inasema kwa uwazi inasema ambayo Allaah amehalalisha tutumie majin. Wakati Allah anasema kwa waja wake tukimwomba chochote anatujibu kwa mujibu wa qurani
Mzee Haydar tuseme hyu ni babu yetu alikua c mshirikina anapenda kusoma Quran siku hio ya alhamis na ndani ya mskit hua pekee yakd na baada ya magharib kuna kisomo mskt
Acha kuaminisha, watu ushetani wako, ewe mwana wa ibilisi, umekaa apo kumtukuza shetani, ushindwe kwa jina la YESU KRISTO. Bibilia inasema siku za mwisho marifa yataongezeka, mwamini YESU UWOKOKE
Poleni sana ndugu zangu kwa kupotea, laiti mngejua kweli ya Mungu, mngetubu na kugeuka, lakni ata sasa bado amjachelewa, msifanye tu mioyo yenu kuwa migumu, mkubali I Yesu msamehewe dhambi, nyie wenyewe mnajua kuwa Yesu ni alama ya kiama
@@stephanosospeter1709Huyo jamaa ndio amepotea peke yake sio sisi - nyinyi wakristo ndio mmepotea Tena upotevu wa mbali maana mmeacha kuabudu Aliyewaumba mnaabudu mwanadamu mwenzenu.... Tafakarini mmepewa akili
Khamis Rajab: Hata hivyo Allah swt amesema: Laa taabudu Sheitwan, Usimuabudu Sheitwan,, wala kumfanya Rafiki.. kwanza hana wema hata umfanyie wema ipo siku atakuuwa tu ! Sheikh enedelea kufahamisha watu! lakini msifuge majini mfugaji akija kufa mnawapa taabu watoto wenu.,..
Bwana technology aija tokea kwajiri ya majini, uwo niuwonga mtupu, kitu chochote ambacho mtu unatengeneza kinatakiwa program, sematu uyo anaye kuhoja ana uherevu, sim siyo nguvu ya majini, mimi ninacho herewa nikwamba kila kitu ukikifanya kwa utafiki haswa, elewa ata binadam amefanyiwa program na mungu kuhanzia utotoni na mpaka anapokuwa
Umesema kweli handeni Kuna mganga miaka ya nyumba alikuwa akifukuza majini yakufugwa akili kamatwa tu aka weka dawa una ona liondongo lililo finyangwa finyangwa
Mimi naona sijuwi kama elimu yangu ni ndogo uyu anafanya bya shara yake jini ni mapepo alafu mapepo ya takuwa mazuri kivipi?na wamelaaniwa?akuna jini nzuri ata kidogo yote mashetani
Ni nyakat za mwisho manabii wauongo na wa kweli akili mwako kichwani ,ndugiangu mtegemee allha ndo anajua kilak2 ukiskiza v2 vya mitandaoni vitakupeleka pabaya Maana hujui uskize yupi uache yupi yoote muachie allha Nyinyi kama mwasukumana sisi tulio silim juz tufanye nn tumwamini allha na kumjua allha kilaki2 mungu ndo anajua
Sisi waislamu tumefundishwa kufanya adhkari za kujikinga dhidi ya shari zote na ndio maana Mtume alayhisswalaatu wassalaam. Hakutaka watu wategemee vitu wamtegemee Muumba wao. Tukifungua huu mlango basi hata hirizi watazitetea kama wewe unavyosema. Irejee tauhidi ambayo ndio kazi ya Kila Mtume aliyetumwa na Allaah utagundua upotevu wa huyu Jamaa!
Katika wooote walo changia hapa naona we ndo umeongea pointi muhimu kabisa na ya msingi kuliko wote humu. hasa hapo uliposema kuhusu TAUHID maana mitume wote ukisoma QUR,AN TUKUFU walikua wanasema wamtegemee Allah pekee na kumuomba yeye tu na kutaka msaada kwake katika kila kitu nk. na si kutegemea eti msaada wa Viumbe Majini na maroboti nk.
Nimegunduwa watanzania masikiyo yao yako mfukoni maana yani watu wameshindwa kumuelewa wakati sule yuko wazi anacho kiongea kinaeleweka watu mnao mdadisi vibaya mnaelewa nini kweli surely
Yote haya mmeshindwa kujua nini maana ya huo Uislam ndio maana mnasema kuna Majini Waislam lakini mkijua Uislam hamuwezi kuunga mkono haya pia hamjui huo uzuri mnapo sema majini wabaya na majini wazuri, kwani ukisema nyoka huyu ni mzuri hapo umemuhamisha kuwa sio nyoka au hawezi kudhuru, acheni hayo mambo.