Тёмный
No video :(

MSIKIE SHEKH MZIWANDA ALIPOMUHOJI SHEKH WALID ATUPE FAIDA KWANINI TUNAOA HADHARA YA SHINYANGA . 

Saimu gwao Online tv
Подписаться 228 тыс.
Просмотров 122 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

26 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 102   
@abasmwika3432
@abasmwika3432 3 года назад
Huyu Sheikh katulia sana nilikua sijawahi kumsikia nimevuna vitu vingi sana.Allah akuzidishie maarifa Sheikh
@suraiyasalambha9446
@suraiyasalambha9446 4 месяца назад
5
@salimhinzano5656
@salimhinzano5656 Месяц назад
​@@suraiyasalambha9446❤❤❤❤❤❤❤
@abdullakhlaas4377
@abdullakhlaas4377 3 года назад
MashaAllah sheikh Walid kunakitu chapekee Allah kakupa balagha, falsafaa sheikh unatunu nyingi sana Allah akihifadh inshaAllah
@ishaantitus7369
@ishaantitus7369 3 года назад
you prolly dont give a shit but does someone know of a method to log back into an Instagram account..? I stupidly forgot the password. I would love any tricks you can offer me.
@SaidiSelemani-o9y
@SaidiSelemani-o9y Месяц назад
Sheikh walid MashaAllah Allah aendelee kukuhifadhi napenda sana darsa lako
@yussuflucas7049
@yussuflucas7049 3 года назад
Masha Allah shukran Sana sheikh (Allah) akulipe kheri na akulinde nakila aina ya shari, na akujaalie umri mrefu wenye kheri nyingi na barka tele...!!!!
@jumaamsuya5
@jumaamsuya5 11 месяцев назад
Mashekhe allaah awalinde nawapenda sanaa
@mfaumekindamba8634
@mfaumekindamba8634 3 года назад
Maashaallah M/mungu azidi kukusimamia sheikh bin sheikh tuzidi kustafidi inshaallah
@rashidisalimu2222
@rashidisalimu2222 Год назад
Maashaallaah swali zuri na limepata majibu yenyekujitosheleza na yanayo eleweka alla akuzidishie kheri shekh walid
@hajimnubi4581
@hajimnubi4581 Год назад
Vipande vifupi kama hivi vya masheikh kustukizana kuulizana maswali muhimu kwa faida ya waumin viendelezwe..shukran sheik mziwanda kwa ubunifu
@bugybuster5788
@bugybuster5788 Год назад
Nakupendaga sanaa shekh wangu unautuliv sana ktk mazungumzo yako
@sophianyangalio3796
@sophianyangalio3796 3 года назад
MashaaAllah Mwenyez Mungu azidi kuwalinda na kuwapa maisha marefu masheikh na waislam wote
@aminamkumba3549
@aminamkumba3549 Год назад
Mashaa Allah, tumepata sheikh lkn pia mwalimu, anafundisha vzr sana
@fadhilplatnumz8474
@fadhilplatnumz8474 Год назад
Shekhe yuko vizuri sana 👍 Kiongoz wetu wakiislam ktk Jijikuu Tanzania nimekukubali Mkuu kwanza uongeaji niwaki Heshma kwakilamtu Mdogo naMkubwa 🙏🙏👍
@halimamkangama4966
@halimamkangama4966 2 года назад
Sheikh walid alhad yuko vizuri sana
@fatuma3969
@fatuma3969 Год назад
Maashaaallh allh akulipe Kila lakher darasa nzuri sana nimejifuuza mengi
@fatumahamisi7064
@fatumahamisi7064 2 года назад
Shukran Jazzeella shekh kwamwenye uelewa amekuelewa na mungi akujaalie ueleweke daimani .kwa kuelimisha umah
@user-fy4op1sw2f
@user-fy4op1sw2f Год назад
Ma shaa allah sheikh mungu akuzidishie elimu na akuruzuku fahamu
@ZainabHassan-hz4no
@ZainabHassan-hz4no Месяц назад
Alla akupe bararaka nyingi apenda mafundisho unayotoa
@sammoses7479
@sammoses7479 Год назад
Masha Allah, m/mungu akusimamie she wamkoa. Kwanasaha zako izoizo. Zenye haki
@ramlazubery1682
@ramlazubery1682 Год назад
MASHAALLAH. ALLAH KARIM. AKUTANGULIE KATIKA KILA JAMBO INSHAALLAH
@FatimaFatima-wz2qt
@FatimaFatima-wz2qt Год назад
Mashalla shekhe Alla akupe umri mrefu inshaalla
@alhaddajmohammed4768
@alhaddajmohammed4768 3 года назад
Wanasema wamesharibiwa na mfumo/mpangomkakati (mission) uloasisiwa na Wamishionari kwa kupachika Demokrasia (haki sawa). Wanawake wamekuwa hawatulii majumbani wamekuwa wajasiriamali hivyo hawana muda (hawataki) wa kuolewa wanaona kuolewa ni utumwa/kupitwa na wakti.
@aminajuma1435
@aminajuma1435 3 года назад
Lakini ukichunguza kwa undani hiyosababu chanzochake niwanaume ndowamepelekea wanawake kujiwekahivyo… wanaume wameumbwa kuwa viongozi lakini wengiwao hawajui wajibuwao kwenyehuo uongozi… naukizingatia kunaupungufu mkubwa wa elimu yadini ndomana inapelekea wanawake piakuwahivyo.
@zariadunia6328
@zariadunia6328 Год назад
Mungu katuokoa na mengi kutuletea huyu walid jamani tuna muomba awe anatoa darsa kwa sana
@jumakhamis226
@jumakhamis226 Год назад
Jazaka Allah khaira shekh
@aliamoursaid2581
@aliamoursaid2581 Год назад
Alhamdulillah Allah amzidishie utulivu
@mfaumehassan3816
@mfaumehassan3816 Год назад
Allah akbar
@thakibuiddi1857
@thakibuiddi1857 3 года назад
Hii hadhara inamashekhe wengi kuliko wanafunzi
@nomamatata754
@nomamatata754 Год назад
Mi mkristo lakini sheikh wa mkoa( kwa sasa) amejibu swali la sheikh mziwanda vizuri sana tena kwa utulivu sana.....kuna mengi nakubaliana nae .......afaa kuwa kiongozi mbele za watu pasipo kumhukumu kwa ubinafsi wake.....kila mtu ana mapungufu.......
@danielshekiyao706
@danielshekiyao706 Год назад
Mimi SI muislamu ila huyu shehe Yuko vizuri
@umarbakar1694
@umarbakar1694 3 года назад
Assalaam 'alaykum... Samahani naomba darsa ya arbaiina nawawiy kama ipo clip yake naomba nielekezwe nipate kustafidi. Jazaakumullahu khairan wao'afwa minkum.
@awadhtamla6989
@awadhtamla6989 Год назад
Mashallaah
@fatemaoman7948
@fatemaoman7948 3 года назад
Barakallwahu fiik
@saidabubakari7560
@saidabubakari7560 Год назад
Maashallah
@safiaothman5175
@safiaothman5175 Год назад
Ndoa ni Ibada.
@maimunaabdallah5304
@maimunaabdallah5304 8 месяцев назад
❤❤❤❤❤
@halimaally623
@halimaally623 Год назад
Mwenyezimungu akupe afya njema umri mlefu wenye manufaa kwetu sote
@nurudinmaede5936
@nurudinmaede5936 Год назад
Maaashaallah 🙏♥️
@hamiddikupatile9055
@hamiddikupatile9055 Год назад
Dakika ya 9 mashAllah
@fatmarashid1843
@fatmarashid1843 Год назад
Mabruk walld
@feisalfaraj44
@feisalfaraj44 2 года назад
aslmh shekh ukirudiya inageukaaa maanaa itakuwa matusi
@arqamibnarqam.7185
@arqamibnarqam.7185 3 года назад
Alhamdulillah.
@msoya-j-iliyasa7116
@msoya-j-iliyasa7116 3 года назад
Maa shaa Allah
@issagawai3340
@issagawai3340 3 года назад
mashaaallh
@zuberikamote2078
@zuberikamote2078 3 года назад
Huyu shekhe anaelmu kubwa kuliko mashekhe wengne kasoma kenya kasoma tanga shamsi maarif kasoma Misri Kasoma makka
@saloomidd1084
@saloomidd1084 3 года назад
Namuonaga huyu Sheikh ana elimu nyingi sana na hatumii jazba anapoeleza au kufafanua jambo
@Rolemodel_wa_taifa
@Rolemodel_wa_taifa 3 года назад
ELIMU BAHARI NA ELIMU ANAYO LAKINI SIO KUSEMA KULIKO MASHEIKH WOTE
@kesslycompanyltd
@kesslycompanyltd 3 года назад
@@Rolemodel_wa_taifa swadakta
@kesslycompanyltd
@kesslycompanyltd 3 года назад
Wapo walio mzid wajuwa elim kama ni bahar na pana
@joharindaro3075
@joharindaro3075 3 года назад
Ulisema shamsul maarifa unanikumbusha mbali toka shamsia
@dezainermedia1035
@dezainermedia1035 2 года назад
Machallah
@athumanikhamisi3377
@athumanikhamisi3377 2 года назад
ماشاءالله
@hashtagdarling4738
@hashtagdarling4738 3 года назад
Masha Allah
@user-ib7kx9dc5m
@user-ib7kx9dc5m 7 месяцев назад
Kweli nilikuwa niki ona ndevu na kanzu nikajuwa huu ndio usilam kumbe hapana elim na uelewa huo ndio usilam wewe unae sema vibaya juu ya majibu ya waridi utakali mwisho waoko itaqllaha
@fatmazena8886
@fatmazena8886 3 года назад
Ma Shaa Allah...sirudiiii
@umarbakar1694
@umarbakar1694 3 года назад
Hurudii nini dada...
@fatmazena8886
@fatmazena8886 3 года назад
@@umarbakar1694 nimeufuata tu usemi wa shekh pale aliposema sirudii
@nabiljumbe
@nabiljumbe 3 года назад
Mashaallah
@aminaibrahim4148
@aminaibrahim4148 3 года назад
Mashaallah Allah akupe umri mzur shkh Warid
@mohamediliyele1523
@mohamediliyele1523 Год назад
ma shahalaa
@salwasuleiman3525
@salwasuleiman3525 3 года назад
Kasema mwanamme anavichwa viwili kimoja kipi sijaelewa kidogo
@idrisatarawe7305
@idrisatarawe7305 Год назад
Cha juu na cha chini
@dhamirkhamis9073
@dhamirkhamis9073 3 года назад
Mashallah
@mohdmbarouk8465
@mohdmbarouk8465 3 года назад
Cha chini na cha juu
@omarykyutta6681
@omarykyutta6681 3 года назад
My sheikh
@thakibuiddi1857
@thakibuiddi1857 3 года назад
Namuona shekhe muhamadi suluta kwambali
@pachawadoto5911
@pachawadoto5911 Год назад
Mtuliiivu mwenyewe kajituliza...
@bernadj.6924
@bernadj.6924 Год назад
Dawaaa
@ebrahimosman5477
@ebrahimosman5477 2 года назад
🙏🙏🙏
@jumahamisi5383
@jumahamisi5383 3 года назад
MAA SHAA ALLAH
@omanimujsa9756
@omanimujsa9756 3 года назад
Ety eeeeeee sirudii hahahaahaha shekh walid banah
@khdigahk4246
@khdigahk4246 3 года назад
Allah akbar 😀😀😀apo kwenye vichwa uspoludia 😃😃😃😃
@zuberikamote2078
@zuberikamote2078 3 года назад
😂😂😂🤣🤣🤣🤣
@zuberikamote2078
@zuberikamote2078 3 года назад
Unatabu weeeeew🤣🤣🤣🤣
@feisalfaraj44
@feisalfaraj44 2 года назад
ukosahihi
@allykasa6185
@allykasa6185 3 года назад
Kipenzi changu
@AllyASalum
@AllyASalum 3 года назад
Mimi huyu kipenzi changu zaidi...Maashaallah. Allah ampe umri mrefu zaidi wenye manfa'a. Aamiin
@halimamkangama4966
@halimamkangama4966 2 года назад
Mimi pia
@adiashekidee
@adiashekidee Год назад
Sheish walidi uko vizuli sheish yakubu ana kupa hai
@omanimujsa9756
@omanimujsa9756 3 года назад
Wawkwanza
@joharindaro3075
@joharindaro3075 3 года назад
Sirudii 😅😅😅😅😅
@shadhirimaalim9739
@shadhirimaalim9739 Год назад
KAZI ya kusifiyana Tu elimu chache Sana someni jamaa zetu
@hajiabdalla5772
@hajiabdalla5772 3 года назад
Munge weka mdahalo kwa nini waislam wa tanzania bara wakifikwa na tatizo huwenda kanisani kuombewa na mapatri na huko huambiwa mwanzo wakubali kama yesu ni mungu ndio watapona .sio muhoji maswali kama hayo ya matamanio ya dunia wakati waislam wanaharibikiwa wapo wanga . Wanafuga misukule na wanavaa nguo za uchi . Hayo kuowa ndio jambo la kimaumbile . Hayo mengine ndio muhimu
@farijala1
@farijala1 3 года назад
Kwahiyo suala la Ndoa ni matamanio na sio Ibada? Ungefikiria kabla ya Kuandika. Na kongamano hilo lilikuwa na mada tofauti. Sasa unataka mada izungumze Kulingana na Unavyotaaka wewe. Taadab .
@shenjamamzingi7950
@shenjamamzingi7950 3 года назад
Wewe umefanya au umechukua hatua gani kutokana na hilo,Dini ni yetu sote si Masheikh peke yao
@zamdinkilala8790
@zamdinkilala8790 3 года назад
Hayo wafanye wewe wao wakifanya hiki nawewe fanya kile
@zuberikamote2078
@zuberikamote2078 3 года назад
Imani yke kwenye Dini yke ndogo naukiona mtu anafanya hvyo ukimchunguza Hana elmu ya dini 😳😳
@yusufudongote6440
@yusufudongote6440 3 года назад
ALLAH akusamehe usione uislam wakwako pekee yako Ammiii.
@wazirikhamisi4828
@wazirikhamisi4828 3 года назад
Kweli usufi BIDAA ni mzigo Aya kibao zenye kuzungumzia ndoa unasoma Aya hiyo aiendani na maudhuu uliyo ulizwa
@allyally5156
@allyally5156 3 года назад
Tatizo la maanswari ndo hili kujiona wanajua sana ,hivi utapamba na walidi ?au unafikiri unayo waza wewe walidi anashindwa? nye ndo mnazidi kuzoofisha uisilamu
@uledihassan6065
@uledihassan6065 3 года назад
Wewe ni jahili upeo wako wa maarifa ni mdogo, endelea kukariri maoni ya akina Uthaimini
@uledihassan6065
@uledihassan6065 3 года назад
@@allyally5156 majaahili hao
@abuuswafwan5275
@abuuswafwan5275 Год назад
Hawa akina waziri ni Vibaraka wa Mayahudi wanautumikia ukafiri ndani ya UISLAM huku wakijua kma C,hakki
@wazirikhamisi4828
@wazirikhamisi4828 3 года назад
Ujinga mzigo wallahi Allah ATUONGOZE ktk HAQ ktk sunna
@uledihassan6065
@uledihassan6065 3 года назад
Mjinga wewe unaekariri mawazo ya akina Uthaimini kububusa
@mohamedhaji2200
@mohamedhaji2200 Год назад
Ujinga upi sheikh. Tupe faida
@allycomm1553
@allycomm1553 3 месяца назад
ACHENI UJINGA KUKAA NA KUSIFIA MASHEKHE WA KIBIDAA
@ramsofundi2222
@ramsofundi2222 3 года назад
Maa shaa Allah
Далее
Я ДОСТРОИЛ ЗАВОД - Satisfactory
19:13
Просмотров 170 тыс.
KWANINI TALAKA ZIMEKITHIRI*" SHEIKH  MUHARAM MZIWANDA
1:28:56