Pia Muhammad (SAW), Alisema "Kama kweli mnampenda Mwenyezi Mungu (SWT) basi NIFUATENI MIMI". Mtume hajasema TUMSIFIE amesema TUMFUATE. Nashauri katika Maulid hizo wafundisheni watu TAWHID na KUHIMIZA SANA SWALA! Maana nimehudhuria maulid kadhaa ikifika wakati wa swala wanaoswali hata nusu hawafiki na hakuna anayejali hilo wao wanawaza kumsifia mtume tu linapotajwa jina lake basi.
Subhanallah umesema ukweli. Huyu Sheikh anasema hatumjui mtume Muhammad (saw) sasa anathibitisha eti tutamjua kupitia kusherekeya maulid, subhanallah. Mtume (saw) tayari kasifiwa na ALLAH kutokana na jina yake MUHAMMAD,maana yake ALIYESIFIWA.. Sheikh tafadhali tukitaka kumsifu mtume saw basi tumsaliye kila siku. Hakuna watu waliyompenda Rasullahi ( saw) kuliko Abubakar RA na Umar RA hali hamna hata siku moja kwa uhai Yao walisherekeya maulid. Jemeni maulid ni fithna kama Christmas...wabillahi taufiq. ALLAH ndiyo kasema ukweli
I like this sheikh's lectures but there are aeeas i totally disagree with him. He cannot justify MAULID to justify love for our Nabi (saw) . How i wish he can study more and get the exegesis of the prophetic sera and proper interpretation plus analysis of the holy quran. Jazakallah kheir for the beautiful and educative lecture
Ki ukweli kumswaliya Mtume ( S.A.W ) siyo makosa tatizo ni kuwa mnatenga masiku maalum kama inavyoitwa maulidi na kufanya maulidi kwasababu ya kiumbe fulani iyo ndo makosa kutowa darsa ima kufundisha historiya yake kwa nini isiwi darsa kama darsa zingine maulid haina tofauti na Pasika maana mnataja saana kiumbe na kumtukuza kuliko aliye muumba sasa apo ndo mnakoseya Sheikh Kishki ashajaribu saana kuwafafanuliya ila biziwi vile
Waislamu jamani kwa uwongo mmezidi yaani mind blowing. Historia hizi mbona mnazificha ?! Mtume hakujua Jerusalem Hadi anakufa. Enyi viongozi wakislam uongo wa waziwazi lkn mtaumbuliwa na ukweli ktk Biblia. Mtaonyeshwa km mnavyoona kwa Hamas, Hamas ndiyo hivyo hawana nchi tena wataishia ukimbizini
@@sadathboutique6253 Sheikh ushahidi ninawo tuma namba yako apo nikupe miamala transaction ya pesa ikibidi na saudi ya huyo mdada alie liwa pesa Yake wa Burundi kipindi alikua akitumikia warabuni Sheikh mimi siwezi kuzingishia muisilam mwenzangu wallah kassam ni ukweli
Hakuna hoja ya maana ya kufanya maulid labda ungeanza na historia yake kisha utuambie walioianzisha wallanzisha kwa dalili gani na pia wema waliotangulia walimpenda vp Mtume(swalallahu 'alayhi wasalam) dini tayari imeshakamilika na wenzetu waliotutangulia walifanikiwa bila kusoma hayo maulid na unapofanya jambo la dini basi ni vizuri na ndio heshima kurudi kwa wema waliotutangulia
Nlikuwa nakukubali ila kwakuw ni mtu wa bidaa mzee baba pitia kushoto ,kwa maulidi haya mnayofanya hakuna kumtangaza mtume zaidi ya ushenzi tu,hapo umevuruga pamoja na mifano yako ya kisela,,,yaan kicheza kote kuleee wanaume na wanawake barabarani ndo kumtangaza mtume!?,,,,wrong turn 😢
Alicho zungumza yy maulidi yenye maadili na kumsifu mtume Sasa ayo unasema ww kuwa ushenzi sio ambayo aloyakusudia yy Wala hausiani nayo ttzo ni kwa awo wanaofanya maulid ya aina iyo unayo isema ww dokt sule hausiki kabisa katka maulid unayosema ww uwo ni uovu wa watu binafsi yao Wala sio mafundusho ya shehe yyte na ukiona MTU anafanya maulid ya aina iyo ujue hajasoma Wala hajui kitu ni mnafk tu
@@mbokomboko5974 wew ulishaona ata cku moja akazungumzia kuhs ayo muaulid ambayo hayafai?, zaid anazungumzia maulid tu sasa hayo yasiyofaa kwann hawayapigi vita km wanayajua km hayafai?, hv kweli mtume alifundisha wanaume wacheze barabaran amna ile na wanawake??.kweli huko ndo kumsifu mtume?
Labda Kuna jambo haliko sawa katka maulid lkn naamini ni Bora kuliko nyimbo tunazosikiliza majumbani mwetu na matembezini,lkn ni Bora kuliko rusha roho kwenye hafla zetu na harusi hivyo ni Bora turekebishe pabaya tuendelee na uzur mtupu
Dr. Sule kanuni ipi ya kimaumbile (Physics) ambayo mtu mwenye mwili wenye mifupa unaokula na kupumua ukahimili na kusafiri umbali wa nyota tu kwa haraka hiyo?
Science hiyo anayo Allah Bado binadamu hatujafika levo hizo. Hata Theluthi ya Science ya Allah hatujaifikia na Professors wote na Geniuses zote zilizowahi Kuishi Duniani ....wanakiri Kwamba Kuna Siri Nyingi Zimo kwenye Kitabu Cha Quran ambapo wakisema wafocus nayo peke yake wataleta Discoveries na Inventions nyingi za kisayansi na za ajabu kuwahi kutokea tangu Kuumbwa Kwetu viumbe. Na still hatutozimaliza zote . 😂 😆
Assalam alaykum Kisa ni kizuri Sana ila wakati wa editting muwe mnaangalja sehemu za kukata maongezi maana inaondoa uhalisia wa aliyoyaongea na kubadirisha maana. Ukisikiliza dakika ya 20 utaona kama vile anazungumzia mama yake mzazi Mtume alikuwa anakanda chapati wakati si hivyo.
Wallah wa billah simzingishii fanya utafiti utaelewa kwanini nimeandika hivo kuna watu wanaofanya kazi warabuni wameliwa mahela ya maajabu Sauza afrika kuna Rafki angu ameliwa laki saba na kitu TSH ukitaka nikupe vithibitisho nitumie watsup yakho nikurushie miamala na number yake ya sim ilio tumiwa hela anakamchezo kabaya sana