Subscribe / uwazi1
Inafahamika kwamba Wamasai ni watu wa kuishi porini, kuchunga ng'ombe, kuwinda na wakija mjini, basi kazi yao ni kulinda nyumba na maduka ya watu lakini kwa mzee huyu, hali ni tofauti kwani ameishi nchini Marekani kwa miaka kibao, akifanya kazi huko.
Katika kongamano maalum la utalii na kumuenzi mwalimu Nyerere, mzee huyu wa kimasai anaeleza mambo ya kushangaza kuhusu maisha yake ya Marekani.
FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishe..., Subscribe / uwazi1 Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishe... FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli. .
9 окт 2024