Тёмный

RAIS DKT. MAGUFULI AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA KATIKA MARADI WA UJENZI WA MACHINJIO VINGUNGUTI 

Ikulu Tanzania
Подписаться 281 тыс.
Просмотров 2,7 млн
50% 1

RAIS DKT. MAGUFULI AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA KATIKA MARADI WA UJENZI WA MACHINJIO YA VINGUNGUTI

Опубликовано:

 

15 сен 2019

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 1,1 тыс.   
@abedysteven4930
@abedysteven4930 2 года назад
Mliokuja hapa kuangalia umuhimu wa magufuli baada ya kummiss kwa Kaz nzur alizokuwa anazifanya naomba 2juane!!
@PantaleoBundala-tl2kd
@PantaleoBundala-tl2kd 3 месяца назад
Yaani hotuba hii ni miaka minne lakini naisikiliza hadi naona raha utadhani nipo live. Namaliza bando wala sioni shida kwa mwamba huyu.
@norakaaya-yb6lm
@norakaaya-yb6lm День назад
😅
@frankjohnfrank6490
@frankjohnfrank6490 2 года назад
Mungu akutangurie mheshimiwa rais john pombe kwa kazi uliyoifanya mpaka ulipo ishia pongenz kwako raisi wa wanyonge
@Rhymesandtunes
@Rhymesandtunes Год назад
What a president...Ndugu zetu waTanzania walipoteza a good leader
@aishajami6826
@aishajami6826 3 года назад
Bodyguards wa Magufuli walikua na kazi, all the time to be watchful! 👍
@francisstephen6178
@francisstephen6178 2 года назад
Uvxyongvhtk Ughguuv
@charlesmwamlima3923
@charlesmwamlima3923 Год назад
Absolutely
@Puxladen
@Puxladen 4 года назад
piga like Kwa magufuli wakee
@samateryusuf4345
@samateryusuf4345 5 месяцев назад
Kapigika hadi raha asante Mungu
@shidabundala8984
@shidabundala8984 4 года назад
Watanzania tunabahati kubwa sana kupata rais mchapa kazi kama unampenda magufuri like hapa 🤝
@jonasnkonko104
@jonasnkonko104 3 года назад
Safi
@safiasaleh4447
@safiasaleh4447 4 года назад
Mungu akupe maisha mazuri Rais wetu Magufuli na sisi Wazanzibar mwaka 2020 Mungu atujaalie tupate Rais Kama we we . Aaamin
@harunarashid6404
@harunarashid6404 2 года назад
🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
@johnnjoroge8798
@johnnjoroge8798 4 года назад
Am a Kenyan but Tanzania you have a great president. I wish Kenya we had someone great in work and devoted like this .
@chikukisusi6933
@chikukisusi6933 4 года назад
Malitine
@faroukmutyaba5665
@faroukmutyaba5665 3 года назад
Sasa sie waganda tusemeje jamani raisi wetu mmmh kadumu sana paka leo hatujajua ataenda lini
@paulondiek1345
@paulondiek1345 3 года назад
Me too
@jojothepolyglot1866
@jojothepolyglot1866 2 года назад
Well, when you have time to vote you vote on tribal line mpaka lini? Kenya will never get such a leader. EVER! This year we have elections and people are voting emotions
@alexandermutune6131
@alexandermutune6131 Год назад
Really?
@marieconnect6389
@marieconnect6389 Год назад
Jembe letu, bulldozer,l letu tingatinga letu 💪. Tumemiss sana tindua tindua yako. Hukuwa na mchezo kwenye kazi. Ilikuwa 'hapa kazi tu' 💪 tunakukumbuka JPM wetu❤
@ruthogungo794
@ruthogungo794 4 года назад
This Man is atrue leader and he also loves God..a man of the people, fighting for the weak,,a president if his kind..he's so humble..God bless you
@kareemkiwamba139
@kareemkiwamba139 4 года назад
Emen
@MoN_KaDO
@MoN_KaDO 3 года назад
Mim naiutazama tena hii clip
@katanaelijah9734
@katanaelijah9734 2 года назад
Hii iliweza
@borahmlamba5030
@borahmlamba5030 2 года назад
Ewe Mwenyezi Mungu mpe pumziko la amani 😭😭😭😭🇹🇿💔🙏🏽 Rais Magufuli 😭😭😭🇹🇿🙏🏽💔
@KasindiPapi
@KasindiPapi 2 года назад
The man after my heart, I will always love you no matter what I will remember you day and night, I will always learn from you because you touched to what I wanted to do to my people. You were like Moses in the Bible, May the almighty God the father keep using you and put you in charge of all angels in heaven as you once spoke dear my King and my President JPM.
@malikajohnson8897
@malikajohnson8897 2 года назад
Daaa muombe radhi prophet Moses, umemkosea sana🙄
@stanlaymanya687
@stanlaymanya687 2 года назад
Mama Samia hi mikiki mikiki ataiwezaa!!?
@bishikadode4080
@bishikadode4080 2 года назад
Oui
@frederickkatale5725
@frederickkatale5725 Год назад
Appreciaton, I beieve we shall meet him. RIP JPM, I used to call him prophet.
@user-fn4er6xf7u
@user-fn4er6xf7u Год назад
😭😭😭😭😭😭😭😭 Tz tutamkumbuka daima JPM
@mosesmuthee5196
@mosesmuthee5196 4 года назад
am from Kenya and Tanzanians are the luckiest people on planet earth.mungu anbariki magufuli na atushukishie magufuliwe wetu.
@asaajuma9961
@asaajuma9961 3 года назад
Hii siku ya tukio nilikuepo r I p magufuli tutakukumbuka sana.
@hamidriday2352
@hamidriday2352 4 года назад
Watanzania muna bahati kubwa kumpata huyu kiongozi Rais Magufuli
@melikizadeckfabianosonza6586
@melikizadeckfabianosonza6586 3 года назад
Nyimbo za wangon
@maryjoseph7872
@maryjoseph7872 3 года назад
Kwer kabisa
@bumsnyagenda9639
@bumsnyagenda9639 3 года назад
Kweli ndugu
@michndekei3435
@michndekei3435 2 года назад
This guy was a true born Leader....may his soul continue Resting in peace 😭
@nicksonjohansen9546
@nicksonjohansen9546 4 года назад
Best President ever.. Mungu aendelee kukutunza kwa afya njema na kukutumia kwa kazi yake njema.. 🙏🏿
@mugangajethrom7624
@mugangajethrom7624 3 года назад
A true and real leader i have ever heard. Rest in peace mwishimua.
@davidodira1974
@davidodira1974 Год назад
Life comes, lifes pass by
@johnkazimoto9078
@johnkazimoto9078 Год назад
M
@kingbobzllema7789
@kingbobzllema7789 4 года назад
the real definition of president
@mweyoms5548
@mweyoms5548 2 года назад
So painful to lose this heroic leader.
@m.zawadikenya4797
@m.zawadikenya4797 2 года назад
How I wish Kenya tumpate raisi kama magufuli 🙏🙏👌✌️🎯
@agrippalalusha1521
@agrippalalusha1521 4 года назад
We need kind of president like him no corruption in the country God bless Mr president...
@julianaedward4265
@julianaedward4265 4 года назад
Safi sana
@sarahlydia2635
@sarahlydia2635 4 года назад
True
@ramadhanisalum8321
@ramadhanisalum8321 4 года назад
Kuna mambo ambayo sisi tuliozaliwa miaka ya 90 hatujawahi kuyaona wala kuyasoma..na ndo kwanza tunayaona katika uongozi..Keep it up Mr. President
@luizabahati5198
@luizabahati5198 4 года назад
I like this...naomba mjifunze na myabebe vizuri kusongesha gurudumu vizuri huku tukimuomba Mungu
@ramadhanisalum8321
@ramadhanisalum8321 4 года назад
@@luizabahati5198 Naam...hatuna budi kufanya hivyo... Kwa ajili ya future generation
@gladnesskisoli1538
@gladnesskisoli1538 4 года назад
Ramadhani Salum great!!
@hameesjunior7759
@hameesjunior7759 4 года назад
Ramadhani Salum
@abuuhudhaify5195
@abuuhudhaify5195 4 года назад
h
@abuusufian6506
@abuusufian6506 4 года назад
Ukisikia baharia asiyetaka mchezo ndo huyo mzeeyaa 😁🤔😎😃
@mathayodundo5433
@mathayodundo5433 4 года назад
Saluti
@abuusufian6506
@abuusufian6506 4 года назад
Kabisaaa
@emmanuelbrownofficialke.-n7942
Hakika Tanzania walimpoteza kiongozi wa busara sana.
@placidoponera
@placidoponera 3 года назад
Pumzka Kwa Amani Rais wetu JOHN MAGUFULI 🇹🇿 kwel tutakumbuka daima milele
@DottRoBroc
@DottRoBroc 3 года назад
I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. I agree about Magulification of Africa! So, absolute estimate for Magufuli who for me will remin alive for ever for his honesty
@archaeopteryx9041
@archaeopteryx9041 3 года назад
Well said
@marieconnect6389
@marieconnect6389 Год назад
absolutely right 👍
@hemajosephat9871
@hemajosephat9871 Год назад
Grazie 🙏
@abdullahal-mahruqi9610
@abdullahal-mahruqi9610 2 года назад
He was a man of honesty and loved fast progress. He was a strong spokesman for the weak. Exceptional type of leadership
@hassanmchomvu703
@hassanmchomvu703 3 года назад
Rest in paradise Mr President tutakukumbuka daima baba yetu magufuli chumaa kimeanguka 😥
@pasquallungwa3517
@pasquallungwa3517 4 года назад
Tujuane wote tunaoweza chana bati kwa mkono
@salimyamawe586
@salimyamawe586 4 года назад
Pasqual Lungwa yusito
@frankngeleza4245
@frankngeleza4245 4 года назад
Hahahahaha umenichekesha
@abbuabbu2247
@abbuabbu2247 4 года назад
Nikwere mkuu
@raymondspirian1289
@raymondspirian1289 4 года назад
Hahahahaaaa kuchana bati kwa mikono
@juliethhouseofdesigns147
@juliethhouseofdesigns147 4 года назад
🤣🤣🤣
@robertbudodi
@robertbudodi 4 года назад
Hapo neno hapa kazi tu nimelielewa
@symokhara
@symokhara 4 года назад
Watching from 🇰🇪. Rais Kenyatta tafadhali kazi inafanyika vizuri Sana Tz... Wafisadi wakomeshe hapa kwetu.
@chrithicksambo2480
@chrithicksambo2480 4 года назад
Hawez kukomesha mafisadi pasipo yeye kujisafisha kwanza
@johannesjonathan523
@johannesjonathan523 4 года назад
Mwenyezi Mungu ndo anajua na atakulipa kwa kila kitu
@vaudagutu800
@vaudagutu800 3 года назад
Am from Kenya but l like president Magufuli he understands a common man,God bless him more
@apboy8944
@apboy8944 11 дней назад
Said well
@marieconnect6389
@marieconnect6389 Год назад
Mioyo yetu imekataa kukubali kuwa haupo na sisi tena leo hii. Ni ngumu kumeza lakini ndiyo hali halisi. continue to R.I.P mpendwa wetu
@emmarafael-cx1vs
@emmarafael-cx1vs Год назад
Emmanuel rafael
@khadijahusseinsalim6881
@khadijahusseinsalim6881 4 года назад
Am a Kenyan, I wish we cloud hve someone
@ocholamalachi1552
@ocholamalachi1552 4 года назад
i love Magufuli style of leadership, though am a Kenyan. Kazi tu
@khatibushame203
@khatibushame203 4 года назад
Ochola Malachi UL
@ayanhussein5188
@ayanhussein5188 4 года назад
Thank u 4 supporting us
@georgeandreaw4184
@georgeandreaw4184 4 года назад
Comedi
@emmanuelreuben5014
@emmanuelreuben5014 4 года назад
Thank you.
@sarahlydia2635
@sarahlydia2635 4 года назад
Same here l love what he does he down to the grounds
@edwardkhan2629
@edwardkhan2629 2 года назад
Always rest in power, lovely president in Africa 😭😭😭😭
@saxannjo6173
@saxannjo6173 4 года назад
Kama na ww unaingalia hii SHOW YA KIBABE in June 2020,, gonga like
@jumbeink3173
@jumbeink3173 4 года назад
Hatari
@triplea3463
@triplea3463 4 года назад
Jamaa antera vibaya😆😆
@graysonmbunga4858
@graysonmbunga4858 4 года назад
Sawsaw
@khdigahk4246
@khdigahk4246 3 года назад
😅😅😅Tupo tunaludia
@gregorychogelo2013
@gregorychogelo2013 4 года назад
Rais wetu ana kazi ngumu sana! Waliopewa dhamana wengi hawajitambui, bado wanaenda kwa mazoea tu.
@edwardjohn1232
@edwardjohn1232 4 года назад
Asante baba
@mubirurogers3162
@mubirurogers3162 2 года назад
I have seen one man like magufuli. He was the chief administrative officer (CAO) of kamuli District in Uganda. He is Andrew mawejje the current CAO of kakumiro District in West Uganda. He is an exceptional public servant and he was magufuli's size. Am sure currently, he is the best and most efficient public servant Uganda has. If I can be picked for president in Uganda I believe things can change in a fort night
@missangela6720
@missangela6720 2 года назад
🥰🥰🥰
@jimmyochieng9179
@jimmyochieng9179 Месяц назад
Nup to mpung
@williamlimbya6505
@williamlimbya6505 2 года назад
Daaah Mungu akulaze mahali pema peponi.amen
@ericmbugua624
@ericmbugua624 3 года назад
Magufuli was a great leader whom most leaders should learn from his leadership skills..May God rest his soul in eternal peace 😭
@tatuhongeranurushaus485
@tatuhongeranurushaus485 3 года назад
😭😭😭😭😭
@juliusbahame9225
@juliusbahame9225 2 года назад
akiriakri
@charleswambura2543
@charleswambura2543 2 года назад
Tunakukumbuka sana JPM
@eolele
@eolele 2 года назад
What makes Kenya not to have a good leader is tribalism ,heri mtu apigie kiongozi wa kabila yake Kura ata kama huyo kiongozi hajielewi.
@alexandermutune6131
@alexandermutune6131 Год назад
What happened to him?
@iddiali8057
@iddiali8057 4 года назад
Heshima sana!!! EXTRA ORDINARY MAN OF TANZANIA!!!
@mromwamihandsome7555
@mromwamihandsome7555 3 года назад
obc Jhvfc
@mouigniahmed263
@mouigniahmed263 4 года назад
Merci mon Président vous êtes le meilleur en Afrique Rais Magufuli asante sana MUNGU akubariki yakuhifadhi na wenye roho mbaa
@katemachanda7035
@katemachanda7035 3 года назад
Wenye roho mbaya washamuua blaza...
@adenihalisi4218
@adenihalisi4218 4 года назад
Kwa huu uongozi wa magufuli kweli nasema kuna watu wataota mvi kabla ya umri! Mtakomaa sisi wananchi tunafurahia!
@user-us9gl8jg4l
@user-us9gl8jg4l 4 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@khadijakinyala8241
@khadijakinyala8241 4 года назад
🤣🤣🤣
@khalekichambo1131
@khalekichambo1131 4 года назад
😂😂😂😂😂
@angelamarlow510
@angelamarlow510 4 года назад
😃😃
@jumaakida2709
@jumaakida2709 4 года назад
Utamzui vipi Jpm kwa kasi hii? Tuwe wakweli Magufuli ni wapekee Tanzania.
@mkovzrmuscat7110
@mkovzrmuscat7110 4 года назад
Mm ni mtanzania ni wakuingia na kutoka lakin magufuli rais kafanya kazi nzuri sana mwenyezi Mungu ampe miaka mingi duniani baba wa wanyonge
@hamidhaji6649
@hamidhaji6649 4 года назад
Raisi wetu ....ww ni raisi wa historia .tena unafaa kuigwa kutokana na uongozi wako mzuri ......mungu akubariki ...
@alfredmacjohn5254
@alfredmacjohn5254 2 года назад
Huyu mtu alitufaa sana kwa mustakabali wa utaifa wetu na heshima yetu duniani.
@TPKLiah
@TPKLiah 4 года назад
I love Tanzanian, and President John Pombe Magufuli... May God bless you From South Sudan ✌✌✌
@ellyayieko357
@ellyayieko357 3 года назад
The President actually wanted the best for his country. Now l support him even if the Western powers said he didn't know Kizungu
@TheLordismyshepherd...
@TheLordismyshepherd... 3 года назад
So what if he doesn't? I am always left speechless when I see an African mocking another Aftican for not knowing English. It isn't our native so why praising it so much? How about them learning our own's? It is sad how these colonizers still takes over the minds of our people!
@josephbarasa5076
@josephbarasa5076 3 года назад
Rest in peace JPM other leaders you borrow a leaf 🍂 from JPM .We shall miss you
@josephbarasa5076
@josephbarasa5076 3 года назад
Kwanzake Viongozi wa kenya , tunaitaji uongozi bora kama wa JPM
@silentreuben6424
@silentreuben6424 4 года назад
True Leadership starts from the top. GOD BLESS PRESIDENT JOHN MAGUFULI. This is not just pan africanism at its best, but a kick in the butt to ALL who are entrusted by the people to lead them. Let us know who we vote for, by their works. Action speaks louder than words.
@jay9414
@jay9414 3 года назад
Wow wow this president was a down to earth roamer and hard working one.
@ibrahimkambi9288
@ibrahimkambi9288 4 года назад
Wataelewa tu Mh.Rais umetisha mbayaaa
@sisdell1779
@sisdell1779 3 года назад
Kizuri hakidumu jamani pumzika baba😭
@johnmasanja1762
@johnmasanja1762 3 года назад
😭😭😭😭
@doreenandrew3063
@doreenandrew3063 4 года назад
🤣🤣🤣🤣 watu kutetemeka na kujiumauma nimecheka kweli..... Baba Magufuli hapa kazi tu...ubarikiwe sana Mungu akubariki mara mia zaidi 🙏🙏🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@jonathanmbithi2925
@jonathanmbithi2925 3 года назад
Baba rais magufuli barikiwa sana rais kweli kweli
@mashamasha2854
@mashamasha2854 3 года назад
😭😭😭😭💔🇹🇿
@nessa4899
@nessa4899 4 года назад
Magufuli Mungu akutunze Akupe afya njema ulinzi wa mbinguni uwe pamoja nawe day and night. In Jesus might name.
@penzamatirio7812
@penzamatirio7812 3 года назад
i pray that magufulli will return to power forever
@mwinukafundibombanjombe
@mwinukafundibombanjombe 4 года назад
The man himself .. Viva viva Magufuli
@daudimkongwa3754
@daudimkongwa3754 4 года назад
Inapendeza🇹🇿
@gervasjustn2842
@gervasjustn2842 4 года назад
Kama umemuona Makonda huku akiwa mpole zaidi gonga like.
@thomasmwimba9861
@thomasmwimba9861 4 года назад
P
@bbc5043
@bbc5043 Год назад
Great African patriot we in Kenya love this great Tanzanian president just like we loved Nyerere
@jennipherray7001
@jennipherray7001 3 года назад
Mungu akupunguzie adhabu ya kaburi Ameeen 🙏😭
@wilsongeorge1353
@wilsongeorge1353 2 года назад
Umelala baba duuu naumia sna mwenyezi mungu akupunzishe Azabu za kabulini
@Addi_Teacha509
@Addi_Teacha509 4 года назад
As much i admire the president, as much i admire the military gentleman in the Green.. he is very serious
@geofreyjerus9882
@geofreyjerus9882 4 года назад
🙌🙌Daaaah hii kali duuuh HAPA KAZI TU💪
@kondeboy8970
@kondeboy8970 4 года назад
KONDE BOY
@pacifiqueheri1767
@pacifiqueheri1767 4 года назад
Raïs mwenye hekima kabisa,j'aime le président Magufuli
@hamedal-shruiqi2123
@hamedal-shruiqi2123 4 года назад
Eeee Kenya yetu ichukue mfano kwahuyu raisi wa tz Kenya unyanyasaji2 mungu akubariki magufuli🙏
@mohamedmahmoud9866
@mohamedmahmoud9866 4 года назад
Hamed AL- shruiqi true bro
@abuuhudhaify5195
@abuuhudhaify5195 4 года назад
poln
@godfridahmukosha9895
@godfridahmukosha9895 4 года назад
I wish there were English subtitles. He is obviously making good waves.
@junubmedia3831
@junubmedia3831 4 года назад
Kindly learn Swahili!
@victorsamson1626
@victorsamson1626 2 года назад
Saidi
@victorsamson1626
@victorsamson1626 2 года назад
@@junubmedia3831 .
@victorsamson1626
@victorsamson1626 2 года назад
Saidi admu
@victorsamson1626
@victorsamson1626 2 года назад
Awe
@Galgani333
@Galgani333 4 года назад
nakuelewa sana raisi.kazi njema unafanya.Mungu akubariki
@abysadalah1132
@abysadalah1132 4 года назад
Very touchable and for this may Allah gives you mr president long healthy life
@thomaschengena6116
@thomaschengena6116 4 года назад
Mheshimiwa karibu na kwetu LIWALE TUNAKUKARIBISHA SANA
@freshtiff1265
@freshtiff1265 4 года назад
thomas chengena hahahahaha liwale nimefika huko.. aisee barabara ni mbovu Tanzania nzima .. bora ifakara niliona ikifanyiwa marekebisho ila liwale ni mbovu sana barabara ina visima sio mashimo tu 😂😂😂
@ashuramutwe3921
@ashuramutwe3921 4 года назад
Ni kweli bora uje kwetu LIWALE
@abdulazizi7279
@abdulazizi7279 4 года назад
Aje bhanaa daaah
@omarisalumu4798
@omarisalumu4798 4 года назад
thomas c hengena
@mabruckjuma8711
@mabruckjuma8711 3 года назад
RIP LEGEND JOHN POMBE JOSEPH MGUFULI MR PRISEDENT
@zubaidatawsila6617
@zubaidatawsila6617 4 года назад
What a nice president if I was living in Tanzania I could give u my vote for the next year
@mussakiula7481
@mussakiula7481 4 года назад
Kama aliemuona mpokonya mike aweke like hapa😂
@hadijagere
@hadijagere 4 года назад
Halafu anazipokonya nakisirani
@hadijagere
@hadijagere 4 года назад
🤣 🤣 🤣 🤣
@suleimanmohamedramadhan3370
@suleimanmohamedramadhan3370 3 года назад
Hataki mchezoo kabisa😁😁😁
@dahomasaid5362
@dahomasaid5362 3 года назад
Ty
@dahomasaid5362
@dahomasaid5362 3 года назад
@@hadijagere a
@manyamamongo9361
@manyamamongo9361 4 года назад
Hapa kazi tuh, hata kwenye kazi zetu inatakiwa tuwe serious kama huyo RAIS, hakika tutafanikiwa
@SVitaSrII
@SVitaSrII 3 года назад
Outstanding Leadership for the people. Setting an example of true dialogue with the people you lead
@katemachanda7035
@katemachanda7035 3 года назад
I will always love you Mr. President. R.I.P!
@florashauri9228
@florashauri9228 3 года назад
PUMZIKA KWA AMANI Baba yangu Rais wetu mpendwa Dr.JPM umeifanyia mengi nchi hii kila wakati nasikiliza hotuba zako nafuatilia utendaji wako,baba ulikuwa Mzalendo wa kweli na mwenye uchungu na nchi yako, ulikuwa mfuatiliaji,ila tunakushukuru umetuachia mama yetu Rais Samia Suluhu.
@frankyrenny4496
@frankyrenny4496 Год назад
Wewe ni kama mimi nduguyangu yani tunamumia ndudu yangu.
@RespikRudovick
@RespikRudovick Год назад
@@frankyrenny4496 mungu in mwema
@margarethsolomon9823
@margarethsolomon9823 4 года назад
Leo Makonda ukae vizuri. Usije ukatumbuliwa.
@ashurakaswa3796
@ashurakaswa3796 4 года назад
Mungu ampe afya imara na pumzi kwa kweli mi moyo wangu huko na furaha kila nikimuona maana napenda sana kufuata nyendo zake
@kpatrick8468
@kpatrick8468 4 года назад
Huyu Rais wa karne MUNGU AKUBARIKI SANA TENA SANA
@issamasanja7874
@issamasanja7874 4 года назад
BABA WW UNAFAA UWEP MADARAKAN HAD CK YA KIYAMA
@iddiali8057
@iddiali8057 4 года назад
Goals oriented PRESIDENT!
@marcellinbisimwa8908
@marcellinbisimwa8908 4 года назад
Mungu uliye umba mbingu na dunia tupe RDC raisi kama huu anaye jua itaji za RAHIYA
@geographyteacher.2961
@geographyteacher.2961 4 года назад
Safi sn mh rais kwa uamuz wa kusitisha ukusanyaji wa kodi kulingana na utengwaji wa fungu yani bajet kamilifu kwa ujenzi wao ikiwa ujenzi hauonekani, asee huu uamuz nimeupenda sn.
@godfreychimfutumba7508
@godfreychimfutumba7508 3 года назад
Please do us a favour by translating all Magufuli's videos into English for the rest of Africa.
@missangela6720
@missangela6720 2 года назад
19:38 “You can’t build such a simple, small structure for 18 months! No! That’s gross negligence. From now set yourselves to work day and night. This project must be finished by the end of this year. These people are waiting for you. They cannot wait for so long.”
@sturbbornvideoz8547
@sturbbornvideoz8547 4 года назад
Dkt. Magu i wish we kenyans could have such leadership
@khalfanibobewe4278
@khalfanibobewe4278 3 года назад
Huyu jamaa utampenda kama hujaingia kwenye anga zake ila ukijichanganya ukaingia kwenye anga zake utakubali shoo
@lydiahnjeri6684
@lydiahnjeri6684 3 года назад
Live long maghufuli Kenyans leaders need to emulate this.God bless u mzee
@_born84
@_born84 2 года назад
I agree.... accountability for taxpayers is what is lacking in Kenya
@williamlimbya6505
@williamlimbya6505 2 года назад
😭😭😭😭😭 R.i.p magufuri mtetezi wa wanyonge
@jimjim4655
@jimjim4655 4 года назад
Am in love with u sir...mimi iko apa kutoka uganda
@jumahedrick3949
@jumahedrick3949 3 года назад
This guy was a patriot. Rip
@willingtonejohn1929
@willingtonejohn1929 4 года назад
Waliokuwa wanasema nguvu ya soda bado wapo
@aleyslaim4935
@aleyslaim4935 4 года назад
Wametoka unyoya
@janejohn93
@janejohn93 4 года назад
xsw
@pooshekasheka1354
@pooshekasheka1354 4 года назад
Washa kufa walio sema
@omarisalumu4798
@omarisalumu4798 4 года назад
Willingtone John
@juliassugwa6924
@juliassugwa6924 4 года назад
Baba lao
@mathewsmigudi4172
@mathewsmigudi4172 3 года назад
may my tears reach the Lord
@nyangimarwa3448
@nyangimarwa3448 3 года назад
Pumzika kwa Amani Baba, Mzalendo wetu JPM Daima tutakukumbuka Milele na Milele tumekumiss sana JPM hakika hatutakusahau kwa mema uliyotutendea
@saramakungu2020
@saramakungu2020 2 года назад
Hakika tumemmc xana jpm wetu duh apumzike kwa aman.
@cosmasmpwage2576
@cosmasmpwage2576 3 года назад
😭😭😭😭 nasikia sauti ikisema mtangulize Mungu
@angelamarlow510
@angelamarlow510 3 года назад
Dah jmn bado nikama ndoto jemedari wetu hayupo tena
@franknolelwa7495
@franknolelwa7495 4 года назад
kama kuna aliyesikia raisi akisema hamna ulichonishukru wew endelea tu 😂😂😂😂😂gonga like twende
@benedictmungai2889
@benedictmungai2889 4 года назад
Hongera Rais uko chonjo
@chubwamabinga8389
@chubwamabinga8389 4 года назад
MTOTO shuleni
@ramambarouk7779
@ramambarouk7779 4 года назад
Poujukugfu.
@ramambarouk7779
@ramambarouk7779 4 года назад
Poujukugfu.
@joanachristopher5384
@joanachristopher5384 3 года назад
1:53am 20/3/2021 nina review hii video kwa uchungu sanaaa,natamani hata wakati ungesimama kidogo ...baba arudi tena walahu tuu Siku moja tuu!! Rest In peace CHAMPION
@angelicagulake3361
@angelicagulake3361 3 года назад
HILI NI TISHIO HAWANGEVUMILIA ANOTHER 4YRS, PANGEKUWA HAPATOSHIIII TANZANIA INGEMEREMETA KAMA KIOOOO OOO WIVU NI MMBAYA SAANAA UNAUAAA NA KUTEKETEZA NA KUPOTEZA KUANGAMIZAAA😭😭😭😭😭😭WATANZANIA SISIII UUUIII
@skolarmomba5075
@skolarmomba5075 3 года назад
sio wewe tu. mimi pia na review yan ni huzun tuu dah Magufuri. was very special
@erickmidomsodock9533
@erickmidomsodock9533 3 года назад
16:06 pm may 4 2021 bado Nina Imani nawew Baba ipo siku utarud bado ujafa nkataa mpka Leo 😢😢😢😢😢
@nelsonakach6281
@nelsonakach6281 4 года назад
Very great man of development
@nantongoeml4781
@nantongoeml4781 Год назад
Tanzanians are lucky to have got this Patriotic leader ,though for long time ❤😢
@dicksonsamwel134
@dicksonsamwel134 3 года назад
Lala kwa amani uncle magu tutakukumbuka daima 😭😭😪
@hellenmukasa4503
@hellenmukasa4503 4 года назад
Kweri this is a gift from God
@romeoromeo4125
@romeoromeo4125 4 года назад
Duh apa Mkuu umetisha yaan umeingia kikomandoo! Hongera JPM
@alytembatemba1175
@alytembatemba1175 4 года назад
Amini kwamba hu ni mzimu wa nyelele.
@johnkyalo3770
@johnkyalo3770 4 года назад
R
Далее
Shughuli nzima ya maziko ya hayati Magufuli
50:37
Просмотров 586 тыс.
Ziara ya Rais Magufuli kwenye Bandari ya Dar es salaam
5:57