Тёмный

MSTAAFU KIKWETE AFICHUA SIRI YAKE na MZEE MWINYI - ''HAKUWA na KIHEREHERE - KUJIWEKA MBELE''.... 

Global TV  Online
Подписаться 5 млн
Просмотров 55 тыс.
50% 1

MSTAAFU KIKWETE AFICHUA SIRI YAKE na MZEE MWINYI - ''HAKUWA na KIHEREHERE - KUJIWEKA MBELE''....
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Опубликовано:

 

23 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 65   
@globaltv_online
@globaltv_online 5 месяцев назад
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
@edwinkusaya1282
@edwinkusaya1282 5 месяцев назад
Alikuwa mtu wa watu. Nakumbuka siku moja akitokea mjimwema kumsabahi Abdul Jumbe msafara ulipofika ferry alikataa protocol na kuruhusu avuke na raia kwenye kivuko kimoja jambo ambalo halikuwahi na halijawahi kutokea. Bwana alitoa na Bwana ametwaa jina lake libarikiwe.
@user-dq3op3gs2d
@user-dq3op3gs2d 5 месяцев назад
Ahsante sana muheshimiwa Kikwetw kuna vitu tunapata hapo apumzike kwa amani raisi mstaafu Mwinyi
@user-cc6dx4kn7w
@user-cc6dx4kn7w 5 месяцев назад
Innallilah wainna illah, Hana baya Mzee wa ruksa katuingiza duniani
@RamadhaniAlly-ex6ed
@RamadhaniAlly-ex6ed 5 месяцев назад
Alla amjalie kauli thabiti
@alloycejames5285
@alloycejames5285 5 месяцев назад
JK ni kiongozi
@onesmofaustine
@onesmofaustine 5 месяцев назад
Baba wa mageuzi nchini Tanzania, maarufu kama mzee wa ruksa R.I P daima tutakukumbuka.
@marcoshayo771
@marcoshayo771 5 месяцев назад
R i p Mzee mwinyi .Lakini pia mzee Kikwete tunakukumbuka kwa mengi hasa mifumo ya ajira Mungu akupe maisha marefu
@mailacamillius
@mailacamillius 5 месяцев назад
Kweli. Kikwete alifanya makubwa japo juhudi kubwa ya watesi wake ni kuondoa legacy yake kabisa
@elibarikimollel7149
@elibarikimollel7149 5 месяцев назад
Hapo hujafuata nyayo za aliyekuibua, umepotoka kusema bado mnatesa kisa kukubali asilimia 20% wakati ni mwlm.Nyerere aliwashinikiza! Kutesa kwenyewe sio kwa uhalali! Hakuna kama Mzee Ruksa hata mkihusudu kwa wema au kwa ubaya hayupo tena!
@gerrymimi9387
@gerrymimi9387 5 месяцев назад
Naye kazeeka. Shughuli ya watu ameigeuza kuwa yake. Nafasi ya kuzungumza msibani anachukua muda wote kusimulia ya kwake.😅
@idrissamustafabukenya6110
@idrissamustafabukenya6110 5 месяцев назад
Allah yarihamuhu ya Rabbi
@raheemmahadi2987
@raheemmahadi2987 5 месяцев назад
Sio uislam siku 3 Hayati hamjamstil
@user-ij1sz6un7m
@user-ij1sz6un7m 5 месяцев назад
Napenda sana hotuba za Kikwete saaaaaana
@AbdallaMwagora-sm1rj
@AbdallaMwagora-sm1rj 5 месяцев назад
Nikweli CCM inatutesa wa Tanzania .mungu atawaondoa inshaalah.
@kazoyamongateko7764
@kazoyamongateko7764 5 месяцев назад
😂
@filipomatondo4040
@filipomatondo4040 5 месяцев назад
Ahaaaa" kumbe" Ditopile mzuzuri alikuwa rafiki yako?
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 5 месяцев назад
Sema Mungu akipenda,,,,usiseme tu mwakani!
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 5 месяцев назад
Unafikiki anajitambuwa uyu jasusi
@mohamediomari1614
@mohamediomari1614 5 месяцев назад
@@nishaabdula5015😂😂😂
@aminaramdan3283
@aminaramdan3283 5 месяцев назад
​@@nishaabdula5015😂😂😂😂😂😂😂
@ameenaameena422
@ameenaameena422 5 месяцев назад
Mbona ww huna mapenz na watu unajua utaishi milele ysni kikwete uko mnaFki sana
@andongolilemwakibwili9650
@andongolilemwakibwili9650 5 месяцев назад
JAMBO UNALOLIAMINI KOMAA NALO, Maneno ya busara
@KhamisMasms
@KhamisMasms 5 месяцев назад
HATA SEIF SHARIF MUNGU ALIMUONDOA KWA SIBABU YA UKOROFI WAKE
@freddymtashi5020
@freddymtashi5020 5 месяцев назад
Ccm kwasasa mnaiba kura2 hakuna uimara mliyonao
@user-cw6tb6el9p
@user-cw6tb6el9p 5 месяцев назад
Tutashinda tana na tenaaaaaa
@user-ig5yn4zp2u
@user-ig5yn4zp2u 5 месяцев назад
Huyu mzee nae nichangamotto kila kiongozi anahistoria nae
@anoldjose7793
@anoldjose7793 5 месяцев назад
😂😂😂
@kedmonmjelwa3406
@kedmonmjelwa3406 5 месяцев назад
R.I.P Mzee wetu Ally Hassan Mwinyi
@user-zf7nl4es7q
@user-zf7nl4es7q 5 месяцев назад
Polen sana
@zegelibilishanga6047
@zegelibilishanga6047 5 месяцев назад
Mzee mwinyi akufunze kitu amefariki hakuna hata mumoja Anayemkosoa,kama kweli ww ikikutokea ndiyo utajua umewekeza nn duniani
@judithcarlos762
@judithcarlos762 5 месяцев назад
@festomkenda9111
@festomkenda9111 5 месяцев назад
Sad! Kikwete anapaswa kujua tukio kama hili ni la kitaifa na fursa ya kipekee ya kuwaunganisha Watanzania. Mambo ya "CCM inatesa" yana sehemu yake, sii hapa! Please be a senior statesman that you are supposed to be, please!!!
@user-dq9mb9wg3i
@user-dq9mb9wg3i 5 месяцев назад
R I P mwinyi Baba yetu
@johnmalembo6464
@johnmalembo6464 5 месяцев назад
Mtashinda....mwakani...na miaka inayofuata....utakuwepo basi? Usifikiirie madaraka na kutawala tu
@dinalema732
@dinalema732 5 месяцев назад
Wewe mbona unajisifia ww tuu..toa sifa za marehemu
@johnmalembo6464
@johnmalembo6464 5 месяцев назад
Bro umenena jambo....huyu ndugu yetu anapenda sifa zake binafsi mbele ya kadamnasi
@user-vs5ow5jt1w
@user-vs5ow5jt1w 5 месяцев назад
Kaizikeni maiti basi duuu
@omarjeylan4113
@omarjeylan4113 5 месяцев назад
THE EMIRATE LEADER DIED AND BURIED WITHOUT ALL THESE NONSENSE HAPPENING IN TANZANIA.
@Zainab_salat
@Zainab_salat 5 месяцев назад
Mama Alinihadithi kipindi cha Mwinyi hakuna njaa unga ya ugali bule
@vincentmushi1247
@vincentmushi1247 5 месяцев назад
Alikuambia ukweli kabisa... Kipindi cha utawala wa mzee Ruksa, maisha yalikuwa rahisi sana... Pesa ilikuwa nje nje... Kila biashara ilikuwa inauzika... Tabaka la masikini na matajiri lilikuwa Dogo sana Watu tulikula bata kinomaaa... Kilikuwa kipindi cha raha sana Sitasahau na ndio aliruhusu TV kuwepo majumbani... RIP mzee Ruksa
@naomicharles5444
@naomicharles5444 5 месяцев назад
😅😅😅wote mkajiuzuli
@HenryKasaje-on4xq
@HenryKasaje-on4xq 5 месяцев назад
Kikwete anapiga kampen msiban Kwa mzee wa ruksa
@KIDORBOYS
@KIDORBOYS 5 месяцев назад
Munaahinda au munaiba Sasa mukijaribu mwak 2025 mutachoma
@judithcarlos762
@judithcarlos762 5 месяцев назад
Kiukweli nampenda sana kikwete
@khamisjuma7616
@khamisjuma7616 5 месяцев назад
Mnakosea si uislam huo mnaofanya wacheni kuitesa maiti
@masumbukomaganga438
@masumbukomaganga438 5 месяцев назад
kumbe maiti inateseka?..je bado ina uhai kumbe hata inateseka? hili nalo ni fundisho la uislam au uliyeseama ni maamuma? na kama ni kweli kumbe hajafa ndo mana anateseka, hizi imani hizi kazi kweli kweli
@hajihassan5433
@hajihassan5433 5 месяцев назад
​@@masumbukomaganga438 Unadhani ukifa ndio yamekwisha? Maiti inateseka kwenye Uislam mtu akifa ni kukafiniwa (kusafishwa), kukoshwa, kusaliwa na kuzikwa na yote yafanyike haraka iwezekanavyo.
@mundugichini7886
@mundugichini7886 5 месяцев назад
Raisi ni mali ya taifa sio mali ya waisilamu
@mohamedkijuu9675
@mohamedkijuu9675 5 месяцев назад
He uislamu nayo ni dini ya Mungu na huyo marehemu ni alikuwa mtu wa Mungu kwaiy anatakiwa kuwaishw kwa Mungu wake ili aka hesabiwe matendo yak
@veronicabwamukuru1265
@veronicabwamukuru1265 5 месяцев назад
Sasa hayo unayoongea yanamahusiano gani na msiba? Mara kimbele mbele🙆🙆, Naona unajisifia tuuuu , kwahiyo mtu akiwa kimbele mbele ni tatizo kwako? Unatuchosha kaandike kitabu km unahisi watu watasahau kuyahadithia hayo siku yako ikifika.
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 5 месяцев назад
Yn ww kikwete ww
@MselemuRamadhani-mt5zl
@MselemuRamadhani-mt5zl 5 месяцев назад
MAJAMBAZI YA KURA
@philipojosephati5773
@philipojosephati5773 5 месяцев назад
Miongoni mwa watu ambao akianza kuzungumza nazimaga tv ni huyu
@mailacamillius
@mailacamillius 5 месяцев назад
Zima simu
@KhamisMasms
@KhamisMasms 5 месяцев назад
HATA SEIF SHARIF MUNGU KAMUONDOA KWA SIBABU YA UKOROFI WAKE
@mahamoudhassan8853
@mahamoudhassan8853 5 месяцев назад
Siku yake iliwadia,usipende kuropoka Sheikh wng.
@user-ig5yn4zp2u
@user-ig5yn4zp2u 5 месяцев назад
Umeanza usani wako
@kainimlowe9646
@kainimlowe9646 5 месяцев назад
Bado wewe sasa
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 5 месяцев назад
Naiyo ck yk ikifika aki wt cjui qtafufahi vp mungu azidi kumueka jmn
@haggaikinyau1395
@haggaikinyau1395 5 месяцев назад
Na wewe je?
@ramadhanimtetu3656
@ramadhanimtetu3656 5 месяцев назад
Ni Safari ya wote
@hamisathadeo4870
@hamisathadeo4870 5 месяцев назад
😂😂😂😂😂
@athumanitanuke6795
@athumanitanuke6795 5 месяцев назад
Ni ahadi Allah kwa kila mwanadam na bado mim na wew
Далее
President Ruto's "Story za jaba'
7:05
Просмотров 115 тыс.
KIFO CHA MZEE MWINYI -SHEIKH OTHMAN ATOBOA SIRI
8:19
What is Makhana and why is it in high demand?
7:39
Просмотров 37 тыс.