Тёмный

MSTAAFU KIKWETE AFICHUA WALIOKATAA IKULU IJENGWE CHAMWINO, MBELE ya RAIS SAMIA AFUNGUKA... 

Global TV  Online
Подписаться 5 млн
Просмотров 35 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

28 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 91   
@globaltv_online
@globaltv_online Год назад
BREAKING NEWS! USIKUBALI KUPITWA na HABARI ZA GLOBAL TV. JIUNGE na WhatsApp Group Now: chat.whatsapp.com/Kh8n9Xk0OWJ...
@naishiyemollel
@naishiyemollel 11 месяцев назад
Mama ongera kwa kazi nzuri kazi iendelee dodomaaa
@victoriabayo7704
@victoriabayo7704 10 месяцев назад
Hongera sana jpm
@marthalusega8948
@marthalusega8948 Год назад
Hongereni wapambanaji wetu wote kuanzia awamu ya kwanza hadi ya sita. Mungu awabariki kwa uzalendo muliofanya kwa Taifa letu.
@denisdamiano726
@denisdamiano726 Год назад
R.I.P Raisi wa TANZANIA JOHN JOSEPH MAGUFULI
@abelmbilinyi1262
@abelmbilinyi1262 Год назад
Hongera sana JPM
@mariamnimbo8394
@mariamnimbo8394 Год назад
Site tunaona na tunajua, we are not stupid!!!! JPM ndiye aliyefanya yote haya. Ideas za Nyerere katendea kazi. Kuamua na kufanya those are two different ideas. Kafanya kweli ni JPM!!! RIP JPM!!!!
@zahiribrahim8319
@zahiribrahim8319 Год назад
Alhamdulillah ❤❤❤❤❤❤🎉
@wilsonsikahanga1761
@wilsonsikahanga1761 Год назад
Mtajipamba sanaaaa lkn wa tz hatutamsahau mwamba JPM❤
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 7 месяцев назад
Utamsahau kwani sasa unamkumbuka kwa yapi kupotea kwa watu😅😅😅
@ZuberiNguhuni-ch9tk
@ZuberiNguhuni-ch9tk Год назад
Asanteee mama
@rahmahersi6584
@rahmahersi6584 Год назад
Makao makuu kuhamia Dodoma.. Dodoma hoyeeee Dodoma Hoyer Mwenyeezi Mungu amrehemu Baraka Mwishee...
@abrahamsamweli-wg8ck
@abrahamsamweli-wg8ck Год назад
Hatutaki sihasa Magufuli ndiye kajenga
@joerichards1000
@joerichards1000 Год назад
I love ❤ TZ
@rebekamutta3033
@rebekamutta3033 Год назад
Powerful speech from former President Dr. Jakaya Mrisho Kikwete. 💯💯💯👏👏👏
@bcozhenry2698
@bcozhenry2698 Год назад
Pamoja na porojo nyingi, JPM ni chanzo cha tukio lililowakusanya hapo! Nyerere mwenyewe aliishia kwenye idea tu miaka 20+ lakini ndani ya miaka 2 tu ya JPM akaanza kutenda badala ya kupiga porojo. Pumzika baba JPM!
@mariamnimbo8394
@mariamnimbo8394 Год назад
Ni kweli!!!
@modestwenceslaus9
@modestwenceslaus9 Год назад
Hii ni sherehe ya kuzindua Ikulu mpya ya Tanzania na Wala siyo Arobaini ya kumaliza msiba hivyo siyo sahihi kila Jambo linaloendelea hapo kuwataja viongozi waliotangulia mbele ya haki wao wanasiku yao ya kukumbuka.🎉🎉
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ Год назад
@@modestwenceslaus9 hahahahhahahahh
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ Год назад
Viongozi wetu wote wamefanya kazi kubwa tena kubwa mno, Ila ninacho kupa tu dondoo Wengine wote wanafanya Maendeleo Kwa kuwa Baba wa Taifa aliweka misingi mizuri mno na hatukupitia walio pitia wengi barani Africa 🌍 kwahiyo tuwape Heshima zao
@modestwenceslaus9
@modestwenceslaus9 Год назад
@@ndukulusudikucho_ Sahihi kabisa Mkuu,tatazo Kuna baadhi ya Wantanzania wanajifanya kutokuona mazuri mengi yaliyofanywa na viongozi walioongoza Nchi hii kabla ya awamu ya Tano,imefikia hatua baadhi yao kutoona umuhimu wa umoja wa Kitaifa aliousimamia Mwl J.K Nyerere ambao ndiyo chachu ya mafanikio yote haya tunayoyaona.
@deogratiuswambura7597
@deogratiuswambura7597 Год назад
Wee ulikua mra batatu akuna rorote mpe magufuli pongezi zake zita mfikia huko aliko pumzika
@japhetkarori5230
@japhetkarori5230 Год назад
Rest In Peace JPM
@mariamnimbo8394
@mariamnimbo8394 Год назад
We miss you JPM!!! GENIUS!!!
@zuusaidibushiri5556
@zuusaidibushiri5556 Год назад
Sijasikia akitajwa jembe kwenye maraisi wastaafu ila sisi twakutaja jpm
@masanjanyanda9775
@masanjanyanda9775 Год назад
Hahaha kwa hiyo hapo hatujakopa maana tabia zenu kila mkopo mnamtupia jpm usijitetee kikwete hukufanya chochote na hauna mchango ktk hiyo ikulu ifisi ya rais alijega jpm na alianza kuitumia ww ongelea chuo ila nishukulu umekili hela iliyojenga ikulu sio mkopo hii ni kuonyesha miradi yote jpm alijenga bila mkopo aibu yenu wote
@mangulimanguli3974
@mangulimanguli3974 Год назад
Hayo ni maono ya jpm mzalendo wa kweli ,wote mlio baki nyinyi wapigaji,
@davidsimbeye1548
@davidsimbeye1548 Год назад
Wajinga tu na waliozaliwa juzi ndo wanafikiri hivyo
@mangulimanguli3974
@mangulimanguli3974 Год назад
@@davidsimbeye1548 magu alikua asemi tu, anatenda, Kina Nyerere na wengineo, walikua maneno mengi vitendo akuna, Hakuna Rais kama magu miaka 5 tu kafanya mambo makubwa
@deogratiuswambura7597
@deogratiuswambura7597 Год назад
ulierekeza ukashindwa magufuli kwa jina maarufu kwa wati huo akiitwa tingatinga akaanzisha kunjenga akaweza ivo apewe sifa zake katika tifa hili
@marianmartin7483
@marianmartin7483 Год назад
JPM lala salama, ww ndie simba wa Yuda. Polojo nyingi sana hapo. Alama zake JPM hazitofutika kwamwe, na ndie aliyewafumbua akili Watanzania.
@marianmartin7483
@marianmartin7483 Год назад
Nchi hii unafki mwingi sana, aliyefanya vizuri anastahili sifa zake. Na ambaye hajafanya vizuri nae anastahili ambiwe ukweli.
@kostajoseph5811
@kostajoseph5811 Год назад
Mungu akupe maisha marefu mzee wetu kwa maneno mazuri ya kumpa moyo Rais wetu aliyepo marakan dr Samia Suluhu Hassan
@bakarimtange570
@bakarimtange570 Год назад
Waendelee kutunyonya cndio
@kostajoseph5811
@kostajoseph5811 Год назад
@@bakarimtange570 kwan ww una maziwa
@mabugamussa2860
@mabugamussa2860 Год назад
JPM oyee
@richardnott4403
@richardnott4403 Год назад
Jpm na nyerere
@miltonjohn9779
@miltonjohn9779 10 месяцев назад
Huyu delila na kiwete wa mzoga siwapendi, ila ipo siku na nyie mtanyamazishwa na Mungu
@kefamwakipesile275
@kefamwakipesile275 Год назад
Jpm
@tabarokaijage3257
@tabarokaijage3257 Год назад
SHERIA YA THE CAPITAL CITY ACT YA MWAKA 2018 ILISAINIWA NA MAGUFULI... IKULU YENYEWE IMEJENGWA NA MAGUFULI
@TheSalimMash
@TheSalimMash Год назад
Kwahiyo! Nonsense 😇
@prosperjuma905
@prosperjuma905 Год назад
Wenzio wanangumzia mchakato mzima. Kuanzia maamuzi hadi ukamilifu wake
@kefamwakipesile275
@kefamwakipesile275 Год назад
Magufuli the great
@paschalkassonta9737
@paschalkassonta9737 Год назад
Mhhhhh!
@mathewtwimanye92
@mathewtwimanye92 Год назад
Sio kila kichwa ndani kina madini, mzee anatafuta kujichomeka ktk historia hii hata kusema ukweli kwamba hujafanya kitu nakumsifia mwenzako hasa jpm ni historia, eti ktk kipindi changu niliamua .... Hii yeyote anaweza kuamua issue ni uthubutu ktk vitendo mzee hizo zingine ni story tu bila nyama ha ha ha ha
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 Год назад
'Katika kila Awamu, kuna yaliyofanyika,,, maana uongozi ni kazi ya kupokezana kijiti ... Unafanya unamalizia, anakuja mwenzako anafanya anasogeza mbele, mpaka mnafika mwisho wa safari'... Jamhuri ya Muungano wa Tz, kazi iendelee!
@ahmadmpinzire5649
@ahmadmpinzire5649 Год назад
Nyie ndio zao la LGBTQ,hivi kweli kuna mtanzania anaweza andika upumbavu dhidi ya Kikwete km vile hakufanya kitu? Ni kweli hakuna mkamilifu lkn sio kufunika kila jambo zuri amefanya huyu mzee, Sisi tulikuwepo na tumesoma kwa huyu mzee,tuliona mazuri yake na mabaya yake sio kumuandika km vile hakuna alichofanya kenge ww, Huku ulipo lolote likukute,umbwa koko wewe
@TheSalimMash
@TheSalimMash Год назад
@@ahmadmpinzire5649 safi sana kaka! Mshenzi anachuki binafsi huyu umbwa
@lucasmgalula8022
@lucasmgalula8022 Год назад
Daaah wewe bwana nooma umeongea point
@modestwenceslaus9
@modestwenceslaus9 Год назад
@@ahmadmpinzire5649 Vijana hao hawajitambui na hawajui tulikotoka,tuko wapi na tunaelekea wapi.
@kefamwakipesile275
@kefamwakipesile275 Год назад
JPM
@josephmuchiri3180
@josephmuchiri3180 Год назад
r.i.p Magufuri
@FurahaEliya-df5fo
@FurahaEliya-df5fo Год назад
Mbona unamwita kama vile sijui ni nanii wako.......🏃🏃🏃🏃
@deogratiuswambura7597
@deogratiuswambura7597 Год назад
Mzee ulishindwa magufuli aka weza
@victorishengoma4599
@victorishengoma4599 Год назад
RIP chuma
@jacobsimkoko3096
@jacobsimkoko3096 Год назад
Mama ni Muungwana sana
@MeenaHassan-fd9vv
@MeenaHassan-fd9vv 3 месяца назад
Nikupoteza muda kumsikiliza jk, Tangu tanzania imepata uhuru marais ni wawili tuuu jpm na Nyerere
@user-xo4ds2bh6s
@user-xo4ds2bh6s Год назад
Mwalimu Nyerere alitamka "Mpumbavu ni yule asiyetaka kujifunza kutoka mataifa mengine" Kwa Mhe kusema wamejifunza kutoka Malaysia kuijenga Ikulu, ndio usahihi wa ustaarabu wa mataifa yaliyoendelea. China inasema imefanikisha kwa kufuata nyayo za waliopita. Tanzania mnapendeza kwa kukamilisha ndoto za Mwalimu Nyerere na wale waliotutangulia. Mungu awabariki Watanzania
@b.warron4631
@b.warron4631 Год назад
Magufuri hii ni kazi yake wewe umekaa miaka 10 ukujenga.. JPM miaka miwili. tu kafanya mambo... sifa ziende kwa magu sio wewe.. wewe ulikuwa unakula bata tuuu..unajisifia tuu ukufanya lolote acha kupiga poyoyo.. kazi ni JPM
@SaidihusseinAthumani-dy9kw
@SaidihusseinAthumani-dy9kw Год назад
Uwe na nidhamu ww na viongozi wetu
@mangulimanguli3974
@mangulimanguli3974 Год назад
Maneno mbali vitendo mbali, Jpm kafanya vitendo nyinyi blabla tu ata uyo mama ana lolote yy kajenga nn chake zaidi ya kuuza Nnchi,
@habibashabani5689
@habibashabani5689 Год назад
Mpeni maua yake jpm mwamba ni dhahabu kwetu Tanzania
@basitv2299
@basitv2299 Год назад
Porojo na siasa sizitofautishi,ziko nyingi ameziongea ila ukweli...JPM ni mwamba. Kwanini mnashindwa kusema kwa ukubwa aoichofanya JIWE?.roho mbaya mnazo ninyi mnaoishi miaka mingi
@josephmuchiri3180
@josephmuchiri3180 Год назад
Anaongea nn uyu
@msafiriomary893
@msafiriomary893 6 месяцев назад
Bra magu nyinyi msinge weza
@msafiriomary893
@msafiriomary893 6 месяцев назад
Sku nikiwa rais Mimi nitaweka mabago yenye picha ya jpm inchi nzima maana bra yeye kra kitu kingekuwa hakuna
@deogratiuswambura7597
@deogratiuswambura7597 Год назад
iliandikwa na magufuli mbona unaruka kumtaja magifuri
@florencemeza6540
@florencemeza6540 Год назад
Hawezi kumtaja moyo unamusuta
@mbwanamungia9921
@mbwanamungia9921 Год назад
Yote ni mazuri tu
@bakarimtange570
@bakarimtange570 Год назад
Nmeskia tetesi limonti IPO msoga
@kaswahilianatoli4173
@kaswahilianatoli4173 Год назад
Sio kazi yake mseme aliefanikisha hilo
@florencemeza6540
@florencemeza6540 Год назад
Hawezi kumusema
@jumaigoti7541
@jumaigoti7541 Год назад
Magufuri kidume .uwazi ulifanya Nini ?babwajababwaja tu utoke hapo. Ulikuwa mpigaji tu.
@deogratiuswambura7597
@deogratiuswambura7597 Год назад
Hayo hupashwi kuongea wewe anapashwa aongee rais sio wewe
@jiweg-unit5408
@jiweg-unit5408 Год назад
Jk alikuwa poteza bovu he did nothing when he was a president
@bakarimtange570
@bakarimtange570 Год назад
Kwenda zako fisadi mkubwa ww
@BIGBOSS-hl3bu
@BIGBOSS-hl3bu Год назад
UJENZI WA IKULU YA DODOMA HILI JAMBO KILA KIONGOZI ANAINGIA KTK HISTORIA NA WATANZANIA WOTE ,JAPO KILA MTU ANASEHEMU YAKE KTK KUHAKIKISHA HILO LINATIMIA NA LEO LIMETIMIA japo nashangaa sana Kuna watu wanapenda kubagua viongozi KWAMBA huyu kafanya huyu hajafanya mnayatoa wapi
@kefamwakipesile275
@kefamwakipesile275 Год назад
Jpm
@abrahamuisrael6161
@abrahamuisrael6161 Год назад
JPM
@keiferuz4869
@keiferuz4869 Год назад
Jpm
@kefamwakipesile275
@kefamwakipesile275 Год назад
Jpm
@kefamwakipesile275
@kefamwakipesile275 Год назад
Jpm
@kefamwakipesile275
@kefamwakipesile275 Год назад
Jpm
@kefamwakipesile275
@kefamwakipesile275 Год назад
Jpm
@kefamwakipesile275
@kefamwakipesile275 Год назад
Jpm
@kefamwakipesile275
@kefamwakipesile275 Год назад
Jpm
@kefamwakipesile275
@kefamwakipesile275 Год назад
Jpm
@kefamwakipesile275
@kefamwakipesile275 Год назад
Jpm
@silivesterjoachim4954
@silivesterjoachim4954 Год назад
Jpm
Далее
The Day Ronaldinho Became a Brazilian Legend
12:50