Mbunge wa Geita Vijijini (CCM) Joseph Msukuma leo Ijumaa, Novemba 3, 2023 wakati akichangia maoni yake kwenye ripoti za Kamati za Bunge za PIC, LAAC na PAC kuhusu Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG)
Tatizo la mfumo wa uendeshaji wa hii serikali haki sawa ata sikumoja na ndiyo maana imeshakuwa kula lushwa nijambo la muhimu kuliko kupokea mshahara kwa Kila mwajiliwa Aya bwana watanzania wakawaida sisi ni washangiliaji tu wa hayo tunayo yajua