MashaAllah, msukuma unafaa kuwa mbunge wakudumu bila ya kupigiwa kura watanzania tuamke huyu anafaa anajitoa sana jamani huyu asigombee apewe kura moja kwa moja safi sana Allah akulinde mpaka mwisho wa maisha yako yarrabi
Mheshimiwa msukuma nipo mdogo wako hadhina ya taifa nasikitika Sana kwa hilo soon tutakutanaa huko tutasomana vema ndo maana wasukuma wanatuona wakaidi but brother soon ntafka mungu ainue utukufu wake tu
Kaka mh. Msukuma, mm niko mtwara ila ninakukubali balaaa. Karibu jimboni kwetu masasi mjini, ugombee ubunge tumemchoka GEOFFREY IDELFONCE MWAMBE. Mbunge asiyejitambua, mbinafsi, na mkaidi kwa maagizo na mipango ya serikali.
Huyu kingmsukuma hana kura za maruhani anakura za wanainchi kias hata ikichukua chama ingine huyu hakosi kura za wanainchi maana ni mbunge wa wanainchi kwa tiketi ya ccm sio mbunge wa ccm kwenye jimbo alipo
maneno ya huyu mbunge ni mazuri sana na tunatakiwa tuwe na wabunge wa aina hii ili kuifanya tanzania iwe kama nchi zilizo endelea duniani ili wanachi wake waishi maisha mazuri yaliyo jaa furaha ndani ya nyoyo zao na wasomi mnaosoma na kutaka madaraka basi kuweni kama huyo msukuma
Msukuma uko sawa ila ccm yenu ndivyo ilivyo hawaeleweki ila kwa mfumo kama huu ukija kugombea urais mimi nakuunga ila saidia kusemea waliotekwa na wanaoawa kwa kutekwa bila sababu umesema kweli sana.
Hapa ndo tunaelewa msomi ni Nani Nadhani msukuma ni msomi kamili hachana na HAO wanatafakali usomi katika karatasi Ila nje wanayoyafanya hata haya....... Big up grandpa!!!!!!!!
Tungekuwa na wabuge 5 km wewe Taifa lingefika mbali Mungu akubariki sana kaka waambie hao ni walafi sana wananchi tunakufa njaa wao Wana kula tu Kodi zetu na Mungu atawalaani
Magufuli kwann ulikufa lakini ,, huko uliko hata ile barabara ya makambako songea mpaka leo mashimo tu, CAG huku lipoti nishoti tu magu msukuma wanamdharau bungeni eti hajasoma.