Тёмный
No video :(

MSWAHILI : HUU NDIO UKWELI KUHUSU "KWA MPALANGE/ KWA NINI LINATUMIWA SANA ? 

Wasafi Media
Подписаться 4,7 млн
Просмотров 229 тыс.
50% 1

𝕎𝔸𝕋ℂℍ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝕋𝕍 📺
𝗔𝗭𝗔𝗠-𝟰𝟭𝟭 | 𝗗𝗦𝗧𝗩 𝟮𝟵𝟲 | 𝗭𝗨𝗞𝗨-𝟬𝟮𝟴
𝗦𝗧𝗔𝗥𝗧𝗜𝗠𝗘𝗦-𝟰𝟰𝟰 & 𝟯𝟯𝟯 | 𝗖𝗢𝗖𝗢𝗡𝗨𝗧 𝗧𝗩-𝟮𝟬 |𝗗𝗼𝗱𝗼𝗺𝗮𝗖𝗮𝗯𝗹𝗲-𝟭𝟭𝟯
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝕃𝕀𝕊𝕋𝔼ℕ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝔽𝕄 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
𝔽𝕆𝕃𝕃𝕆𝕎 𝕌𝕊 𝕆ℕ:
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2020 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Опубликовано:

 

21 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 335   
@omarrajab9771
@omarrajab9771 3 года назад
Zembwela karibu kwa waswahili 254 !!!!!!
@haridimnimbo7377
@haridimnimbo7377 3 года назад
Zembwela umefanya kaz kubwa sana Asante kwa kutufanya tuijue historia ya kwa mpalange
@Chemba67
@Chemba67 3 года назад
Hawa madogo wa kwanza kuwahoji ktk hiyo bajaji wana busara sana, wameongea vizuri sana na wametaja vizuri athari za upotoshwaji wa hilo neno.
@manchado1863
@manchado1863 3 года назад
Kabisa,wapo vizuri
@sirmwangangi4497
@sirmwangangi4497 3 года назад
Inapendeza sana aisee..asante sana Zembwela kwa taarifa kundu na ukweli kuhusu 'Kwa Mpalange'
@daudimahede6014
@daudimahede6014 3 года назад
Ipitie tena comment yako
@elicegeorge9991
@elicegeorge9991 3 года назад
Kuntu soma tena
@nurdeentv8126
@nurdeentv8126 3 года назад
Huyu ndo mswahili halisi .... much love from khartoum
@salehpandu2250
@salehpandu2250 3 года назад
Safi sana zembwe you are good presenter
@Mpakauseme
@Mpakauseme 3 года назад
Dah huko kwa mpalange watu wataogopa kununua maeneo ya kuishi 🤣 dah hao samaki sio poa ni watamu sana
@stevenmhina7222
@stevenmhina7222 3 года назад
Nadhani, pamoja na kwamba ni jina la eneo, wasanii hawakumaanisha wakazi wa eneo hilo matendo yao ni yahovyo kama inavyozungumzwa. Bali, wasanii walijaribu kutengeneza jina tafsida ya kuhusu dhana ya maumbile furani ya binadamu hivyo wakaona neno "kwa mpalange" ingeendana na matakwa yao bila kujua litapokelewaje na jamii na hivyo kuzua sintofahamu hii leo ambayo si sahihi kwa watu wa Kwa mpalange na eneo lao. Ni sawa na kusema neno "Msambwanda" huenda lingekuwa na tafsiri au kutumiwa vinginevyo, pengine yangejitokeza kama haya yanayozungumzwa ya neno kwa mpalange.. Kwa hiyo nashauri wasanii wawe makini katika matumizi ya lugha, hasa wanapotaka kuzalisha matumizi ya maneno ktk jamiii
@thomasraiton7760
@thomasraiton7760 3 года назад
Kweli hapo kwa mlanzi napajua sana , kwa mpalange ni pale huku kilima na huku kilima katikati barabara na kuna mteremko mkali sana
@alfanishabani1928
@alfanishabani1928 3 года назад
Ishaa wah kwendae
@alhaddajmohammed4768
@alhaddajmohammed4768 3 года назад
Umma umeharibika, ni miongoni mwa ishara na dalili za Kiama/mwisho wa dunia. Mungu Mola Muumba atuhifadhi tuupate mwisho mwema.
@suleimansuleiman1127
@suleimansuleiman1127 2 года назад
Amiin🙏
@seifushabani9686
@seifushabani9686 3 года назад
Leo nimekua wa kwanza like kwa chama la wana WCB
@faridmayanja3608
@faridmayanja3608 3 года назад
yes,zembwele,seriously ur doin a gud job kabisa,keep on pushing,napenda sana hiki kipindi chako,asante sana kwa kutuelewesha na kutufundisha kuhusu maisha yetu halisia ya uswahili.much respect bro.
@aminaomary5567
@aminaomary5567 3 года назад
Nakupenda Zembwela utukumbusha ukiwa uswazi
@rashidabubakari7826
@rashidabubakari7826 3 года назад
Nimefurahi kusikia history Ashante zembwela
@minicooper9642
@minicooper9642 3 года назад
Hao hawasemi ukweli hapo kuna mtu alifanyiwa kitendo kibaya baada ya kufumaniwa ndio jina lilianzia hapo watu kulitaja
@TIRAVISIONTV
@TIRAVISIONTV 2 года назад
@@minicooper9642 hahah 😂 unauwakika huo bro wameongea uwongo
@brightontheogenes5093
@brightontheogenes5093 3 года назад
umetisha sana umefka hom boi mwambaaa
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 3 года назад
Kwetu huku, one love 🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌
@khdigahk4246
@khdigahk4246 3 года назад
Nimemiss mpaka 😭kwetu jmn 🇴🇲 napo uku Sasa one dey nitalud home
@fatmamatuma4073
@fatmamatuma4073 3 года назад
Inn shaa Allah
@amour5535
@amour5535 3 года назад
@@khdigahk4246 inshaaallah namie pia ndo njia yangu kwenda kwetu magole mwanagat
@ramlazuber6038
@ramlazuber6038 3 года назад
@@khdigahk4246 INSHAALLAH ipo siku tutarudii kwetuuu TANZANIA.
@consolatarwabuganda7187
@consolatarwabuganda7187 3 года назад
Mparange mwenyewe angekuwepo ingekuwa poa sana,
@mubarakarackah4144
@mubarakarackah4144 3 года назад
Hongera za kwenda kwa mpalange!!
@biggestnasritv2601
@biggestnasritv2601 3 года назад
THE BIGGEST BOSS NASRI
@khamisshee5131
@khamisshee5131 3 года назад
Nakukubali sana Zembwela uko vzr sana 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 aka bachuchu mombasa 001 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@hamisfufuru6294
@hamisfufuru6294 3 года назад
Huku Mlima Huku Mlima katikati mserereko hii Unamaanisha Huku tako Huku tako katikati...................
@Africaonetvjam
@Africaonetvjam 3 года назад
MWALIMU WANGU NAKUKUBARI DAIMAA BABUUUU
@ggmmjasiliamalionline2746
@ggmmjasiliamalionline2746 3 года назад
Sikiliza vizuri minutes 4:40 huyu angehojiwa vizuri tu lazima pawe na sababu zilizuka na kuupa umaarufu huwo mji hawo vijana washenzi ndo walopatia doa huko kwa mpalange
@hassansaleban7429
@hassansaleban7429 3 года назад
Good to see ur back my favourite ukiwa healthy but please more video because ur legend rest who want to copy ur style it just dream keep it up big bro big up stay humble prayer forever 🔥🔥🔥🔥💯💯💯🙏🙏💪💪💪
@hassanparamana2215
@hassanparamana2215 3 года назад
Zembwera ahsante sana duuuh umenijuza kitu ambacho nilikuwa sikijui...!!!
@mauriceandimani3822
@mauriceandimani3822 3 года назад
Duu wale jamaa wa kwanza wamefafanuwa vizuri sana.
@dullahatibukaniki8720
@dullahatibukaniki8720 3 года назад
Twende Kwampalange 🤣🤣
@kitashinetz1820
@kitashinetz1820 3 года назад
Watusafishe wa kwamparange yaani kwasasa tunashindwa kuaga wakwe "Daah mama naenda kwa mparange na sijui kama ntawai kurudi" 😂😂
@munashabani1376
@munashabani1376 3 года назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂👍
@somewhereinafrica9164
@somewhereinafrica9164 3 года назад
😂😂
@balozimkali1337
@balozimkali1337 3 года назад
Hahahaha hii hatari
@aminasaid8462
@aminasaid8462 3 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣
@mwanamisakulembwa1147
@mwanamisakulembwa1147 3 года назад
😄😄😄😄😄😄mpalange hoyeee!
@zedymoris8576
@zedymoris8576 3 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣zembwela eti huu muhindi wanne nasubiri mishikaki tu ili niwe nimekula ugali nyama😂😂😂😂😂😂.
@zumbeshauri8114
@zumbeshauri8114 3 года назад
Hahahahahaaa huyu zembera mchekeshaji mzuri sana
@aminasaid8462
@aminasaid8462 3 года назад
😂😂😂😂😂
@khalidbalala7753
@khalidbalala7753 3 года назад
Alikuwa mchekeshaji zembwela
@bahatijoseph8763
@bahatijoseph8763 3 года назад
Kama umeliskiaa Pini la Mama La Rostam Na Ferooz Gong Like Twende sawaa
@nissarhussein4887
@nissarhussein4887 3 года назад
Zinakusaidia nn izo like acha ujinga
@bahatijoseph8763
@bahatijoseph8763 3 года назад
@@nissarhussein4887 weka like hapo Maisha yaendeleeee Nyau wewe mbn Unabwabwasha
@mashamasha2854
@mashamasha2854 3 года назад
@@bahatijoseph8763 😄😄😄😄
@emmanuelgabagendi3169
@emmanuelgabagendi3169 3 года назад
Dah! Ahsant My Brother
@omarylukindo5306
@omarylukindo5306 3 года назад
Et mahindi ya kuchemsha ukila na mishkaki sawasawa umekula ugali nyama 😁😁
@bahatijoseph8763
@bahatijoseph8763 3 года назад
BUZA KWA Mama kibonge
@TheSalma1999
@TheSalma1999 3 года назад
Napajua kwa mama kibonge
@bahatijoseph8763
@bahatijoseph8763 3 года назад
@@TheSalma1999 oooh kwan wewe unaishi wap??
@wazirmlogi7532
@wazirmlogi7532 3 года назад
Daah jaman watu wote wanachukia kutafsiriwa vibaya jaman😂😂
@poulkiarie254
@poulkiarie254 Год назад
Asante kakangu kutafsiri uhalisia wa hilo jina Paulo nikiwa Mombasa
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 3 года назад
Nakukubali sana Ndimu
@danilohhaule902
@danilohhaule902 3 года назад
Jaman bongo nyosso hatari sana
@ggmmjasiliamalionline2746
@ggmmjasiliamalionline2746 3 года назад
Minutes 4:24-4:26 kwa mpalange sio kudanga mbna mbna unatafsida maneno na tunavyoaminishwa huku
@pius1359
@pius1359 3 года назад
Mahindi + Mishikaki = Ugari Nyama 😂😂 BUZA is home areas
@oswardmwakalobo2920
@oswardmwakalobo2920 3 года назад
Ina maana huyo mzungu alipe nda kufanya tendo Hilo ndoo maana watu wakaamua kukiita kitendo hicho kuwa kwampalange
@hassanmkwama9900
@hassanmkwama9900 3 года назад
Ahsant zembwela, uko vzr!!!! Uswahilni kuna.meng
@Vanisikaka
@Vanisikaka 3 года назад
"Ukipata bwana wa kizungu nenda nae kwa Mpalangeeee"
@msafiridinongo8857
@msafiridinongo8857 3 года назад
Van isikaka💪💪
@ramadhaniramaa3891
@ramadhaniramaa3891 3 года назад
Kaka reactin ya rapcha please
@Vanisikaka
@Vanisikaka 3 года назад
@@ramadhaniramaa3891 angalia vizuri ipo tayari
@RuzoOwzy
@RuzoOwzy 3 года назад
Naona miaka ya 60 walienda na mzungu huko.
@hamedabashir9
@hamedabashir9 3 года назад
😂😂😂😂
@ahz6907
@ahz6907 3 года назад
Nafikiri wakija wazungu wapelekwe tu huko. Ni utalii wa ndani huo 😊
@scanertv7806
@scanertv7806 3 года назад
Duh kumbe mpalange ni mzungu 🤣🤣
@manchado1863
@manchado1863 3 года назад
Hahahaha usilolijua litakusumbua
@andreaa.nyundo8333
@andreaa.nyundo8333 3 года назад
Hiyo buza ukianzia buza kwa Chama,uje buza kwa Abiola, uje makangalawe, uje kwa mama kibonge,uje buza kanisani, uje machimbo, alafu unakula kushoto huko ndiko unaikuta kwa Mpalange.
@Ram_1893
@Ram_1893 3 года назад
Hapana
@willyjoh7745
@willyjoh7745 3 года назад
Hahah
@Ram_1893
@Ram_1893 3 года назад
Kumbe Kwa Mpalange pazuri kabisa ❤🇹🇿❤🇹🇿❤🇹🇿
@voodothurday
@voodothurday 3 года назад
Wacha weee😂😂😂
@Ram_1893
@Ram_1893 3 года назад
@@voodothurday Si umeona hapo watu wanaishi maisha yao kwa amani na upendo wa kutosha
@thomasraiton7760
@thomasraiton7760 3 года назад
Kweli naona ni mzungu pale juu kuna mpaka mabaki ya magari ya enzi za mkoloni kuna minazi kibao hapo juu kabla ya kushuka hicho kilima
@malataogtz2080
@malataogtz2080 3 года назад
Lakini ndo buzza kwa mpalange...
@meshackshirima4989
@meshackshirima4989 3 года назад
Hhhhhhh zembwelaaa hukuu ndikobtulipozaliwa haipingwi
@Hawa-ed2hg
@Hawa-ed2hg 3 года назад
Nimetamani uwo muindi😘😘
@hangimakina1263
@hangimakina1263 3 года назад
Mpalange ni mzungu 😂😂😂
@frankakuno.9511
@frankakuno.9511 3 года назад
Kweli panafanana kwa mparange na Jina mulemule
@oswardmwakalobo2920
@oswardmwakalobo2920 3 года назад
Kiujumla Hawa wadogo wako vizuri kwa majibu ya neno hilo
@walaaabdallah3236
@walaaabdallah3236 3 года назад
🤣🤣😂😂 awo wananchi wakiulizwa wanakaa kwa mpalange wanakataa, sasa kwanini wanakataa kama awakai kwampalange😂😂
@heyumi2340
@heyumi2340 3 года назад
Eti mtu mwenyewe anaweza kujificha kma ukitafuta kwa jina hilo
@jabilmwakyoma105
@jabilmwakyoma105 3 года назад
mi nafikiri wanatumia ndivyo sivyo hilo jina la mpalange sababu ya kua na barabara ya vumbi,wale wachafu wanaotoa tigo zamani walikua wanatumia jina la barabara ya vumbi
@loner_wolf
@loner_wolf 3 года назад
Kwa Bibi Nyau Kwa Mparange. Kwa Lulenge. Kwa Bakhressa
@eventelias3566
@eventelias3566 3 года назад
Kwa Mtogole Kwa mfuga mbwa Kwa Remmy Kwa Msuguli
@soloartist_ivanvespalusind1609
@soloartist_ivanvespalusind1609 3 года назад
Popo bawa, kwa Mtogole
@eventelias3566
@eventelias3566 3 года назад
Ukiachana na hizo sababu walizotoa hao wana mwanzoni lkn sababu nyingine ni jina lenyewe Mpalange yaan limemkaa kimpalango palango hv!!🤒🤒
@benardmapuga8370
@benardmapuga8370 3 года назад
Ahahahaaaaaa hatari sana nimecheka peke yangu aisee Event ahahahaaaaaa
@baegtcomedia6798
@baegtcomedia6798 2 года назад
Buza wasafi mmefika
@maryschroeder521
@maryschroeder521 3 года назад
Nice show
@kabhikachambala3392
@kabhikachambala3392 3 года назад
Duu! Mzungu
@hassankapalangabo467
@hassankapalangabo467 3 года назад
Nimemuona shekh kisoma safi
@kassimwatuta4149
@kassimwatuta4149 3 года назад
Dah!!! Jahazi zinaingia. Hii sasa tuache. Kwa mbarange na jahazi dah!!!!? Tena mwaka wenyewe sasa alio utaja. Hapo ndio nime choka kabisa
@happinessskafein8800
@happinessskafein8800 3 года назад
Hahahaaaaa😄
@elliamalilo4064
@elliamalilo4064 3 года назад
Yani buza jna dgo lakin kuna matukioo atali
@ibrahimkadibo810
@ibrahimkadibo810 3 года назад
Sio kweli ww, wenyewe tunaishi huku na hivyo vitu havipo...sema uvumi wa citizen of tz wanapenda kuvumisha ujinga tu.
@charlesjohn1332
@charlesjohn1332 2 года назад
Magole njia panda kwa mama juice ma homboe Dah noma sana
@oswardmwakalobo2920
@oswardmwakalobo2920 3 года назад
Mi nashindwa kuelewa kwa Nini watu waliite tendo Hilo kwampalange wakati ni eneo au mtaa hasa inaonekana ni Nina la mtu?
@benedictmwaluko1617
@benedictmwaluko1617 3 года назад
Wawe wanamlipa Kodi Mpalange jaman sio wanatumia tu jinalakee
@masatufaustine936
@masatufaustine936 3 года назад
Huyo mzee Omari anatupiga kamba...eti Mpalange alikuwa Mzungu. Mara Jahazi zilikuwa zinaingia huko miaka ya tisa mia kumi na nane...dah! Huyu jamaa wa kwa Mpalange katupia kamba baya ahahahaaaa
@jumalihumbo8937
@jumalihumbo8937 3 года назад
Dah history ii kubw sn
@benedictflorence2870
@benedictflorence2870 3 года назад
Mpalange 🤣🤣🤣
@soloartist_ivanvespalusind1609
@soloartist_ivanvespalusind1609 3 года назад
Mbona jina la Mpalange limekaa kibantubantu, mzungu anakujaje hapo! Bado sijawasoma
@alawiali3475
@alawiali3475 3 года назад
Inawezekana wenyeji wa wakati huo ndio walimwita jina hilo la mpalange huyo mzungu
@ggmmjasiliamalionline2746
@ggmmjasiliamalionline2746 3 года назад
Kwa wazungu na majina ya hovyo wapo kijichi kuna mwengine wanapaita kwa buruda eti
@fundisanga1194
@fundisanga1194 3 года назад
Mswahili leo nimeupata ukweli Wa kwampalange
@hekimaisaya8255
@hekimaisaya8255 3 года назад
Eti kwa mpalange kupyaaa 😂😂😂😂🙌🙌
@ferouzmasoud4741
@ferouzmasoud4741 3 года назад
Buza kwa mpalangeeee 🤣🤣🤣
@polytarimo324
@polytarimo324 3 года назад
Duuh aisee Zembwela umenifumbua macho na masikio mimi sikuwahi kujua kama kuna mtu anaitwa Mpalange na Pia eneo rasmi linaitwa Kwa Mpalange kabla ya leo hili nikuwa naogopa hata kulitaja 😎😎😎
@msaeally12345
@msaeally12345 3 года назад
Milijua kwampalange nigest sehemu ya kuwachapia pic kary na wasio pic kary
@jayman7865
@jayman7865 3 года назад
Kwa mparange, njooo na bukoba Kuna katelelo.
@songweairport7602
@songweairport7602 3 года назад
HUYO JAMAA MWENYE DREDI KANIACHAAAA HOI SANA...ETI UKIULIZWA WE NDIO MTOTO WA MPALANGE..?/
@halisimediatz
@halisimediatz 3 года назад
Kwa Mpalange 🤣🤣🤣🤣
@josephernest155
@josephernest155 3 года назад
Kumbe hata Dar kuna Bush? Halafu mnakuja huku mnajidai wajanja kumbe unakaa kwa Mpalange 😂😂
@ibrahimkadabla1037
@ibrahimkadabla1037 3 года назад
Bush zipo lkn co kama za mikoa mingine
@lucykanyopa2685
@lucykanyopa2685 3 года назад
Pole Zembwela wasanii wenzio mliokuwa nao kipindi cha mizengwe wamekuacha! Nakumbuka Max hakuna aliyeweza zibq pengo lake na leo tena mzee Alela! Dah nikikumbuka mlivyokuwa mnaigiza mlikuwa mnatisha! Mungu awapokee mahali pema meponi
@justinngurumo8508
@justinngurumo8508 3 года назад
Kule mlima na huku mlima pale bondeni ndio kwa mpalange 😂😂😂😂😂
@mayallahamis1256
@mayallahamis1256 3 года назад
Hahahaha huku mlima na huku mlima bondeni ndo kwa mpalange
@dixsonmlagwa4966
@dixsonmlagwa4966 3 года назад
😂😂😂😂
@JumaRashidi-qu6nv
@JumaRashidi-qu6nv 3 года назад
Zembwela nakikubali Sana Sana
@user-bf5qp5mu5o
@user-bf5qp5mu5o 29 дней назад
Wapi zamani chini ya mti
@salimomary6279
@salimomary6279 3 года назад
Kwel hapo kwa mparange,, panafanan na sehemu yenyewe
@cleophacephelician6739
@cleophacephelician6739 3 года назад
Acha kufru Omary
@mathiasthomas4691
@mathiasthomas4691 3 года назад
🔥🔥
@tinardionizi8559
@tinardionizi8559 3 года назад
Waongo bwana huyo mzee alikua anawapa maeneo ya kujenga ila mpaka akufanyie mpalange kwanza awe mwanaume au mwanamke we watafute wabibi hao watoto wanawafichia siri
@mzalendowaasili1727
@mzalendowaasili1727 3 года назад
Hahaha nakufa
@allymashine7023
@allymashine7023 3 года назад
Sio kweli wewe muongo
@tinardionizi8559
@tinardionizi8559 3 года назад
Aya bwana
@sadabahla7120
@sadabahla7120 3 года назад
Mzee Ata ujui mparange akua mxungu alikya. Mtu WA tanga na watoto wake wapo tandika
@monicahovda4524
@monicahovda4524 3 года назад
Lol. Kwa hiyo wameshawaharibia jina lao, basi usikute ni la ukoo, looooh Waswahili Noma
@sadabahla7120
@sadabahla7120 3 года назад
@@monicahovda4524 noma sana
@Jamie-zp7bb
@Jamie-zp7bb 3 года назад
JAMANI NIKO MBALI NA TZ NAOMBA NIIJUE MAANA YA MPALANGE NI NINI? SABABU NAONA KILA MTU ANAFICHA MAANA YAKE..
@ramadhanmnyomoka5643
@ramadhanmnyomoka5643 3 года назад
Mzee mbwerra mtamfute mwenyewe mzee mparange
@habimanayasin4223
@habimanayasin4223 3 года назад
part 2 please Bwana mswahili
@mchagashop1342
@mchagashop1342 3 года назад
Kwa mpalange
@seebs1156
@seebs1156 3 года назад
Nataka kiwanja huko kwa mparange kumbe jina kama majina mengine ebooo
@fanuelsulle8144
@fanuelsulle8144 3 года назад
Kwa mpalange ni mzungu cyo bonde kama wabongo wanavyomaanisha
@mamaabaraka393
@mamaabaraka393 3 года назад
Jaman mbona uku kwetu yupo mpalange nimdengeleko Tena nimtu mzima
@ishamuu4307
@ishamuu4307 3 года назад
Weee wandengeleko hatuna mpalange 😂😂😂
@Mpakauseme
@Mpakauseme 3 года назад
Inawezekana huyo mzee hilo Jina wamempachika wazee wenzake kwamaana ya utani, Kwani watu wawili tofauti tayali wamethibitisha hilo Jina ni la mzungu so endelea kuuliza wazee wako vizur
@martinsimba977
@martinsimba977 3 года назад
Eti kwa mparange kupo tena kupyaaaa 😀😀😀
@thegreat.9869
@thegreat.9869 3 года назад
Mhhhh.... ila bado zembwela. Connection kati ya kwa mpalange na nyuma imeanzajeee??? Hiyo ndio cha msingi.
@abdallahmwanjile471
@abdallahmwanjile471 3 года назад
Mbona rahisi tu kung'amua, kwa mpalange ni bondeni kutoka pande zote nne hivyo wahuni wakafananisha na jinsi tundu la nyuma lilivyo
@salamakijonjo775
@salamakijonjo775 2 года назад
Ata Rufiji ipo Kwa mpalange
@ggmmjasiliamalionline2746
@ggmmjasiliamalionline2746 3 года назад
Siku hizi nawaona wanaanza kupaandama BONYOKWA
@richardsilili4760
@richardsilili4760 3 года назад
naombeni likes na mie
Далее
MADEBE NABII MSWAHILI:TUONYESHE HAYO MAJINI
26:32
Просмотров 149 тыс.
Əliyev və Putin kilsədə şam yandırıblar
00:29
Просмотров 198 тыс.
SHIRT NUMBER OR SWIM 🙈💦
00:32
Просмотров 6 млн