Brother James unapiga kazi pande zote, na unafanya vizuri sana. Yani kwa Calvin PENZI LA MTOTO WA BOSS na kwa Brown KIJANA TAJILI. mungu akujalie sana Brother unapiga kazi.
Waliotegea mtoto w boss km mm tujuane kwa like ila mapenzi n hisia jmn sio pesa Wala nn thaman ya mtu n hisia ila simpendi Tina n Amina watia fitna ambazo hazina msingi napenda msimamo wa Kelvin 🇰🇪🇸🇦🥰 team strong hoyeeeeeeeeee
Jemsi muonee huruma mwenzio ana teseka San juu ya love mwambietuu nawpenda San pia mtuwahishie ep ya11 mapema Kama Leo tunakesha tukiangalia Kila muda Kama tayari Fanya hivyo kaka ❤❤
Kumbe ht marafiki wakiume ni wanafki t jemsi sio wakumficha Kelvin ikiwa yy kashatoka na Amina imeniuma mno ila pole sana Kelvin na loveness hayo nimapito naiman utamuona t love wako
Kwani hakuna siku nitakua wa kwanza ata mm aya maGen z pitieni apa na kalike tu tu appreciate our donta tv kwa kazi Zuri wanaofanya much love from kenya
Some time ukiwa mwanaume unatakiwa ufanye maamuzi Magumu haijalishi kitatokea nini fanya kitu kwaajili ya mstakabali wa maisha yako ya baadae I like you like 👍
Wapi like za kelvin za kuchukua hatua mikononi mwake yaani hii ndio inaitwa kujitabua 🎉🎉🎉🎉🎉na tena kuweka episode leo atleast leo umewahi ❤❤❤asante sana