Тёмный

#EXCLUSIVE 

Global TV  Online
Подписаться 4,9 млн
Просмотров 26 тыс.
50% 1

#EXCLUSIVE na AUNTY EZEKIEL -"SINA MPANGO wa NDOA na KUSAH - AKITAKA KUOA ANIAMBIE-YEYE BADO KIJANA"...
Msanii wa bongo movie, Aunty Ezekiel amefunguka kuhusu maisha yake na kazi anazo fanya pia amefunguka kuhusu kuingia kwenye ndoa Kama Yuko tayari kuolewa na Kusah . Tayari maojihano haya yapo Global TV.
Host @Gabbymtanzania80
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Опубликовано:

 

15 май 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 94   
@globaltv_online
@globaltv_online 2 месяца назад
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@aminaomary5567
@aminaomary5567 2 месяца назад
Anazeeka sasa.Muda umeenda. Lakini mzuri sana huyu dada mimi uwa nakupendaga sana pamoja na wema na Riyama Ali❤❤❤
@nadyasalim7956
@nadyasalim7956 2 месяца назад
Hajazeeka ni mzuri mashallah kwa age yake hana make up mkumbuke nature beautiful 😍
@fatumapilyimo8784
@fatumapilyimo8784 2 месяца назад
Big up mamii, unajitambua na ni mkweli
@faridapandu7579
@faridapandu7579 2 месяца назад
❤❤❤❤🎉🎉 kila Leo yupo vizuri huyu ENT zekinampenda
@shamixxvick380
@shamixxvick380 2 месяца назад
So beautiful without makeup 😍😘
@user-mz6lq3gr9l
@user-mz6lq3gr9l 2 месяца назад
Hta mimi nilikua na mwanaume nilimpenda sana nyumban wakiniuliza kuhusu ndoa nikawa najibu simtaki kumbe bwana ndo hataki kunioa😢 inaumiza
@aginsagins-jf4vz
@aginsagins-jf4vz 2 месяца назад
Inaumiza kwa kweli
@mwitaagness455
@mwitaagness455 2 месяца назад
Umeongea ukweli
@mwitaagness455
@mwitaagness455 2 месяца назад
Ila ni mrembo sijui kwann hawatulii wawe na familia bora
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 2 месяца назад
​@@mwitaagness455uzuri ni mtihani
@Shakila-pq2gv
@Shakila-pq2gv 2 месяца назад
Duuh mtihani 😢😢😢
@maryammdoe5801
@maryammdoe5801 2 месяца назад
Innalillahi wainna ilayhi rajioun Kuridhika na zinaa , subhanallah Allah atuongoze ktk kheri,
@user-cj2kl7cd9k
@user-cj2kl7cd9k 2 месяца назад
Anti sio muislam kwake sawa tu
@maryammdoe5801
@maryammdoe5801 2 месяца назад
@@user-cj2kl7cd9k Kwa huyo kusa sasa ndo mtihani anatakiwa atoke kwenye zinaa haraka kabla mauti hayajanfika, Allah atuongoze sote ktk mema na atufishe ilhali tumetubu toba ya kweli ameen yaarab.
@user-cj2kl7cd9k
@user-cj2kl7cd9k 2 месяца назад
@@maryammdoe5801 ALLAHUMMA AAMIN
@user-bc3lh5ss6c
@user-bc3lh5ss6c Месяц назад
Ameen
@SalamaNauthar
@SalamaNauthar 2 месяца назад
Mnakujaga Kwa mbwembwe mwishoni linawashuka
@nailaomar4810
@nailaomar4810 2 месяца назад
Mashaallah mm nampenda always shis beautiful ❤
@nadyasalim7956
@nadyasalim7956 2 месяца назад
Yes She is
@shanimbaruku2071
@shanimbaruku2071 2 месяца назад
Aunt ❤🎉
@RachelMwamini-wt4tq
@RachelMwamini-wt4tq 2 месяца назад
Nakupenda bure❤❤dada
@wingracemosha860
@wingracemosha860 2 месяца назад
Kuna watz wa hovyo sana et wako bize anazeeka anazeeka kwahiyo mlitaka abaki kijana mnachekesha nyie viumbeeee... .. Haya watz msiotaka kuzeeka sijui mnataka kufa vijana(18-45)
@nancychesang9567
@nancychesang9567 2 месяца назад
Kwa uzee gani nyie Aunt bado mbich sana
@rahmashomari1048
@rahmashomari1048 Месяц назад
Umri unavyoeanda ndio kifo kinakaribia mara leo pap umeondoka utaenda kujibu nn na maisha hayo unayoishi ya kuzini kussah oa umstir mwezio na kesho yake kaburin na akhera
@GraceSamson-kk7qx
@GraceSamson-kk7qx 2 месяца назад
🎉❤
@user-hi8le2vb7z
@user-hi8le2vb7z 2 месяца назад
KWAIYO KUSSA KAGOMA KABISA😊😊,,MPAKA IMEKUWA LIWALO NA LIWE..
@ismailmasoud6001
@ismailmasoud6001 2 месяца назад
Sssa ww mtangazaji unamuuliza aunt Ezekiel suala la ndoa.?..kishamaliza mwendo na anajua kabisa ndoa kwake ishamtupa mkono..!
@millycentgati2541
@millycentgati2541 Месяц назад
Wewe ni Mungu? Wewe ndio huwapa watu ndoa?
@ismailmasoud6001
@ismailmasoud6001 Месяц назад
@@millycentgati2541 ...kwanza neno MUNGU ungeandika Kwa herufi kubwa, halafu ndio u comment
@rehemayona2223
@rehemayona2223 2 месяца назад
i watoto wawili au watatu🤔🤔
@rehemayona2223
@rehemayona2223 2 месяца назад
@@Sarah_gerald okay 🤔
@rahmashomari1048
@rahmashomari1048 Месяц назад
Aunty nakupenda lkn ndoa unaitak kama anampenda kussah kwann ndoa asitake jmn , bas aachane nae au amuache kaka wa watu 😂
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 2 месяца назад
huyu dada anamtumia kussa na kumpotezea muda wake kama kijana wa kiislam mwenye ndoto zake za maisha na Aakhera,wataishia kuzini mpaka lini na lidada lisilo na imani ya dini,ashasema hana mpango wa kuolewa"vipi ukae na kijana mdogo ambae hajatimiza ndoto zake na suna ktk imani yake!ukijua huna mpango wa kuolewa ni utafute mtu wa aina yako mnao fanana! Mtihani kweli huu
@hanifa9153
@hanifa9153 2 месяца назад
Lijimama la hovyo sana cjui kwanin hyo kusa hajielewi kama dunia ni mapito na Allah hapendi zinaa zinaa ni uchafu mbona akae na mzinifu mwanamke hana Imani anaishi bila mipaka hamjui Allah😢😢😢
@user-mz6lq3gr9l
@user-mz6lq3gr9l 2 месяца назад
Achani kumshambulia ant mtu hawezi kusema kila kitu huwenda kusa ndio hana nia ya kumuoa , ant hawez kuomba ndoa mtandaoni anajiskia vbya me ni mwanamke najua
@sophiakimaro5174
@sophiakimaro5174 2 месяца назад
Kusa ndio anamtumia sio yy anamtumia kusa
@josephlorri431
@josephlorri431 2 месяца назад
Kusa kijana anayependa kitonga
@Annalisejg2ur
@Annalisejg2ur 2 месяца назад
​@@josephlorri431kitonga ndiyo nini
@sarahsesa8851
@sarahsesa8851 2 месяца назад
🤣🤣 kwel ndoa hapana maana watu wanaishi njoo tukae vizur tu tena kwa mda ila wakifunga ndoa tu bas hata mwaka hauishi wameacha
@alsam4881
@alsam4881 2 месяца назад
Je watu tunaoishi nje ya nchi tutaona wapi hiyo tamthilia ya Jiya?
@user-eq2wg9hx6o
@user-eq2wg9hx6o 2 месяца назад
Sasa utaki ndoa unataka nini,usituchanganye bwana, uyo kijana aoe basi
@AsiaAsia-sv6ok
@AsiaAsia-sv6ok 2 месяца назад
Eti ndoa apana,loooh hana hata hofu ya MUNGU,uzinifu tu
@rashiduchongole1333
@rashiduchongole1333 2 месяца назад
Uko na mpango wa kuzizi
@MaryamAlly-yk7zh
@MaryamAlly-yk7zh 2 месяца назад
Oregano sas wee umekuwa mkubwa umri umeenda sana kwako
@johanjoha5262
@johanjoha5262 2 месяца назад
Nani nasikiya kama miye 😂😂😂😂😂Iyi indis
@user-is9vl2dr7p
@user-is9vl2dr7p 2 месяца назад
Wewe ni mbibi mwache kusah achukue kijana mwenzake we ni bi mkubwa
@maryamathman8917
@maryamathman8917 Месяц назад
Sasa kwani ameshikwa lazima jamani😂😂😂, umenifurahisha kweli😂😂😂
@HazinaElisha
@HazinaElisha Месяц назад
Kwani alimfata haoni kama ni mzeee alimpendaaaa 2
@sabrinaaron4212
@sabrinaaron4212 2 месяца назад
Kajitunza na nn akat kashazeeka we mtangazaj kiongo unamjaza😂😂😂😂
@magejuliani5293
@magejuliani5293 2 месяца назад
Tena kazeeka kweli kweli ha ha haaa
@kessynurutajiri4940
@kessynurutajiri4940 2 месяца назад
Auntie Ezekiel sasa umeezeka, mikunjo inaongezeka usoni. Tulia na ubibi wako unampotezaa muda Kusah bure. Tabia zako za hovyo zinajulikana. Nawe Kusah acha kupenda mtemko, ishi maisha yampendezayo Mwenyezi Mungu, ww ni Kijana wa Kiislam huyo Shangazi au Mwalim Mkuu wa nini? Anakupotezea muda bure.
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 2 месяца назад
Kwani kafungwa kamba na si alimuona ni Mzee alimfuta wa Nini, likija la ohivyoo kweli
@khumayraabdulla96
@khumayraabdulla96 2 месяца назад
Mbona anaonekana kuzeeka mnajidai tu achen kukremu
@hanifa9153
@hanifa9153 2 месяца назад
Uasherati
@Zainab-qg6xv
@Zainab-qg6xv 2 месяца назад
Filter
@user-ru6ct4rh3t
@user-ru6ct4rh3t 2 месяца назад
Ni kweli kabisa kazeeka
@HazinaElisha
@HazinaElisha Месяц назад
Kwani anti ni mzee kuliko wenginee mfano zari mbona ndo mzeeee lakini hasemwi
@lucywille-sm6lp
@lucywille-sm6lp 2 месяца назад
Kwan vijana wakristo hawna ndoto na alimwita.
@johanjoha5262
@johanjoha5262 2 месяца назад
Mashavu yameteremuka
@johanjoha5262
@johanjoha5262 2 месяца назад
Umezeeka make up inawatowaga
@Josephineexsuper
@Josephineexsuper 2 месяца назад
Nimegundua huyu ni over 40, mwangalie shingoni
@user-se9no4rg3k
@user-se9no4rg3k 2 месяца назад
Umezeekaa Sasa dada
@mwitaagness455
@mwitaagness455 2 месяца назад
Hata wewe utazeeka dooooh au wewe ni jiwe utabaki km ulivyo😮😮😮
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 2 месяца назад
​@@mwitaagness455nawashangaa wanaosema unadhani wao hawatazeeka
@aamaasm2141
@aamaasm2141 2 месяца назад
🎉mbona sura imezeeka hata kucheke uso una kunjaa
@user-cj2kl7cd9k
@user-cj2kl7cd9k 2 месяца назад
Maamuzi yake hayahusiani na vipi muonekano wake upo sasa kazi kwenu ashasema kweli yake dada wa watu
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 2 месяца назад
​@@user-cj2kl7cd9khawajitafakari wao wakiwa na umri wake wataonekanaje
@GeorgeChitemo-kt8sw
@GeorgeChitemo-kt8sw 2 месяца назад
Mbona mzee
@Zainab-qg6xv
@Zainab-qg6xv 2 месяца назад
No filter 😂uzee huo
@issazalala4907
@issazalala4907 2 месяца назад
Mama kuki uko poa thana unazeeka na utam wako nakupenda thana 🎉
Далее
Amazing weight loss transformation !! 😱😱
00:24
This or That 🛍️
00:52
Просмотров 3,4 млн