Тёмный

MUHINDI APAGAWA NA USAJILI FADLU DAVIDS NDANI YA SIMBA TUNAENDA KUFANYA MAKUBWA WASALITI WAMEONDOKA 

SPORTS MAX
Подписаться 172 тыс.
Просмотров 29 тыс.
50% 1

KWA HABARI NA MATANGAZO
TUPIGIE SASA
0753393036 CALL
0625466848 WHATSAPP

Опубликовано:

 

16 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 51   
@MajidMajid-ll8mf
@MajidMajid-ll8mf 10 дней назад
Bro nakuunga mkono asilimia 150 chama ameenda kulipa fadhila ya maovu yake
@mustaphawelder7022
@mustaphawelder7022 10 дней назад
Uko vizur, umeongea point chama alikuwa duka tena la jumla
@hassanabdala7383
@hassanabdala7383 11 дней назад
Maduka yote bye bye byee🖐️🖐️
@venancemwanya4212
@venancemwanya4212 10 дней назад
Mi naona kama bado Kuna mmoja hivi hajatolewa bado.
@tanzaniakwanzamaadili5083
@tanzaniakwanzamaadili5083 10 дней назад
Kuhusu cha ni kweli kabisa hata mkude pia hao ni friends of manara na TARIMBA
@AbbasyMdabwa
@AbbasyMdabwa 10 дней назад
Wanasimba wote msijali kirusi kimeondoka
@LenatussylivesterPetro
@LenatussylivesterPetro 11 дней назад
Umeongea point san
@NaaJuma-k5i
@NaaJuma-k5i 2 дня назад
Hata mimi nimefurahi sana namuunga mkono mwarabu
@user-ve7kb4jm2r
@user-ve7kb4jm2r 10 дней назад
Mwarabu upo sw chama akipata mpira uwanjani anapozesha au akiwa hachez Simba inafanya vizuri mwarabu hoyeeeeee
@frankkiundo3240
@frankkiundo3240 5 дней назад
very good mr mhindi
@loishiyesamwel1374
@loishiyesamwel1374 10 дней назад
Chama kumbe alituumiza sana, Huyu Chama na Manara ni maadui wa Simba 😂😂
@levocatuspjohn8638
@levocatuspjohn8638 10 дней назад
Kumbe chama alikua kasenge me hapa ndo nagundua
@HarunaMbwana-s6y
@HarunaMbwana-s6y 9 дней назад
Safi sana mwarabu
@aminaomary5567
@aminaomary5567 9 дней назад
Kweli Mhindi:chama miaka 3 ametuvuruga kweli❤❤❤🎉🎉🎉👍👍👍👍👍👍👍❤❤
@vumiliamgendi148
@vumiliamgendi148 9 дней назад
Kabisa kaka manala nikirusi
@ivanminja7954
@ivanminja7954 10 дней назад
Wanajua hao wachezaji ni wazuri, wanakuwa wanajua walivyowaroga, kwahiyo wanatoa huo uchawi wao na wanacheza vizuri kwao
@adrophinamwanguse1510
@adrophinamwanguse1510 5 дней назад
Tena Kweli Manara si MTU mzuri hata kwenye ilimwengu wa mpira
@salimmalaka256
@salimmalaka256 10 дней назад
TUWAOMBEE KWA M'MUNGU KUPITIA MADUWA NA ALBADIRI WACHAWI WATOWA RUSHWA WAPOKEA RUSHWA NA MAFITINA WAFE HAPO HAPO
@salimmalaka256
@salimmalaka256 10 дней назад
SIMBA OYEEEEEE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@shabaninangomwa4136
@shabaninangomwa4136 10 дней назад
Huyu nani tena mbona bonge bwana anaongea mambo ya maana sana
@johnmwita9370
@johnmwita9370 10 дней назад
Ninaomba viongozi was Simba sc na wanachama mrinde wachezsji wetu
@MlekwaMlekwa-d1k
@MlekwaMlekwa-d1k 6 дней назад
Upo sawa
@alenjoel3777
@alenjoel3777 10 дней назад
Hata mimi nilifrahia chama kujiona kama Mungu
@IssaAbdallah-rt2sh
@IssaAbdallah-rt2sh 10 дней назад
Yanga wanachukua tusiowataka
@DM_15
@DM_15 10 дней назад
Chama ndio alimpiga msumari kramo. Now cramo atacheza
@allyabdallah4357
@allyabdallah4357 10 дней назад
Ushauli wangu muhakikishe mna walinda kwa nini msijiulize mbaona yanga Wana wachukua wachezaji mnao waa cha wao wana jua kinacho sababishia wakiwa simba wana kuwa wabovu lakini mkiiwaacha wana wakimbilia hapo lazima muwe makini husuda zipo vita ina mbinu nyingi mna waleta wazuri wakisha fika simba wabovu msipo kuwa makini kila mwaka mta fukuza sana wachezaji sasa bareke ana tua yanga nae
@sangaelly8548
@sangaelly8548 10 дней назад
Mchukue tu tutapata mwingine
@salimmalaka256
@salimmalaka256 10 дней назад
SIMBA OYEEEEEE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@shimoamos9109
@shimoamos9109 8 дней назад
mimi napenda sauti ya haka ka dada jamani khaaa ,,,,,,, na anajua kuongea kweli yaan
@user-ib7kx9dc5m
@user-ib7kx9dc5m 10 дней назад
Viongizi wachezaji mualinde na na misunari kwani upande wapili hawapendi maendeleo ya blandi yetu Wana taka waishushe
@SalimRamsei-ok9el
@SalimRamsei-ok9el 6 дней назад
Pmj sanaa
@user-xv2zm5ec9y
@user-xv2zm5ec9y 9 дней назад
Uko poa mkuu simba nguvu moja
@adrophinamwanguse1510
@adrophinamwanguse1510 5 дней назад
Kweli kabisa
@user-ld6fy2fi5s
@user-ld6fy2fi5s 10 дней назад
Matola ni kirusi simba yeye ndo alikuwa anawajua wachezaji vizuri mda mrefu ila upangaji wa kikosi ni wa ovyo sana
@HairuIssa-f9y
@HairuIssa-f9y 10 дней назад
Upo xahih mtu wa maan xan
@SalumMkugwa-i9i
@SalumMkugwa-i9i 10 дней назад
Points
@user-ld6fy2fi5s
@user-ld6fy2fi5s 10 дней назад
Wachezaji wajengewe sprit ya kupambana na sio kusaini simba ilimradi
@user-pn3wz2eb5z
@user-pn3wz2eb5z 10 дней назад
Hawa ndio wachezaji wafanya biashara wote bye bye
@IssaDede
@IssaDede 10 дней назад
kweli kabisaa tusome albadirii
@josepahatmargwe6504
@josepahatmargwe6504 10 дней назад
Toa maduka yote ,Used wote , wasaliti wote, wazee wote , peleka Utopoloni ,
@ushiwamarandu7433
@ushiwamarandu7433 10 дней назад
mbona makofi machacheeeeee....?
@BADAWY575
@BADAWY575 10 дней назад
Yani simba mazumbu kuku huyu muhindi eti kina jobeeeee😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@neemaben9989
@neemaben9989 10 дней назад
😂😂😂😂😂😂👏👏👏👏👏🧠🧠🧠🧠🧠🔐
@IssaAbdallah-rt2sh
@IssaAbdallah-rt2sh 10 дней назад
Ndio maana mangungu hatumtaki yeye wachezaji wanarogwa yeye amekaa tu kama mshipa mjingasana huyo
@fredrickipembe8188
@fredrickipembe8188 11 дней назад
Sawa sawa chama hakua wetu
@BADAWY575
@BADAWY575 10 дней назад
Kasomeni al badiri 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mumechanganyikiwa hahahahahahahaha
@BADAWY575
@BADAWY575 10 дней назад
Hahahahahahahahahaha yani Simba ni birudani sana ndani ya nchi yetu adi raha simba ni litimu limoja ambalo limejaa machizi hahahahahahahahahaha mpira umebadilika fedhaaa baba pesa mahesabu mijitu imekaa inaropokwa mgogoro mwingi yule anasema hivi yule vile .😂😂😂😂😂😂😂😂😂.umeona wapi yanga tumekaa tunapiga kelele watu wako mahofisini yani Yanga majuu pesa kuna nukia njuruku pesa pesa
@BADAWY575
@BADAWY575 10 дней назад
Simba muna wewe seka .yanga mchezaji akicheza chini ya kiwango dirisha dogo kwaheri na bench anakalia Yanga mziki mpana.sisi ndio yanga tuko kamili any time tasisi inafanya kazi tunaenda kwa tarehe timu nnnzimaaaa
@avitusmichael5
@avitusmichael5 10 дней назад
Huyu mwarabu wa kayenze hajui kitu kwenye mpira mwambie akale pilipili
Далее
Which national team are you rooting for at Euro 2024?
00:17