Wakazi wa Ilagala wilayani hapa mkoani Kigoma, wameiomba serikali kuwajengea miundombinu ya barabara pamoja na daraja baada ya kuharibiwa na mvua zinazoendelea kunyesha mkoani humo na kusababisha kukatika kwa mawasiliano baina ya ilagala na Kalya.
25 апр 2020