Ndugu yangu mwakinyo ww Ndo boxing ya Tanzania hao wengine wapiga debe tu wew kwa hadhi yako usijihangaishe kumjibu mandonga yule Ni kibaraka wa wapumbavu af yule Ni demu tu hafikishi ngumi yako fala mmoja tu yule na cku ukipigana nae Ndo hatokaa apigane tena
Hyo mandonga muache apige kelele hapa Tanzania ukimtoa seleman kidunda hakuna zaidi yako.promota watafute mabondia nje ya Tanzania.mwakinyo sio level za ngumi za mtaani hyu ni professional icon
Huyu jamaaa mdomo umemponzaa alitakıwa kuwa na heshima kwa wanadam bocing hakuanza yy. Alkuwa mshamba ktk boxing ndıo 7b ya kupoteza wafhiwa wake. Udishamgar Mandonga atakuwa juu kulko huyu 7b Mandonga hajikwaz yy n mtu kama wengne anamuheshm kıla mtu . Heshima ndıo afanıkıo ktk Dunya ya leo!!!
Fanya kaz mwakinyo achana na maneno mengi bado hujafika maongez mangii mda wa wewe kuongea bado sanaa, pambaania kipaji chako, naamin kipaj unacho,ila ss ivi unaonekana kama una relax sanaa bado muda wa ku relax, na usikubali kupambanishwa na watu ambo sio ma boxer ni kujivunjia record yako kama professional, tumia mda mwingi kwenye mazoez ndo vitu vitavyokusaidia ,ulikua unakuja vizul sanaa ila kwa kweli sasa hivi kwa jinsi ninavyokuona maneno mengi kama ni legendary ila wewe bado sio wa hizo hadh, wewe ni future boxer light nw
Usipigana ngum kwa mihamko ya watanzania watakufelisha cz watanzania hawapeleki michechezo kwenye direction ya international na ndo maana wanasapot watu hambao hawana vipaji sasa na wewe ukifata direction ya watanzania utapotea,ludi kwenye direction ile uloonza nayo ulianza vizul tuu,achana na hao viongoz wa sports wenye mawazo madogo kwenye sports, huwa wanaangalia tu jinsi watakavyojaza uwanja na sio kuandaa ma boxer ili wapambane international walete ma taji ya ubingwa dunian, kama watu wanajitambua kwenye sports huwez kumtaja mandonga!!! Mandonga hatatupeleka wapi?.....achen mihamko ya kipumbav mnaalib tasnia ya boxer bila ya wenyewe kujitambua,
Mwakinyo nibondia wa mchongo Mandonga ni MTU kazi, Mwakinyo anaweza kupigwa hata nahisi ameanza kuogopa mandonga alisema atampga round ya 4 saiv mbona haongelei tena
Ndugu yangu mwakinyo achana mandonga tafuta mapambano nnje acha ya ndani hato ni manenotu ni kawaida tuna jua unashinda ukimpiga ana panda akikupiga ana panda acha mihemko wewe
Yaani mwakinyo sijui ulifeli wapi kutokushinda lile pambano la uingereza jirani alituchangisha ili kununua kifurushi lakini ukatukosea Sana ni Bora nikamwangalie mandonga anapigwa kuliko kukwangalia wewe unashinda Tena ushindi wako wa hapa Tanzania umekuwa wa mchongo Sana
Mwakinyo ni bondia mzuri lakini Haridhiki. Like pambano la uingereza aliuza. Yule jamaa hakuwa na uwezo wa kumpiga mwakinyo kwahiyo heshima yake imepungua.
Nchi yenyewe ilimtelekeza ulaya ulitegemea afanye nini, bora alirudi salama , sisi inatutosha . Ila kwa sababu alikuwa peke yake angeshinda lile pambano asingerudi salama
Asiyewajua wazungu anafikiri anaenda manzese. Wale ni siyo watu brother. Ndiyo maana mabondia wengine unaona wanalondwa kwa gharama kubwa halafu sisi tunamuacha anaenda kama anaenda sokoni . Sipati tabu watunwengi kitoelewa kwa sababu uhalisia hawaufahamu .
@@ecostats51 kwa kawaida michezo ya ngumi katika level kubwa huwa ni biashara kubwa mno na Ina uharamu mwingi kama hakuna ulinzi wa kutosha. Alishatoka uingereza akawaachia majonzi, ndiyo maana walizuia viza za team yake ili aende peke yake. Na ilikuwa angeshinda pambano huenda wangemuua kwa sababu alienda kama anaenda mgahawan. Kiutaratibu ilibidi serikal impe ulinzi na kuhakikisha team yake nzima inafika. Ila wampokee wao, wamlishe wao, Wamlaze wao na achukue point. Hicho kitu hakipo. Wale siyo watu linapokuja swala la maslah na bland zao. Ila kuna sisi ni wakijifunza naamini kuna funzo wadau na wizara husika wamejifunza
wewe ni mjinga kama wajinga wengine aupo sawa kwa mkono unafEk vp pambano wewe wewe jamaa unafel wapi mzee mimi napigana nawatu kisa wewe kususema kwa watu kuwa hassan mwakinyo kuwa boxing namba 1 tanzania na kwa Africa kwa watu wenye uzito wako matokeo yake unafanya ujinga